TUNDU LISSU, MAALIM SEIF SHIKAMOOOO

  Рет қаралды 47,593

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Tundu Lissu afunguka kuhusu Maalim Seif Sharif Hamad, asema anastahili kupewa shikamoo, amepikwa na amepika

Пікірлер: 98
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 жыл бұрын
Wewe Mhe Tundu Lisu ni tochi ya Taifa la Tanzania tutazidi kukuenzi wewe si tu mwanasheria mtetezi bali ni binaaadam wa miujiza ambaye Mwenyezimu kakupa ulizi wake. Mwenyezimungu azidi kukupa kila lenye heri na wewe na akuondoshee kila lenye shari na wewe Amen 🤲🤲🤲
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 4 жыл бұрын
Lisu, kuna mambo mengi nimekuwa nikiyafaham kupitia speech za lisu, asante sn
@abelzablon5977
@abelzablon5977 4 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni atukuzwe duani na mbingu kwa kukupa afya tele
@zakayoezekiel7500
@zakayoezekiel7500 4 жыл бұрын
Watu wa ccm akili zao zipo chini sana sasa kama hamumtaki lisu na wala hamumpendi kwanini mnamfuatilia kwenye maongezi yake acheni ushamba na ulimbukeni akili zenu zikoje kwanini msifanye yenu magufuli kasema kila mtu ajinadi awezavyo mnataka mini si mkae kuwafuatilia viongozi wenu washamba nyie
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 4 жыл бұрын
Salam zangu kutoka USA marekani ni mefurahi sana my.brothe lissu
@kassidpandu9806
@kassidpandu9806 4 жыл бұрын
Apo chake chake ndio ulipo marekani huwezi kwenda wewe subiri karafuu uchume
@helenibe9339
@helenibe9339 4 жыл бұрын
maalim Seif shikamoo baba kwa uvumilivu wako na kwa kushikilia Amani ya nchi yetu
@isimailimwawa2328
@isimailimwawa2328 4 жыл бұрын
Watanzania ote tumchague uyu mwamba imara ,CCM kwa huyu jamaa mtaisoma namba
@isimailimwawa2328
@isimailimwawa2328 4 жыл бұрын
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️ mabadiliko chanya , demokrasia na ajira kwa vijana
@kennedysuwa5910
@kennedysuwa5910 4 жыл бұрын
we shoga
@asajilekashiririka8523
@asajilekashiririka8523 4 жыл бұрын
Tumechoka na magufiri
@hamisrashidi6922
@hamisrashidi6922 4 жыл бұрын
Naona ccm munaumia sana
@danielmali1568
@danielmali1568 4 жыл бұрын
Wana ccm wanatangaza amani wameficha mapanga acha kutufanya maboyoyo
@farhiyathani4810
@farhiyathani4810 4 жыл бұрын
Maalim sefu shikamoo baba
@nardleonard5967
@nardleonard5967 4 жыл бұрын
An mzeee lisu w utaongea sana lakn jua sisi atuwez kukupa nchiii ata kama ukifanya nni an trust we cant do so because ulivyo kuwa nje ulituvua nguo na hakuna rahisi mwenye sifa hyoo toka hii dunia ianzee alaf leo unarudiii unataka kuraa,hivi watanzania unatuonaje asee kama hatuna akili hvii, jua tunakumbuka yotee ulio fanya uku uliko kuwaa na sisi tumekupa kisogoo.MAGUFULI OYEEEEEEEEEEEE🤕
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
una mavi kichwani huna akili
@mankialema6490
@mankialema6490 4 жыл бұрын
Mpake mafuta kwa mgongo wa chupa Si nyie mlikuwa mnatukanana Leo unajikomba kisa update urais Huna nyimbo mzee
@papayatnzania1005
@papayatnzania1005 4 жыл бұрын
Utaisoma number October😁😁😁😂😂🤣🤣
@benefaxadkarugila8798
@benefaxadkarugila8798 4 жыл бұрын
Chamtema kuni watakionaaaa!wacha waisome namba eheeee!ccm mbele kwa mbele
@nyangwanyangwa5527
@nyangwanyangwa5527 4 жыл бұрын
Good
@gockoomzawa3389
@gockoomzawa3389 4 жыл бұрын
Watu kama JPM ndio wachache acha kutuzuga tundu lisu
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
una usaha kichwani but soon utajua
@mshindimshindi9120
@mshindimshindi9120 4 жыл бұрын
Wewe usimfananishe MAaalim na....
@OmarOmar-tf6ph
@OmarOmar-tf6ph 4 жыл бұрын
Ukitaka kumjua kama tundulisu anaenda kinyume na magufuli skia hapa magufuli alisema musinichagulie shikamoo naleo anamwambia maalim shikamoo siasa bwana huyu jamaa nitundu kweli halikai maji maana anaujua maana ya upinzani vilivyo haswaaa
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
Una mavi kwenye brain wewe huelewi
@kassidpandu9806
@kassidpandu9806 4 жыл бұрын
Ccm hatutaki shikaamoo wee mpe shikamoo shauri yenu
@buluush9741
@buluush9741 4 жыл бұрын
Mutakufa nachuki zenu mbwa nyie😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@kassidpandu9806
@kassidpandu9806 4 жыл бұрын
@@buluush9741 kaka anachofanya magufuli kila mtu anakiona hata wazungu wamekoma nae na korona, leo tanzania ni zaidi ya ulaya, ni mpumbavu gani hawezi kumpa kura kama si ndondocha
@buluush9741
@buluush9741 4 жыл бұрын
Kazungumzia ukomavu wa siasa na kufunguwa pamoja navitisho kufanyiwa kwa mwana siasa basi kwa tanzania hii hakuna kama maalim sef sharif hamad mukubal mukatae yeye hakugusia mamb yamaendeleo hapo #SOMAKICHWACHAHABARI_KABLAKUINGIANDANIYAMADA
@kassidpandu9806
@kassidpandu9806 4 жыл бұрын
@@buluush9741 tamaa tu ya madaraka
@Papa2thaE
@Papa2thaE 4 жыл бұрын
Hiyo ni opinion yako tundu Lissu . Watu wanawekwa dentition kila nchi duniani. Wacha kamba.
@japhetdaud3781
@japhetdaud3781 4 жыл бұрын
Limetimia la Jembe Magufuli,kuwa shikamoo hiyoo 😂😂😂😂
@agustinobanga7861
@agustinobanga7861 4 жыл бұрын
Ivi kwann asitangaze Sera zake kila Mara kulalamikia Ccm
@abelzablon5977
@abelzablon5977 4 жыл бұрын
Tupatanisheni kama taifa vyama visitutenge
@gogoidy2183
@gogoidy2183 4 жыл бұрын
Tunataka aongelee uzalendo sio utumbo kamahuo
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
Huelewi wewe kichwa majii
@barnabasisirael367
@barnabasisirael367 4 жыл бұрын
Tindulisu ng'ang'nia kombe hii nimeipenda angalia na wewe kzbin.info/www/bejne/bJvZYp-cZbuFopI
@athumankigomba427
@athumankigomba427 4 жыл бұрын
Katumwa ajekupandikiza chuki na mashetani watanzania kuweni making Sana'a huyo lissu Anaabudu shetani Tanzania mungu muemakini nae
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
Una mavi kwenye brain usingesema hayoo
@mshindimshindi9120
@mshindimshindi9120 4 жыл бұрын
Shetani weye unayeshabikia dhambi ya mauaji... Tundu Lisu hajawahi kufanya baya Nchi hii... Ametoa yaliyo moyoni mwake na mtizamo wake kama msomi. Nyie mnaotaka kumwabudu mtu hata akitoa maoni ya hovyo..
