No video

Mpenzi wako hakuachi kama ukiyajua haya,..Darasa la bure.

  Рет қаралды 739,203

The XO

The XO

Күн бұрын

Пікірлер: 599
@roseriakituku9750
@roseriakituku9750 5 жыл бұрын
Asante kwa ushauri Nitajaribu kabiza kwa maneno n.a. vitendo. God bless me with a happy family,I Pray in Jesus Christ name.
@glorywalter6895
@glorywalter6895 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣🤣kama umemuelewe twende sawa
@elizabethelizabeth4369
@elizabethelizabeth4369 5 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥😜😜😜👌
@emmisalum2055
@emmisalum2055 5 жыл бұрын
Duh nimecheka
@angelamarlow510
@angelamarlow510 4 жыл бұрын
Glory Walter mm Cjaelewa
@shakilakhamis2109
@shakilakhamis2109 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 жыл бұрын
💃💃
@dorineoyako4800
@dorineoyako4800 5 жыл бұрын
😂😂😂😂wa kulia unakula,wa kushoto unakula🙌🙌🙌🙌
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 жыл бұрын
😍💃💃
@davidnziku2492
@davidnziku2492 5 ай бұрын
Nimekubal sana
@fatmawema572
@fatmawema572 3 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mama anamafunzo mazuri ubarikiwe mama
@ednafiloteus5216
@ednafiloteus5216 5 жыл бұрын
uwahiiiiiiiiii, mama unatufundisha mazuri tunayapenda kazi tunayafanyia ila kwa kweli hawa wanaume wa sasa uaminifu kwao ushapitwa na wakat kuchepuka kwao ndo kipaumbele Sijui hata wana nini uwiiiiiiiiii Mungu atuepushe tu STI'S
@janethkomba4485
@janethkomba4485 2 жыл бұрын
wanaume km 👉🐓Ata uwawekee mchere ktk Sinia Ili wasichepuwe namchanga lakini SAWA nabureee🙆lazimaaa Atataka aparure nachini Mweeee🙄wamenishinda tabia❌
@jacklinebenjamine3936
@jacklinebenjamine3936 Жыл бұрын
😅❤🎺mama asnteee😆
@SidiAm-wn4vb
@SidiAm-wn4vb Жыл бұрын
Mmmmmmhhhhh mama hayo n kweli ila Hawa ndugu zetu sio
@rahimaessa2552
@rahimaessa2552 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ Ahsante 👏 kipenzi Chang 🥰🥰🥰🥰
@abimelekifabian4047
@abimelekifabian4047 Жыл бұрын
​@@rahimaessa2552😮😊😊😅😅😅plol lkkkkkkkkkkkkokkklklopopn
@annahkimani344
@annahkimani344 4 жыл бұрын
Haaahhh kali hio,but you only do that kama ako na shilingi....akija mkono mtupu tuna angaliana tu😅😅
@juliusmatilya4025
@juliusmatilya4025 5 жыл бұрын
Hongera sana Mama, kweli mwanaume Dhahabu kwa huduma hiyo! VIVA MAMA
@lordbroly2642
@lordbroly2642 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 жыл бұрын
Wallah Mama mumenifurahish 🙌😍👍👌
@tommytyga4417
@tommytyga4417 5 жыл бұрын
I love this kipindi naitwa Tommy Tyga... Salute Dada Tira
@sintasmarty4974
@sintasmarty4974 5 жыл бұрын
Du tommy sasa ujuzi umeshaujua nitakufanyiaje
@tommytyga4417
@tommytyga4417 5 жыл бұрын
@@sintasmarty4974 0688455787 it's MA no.
