Рет қаралды 17,210
Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA, anawasili rasmi katika Makao Makuu ya chama yaliyopo Mikocheni, Dar es Salaam, kuanza majukumu yake ya uongozi. Tukio hili linafuatiliwa kwa karibu na viongozi wa chama, wanachama, na wafuasi wa CHADEMA kutoka kote nchini.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.