@helenibe9339
@helenibe9339 4 жыл бұрын
Amani italetwa na haki Magufuli akijaribu kufanya vitendo vya kihuni km alivyofanya kwy uchag wa serikali za mitaa vya kuengua wagombea wa upinzani asilimia 99 kihuni basi mapambano ni lazima kutafuta haki hii ni lazima aambiwe wazi ili asithubutu hakuna nguvu za dola zilizowahi shinda nguvu ya umma duniani mifano iko wazi Burkina faso, misri, Libya, Tunisia, Sudan
@kibonaamenye6878
@kibonaamenye6878 4 жыл бұрын
JPM2020 alikataa kilasiku kutoa shikamo
@bigmuu4943
@bigmuu4943 4 жыл бұрын
hem lete sera tukuelewe bwana unaongea utumbo tupu
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
una corona kichwanii
@jumanneibazu9086
@jumanneibazu9086 4 жыл бұрын
Tunanata tukushushe mpaka ukamuombe heri mweshiwa raisi Wetu kipenzi wawatanzania John pombe magufuli anayeitetemesha dunia nalazima tukunyoshe pumbavu zako shoga Lisu
@sagutihussein3697
@sagutihussein3697 4 жыл бұрын
Maskin huyui nn maana ya dunia nzima
@athumankigomba427
@athumankigomba427 4 жыл бұрын
Mani asiejua kama wewe kibaraka tu Wliokutuma kumbuka Tanzania c nchi ya mchezo
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
wewe ni chizii
@fredyndomba53
@fredyndomba53 4 жыл бұрын
Dd
@frankminga9307
@frankminga9307 4 жыл бұрын
TISS acheni kucomment mambo ambayo hayawahusu naona mmejaa humu
@abdukadiliissa8076
@abdukadiliissa8076 4 жыл бұрын
Wamejaaa
@mabubambassa2333
@mabubambassa2333 4 жыл бұрын
Acha uongo, danganya wanafiki wenzio. Mpumbaze maalim na hao act wenzake ili uwatumie kama mtaji wa kufikia malengo yako muongo mkubwa na mnafiki wewe.
@sagutihussein3697
@sagutihussein3697 4 жыл бұрын
Polen sn ccm Mlitaka kumuua mungu hajapenda Kazi mnayo
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
wewe una usaha kicwani huna akili mwenye akili hawezi kusema hayo
@abubakaryomary3985
@abubakaryomary3985 4 жыл бұрын
@@sagutihussein3697 kazi wanayo ccm wataisoma namba
@kassembotz1421
@kassembotz1421 4 жыл бұрын
Na Edward Lowasa je???😆😆😆😆
@ernestmagunus3788
@ernestmagunus3788 4 жыл бұрын
Mwendelezo wake unapatika Maana matangazo yali katwa gafla sijui tatizo nini
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 4 жыл бұрын
Wanakata kwa sababu hawapendi kuambiwa ukweli..wakiona Magufuli anasemwa vibaya tu wanazingua.
@jumanneibazu9086
@jumanneibazu9086 4 жыл бұрын
Hivi wewe bwege Lisu kwaakili yako ukilala usku naakili zako zakilisasilisa unafikilia Kuwa utakuja Kuwa rais hakiyamungu Kama ulichukua Hera kwahao mabeberu hakiyanani watakuinamsmisha tena ss hatukutaki magufuli anatosha 2040
@justinekashiriririka8690
@justinekashiriririka8690 4 жыл бұрын
Kanye ukalale dogo huna lolote ikiwezekane kakojoe kabisa huna swaga
@ernestmagunus3788
@ernestmagunus3788 4 жыл бұрын
mbona unalia sasa
@aliboss2736
@aliboss2736 4 жыл бұрын
Ukiwa na akili ya kondoo uwezi muelewa lissu kwa ww n kondoo tu
@nuruontv6541
@nuruontv6541 4 жыл бұрын
Mwaga sera.Duh hata Kijiji huwezi kiongoza.Wakalia kutafuta huruma tu na hitoria za uongo zilizojaa unafiki mtupu.
@reggeamusic704
@reggeamusic704 4 жыл бұрын
Jifunze kuandika vizuri
@benefaxadkarugila8798
@benefaxadkarugila8798 4 жыл бұрын
Kuwekwa kizuizin ni sifa?huyu bwana kumbe lisasi bado ziko akilini, watanzania hatudanganyiki, wambie watanzania utawafanyia nn na siyo kutueleza historia za watu!
@salehali2380
@salehali2380 4 жыл бұрын
Wewe kumbe ni mwehu. Hawa watu sisi tunawaheshimu na tuawwaenzi kwa mchango wao. Weka heshima sana na wazee wa watu.
@ernestmagunus3788
@ernestmagunus3788 4 жыл бұрын
unamjua huyo jamaa lakini?