@yunicejames4263
@yunicejames4263 5 жыл бұрын
Mmmh je wamezetu wanalud saa6 uck tunafanyaje kuondok asubuhi kam upo pamoj namim gonga like twend sawa
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 5 жыл бұрын
Hahahhaha
@salomestanley323
@salomestanley323 9 ай бұрын
Tupo wengi kipenz
@leticiamwamwaja1866
@leticiamwamwaja1866 7 ай бұрын
Bora wew saa 6 mm saa 10
@stelaNyerere
@stelaNyerere 5 ай бұрын
🎉
@user-wz5mm6yr6p
@user-wz5mm6yr6p 3 ай бұрын
amini kipenz
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 5 жыл бұрын
eti jangwani una pita pita 😀😀😀 I love u da ma hamisa natamani kipindi hiki mke wngu awe anakitazamaga maana kuna vitu vya nyongeza humu...mwarabu anasema ziada
@majaliwamtemele4102
@majaliwamtemele4102 5 жыл бұрын
Sio hawa wanawake watoto wa siku hizi maana unaweza ukawaoa woote na ukawaacha siku moja maana wao wanaume zao ni simu tu (smart phones) muda woote kwenye simu kujua umbea ya watu asiowajua wala kumjua tena walivyokuwa hawana adabu wanataka kukushirikisha na wewe kwa usiowajua.
@gloryavelin2583
@gloryavelin2583 5 жыл бұрын
Majaliwa Mtemele kaka siyo wote wako hivyo
@chibochibz9917
@chibochibz9917 5 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@moshiraelqady9513
@moshiraelqady9513 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@dorislema2465
@dorislema2465 3 ай бұрын
Nyie wanaume mnajikutaga nani vile?mwanamke siyo mtumwa wako kama akikufanyia ivo na wew mfanyie ivo hakuna mtu ambae apendi raha
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 22 күн бұрын
​@@dorislema2465😂😂😂😂😂😂
@sarahmohamed337
@sarahmohamed337 5 жыл бұрын
Nitaufanyia kazi ujumbe wako Bibi,ila Waume wasikuizi mitihani,wakutawamfanyia yote ayo,, na bado hakuthamini Wala hakujali,Ndoa Ni mitihani xikuizi.mwenyez" Mungu a2hifadhi.
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 2 жыл бұрын
Kwakweli my
@salomegeorge7027
@salomegeorge7027 5 жыл бұрын
Mwanamme hata umkunie nazi .umalaya wao huishi duniani..hata umpikie mkate wa sinia..tabia zao zile zile
@bettinajohn4985
@bettinajohn4985 5 жыл бұрын
Jamn mama wafundishe maan sikuiz wanawk wanatak px xio kufundwa
@mgendimussa7224
@mgendimussa7224 5 жыл бұрын
Nyie ndo hamfanyi hayo matokeo yake mbayaona maisha magumu na ndoa mby
@japharymsumule6550
@japharymsumule6550 4 жыл бұрын
Salome George mhh
@davidnziku2492
@davidnziku2492 5 ай бұрын
Kaa sio sio wote dada
@deusmauka9626
@deusmauka9626 4 жыл бұрын
Wanawake wa sasa ni jeuri, wabishi, wajuaji, mapenzi hawayawezi, wanawaza pesa muda wote utawasikia kwa kauli zao, eti mwanaume hata umfanyie nini anatoka tu, huo wote ni ujinga wa kuongozwa na hofu ya kuachwa. Wajibikeni na mjiamini.
@JacklineAlistides
@JacklineAlistides Ай бұрын
Kweli kabisaaaaa
@rhinakiza
@rhinakiza 5 жыл бұрын
Mashauri matamu kwa sisi abao atujaolewa😘
@Switielie
@Switielie 5 ай бұрын
Umeona eeeeeh
@Zubeda-zx7wt
@Zubeda-zx7wt 2 ай бұрын
Kwr shaa apo kama unahakili utajifunza kitu from🇧🇮🇧🇮
@ummulkheirzubeir6320
@ummulkheirzubeir6320 5 жыл бұрын
Mama nimekuelewa jmn nakupenda Burr asante kwa somo kungwi wangu
@brigitteyamungu3396
@brigitteyamungu3396 5 жыл бұрын
Hahaahah😃😃😃 jamani nimecheka 😄😄 adi machoz yananitoka. Asante sana mama kwa mafunzo haya.
@Giveness-ce3hy
@Giveness-ce3hy 29 күн бұрын
mama nimeipenda iyo
@zainabumohammed8334
@zainabumohammed8334 5 жыл бұрын
mama Angu Upo Sahihi But now Wanaume Wassaivi Ukiwafanyia Hivo Utaulizwa Kwani Vipi Unataka Kuniomba Nini Mbona Mbwembwe
@rithamdoe7272
@rithamdoe7272 5 жыл бұрын
Hahhahhahahhaha mweh
@khaniphaayubu6174
@khaniphaayubu6174 5 жыл бұрын
zainabu mohammed hahahahah Yani dadangu acha kabisa
@godblessanna7174
@godblessanna7174 5 жыл бұрын
Hahahahahaha unaulizwa unashida gani
@happykasike8834
@happykasike8834 5 жыл бұрын
Hahahaaha
@magreth7981
@magreth7981 4 жыл бұрын
☝️🤣🤣🏃‍♀️
@zeyanaali5746
@zeyanaali5746 5 жыл бұрын
Nataka ukande ukikunja siku ya kuachwa ikifika unamwagwa tu 😂😂
@growrich2332
@growrich2332 5 жыл бұрын
Shikamo dadaa
@user-xo5ii2pw2h
@user-xo5ii2pw2h 5 ай бұрын
Thank you very much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ asante sana mama tunayafanyia kazi ubarikiwe
@shtatsalfa1668
@shtatsalfa1668 4 жыл бұрын
Hahaaaa asante mamaaaa!! Nakupenda bureeeee
@reenvictoria
@reenvictoria 5 жыл бұрын
Mama hayo mafunzo ni mazuri ila sio kwa karne hii kila mtu Yule busy kufanya kazi kupata chapaa hiyo muda kuosha miguu za kunuka hatuna,mijanaume yenyewe ya now days haina shukrani,hata upige acrobatic and be a porno star to him still litatoka tu kwenda kucheat.kwa kifupi mapenzi now days ni kama bongo flavor music siku mbili zimechuja..peee tusichoshane
@ndzmah47ali6
@ndzmah47ali6 5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀kweli kabisa zamani sio sai
@salomegeorge7027
@salomegeorge7027 5 жыл бұрын
Hahahaha ha-ha aise I like yua point ...mme mmoja wanawake 20..na misuruali zafunguliwa zip na kila jangili
@fahmsaidi1010
@fahmsaidi1010 5 жыл бұрын
Cyo kosa lako hujakutana tu na mwanaume ambaye anakupenda kiasi kwamba hata akiona wanawake wengine anawaona ni malaya tu! Au akawaona ni wabaya kwa jinsi anavyokupenda na wapo wengi sana ila kinachotokea ni bahat tu yakukutana nao
@sylviemutwale9527
@sylviemutwale9527 5 жыл бұрын
Mh WW
@manasejames8404
@manasejames8404 5 жыл бұрын
Sio wote
@rahmabenedicto6838
@rahmabenedicto6838 5 жыл бұрын
Si kwawanaume wasasa hata ukifanya nn lazima litatoka tu
@juliethhenry2374
@juliethhenry2374 5 жыл бұрын
Nilifanya yote mume anagubu
@joymasaki1657
@joymasaki1657 5 жыл бұрын
Acha tuu kama wamerogwa wamevaa roho mbaya kama maibilisi utadhan amelazimishwa akuoe
@ibrahimamey3990
@ibrahimamey3990 5 жыл бұрын
yafanyeni kweli muone atatoka mnasema tu
@jupiterbibi9630
@jupiterbibi9630 5 жыл бұрын
Hata ukafanya nin kama hataki kuekwa at aenda tuu🙄🙄
@sophiashomari7896
@sophiashomari7896 5 жыл бұрын
Yn
@halimaomar8087
@halimaomar8087 2 жыл бұрын
Asante mama japokua cjaolewa ndio nakaribia kuolewa bac nimejifunza kitu asante sana
@elizabethzephania6057
@elizabethzephania6057 2 жыл бұрын
Aiseee!!!! Patamu hapo hongera mama Kwa mafunzo mazir 🌺
@SamilyLove-bt6qr
@SamilyLove-bt6qr Жыл бұрын
Wao
@lazizerujanabose8802
@lazizerujanabose8802 4 жыл бұрын
Mafunzo yahuyu Mama poa ila tatizo wanake wasasa wamekua wanaume kwa tabia ,sababu wakorofu saana na kusingizia sherti za haki na kusema, na wawo wanahaki na sio slaves, na ndio Mana mapenzi leo shiida.
@hamidhamiyanji
@hamidhamiyanji 5 жыл бұрын
Waschna wa oshe mume mgu mume akitoka viyatu atoke kazini bibi yuko kwa mamake sagapi socks zi tolewe
@agathanyaguthii8034
@agathanyaguthii8034 5 жыл бұрын
Volume iko👌👌👌👌👌👌
@mohamedkhamis1140
@mohamedkhamis1140 5 жыл бұрын
Uyo dada mtangazaji nampenda sana sijui nitamuona wapi
@MtuSafi
@MtuSafi 5 жыл бұрын
mohamed khamis clouds media ni department music clouds FM.
@rizikihasan2198
@rizikihasan2198 Жыл бұрын
Wow nimependa sana nakufatiliy sana namimi nikijaliwa ndoa ntafatish ushaul wako ❤mung akulinde
@HappyCrescentMoon-ws8vj
@HappyCrescentMoon-ws8vj 2 ай бұрын
😅kumbe nina wezangu tunawo sikiliza halafu hatujaolewa
@sitihassan9439
@sitihassan9439 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Hongera sn bb kama namuona kungwi wng
@missjudytuwei3900
@missjudytuwei3900 5 жыл бұрын
😄😄😄 you made my day
@tunnaika
@tunnaika 5 жыл бұрын
Si Mapenzi tena hayo ni bizness na politics 🤪😀😀😀
@hawamtonyole9682
@hawamtonyole9682 5 жыл бұрын
haya
@sitatinaomi5942
@sitatinaomi5942 2 жыл бұрын
Mama nakuamini....tira hongera Kwa kumleta kwigi
@madamgrory8320
@madamgrory8320 5 жыл бұрын
Wanao yaweza yaliyosemwa hapo nyosheni mikoko...utamaliza yote malipo atapokea mchepuko
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 5 жыл бұрын
Kwani uongo
@kaksridi6403
@kaksridi6403 4 жыл бұрын
Mamisaaa wewe muhuni sanaaa but Naku hishimu sana mama nta mwambiya mkee wangu ajee umufunze
@user-zu2dc2bj6z
@user-zu2dc2bj6z 5 ай бұрын
Haaaaaaaha asante mama nakupenda mnooo❤
@Ester-fp3pk
@Ester-fp3pk Жыл бұрын
Mhh mama ujakutana na wanaume wenye asila ata uwe wazi kias Gani jogoo hapand mtung, hata mfanyanye sio Hawa wanaume wa Sasa labda wazamani
@farhatsuleymaan5625
@farhatsuleymaan5625 4 жыл бұрын
Kwa ninachokiamini mimi "Hakuna mkate mgumu mbele ya supu" Sasa dadazangu tusilamu tu wanaume wa karne hii Je sisi wanawake wa karne hii je? Mi naamini kila kitu kinawezekana wanawake tubadili mienendo yetu.... Nawatakia kila la kheri wanandoa Sio wapenzi maana wanandoa ndio wanapendana wapenzi tunadanganyana
@ridiamwainunualsee7495
@ridiamwainunualsee7495 4 жыл бұрын
Farhat Suleymaan Nimekukubali mpenzi
@khadijaidd7514
@khadijaidd7514 4 жыл бұрын
Shida kubwa wanaume wengi hawakufunzwa
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 2 жыл бұрын
@@khadijaidd7514 ndio my saaa iv twahara wanakatwa hosptal atafunzwa saa ngap
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 2 жыл бұрын
Na hawawekwi jandon
