MZEE MWENDA: ANAYESEMA CHAMA KAZEEKA ANA KANSA YA UBONGO/ MO DEWJI ANATUONAJE SISI?

  Рет қаралды 45,934

TimesFMTZ

TimesFMTZ

Күн бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 99
@mwamvuarashid290
@mwamvuarashid290 3 ай бұрын
Huyu teacher mwenda huwa namwelewa sana Simba mnafeli wapi watu Kama Hawa walitakiwa ktk kamati ili kuwashauri
@Eliacharless-f3z
@Eliacharless-f3z 3 ай бұрын
❤nimekuelewA mzee mwenda
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 ай бұрын
Mzee mwenda unaujua mpira vizuri
@hafidhkikocho9161
@hafidhkikocho9161 3 ай бұрын
mzee baba nimekuelewa sana
@DicksonWilliam-h9x
@DicksonWilliam-h9x 3 ай бұрын
Dah mzee wang nakuelewa
@imanishabani37
@imanishabani37 2 ай бұрын
Mzee mwenda Nomaaa sanaaa
@Sukuma_Tv
@Sukuma_Tv 3 ай бұрын
Mzee Mwenda unaongea ukweli mtupu mzee wangu
@EnockKombolela
@EnockKombolela 3 ай бұрын
Mzee mwenda nakuelewaga Sana Mzee wangu hongera
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 ай бұрын
kk mwenda nisameeeee naumia mm natamani kujitoa roho hv chama wapi ubovu wake katusaidia mangapi au siasa ya mpira wetu
@nurdinngalo-hj1ow
@nurdinngalo-hj1ow 3 ай бұрын
Kaongea point sana simba wana tajiri ila tajiri wao ni janja janja
@edinamwanasenga1584
@edinamwanasenga1584 2 ай бұрын
Mwenda yupo nvizur sanaa wampe usemaji simba❤❤❤❤
@imanishabani37
@imanishabani37 2 ай бұрын
Kocha Mwenda Kiukweli Wewe unaongea vzr sanaa kwenye masuala ya mpira kuna watu wanakubeza lakin huo ni ukweli
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 ай бұрын
upo vzr mwenda
@charlesmkisi8052
@charlesmkisi8052 3 ай бұрын
Mzeee mwenda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@ELIMRINGITILLYA
@ELIMRINGITILLYA 3 ай бұрын
Mwenda uko vizuri sio kama hao mshabiki wengine matako wa Simba wasio na akili Chama kaisadia Simba robo fainali klabu bingwa mara zote.
@MussaHajikimwaga
@MussaHajikimwaga 3 ай бұрын
we msenge acha kututukana sawa mpuuzi tatizo la mwenda ni mtu flan anayejiona ni Bora kuliko wengine kwanza siyo mchambuzi naona amekuwa maarufu Kwa kuitwa kwenye hizo midia bas anaongea vitu hata havieleweki
@yummaskitchen6167
@yummaskitchen6167 3 ай бұрын
Mwenda unaongea fact Sana
@HenryMnungu-kj2hr
@HenryMnungu-kj2hr 2 ай бұрын
Huyu mwenda kumbe ni mwendawazimu Kwa kirefu... Mara zote alikuwa akimponda chama.... Leo amekua mzuri...
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 2 ай бұрын
Jamaa ana hasira sana huyu! Anaweza kumtafuna mtu akijichanganya.
@elgringo8592
@elgringo8592 3 ай бұрын
Kweli mzee mwenda ukoo wa fisi ule😅😅
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 3 ай бұрын
Kweli wew mzee choko kweli hata wew ulisema chama mzee kwani chama sio mzee ana miaka 26 au miaka selasini na mbili chama mzee Tena chiba
@obedyjohn5350
@obedyjohn5350 3 ай бұрын
Mzee baba wew unajua uongo dhambi
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 2 ай бұрын
Njaa mbaya Sana... Unaweza kumpika supu mwanao wa kumzaa
@briantafari9224
@briantafari9224 2 ай бұрын
Mzee Mwenda wapashe...
@DidasiJuma
@DidasiJuma 3 ай бұрын
Huyu mzee Mwenda ni hazina ya Taifa, nchi yetu imejawa na waongowaongo wengi,ila mzee kanyooka
@AmaniMwankili
@AmaniMwankili 3 ай бұрын
Nakuelewa kamanda mwenda
@proisolution7166
@proisolution7166 2 ай бұрын
wewe hawa jamaa OKWI aliposajili YANGA,walisema ana ukimwi ndiyo maana alikuwa hataki kwenda Ulaya na hii taarifa mimi aliongea kocha wao mwenye mdomo tulikuwa ofosi ya friends of simba ,so simba mapoyoyo tu halafu wana chuki na umbea.
@NouhuKhamis
@NouhuKhamis 3 ай бұрын
Wewe mwenda mnafiki Sana ulimkataa Chama lkn leo umebadilika kumbe wewe uongo kweli
@nicodemusmemba1402
@nicodemusmemba1402 3 ай бұрын
Tz,80% wanasema Uongo
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 3 ай бұрын
😂Yaani pale anapotamka "Kajanja Kajanja" badala ya Kanjanja Kanjanja'mi ndo Huwa enjoy sana😂😂😂
@AllySalum-j9y
@AllySalum-j9y 3 ай бұрын
Weeeeengiii makorooo wanaumiaaa rohonii iraaaa wanajikazaaa chamaaa yureeee kwaa wenyee akiriii yaaa sokaaa 😅😅😅😅
@NondoRamadhani
@NondoRamadhani 3 ай бұрын
Mwenda nakukubali xana kea kuongea ukweli na kulichambua soka
@godsonrwegasira4414
@godsonrwegasira4414 2 ай бұрын
Eti ni kajanja kajanja hakajawahi futurisha😂😂
@FredricktheonestShayo
@FredricktheonestShayo 2 ай бұрын
Unahishi kwa maneno tu ukimaliza ongea sema unatoa sh ngapi usaidie usajili maneno haya acaunt we mzee vp hatutaki32 plas
@ngoshangosha-l1w
@ngoshangosha-l1w 3 ай бұрын
huyu jamaaa mwenye madevu mnafiki Sana alishawahi kusema chama mungu wake ni mfupi Leo hii anaongea pumba
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 ай бұрын
kwnn hushauri hayo mabwege kocha
@hafidhkikocho9161
@hafidhkikocho9161 3 ай бұрын
mzee unaujua mpira
@LucianaJoachim
@LucianaJoachim 3 ай бұрын
Huu ni mpira sasa mlitaka MO afanyeje wakati chama anahogwa na injinia ili afanyevibaya ktk timu kwani mo alokuwapo, mambo hayo anayajua try ageni na mangungu, wakati wakina firi na baleke wanambiwa kuwachwa mo alikuwepo,? Leo hao wabovu wanarudi ktk timu zingine kwa mlango wa nyuma leo tunawaona kwani mo kafanya yeye?, walaumu miroho ya pesa wapewa madaraka
@NsubiRaphael
@NsubiRaphael 2 ай бұрын
Mwenda chama hana ufalme wowote no power
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman 3 ай бұрын
Tatizo huyu nae mnafki alikua anamsema vibaya chama kwamba chengayake moja sasaleo kageuka nenda na midevu yako muongo mkubwa
@MashakaAthumaniAthumanimashaka
@MashakaAthumaniAthumanimashaka 2 ай бұрын
Unamwelewa Ww Huyu Alikuakiongozi Simba Alishindwa Mwanamichezo Nasimba Ililiwatimua Ndomaana Munagub Kambali N Ww Kulamilalamika Uwezo Wakuwashauri Unao Ww Namchome Wanabif Nanatajiri Asogezwe Karib Taftapesa Achannampira Maana Unahasira Simba Wala Siyako
@simbamaduhu1600
@simbamaduhu1600 2 ай бұрын
Nyie ndo mna kansa ya ubongo
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 ай бұрын
sole kochi mwenda nisamee
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 3 ай бұрын
Unakuwa kama kila kitu unalalamika eleza vitu vizuri
@HalimaIssa-pu4yt
@HalimaIssa-pu4yt 2 ай бұрын
Hakika maneno kuntu
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 3 ай бұрын
Huyu jamaa kuna vitu anaongea sawa ila huwezi kila wakati unaponda tu kila kitu
@leusissa3855
@leusissa3855 2 ай бұрын
Mwenda acha kuishi kwa kukariri klabu haiwezi kuishi kwa kumtegemea mchezaji mmoja na hasa km ni kirusi. Simba ipo miaka 88 iliyopita chama hakuwepo. Katulie acha viongozi wafanye kazi yao. Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu mfululizo kwani chama alikuwa anacheza timu gan km co simba? Ww ni chawa tu hujui mpira unahitaji nn zaidi ya mizengwe MWENDA
@VailethBeautus
@VailethBeautus 3 ай бұрын
HUYU NI MSENGE YYE NDIO ALIKUWA WA KWANZA KUSEMA CHAMA AMESHA ZEEKA ADOKE LEO ANASEMA VINGINE ZEE HOVYOO
@prosperidinya5864
@prosperidinya5864 3 ай бұрын
Watu vigeugeu sana.