@najimmohamed783
@najimmohamed783 4 жыл бұрын
Hamna lolote apo
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
toa wewe ulonalo corona wewe
@najimmohamed783
@najimmohamed783 4 жыл бұрын
@@pandungozi1072 wafuasi wajinga n kama wew huna hoja umekalia kuandika upumbavu corona ni nn sasa ndo ujue wew na kiongoz wako vichwa maji😂😂
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 жыл бұрын
kichwani mwako mna mavi huwezi ukajielewa
@makoyemadale8438
@makoyemadale8438 4 жыл бұрын
Huna jipya bwege wewe kama umetumwa kuja kutuvuruga utasubili sana
@emmapaul1766
@emmapaul1766 4 жыл бұрын
Choko
@benefaxadkarugila8798
@benefaxadkarugila8798 4 жыл бұрын
Nmeamin huyu bwana anapaswa kwenda kuchunguzwa akili yake, kama watu wamegeuka kuwa taasisi, sijuh tunaelekea wapi, kumbe ndiyo maana kawaongoza wenzake kubadili wimbo Taifa la Tanzania kuwa wa Chama chake, nawasih watanzania wenzangu kuwa makini na huyu bwana, kwanza alisema anatembea na risasi mgongoni ambazo ziliwashinda wazungu wake kuzitoa, kwahiyo tunadanganywa mchana kweupe kuchagua kiongozi mgonjwa wa mwili na akili, Aliselema piga kazi sisi tuachie huyu anayejihita mtetezi wa waongo,huyu mgonjwa hawezi kuwa mtetezi wa wanynge, mwache mzee atatukuta kwenye uwanja wa siasa,tutamuuliza wimbo kama aliutunga baba yake!
@rosetreffert6727
@rosetreffert6727 4 жыл бұрын
Kichaaa tu
@husseinmillinga1920
@husseinmillinga1920 4 жыл бұрын
Utakufa kwaroho mbaya yako
@benefaxadkarugila8798
@benefaxadkarugila8798 4 жыл бұрын
@@rosetreffert6727 omeona ee!
@nuruontv6541
@nuruontv6541 4 жыл бұрын
Kweli inabidi utoe shikamoo maana una akili za kitoto.
@dailymotivation6484
@dailymotivation6484 4 жыл бұрын
Nawashangaa sana mtu kutoa tathimini na mawazo ya fikra zake alafu mkaanza kutoa matusi mapungufu uliyonayo wew vile ambavyo umeyaficha yako nakushangaa kutoa matusi kwa mtu anayetoa ya kwake adharani ukitafta wagonjwa wa akili wenda na ww ni mmoja wapo watanzania tuwe walendo kuilinda amani ya Nchi yetu sio matusi kweny comment
@papayatnzania1005
@papayatnzania1005 4 жыл бұрын
Bule kabisaa
@Bam268
@Bam268 4 жыл бұрын
Papaya wee kweli papaya kasome kiswahili kwanza inainekana wee ni mburundi hio sio bule ni BURE
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 4 жыл бұрын
@@Bam268 ni kingereza kaandika.
@thewayreuter2432
@thewayreuter2432 4 жыл бұрын
Hahahaha...unatumiwa na wazungu Distablize and bring disunity in TZ Hahahaha...we love our neo Ethiopia in this coronazation new colonization formula.. hahahaha
@shabanhassan4272
@shabanhassan4272 4 жыл бұрын
Dah!! Hamadi rashidi kawekwa kiziwizini. Juma duni haji kawekwa kiziwizini Lakini jiulize kawekwa kwa ajili ya masilahi ya wananchi au maslahi yake?? Aliiba taarifa ya Mzee Jumbe iliyokuwa ikihitaji serikali tatu na akaipeleka kwa nyerere. Je hapo alikuwa anapigania watu au alikuwa anakipigania ccm?? Ukitaka kudanganya basi tafuta njia sahihi ya kufanya hivyo.
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 376 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,2 МЛН
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 6 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 16 МЛН
Glow Stick Secret Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 18 МЛН
NJE YA BUNGE: Maoni ya Tundu Lissu Sakata la Mchanga madini
3:44
Mwananchi Digital
Рет қаралды 44 М.
SHANGWE LA MAALIM SEIF BAADA YA KUTANGAZA KUHAMIA ACT WAZALENDO
7:14
Polisi Dodoma yawashikilia watatu tuhuma za kubaka mama na bintiye
3:23
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2,5 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 511 М.
KAMATAKAMATA YA POLISI WA KENYA YAMSHTUA DC WA ROMBO APIGA SIMU
5:08
Mwananchi Digital
Рет қаралды 801
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,2 МЛН