TULIKUTANA INSTAGRAM |NILIANZA KUJITEGEMEA NIKIWA MDOGO SANA| WANAWAKE WA KIMAREKANI NI WAKOROFI MNO

  Рет қаралды 13,964

Official Dating Assistance

Official Dating Assistance

27 күн бұрын

Wakatizo ameeleza safari ya maisha yake kutoka kuanza kujitegemea kimaisha baada ya kumaliza darasa la saba, maisha magumu aliyopitia mpaka kukutana na mke wake Mmarekani kupitia Instagram ambae alikuja kubadili maisha yake.
Kwasasa anaishi Marekani lakini ameeleza changamoto za utamaduni ambazo zimekua ni changamoto kubwa katika ndoa yao baada ya kuhamia Marekani.
Thank you Wakatizo for allowing this to be online
www.oda.international

Пікірлер: 90
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 24 күн бұрын
Mwenetu handsome na very humble. Siyo wale wakujifanya wanajua kila kitu.
@kennedymlawa3380
@kennedymlawa3380 23 күн бұрын
This guy is really..❤❤❤
@BarakaBitariho
@BarakaBitariho 24 күн бұрын
I love this interview. He was so innocent. Ila kama ninachoamini, kilichopangwa na Mungu hamnawa kukipangua no matter what. Hii interview is evident to this belief.
@alijuma7882
@alijuma7882 23 күн бұрын
Huyo kijana nimemsikiliza amesema neno moja la maana sana kusaidia jamaa zako na wazazi Tafauti na fikra za Wazungu kua kila Mtu ajitafutie mwenyewe Katika imani ya kiislam Mungu anatwambia mwanadamu atapokaribia kukata roho atamuomba Mungu amrudishe duniani ili akatowe sadaka Sasa haikutajwa kitu chengine chochote ila ni sadaka Kwahio msaada kwa watu wasiojiweza ni muhimu na Mungu anatia baraka kwenye kazi zako
@abdulyibrahim2125
@abdulyibrahim2125 25 күн бұрын
Jamaa kafunguka vzur nimependa
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 23 күн бұрын
Uyu kaka anaonekana ni mstarabu tuu courage kk yngu wanaume wa kiafrica wakifunze
@fatmasaaed144
@fatmasaaed144 22 күн бұрын
Ile neno this Man apewe uyuu bahati nzuri inamfata mtu mzurii mungu aendelee kukupa zaidi
@kennedymlawa3380
@kennedymlawa3380 23 күн бұрын
This young guy is so honest.May God bless him abundantly
@user-jm9ph6ou9h
@user-jm9ph6ou9h 24 күн бұрын
Ajiendeleze apate elimu au ajifunze biashara kwa umakini zaidi itamsaidia
@IbrahimKipaga-xj3lb
@IbrahimKipaga-xj3lb 19 күн бұрын
What a interview! The best ever 🔥
@agnettakamugisha4984
@agnettakamugisha4984 24 күн бұрын
Sijajuwa tangu afike Marekani anafanya nini na kama anaenda shule? Anasoma Kingereza? Tuwe waangarifu kutuma hela nyumbani. Subiri ujweke vizuri. Mke wako ana haki ya kukuzuia usitume hela.
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 24 күн бұрын
Mungu akitaka kukupa anakupa, congratulations 🎊 👏 💐 una bahati sana.
@RealtorZanzibar
@RealtorZanzibar 24 күн бұрын
Interview nzuri kaongea vizuri
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 24 күн бұрын
Kaka anafanana na mmarekan mwenyewe.mashalah
@jennifersongani2734
@jennifersongani2734 25 күн бұрын
Kaka upo vizuri
@FreeGod368
@FreeGod368 24 күн бұрын
Yaan bro mwanamke kuwa juu yako usijali kabisaa ilimradi unaish kwa amani anakusapot anakupenda na unaish vzur..mbona amekutoa kote uko
@joycebenjamin6017
@joycebenjamin6017 24 күн бұрын
Aisee nimefurahi kusikia hii interview maana ina vitu vya kujifunza kuwa maisha ni kitendawili,huyu kaka alikuwa hajui lugha hana maisha lkn mzungu amehiari yote lkn kwa ukijua kuwa wazungu wanapenda wewe nae unatoa siyo mzungu ndo awajibike ili maisha yaendelee kaa kwa kuwajibika sana.
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 24 күн бұрын
Mshkaji kama 50cent
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 24 күн бұрын
Interview ya leo ndo nmeipenda😂😂😂😂😂
@ericfelician7996
@ericfelician7996 25 күн бұрын
Wabongo roho mbaya balaa
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 19 күн бұрын
Ahahahahahhahaha jamaa unafurahisha sana lugha hizi dah
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 25 күн бұрын