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd 3 ай бұрын
Ww mzee itakuwa unavinasaba vya kiutopolo. ww ndo ulikuwa unalala sana kuwa chama ni mzee aondoke sasa ameondoka unalala tena na kumuita alikuwa mfalme wa simba
@MussaHajikimwaga
@MussaHajikimwaga 3 ай бұрын
we utopolo usituchanganye toka huko wewe siku zote unaizungumzia simba kwa hasi unatumia nguvu zako bure we mzee choko sana sijui unataka madaraka au ulinyimwa hizo siasa mpira pesa wewe unanini
@AmaniMwankili
@AmaniMwankili 3 ай бұрын
Maku sana wewe😂
@isayaluvanda8470
@isayaluvanda8470 2 ай бұрын
Nyie mnao msifia mwenda mbona hamjamliza kuwa wakati yupo simba alikuwa anamkata chama kuwa nimzee Reo yupo utoporo unamuona kama haja zeeka mtuana miaka 35 unasema sio mzee kumbe Wewe nimamuluki nichawa
@H3s4d
@H3s4d 3 ай бұрын
Wewe ni Simba. Au ni Nani?mwache aseme ukitaka mtu afanye. Vizuri usimsifie
@BeniYaredy
@BeniYaredy 3 ай бұрын
Levo posho alikuwa hapat subilia utampenda
@ibrahimjames1464
@ibrahimjames1464 3 ай бұрын
Mwenda huyu huyu kwa masikio yangu nilimsikia akidai simba wachezaji wote wafukuzwe wamechoka akiwemo na Chama. Leo amegeuka tena. Acheni timu itengenezwe. Kuondoka kwa mchezaji mmona haina maana timu imeharibika. Unachanganya wasioelewa mambo wewe mzee
@sangaelly8548
@sangaelly8548 3 ай бұрын
Mzee Mwenda sisi sio wapumbavu mpumbavu mwenyewe
@allyrashid9191
@allyrashid9191 3 ай бұрын
We chizi sana
@YusufuMwamlengaMwamlenga
@YusufuMwamlengaMwamlenga 3 ай бұрын
Kwahiyo yeye mwenda alitaka chama afie simba😢😢,au azekee simba😢😢 ,aache ujuaji sana
@MalikiKavindi
@MalikiKavindi 3 ай бұрын
Acha uchizi we mzee unachangia nn kwenye simba? Hata jezi huvai,kaa kimya
@hajiseleman-un8so
@hajiseleman-un8so 2 ай бұрын
Sasa ww broo unaisaidia nini simba kama ww unauchungu kwanini usigombee uongozi alafu ufanye hayo unayo ya sema yani hawa hawana ponti
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 3 ай бұрын
Tumepigwa sana yanga wataleta kombe.
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 2 ай бұрын
sauti za mamlaka izo..😊
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 3 ай бұрын
Mashabi bora mnaongea😂
@allyrashid9191
@allyrashid9191 3 ай бұрын
Huyu bwanake azizi kii kumbe mimba hiyo inakusumbua
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 3 ай бұрын
Tatizo lako chuk yako na viongozi wa Simba ume ifanya iwe season mbona wenzio sasa ivi Wana maelewano acha shiriki bhana
@sangaelly8548
@sangaelly8548 3 ай бұрын
Wewe umefanyia nini simbaaaaa?
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 3 ай бұрын
Ufalume wake ulikwisha kiyambo ndiyo maanaisimu mtatu hajasaidia timu.Kwanza wewe hujui mpira au hufatilii uwezo wake unakurupuka tu
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 ай бұрын
mwenda ww zuzu mlikuwa mnaixhi na mgonjwa kwa taaluma yako ndo maana huna timu juzi tu ulituaminisha ujinga wako chama hawezienda yanga leo unajichoma dole gumba km juha kweli sisi mbumbu
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 3 ай бұрын
Huwezi kumuelewa kama ulianza kupenda TIMU baadaye MPIRA kama wewe! Jifunzeni kukubali ukweli sio kupiga kelele tu wakati timu inazidi kupotea baadaye muanze kulalamika mkishika nafasi ya 5.
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 ай бұрын
We mbwa tulia huna akili, mwache mwenda anajitambua
@ZaituniNyenzi
@ZaituniNyenzi 3 ай бұрын
Sure​@@reinfridlipili5666
@ZaituniNyenzi
@ZaituniNyenzi 3 ай бұрын
​@avh😮itusmichael5 Hakika
@vaxminja9053
@vaxminja9053 3 ай бұрын
Mwende hajawahi kusema kwamba Chama hataenda Yanga.
@waziribori2280
@waziribori2280 3 ай бұрын
Hili halijielewi ni njaa na wivi ajiulize SIMBA YA NGAPI RANK YA AFRIKA?
@musamagulu2023
@musamagulu2023 3 ай бұрын
Matako kweli wewe. Hivi wydad ni ya ngapi Africa? Je imefanya vizuri?
@DaudLucas-qj3mp
@DaudLucas-qj3mp 3 ай бұрын
Hata wewe unasema chama Kwa sasa nibola tunakuona hauna hakili.
@ibrahimjames1464
@ibrahimjames1464 3 ай бұрын
Mwenda naye ni wale wale. Alikuwa anapiga kelele simba imejaza wazee leo tena kabadilika. Kwani yeye ni coach wa timu gani hapa Tanzania? Hata huko champions league sidhani kama ana timu. Acheni simba itengenezwe upya. Manachanganya watu tu hapa. Siasa tu huna lolote!
@LeonidasStephano
@LeonidasStephano 3 ай бұрын
Hana hoja huyu atuache kidogo
@sevelintino6181
@sevelintino6181 3 ай бұрын
Weee s ulisema chama kazeeka acha hizo mzee
@audaxkasindo9016
@audaxkasindo9016 3 ай бұрын
Mwenda ubongo wako aupo sawa unakumbuka wewe ulisha sema chama kazeeka kama umelipwa kuchafua Simba
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 3 ай бұрын
We mzee huna akili waache viongozi wa boleshe kikosi kama unataka nawewe nenda kujiunge na hao utopolo
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr 3 ай бұрын
LAU SIMBA MUNGEJUA MO ANAVYOKERWA NA HIZO KERERE ZENU KWA MZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN MUNGENYAMAZA..HAO WAZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN MO KAWAWEKA YEYE...ALAFU ETI MANGUNGU KAGOMA KUJIUDHULU KAKWAMBIA NANI ? UJUE HUYO MZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN NA MO LAO MOJA.. SIMBA AMNA JICHO LA TATU ?
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 3 ай бұрын
Ukiangalia usajili wetu simba wanasajili wachezaji ambao Hata timu zao ni ndogo tu
@abubakarbajun3503
@abubakarbajun3503 3 ай бұрын
Kama weweninmshabiki wa chama neeeeenda kahamie utopolo mzee unagojaa nini
@allyrashid9191
@allyrashid9191 3 ай бұрын
Chizi
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 2 ай бұрын
🚮🚮🚮.. Mashabiki maandazi
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 ай бұрын
Ronaldo aliondoka madrid akiwa anahitajika , mayele ameondoka yanga akiwa anahitajika, acha tuandae timu yetu bwege wewe ,si ungekuwa hata na timu hata ya daraja dogo tu wewe ,kila wakati hukubaliani na moo wakati wachezaji walikuwa hawajitumi akiwemo chama leo anamuacha unashangaa au unataka turudi nyuma .kaa pembeni muache moo afanye kazi wewe mwanakaizaya mpumbavu ni wewe
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 3 ай бұрын
Mbumbumbu
@LeonidasStephano
@LeonidasStephano 3 ай бұрын
Chukua hii jiulize wachezaji wote duniani wakiona umri umekata huwa wanatafuta timu ndogo kwenda kupumzika Simba ni kubwa sana acha akapumzike huko,
@BeniYaredy
@BeniYaredy 3 ай бұрын
Haji nyie wajinga hampendi kuambiwa ukwel
@nurdiniabdillahi3558
@nurdiniabdillahi3558 3 ай бұрын
Wewe na kansa ya hakili
@LucyMdoe
@LucyMdoe 2 ай бұрын
Kaka mwenda mtu na nusu
@ThomasNyambibo
@ThomasNyambibo 3 ай бұрын
Mwenda nakumbuka ulishawai kusema chama ameisha afukuzwe simba leo unalalamika
@Ommyblacktz13
@Ommyblacktz13 3 ай бұрын
Mchaga huyu hajui boli kabisa
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 ай бұрын
Hili jinga kweli kwaiyo misimu hii wewe umetoa nini?
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 ай бұрын
We kauze nyuma mpira huujui
@drankskhally7019
@drankskhally7019 2 ай бұрын
Huna lolote ww
@Ommyblacktz13
@Ommyblacktz13 3 ай бұрын
Mchaga huyu hajui boli kabisa
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,3 МЛН
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:51
EVA mash
Рет қаралды 3,9 МЛН
"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"
33:56
BBC News Swahili
Рет қаралды 179 М.
لماذا تحريرها كلها ممكن؟ - بودكاست مع تميم
3:46:56
КОГДА НОЧУЕШЬ У ДРУГА УЖЕ КАК 5 ДЕНЬ #друг #нариманшеф #cheflife #юмор
0:16
НАРИМАН ШЕФ ВСЕ БУДЕТ ИДЕААААЛЬНООО
Рет қаралды 2,3 МЛН
Необычная услуга в ресторане #shorts
0:18
Придумайте название 🤣🐓❤️
0:29
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 4,1 МЛН
Их чуть не выгнали из квартиры!
0:30
Интересные факты
Рет қаралды 806 М.