@luqmanmwinyi7953
@luqmanmwinyi7953 4 жыл бұрын
HAAHAAAHAAHAA haaaaa hee Mhh huyu kweli Mamamisaaa
@kaksridi6403
@kaksridi6403 4 жыл бұрын
Maximum respect mamisaaa ndo kwamana na hishimu sana mwanamkeee
@wycliffendege7785
@wycliffendege7785 4 жыл бұрын
njoo kwetu kenya ujionee maajabu hivo mnavyo zungumza ni ndoto kwetu sie hatutambwi bora umwage uende ukabet
@monicaalute1777
@monicaalute1777 5 жыл бұрын
Chama chetu cha mapinduziiiiii.....aisee bibi umenipa somo
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 5 ай бұрын
Cha kwanza Mungu Sara na kazi ukikazana kumpetipeti mume bila kujua kuwa ndoa iliubwa bado kuachwa pamoja na hayo utaachwa
@halimanindi8055
@halimanindi8055 5 жыл бұрын
Dada nakupenda na nitazidi kukupenda zaidi sijaingia kwenye ndoa lakin mashaaala
@samwelmagodi753
@samwelmagodi753 2 жыл бұрын
😄😄😄😄 Kuna wanaume vichwa mama wewe hata ubaki uchi kama umenivuluga nakuvuruga kweli
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
😅😅😅😅
@user-fx6ys3ou6t
@user-fx6ys3ou6t Ай бұрын
Haya mafunzo yananikosha Sana natamani Sana ndo angekuwa ananishauri Mimi Kila siku ubarikiwe mama
@malaika4158
@malaika4158 5 жыл бұрын
Hii pia imepitwa na wakati mum. sasa ni pamoja 00254 hatuwezi make hahaha lakini heshima kwako mama.
@jemimahtopista9434
@jemimahtopista9434 5 жыл бұрын
😂 ndoto
@vipvip-zv7xv
@vipvip-zv7xv Жыл бұрын
Shuqran jazzilah khery mungu akujalie umri ili uwez kutuelimisha inshallah..❤
@bshrkkz
@bshrkkz Жыл бұрын
Wow 👍👍👍👍👍 vp
@cissegabriel3074
@cissegabriel3074 Жыл бұрын
Jambo dada umeonge maneno sahihi Mungu akujalie nauendelee
@salmasaidi2875
@salmasaidi2875 5 жыл бұрын
Ahsante sana kwa mafunzo mazuri ya kiufundi 😘😘
@lovenessmathew7170
@lovenessmathew7170 5 ай бұрын
Responsible man au mwanaume yeyote anapaswa kufanyiwa hivi 😂
@gloryjane4147
@gloryjane4147 5 жыл бұрын
Nan kasikia chama kikongwe gonga like twende sawa😂😂😂👆
@na0m1fes51
@na0m1fes51 5 жыл бұрын
jane mbwilo 😂😂😂
@nasrairunga7730
@nasrairunga7730 5 жыл бұрын
Karneeeeee hiiii ht umnawishe kinyeo na ulimi ni kazi burrrreee😆😆🤦‍♂️
@charleskabuchu7632
@charleskabuchu7632 5 жыл бұрын
Hahaha hapo kweli
@Laura-l6f
@Laura-l6f Ай бұрын
Jaman na😂 mpenz lakin gafula yup biz naumia San
@furahamudende6316
@furahamudende6316 5 жыл бұрын
Ahsante kwa maongezi,am learning
@user-jg5xb4kp6e
@user-jg5xb4kp6e 3 ай бұрын
Nimependa sana mafunzo❤❤❤❤❤❤❤❤
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
Sio kwa wanaume wa kibongo 😂
@lovemonjemonje5777
@lovemonjemonje5777 5 жыл бұрын
Onyesha mzigo😂😂😂😂😂😂😂
@cutemagemage4956
@cutemagemage4956 Жыл бұрын
Mhmh Sasa Hiyo kazi kwa walioolewa watafanya Mpaka lini na Bado hapo watoto wanakungoja 😢haya ni mafunzo mazuri kwa Wale wadangaji ama Ma slay Qween 😢😢
@jescamaro6226
@jescamaro6226 5 жыл бұрын
Dada tira nakipenda sana kipindi chakoo... ❤❤
@najma3268
@najma3268 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣hatareee 🔥🔥🔥
@hasnatimazigo3492
@hasnatimazigo3492 Жыл бұрын
Mafunzo mazuri sana hakuna group la watsap jmn ili kupata hayo mafunzo zaidi
@thexoshowtira
@thexoshowtira Жыл бұрын
Mafunzo ni kuwasiliana na nyakqnga mwenyewe.ila huyu hayupogi tena
@user-hh6hv9bw1g
@user-hh6hv9bw1g 2 ай бұрын
Mungu akuweke nimekupenda bure ❤
@Jc-wl6yf
@Jc-wl6yf 5 жыл бұрын
Chama chetu cha mapinduzi🤣😂😅
@violetgeorge5521
@violetgeorge5521 Жыл бұрын
Kkkkkk ila mama nime kupenda Bure from malawi
@ndaganoanastazia2658
@ndaganoanastazia2658 5 жыл бұрын
Hayo ni ya bongo tu... kwa huku mko wote kazini mwatafuta hela ...hayo kwa huku mwanaume ndie ananiandalia...😆😆😆😆
@rizikisamwel9904
@rizikisamwel9904 5 жыл бұрын
Huyo mama yupo sawa
@hadijabashil2680
@hadijabashil2680 5 жыл бұрын
Yupo sawa lkn wanaume was sikuhiz ukiwafanyia HIV si watasema umetumwa na mganga
@abdizuu7156
@abdizuu7156 5 жыл бұрын
@@hadijabashil2680 hahaha
@ednafiloteus5216
@ednafiloteus5216 5 жыл бұрын
Hadija Bashil Uwiiiiiiiiii n kweli shoga angu uyasemayo Jana tu Nimemwambia mme angu namfanyia bed bath akanijibu ndo namfunga ili asipendwe kwa wengine
@ednafiloteus5216
@ednafiloteus5216 5 жыл бұрын
Hadija Bashil nmerudia tena kucheka Huhuhuhuhuhuh H😀😀😀😂😂😂😂
@aminachiziamina
@aminachiziamina 5 ай бұрын
Asante sana mamake kwa usaha urii huoo
@fahmsaidi1010
@fahmsaidi1010 5 жыл бұрын
Wanawake wa siku hiz hawaamin kama kuna wanaume wanawapenda na hawacheat kwenye mahusiano kabisa na hili ni tatzo sana ambalo linawafanyaga wanaume wacheat kwasababu tu yakutoaminika kwa mke wake au mpenz wake lakn wanawake wangekuwa wanaweka iman ya kuwaamin wanaume wao hata mwanaume mwenyewe akifanya hvyo roho yake itamsuta sana na kujutia
@lucyjoseph6017
@lucyjoseph6017 4 жыл бұрын
Ilikuwa rahisi kabla sijapata watoto, ila duuu saivi mtoto anafata kila kona mmmmh hahahaaaaa
@fatmakombo7584
@fatmakombo7584 5 жыл бұрын
Wanaumee wa Sikuhizi utawafanyia kila kitu hawapendeki wanaume wanapendwa wapewe sio watowe
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 5 жыл бұрын
Uliyafanya hayo yakashindikana?
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 5 жыл бұрын
Wanawake wa nowadays mnazingua sana
@sprettysalim4659
@sprettysalim4659 5 жыл бұрын
Mm nimefanyaa zaid ya hayooo na Sshvi niko single for 5 years wanaumeee wabaya cicemi kuwa ni wote lkn ni wengi wao wanatuumiza Cc wanawakee wanaliza
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 5 жыл бұрын
@@sprettysalim4659 duuuu bahati tu haikuw nzuri but for me mwanamke kama huyo hakuna cha kunitoa kwake
@rajabusamsimba7150
@rajabusamsimba7150 5 жыл бұрын
vzr san mam la mama
@CatherineUpendo
@CatherineUpendo 3 ай бұрын
Ushauri mzuri tatizo wote wapambanaji hayo utayafanya saa ngapi
@thexoshowtira
@thexoshowtira 3 ай бұрын
Inaweza ikawa Mara moja moja sio lazima kila siku
@KarimyussufuYussufuKarimmane
@KarimyussufuYussufuKarimmane 4 ай бұрын
Kwasisi ambao Waume zetu ukiongea karibu anakwambia acha shobo ukimvuwa shati anakwambia mwenyewe anaweza kuvuwa
@thexoshowtira
@thexoshowtira 4 ай бұрын
Hivyo hivyo kidogo atazoea,nimapenzi mapya kwao,na siku zote huwa hawajuagi kujieñeza,ni namna yao yakusikia haya
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
Something now...jmn mama unavituko wallah 😅😅😅😅
@sponsor7882
@sponsor7882 5 жыл бұрын
SOMO ZURI KWA SLAY QUEENS
@maggehnew9729
@maggehnew9729 4 жыл бұрын
Hapa ni jinsi ya kumfikisha mwanaume mkiwa kitandani. Ingia hapa uone Hapa ni jinsi ya kumfikisha mwanaume mkiwa kitandani. Ingia hapa uone kzbin.info/www/bejne/bJPanJ6pgNtosJKcttps://kzbin.info/www/bejne/bJPanJ6pgNtosJI
@jescajoseph3419
@jescajoseph3419 4 жыл бұрын
ukute ana hasira zake kutoka kwa hawara ake..hilo teke au jicho utakalopigwa...hahahaaaa.....sio karne hii
@emaemasy627
@emaemasy627 5 жыл бұрын
wanaume wetu kabisa jaman utaskia anakwambia niache nimechoka mmmh
@mgendimussa7224
@mgendimussa7224 5 жыл бұрын
Hufanyi hivyo hata kidg lbd na mwanaume awe hajui mapenzi
@emk6360
@emk6360 4 жыл бұрын
Ningependa kupata mwanaume anayependeka nimfanyie haya yote.
@thexoshowtira
@thexoshowtira 4 жыл бұрын
Wapo,nikuwa na Imani tu,kunawatu wanasema hakuna wakuoneshwa haya pamezi lakini mm nakataa.kiukweli wapo.
@florencejames-jo1cz
@florencejames-jo1cz 4 ай бұрын
Hv haya mafunzo kwaajili ya kizazi cha 2024 au 2030 mwanamke wenyew wanasemaje huko 😂😂😂😂
@thexoshowtira
@thexoshowtira 4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 kizazi cha 2000 hakijui mapenzi,wanarukiana tu
@Elisa-yw4bp
@Elisa-yw4bp 5 жыл бұрын
Wow.... I agree to certain extent lakin, kukosha miguu na mambo ya hands massage ni abuse. What about the woman is also working, taking care of kids, cooking. Cleaning the house. Wow... men also want women who are strong minded and challenge bullshit like this. U cant submit like this.. unless your jobless, and even so it's wrong he will add another woman outside and will abuse you knowing you love him too much that you will not go anywhere. Changing of clothes, he should buy those clothes. Hizi enzi za upumbavu... kumlisha na kumkosha a grown man. To me if u continue to do those things, he will be GAY.
@Nouruyoun
@Nouruyoun 5 жыл бұрын
Dada mahabba kitu chengine,ukitaka kutoa toa kwa mahabba,wanaume kama watoto wanatakiwa kulelewa
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 5 жыл бұрын
Elisa 2019 Ukae ukijua mtoto wako wa kiume atafanyiwa hayo unayomfanyia mumeo. Sijui kama utapenda
@akwity
@akwity 5 жыл бұрын
If this was the case I would have been divorced 13 years ago... kwani mamake hakumfundisha kuoga alipokuea mdogo aoge mwenyewe akitoka kazini? And what do you get in return? Sounds to me you are there to cater to him head to toe after your hard day at work and even if you are a stay at home mom( which is a load of work) I agree with you this is definitely abuse ... I wouldn’t wish that to my daughter if I had one. Like Paul said “husband should fulfill his marital duty to his wife, and likewise the wife to her husband” I don’t think alisema tuwe watumwa kwa wanaume
@jeniffermasha2540
@jeniffermasha2540 2 жыл бұрын
Ukweli mtupu kabisa
@bahatielias522
@bahatielias522 2 жыл бұрын
Nimependa ulivoandika
@jasminignas2034
@jasminignas2034 5 жыл бұрын
Dah, Sio Kwa Wanaume Wa Sasaiv Hatareeee Tn Pasua Kichwa Hata Humpe ..... Hatatok Tu uuuuuu
@celynehilary2581
@celynehilary2581 5 жыл бұрын
Kwli hpo umenena
@getrudegregory207
@getrudegregory207 5 жыл бұрын
No comment huu ni mfumo dume ambao mwanaume tu ni yeye tu daa okey basi sawa
@gladymndala1061
@gladymndala1061 5 жыл бұрын
Getrude Gregory 😂😂😂😂😂😂
@joymasaki1657
@joymasaki1657 5 жыл бұрын
Na wanaorudi saa sita usiku kalewa utafanyaje maana ni sheeeder
@magrethmhala4697
@magrethmhala4697 5 жыл бұрын
😂😂😂😂 ni shda kwel
@halimabenzi4740
@halimabenzi4740 5 жыл бұрын
Umeona mwaya
@catherinematoke2559
@catherinematoke2559 5 жыл бұрын
Utaanza kumkanda kwenda kwa vidole akuite mchawi 😂😂😂 wanaume wa hekaya hizi ni tofauti sana na enzi zako mama
@borashabani729
@borashabani729 4 жыл бұрын
Cathy Kwamboka hahahaaa
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 5 жыл бұрын
Nimewapenda kweli
@annyrutty657
@annyrutty657 5 жыл бұрын
😂😂😂 Chama chetu Cha Mapinduzi 😂😂😂
@airatkiyange3078
@airatkiyange3078 9 ай бұрын
❤❤asantee viva mam nakupenda sana mam
@marymaomar7592
@marymaomar7592 5 жыл бұрын
😂😂😂nakukubali
@SelestineBiyake-dg8nn
@SelestineBiyake-dg8nn Жыл бұрын
Mama Karne hii ya 23 hatuna wake wa hivo
@ndakozekanny6413
@ndakozekanny6413 5 жыл бұрын
Mafunzo ya kweli mama wanawake wakifuata mafunzo hayo
@jenipherclement2103
@jenipherclement2103 4 жыл бұрын
Uko vzr mama ahsante kwa maneno mazur
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Mikono yote inakulaaa ???
@salwamohammed9542
@salwamohammed9542 5 жыл бұрын
Napendaa ichii kipindi
@djrobie24
@djrobie24 4 жыл бұрын
👀🔥hawajui visosi maslay queen aahahahhah #chama chao cha mapinduzi😇😇
@febroniamichu9046
@febroniamichu9046 4 жыл бұрын
Ahahaa,hayo nahisi yalikua yazamn,wacku izi niziro tu..naumpate wakumfanyia hayo ,sasa mwanaume kukupigia cm au kukutumia msg nimala moja kwa mwezi,au akiwa nashida flan ndo anapiga kuuliza,hawezi kukumbuka kwamba huko nyuma nimemuacha mke wangu ngoja nimuandae mapema kwa vimeseji flan hivi vya mahaba,,sasa wewe hunifanyii hayo unafikili mi ntakufanyia.
@UpendoEmanuel-cu5zu
@UpendoEmanuel-cu5zu 4 ай бұрын
Asanten imepenyaaaa iyooooo
Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
6:19
Topten Tv
Рет қаралды 327 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН
123 GO! Houseによる偽の舌ドッキリ 😂👅
00:20
123 GO! HOUSE Japanese
Рет қаралды 5 МЛН
KITOMBO KITAMU,,KUWA MALAYA KITANDANI
17:05
Betty Chanzi katuku
Рет қаралды 100 М.
SABABU 3 ZA MWANAMKE KUKUACHA
12:56
Mbeki TV
Рет қаралды 35 М.
Dr. Chris Mauki: Mbinu 5 za kuiteka akili ya mpenzi wako. Part 1
7:31
KUNGWI DUME: Kumsinga mumeo
9:37
Ibrah Thedon
Рет қаралды 127 М.
HIKI NDICHO WANAUME WANACHOKIPENDA.......
17:32
The XO
Рет қаралды 193 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10