Umepotea sana dada tutafutie watu kama apo nyuma kidogo ulijua kutufungua, kutufuraisha kipindi kilichangamka atar ,kutotoa ujinga namengine mengi tutafutie tena unapotuletea watu kama hivi❤
@mwanaidikingazi4222
@mwanaidikingazi4222 22 күн бұрын
Haki kweli Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 23 күн бұрын
He so humble
@samniza9015
@samniza9015 19 күн бұрын
Mungu ni mwema atafanikiwa tu.
@user-yl7cm2mf7e
@user-yl7cm2mf7e 20 күн бұрын
Jamaa mkweli sana
@MarthaZabron-v9b
@MarthaZabron-v9b 25 күн бұрын
Usimsahau maisha yako yote
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 24 күн бұрын
Hongera sana brother 🎉🎉🎉🎉🎉
@user-cc1mf2vg4w
@user-cc1mf2vg4w 14 күн бұрын
Asante sana kipindi kizuri, Mi binafsi najifunza kupitia hiki kipindi.
@mwanaidikingazi4222
@mwanaidikingazi4222 22 күн бұрын
SEMA Huyu kaka anakili halafu anahekima na busara sana kwanza kutumiwa hela nakufanya kweliiiiiii
@maimukanabora8751
@maimukanabora8751 24 күн бұрын
Kaka umenifurahisha sana lugha gongana
@MAISHAYACROATIA
@MAISHAYACROATIA 22 күн бұрын
Dah kaongea kiume sana mshkaji
@RithaJoseph-uq2kq
@RithaJoseph-uq2kq 24 күн бұрын
Jamani leo nimecheka Safi sana umeniferahizha
@ngwakamongateko8696
@ngwakamongateko8696 22 күн бұрын
Jamani hy kaka hawezi kujiendeleza ki- elimu? Natamani angesoma. Ajiendeleze, ingemsaidia kuongeza kujiamini.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 23 күн бұрын
We waambie wapambane waende huko wajionee Maana wabishi
@danielmartinKiondo-dq4jz
@danielmartinKiondo-dq4jz 21 күн бұрын
Wapate watoto na wawe na kuja huku mara kadhaa utaona tu mzungu atafunguka kuwasaidia kuendeleza huku maana najua wanapenda sana Africa na ndio maana wanatujua kuwa wengi wetu tu matapeli kwa sababu ni kweli wametapeliwa sana ila wanatupenda tujitahid zaidi tuwe wa kweli na waaminifu hawawezi kutuacha
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 24 күн бұрын
Just hope for the best, at the end of the day time will tell. Vumilia Kijana.
@SipeKato
@SipeKato 22 күн бұрын
Umeongea ukweli ndg utafte kibarua
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 24 күн бұрын
Daah dogo kanichekesha sana,Ila Safi sana
@user-tl9mx6sw4o
@user-tl9mx6sw4o 24 күн бұрын
Mmmh kunawatu wanabahati,. Mungu amtupi mjawake kwa kweli
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 24 күн бұрын
Umeonaee babaaqe alimqataaa
@deuskusaga8156
@deuskusaga8156 22 күн бұрын
Tuko pamoja shena😊
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 23 күн бұрын
Kweli, watu hatufanani, so tuchukuliane tu
@nsamakachanikicha1254
@nsamakachanikicha1254 22 күн бұрын
Anafurahisha huyu kaka
@beatriceminja2148
@beatriceminja2148 24 күн бұрын
Hahahaha, mshkaji kauwa hii interview 😂😂😂
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 24 күн бұрын
Watu wana bahati zao aisee
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 23 күн бұрын
Nimempenda ila kanichekesha,Yuko real sn
@KIMALEX255
@KIMALEX255 24 күн бұрын
Naenda kuopanda ndegeee😂😂
@luindabablui7213
@luindabablui7213 24 күн бұрын
😂😂😂😂 WAKATEEZO ON AIR
@cleopatrahenry7541
@cleopatrahenry7541 21 күн бұрын
Nimecheka maana mzungu alijinunulia pete ya uchumba na ndoa mwenyewe 😅😅😅
@timothykaiza327
@timothykaiza327 24 күн бұрын
Sema wanao walikuwa waaminifu hawakukuchomea wakabeba mzigo.
@jumawaziri8501
@jumawaziri8501 24 күн бұрын
story ya kufunza sana sana hasa vijana
@Abdul-MajeedMohd
@Abdul-MajeedMohd 24 күн бұрын
Nimemkubali xn
@zainabomar7236
@zainabomar7236 22 күн бұрын
umetufunza mengi kw kwel
@safiatahir9204
@safiatahir9204 24 күн бұрын
Nimeipenda interview hii nimecheka sana,Allah amzidishie
@kijweninawinnie
@kijweninawinnie 24 күн бұрын
Habari dada naomba kujua unatumia app gani wakati unarecord mf ni zoom,squastcast? Naomba msaada tafadhali
@Alfreadbrand
@Alfreadbrand 24 күн бұрын
Tiktok😂😂
@hedayamohammed2781
@hedayamohammed2781 24 күн бұрын
@marrysamwel596
@marrysamwel596 25 күн бұрын
Pambana ndg yangu ❤❤
@reginajohnmaghisa322
@reginajohnmaghisa322 24 күн бұрын
Mungu anabahati kupata mume wa kumkontrol.
@kasembomasele5918
@kasembomasele5918 24 күн бұрын
Nimependa story yako
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 23 күн бұрын
Maisha ya ulaya ni mahmudu familia yngu yote wako ulaya wananiambiya maisha ya uko
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 24 күн бұрын
Uyu jamaa anabahati sana
@lilyjones3584
@lilyjones3584 24 күн бұрын
Tunaweza kusema ana bahati! Ila mapito yake hayakuwa rahisi. Tunaamini kila mtu hapa duniani njia yake ilishaandikwa. Asante kwa elimu nzuri.
@kasembomasele5918
@kasembomasele5918 24 күн бұрын
Mmefanikiwa kupata watoto?
@GubraCity-dm5sx
@GubraCity-dm5sx 24 күн бұрын
Leo kiboko😂😂
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 19 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@timothykaiza327
@timothykaiza327 24 күн бұрын
Naona kofia ya black Amerika
@ReginaErnest-cf6ji
@ReginaErnest-cf6ji 24 күн бұрын
Huyo mkewe mchoyo n mtu asiye taka kusaidia ndugu wa mume hatki wapo watu wa namna hiyo hata wazungu wap wanatk wewe n yey tu family hapa
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 24 күн бұрын
Ndio utamaduni wao , ukitaka kusaidia ndugu zako olewa na weusi wenzako .
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 21 күн бұрын
Huo ndio utaratibu wa wazungu ndugu yangu awe mwanaume awe mwanamke nipo nje mwaka wa 23 huu tofauti na sisi waafrica utasaidia mpaka mjirani
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 25 күн бұрын
❤😊 Tatizo la Umbo Jike😢 Yani akikuzidi kipato basi we Mjinga N'kombe wake!utanyanyaswa hadi unapoteza Umme wako!
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 23 күн бұрын
Ni mateso
@kasembomasele5918
@kasembomasele5918 24 күн бұрын
Shena natamani usikie kicheko changu
@kasembomasele5918
@kasembomasele5918 24 күн бұрын
Shenanigans umebanwa kicheko MAP
@ginazngo4317
@ginazngo4317 23 күн бұрын
Kizazi hapo ndio shida mhh
@jonathanjohnsonshinji6175
@jonathanjohnsonshinji6175 25 күн бұрын
Jamaa anaongea ukweli hajikwezi kabisa
@FreeGod368
@FreeGod368 24 күн бұрын
Nimeona pia mshkaj mstaarab
@KIMALEX255
@KIMALEX255 24 күн бұрын
Uko vzur
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 24 күн бұрын
Nimempenda sana mwenetu yuko very humble.
@MadenaIphone
@MadenaIphone 20 күн бұрын
Dollar 3000 Sio milion 16 ila kaka anaelezea Vizur hafichikitu Nimependa
@jenifermakundi8230
@jenifermakundi8230 2 күн бұрын
Inawezekana ilifika kwa kipindi icho,maana kasema ilikuwa 2018
@user-zb1yr9gi3w
@user-zb1yr9gi3w 24 күн бұрын
Kuna watu humu wana wivu sana jamaa mungu kasha mpangia yatoke ndio mungu mpangaji ya yote🎉🎉🎉
@Alfreadbrand
@Alfreadbrand 24 күн бұрын
Hujatag insta yake au.. u tube yake
@reginajohnmaghisa322
@reginajohnmaghisa322 24 күн бұрын
Tafuta biashara ya kufanya home, otherwise utabaki kutawaliwa.
@jenifermakundi8230
@jenifermakundi8230 2 күн бұрын
Anatumia jina gani insta
@DestinysChild-nn7ug
@DestinysChild-nn7ug 10 күн бұрын
𝙹𝚊𝚖𝚊𝚗𝚒 𝚖𝚗𝚒𝚓𝚒𝚋𝚞 𝚑𝚒𝚟𝚒 𝚗𝚒 𝚔𝚠𝚎𝚕𝚒 𝚠𝚊𝚣𝚞𝚗𝚐𝚞 𝚑𝚊𝚠𝚊𝚙𝚎𝚗𝚍𝚒 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚑𝚞𝚜𝚒𝚊𝚗𝚘 𝚗𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚠𝚊𝚗𝚎𝚗𝚎 ????
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 10 күн бұрын
Sio kweli
@ericfelician7996
@ericfelician7996 25 күн бұрын
Ivi mwenzako akifanikiwa ndo mtie roho mbayaaa duu kaka maua yako
KAZI ZA MASHAMBANI MAREKANI | MAZUNGUMZO YA INSTAGRAM NA BLACK SINGAPORE
43:33
Official Dating Assistance
Рет қаралды 10 М.
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 16 МЛН
TULIISHI MIAKA MITANO TUKAACHANA | NILIKUA NAMILIKI KAMPUNI YA UTALII | MAISHA YA SERBIA
55:41
Taratibu Rahisi Za Kuja Ulaya
10:07
Maisha Ya Ulaya
Рет қаралды 3 М.
KAZI ZA KULEA WATOTO NA KULEA WAZEE UJERUMANI | MAPENZI YA WAZUNGU SIO YALE YA TELEMUNDO
55:20
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН