Msigwa anatrma sumu ase uko vzr kamanda✌️✌️✌️✌️✌️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Expedito251229 күн бұрын
Safi sana Msigwa kwa kutoa elimu nzuri kwa wananchi.
@namsifubwana215229 күн бұрын
Hongereni sana wakuu🔥🔥🔥🔥🔥
@rastheunique29 күн бұрын
Salaam sana Wana Ughandi tupo nanyi sambamba katika mapambano yanayoongozwa na Tundu Lissu
@lucaschisamalo285229 күн бұрын
Jumbe uko vizuri umeongea vitu vya point Sana Dodoma na singida ndo mibuyu ya ccm wanapopoa tu
@lukasmnyeti301629 күн бұрын
Ccm ni zaidi ya jambazi ukiwaangalia ni kama watu lakini siyo watu
@walidmgonja364426 күн бұрын
@@lukasmnyeti3016wewe pia unaonekana ni jambazi,Malaya na mwenye roho mbaya kama ccm
@markmuna127629 күн бұрын
Hongereni kufka ughandi
@PastorBiluko-wl1ex20 күн бұрын
safi sana
@user-nr2ux1cm5b25 күн бұрын
Msigwa ahsante kwa kunifungua🔨🔨🔧🛠️🗝️🗝️🗝️
@fredypastoryutd486429 күн бұрын
Duh msingwa ameshusha nondo za hatari mnooo... Wengi tulikuwa hatuna elimu hii
@ulomirabiel698029 күн бұрын
Msigwa umefanya vizuri weka maslahi ya chama mbele, huo ndio ukomavu.
@bongo3929 күн бұрын
Hali ishaharibika tayari tundu vita tayari mbowe hakutaki anataka yeye awe mwenyekiti wa maisha asiwe na mpinzani atakae mpinga msigwa washampiga na chini bado wewe tuu
@TegemeaFutemakatifu29 күн бұрын
Kwani Msigwa walompiga Chini nani? Kwani nyie Ccm Wenyeviti wa Mikoa wanadum milele? Au hujui Msigwa Alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Nyasa?
@dionismutayoba354228 күн бұрын
Uliyetoa hiyo comment hujitambui,unaloloma tu
@NkoTya929 күн бұрын
Sera nzuri sana lakini bado tunatawaliwa na uoga
@imanimaulid830417 күн бұрын
Mi hofu yangu ni kwa huyu askofu mwanamapinduzi hv neno la mungu na siasa wapi na wapi ameacha kanisa anapiga misele jamani duu hii kali
@veronicaadrof824429 күн бұрын
Inaitajika elimu kama hii ya mheshimiwa lisu maana inaamusha mioyo ya watu kukata tamaa kunaisha ujue sehemu nyingine wanaona hata wakipiga kula kwa mugombea wa chadema anatangazwa wa ccm hali hii inakatishana tamaa kuendelea kupiga kula lakini kwa elimu hii ya lisu naona watu wanapata matumaini tena na nguvu ya kupiga kula
@IssaAlly-lp4uf28 күн бұрын
Asanteni kwa kutufungua akili
@malkavoice257027 күн бұрын
Msigwa tena jamani! Smetokaapi mbona juzi tu alikuwa anajipaka mavi mwenewe kule jimboni kwake?!!
@bennymatinde451429 күн бұрын
mpiga picha use unaonesha na watu waliopo kwenye mkutano unammwonyesha tu anaeongea hii siyo sawa
@HenryCastuli-jz3cx29 күн бұрын
Mpiga picha nihana uzoefu anajifunza kamaanauzoefu awe anawaonyesha na umati wa watu aunijamii ya ccm
@charlesmnuo329229 күн бұрын
Mmmm jambo tv siwaelewi mmekaza camera jukwaani tu wananchi hamuwaonyeshi au mkutano hauna watu?
@imanimaulid830417 күн бұрын
Enzi za Nccr mageuzi Kuna askofu alisema mrema akishinda anaacha uaskofu tusijisaulishe
@dismasmtui72929 күн бұрын
Kwa hiyo rufaa ya Msigwa imeshasikilizwa au ni kutaka kuwagombanisha Lissu na Mbowe?!
@deohank599528 күн бұрын
Wenye akili hawagombani wanapishana tu. Bali mpumbavu ndo hugombana
@IssaAlly-lp4uf28 күн бұрын
Tena na kodi za majengo kukatwa kwenye umeme kila mwezi 1500 zinaenda wapi nyumba ngapi zina katwa tozo za majengo pesa inafanyia nini
@rutambivalentine29 күн бұрын
Kimenuka
@AlfredAlfred-yd2mg25 күн бұрын
Ccm kama freemason kila dhambi wanazo . Mungu atawaangamiza Kwa kuibeba dunia
Jaman Ya.bwana.iwe Pa m oja.msitoane.mamba.mabaya.yesu.yu.ndani Yetu Ss Sote
@willymgaya761829 күн бұрын
CCM mnatuangamiza . Mnapeleka wapi fedha za kodi mnazokusanya na mnazokopa . Malori yenu yanauwa sana watu MBEYA. Barabara ya kuchepusha malori yasipite mjini mmezungumza miaka mingi sana. Oneni aibu kulaghai wananchi miaka mingi huku wakiendelea kupoteza ndugu zao. Ajali kila kukichwa, inasikitisha sana.
@evelina962129 күн бұрын
Ta,nga Za Posho.kwa Wenye.viti.vijiji.wameonewa.mwaka Mingi
@lucaschisamalo285229 күн бұрын
Leo nimefurahi Sana kukuona nilijuwa basi tena unatuacha msigwa niliumia Sana juzi nakuomba usihame chadema kama uliweza kukataa hela za mwendazake Leo hii unaanzaje bado tunakuhitaji mzee
@LinusAmanimbeye29 күн бұрын
Huo ndo ukomavu wa siasa ccm walitoa mimacho kuwa tayar twapta nae juu Kwa juu
@mariaanthoniangowi937629 күн бұрын
Uyoooo Chawla WA CCM akili kama matope ; waTanganyika tulishaamka
@user-ig3bu6lb5i29 күн бұрын
Hiyo njaa.utafanya nini?
@deogratiusdonald512329 күн бұрын
Hivi kwaniniii? Jambo camera yenu huwa inaonyesha viongozi pekeee? Kwanini huwa hamuonyeshi wananchii wanaosikiliza mkutanoooo??
@AllyMandunda-tj9jc29 күн бұрын
Polisi mmepiga kikokoto unatarajia afanye nini. Yaani hayo yataendelea hadi 2025. Mwakani ccm mtapigwa tu
@FelixAbel-fm8lq29 күн бұрын
Mbona ninyi miccm mlisema mkipoteza watu polisi wasiwatafute? Kwani yule fala polisi wamemkamata?
@user-mo3ik6go6r29 күн бұрын
Huwezi kuchukua mtihani wa mtoto hulipe Hera ya mrizi majengo maji na umeme
@mariaanthoniangowi937629 күн бұрын
waTanganyika bwana hatutaki Tena kusikis Tanzania
@JosephuSwai29 күн бұрын
Apo msigwa umenena jambo LA maana sanasana mtendaji mkurugenZi mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa jaji mkuu msajili wa vyama IGP wanapatikana _?
Mpiga picha hutufai. Mbona huonyeshi watu unaonyesha anae ongea tu? Mikutano yenu haina watu?
@evelina962129 күн бұрын
😮vijini.posho.wapate.nguvu
@BonaBonala-bp5qm29 күн бұрын
Kwa ujumbe huu wa baba Askofu ccm atareta vita ya kimbari ya Zanzibar na tanganyika tutauuwana kwa ubaguzi wake huyu mrembo Mh peekee tz ajawai tokea toka inchi izariwe
@kaaakwakutuliaa517929 күн бұрын
Minikajua mishahara kwa wenye viti
@user-zy4rr9iv3m29 күн бұрын
Toeni elimu tatizo watu wetu hawaelewi
@BonaBonala-bp5qm29 күн бұрын
Mimi simwiti mama namuita mzanzibar na sio mtanganyika haruhusiwi kuishi tanganyika ni mwanamke hafaii kutuongoza waisramu duniani labda wakristo watampenda wana manabii wakee
@faustinebahenobi341228 күн бұрын
Kweli
@walidmgonja364426 күн бұрын
Mbona wewe mrundi unaishi Tanzania na hakuna anayekughasi mkundu wewe
@mariaanthoniangowi937629 күн бұрын
CCM si simu tunisawa na kunywa maji ya betrii
@enockfumbuka684328 күн бұрын
Serikali inatukomoa afadhali kuliko kuishi na viongozi Matapeli
@faustinebahenobi341228 күн бұрын
Ww chakufanya muwachague viongozi wengi kutoka chadema (upinzani) af utaona
@mariaanthoniangowi937629 күн бұрын
Usiyetosha niwewe Chawla WA ccmmshenzi ww
@joachimkalungwana865429 күн бұрын
Kwani huyo aliyeshindwa uenyekiti Nyasa kaja huko Kuna Nini?
@user-fr7jj1bo7y29 күн бұрын
kwahiyo akishindwa uchaguzi haruhusiwi tena kuhudhuria mkutano wala kuongea ?? akili za kiccm hizo
@festokemibala583229 күн бұрын
Mambo mengine bwana? Tumeambiwa Msigwa kajoin ccm sasa hapo kwa Lissu ametafuta nini? Msituchanganye, mnafanya watu wasipige kura
@TegemeaFutemakatifu29 күн бұрын
Hajashindwa, wamepokezana Madaraka, huko yupo anatumikia Chama Chake,Nini kimekushangaza?
Ni kweli ndugu ila usitishike,huyu siyo askofu bali ni wale majambazi wanaokimbilia katika siasa
@user-ig3bu6lb5i29 күн бұрын
Hivi wewe nimwana siasa au nini huko upande gani?
@innocentmleli119629 күн бұрын
Basi ni wachumba hao
@user-vl4rz6lf6d29 күн бұрын
Asikofo anatetea maslahi yake njaa kali unliabisha Kanisa lo aibu gani sasa kwa taarifa unatetea upumbavu inachosema ni upumbavu mtupu hampati kitu hamshindi ngo
@helencyprian874529 күн бұрын
Pole
@evelina962129 күн бұрын
Chedema Wenye.viti.vijij Ndio Wenye.nguvu.rais.mawa ziri.wote.toka.:vliji ni.watangazwe.pos ho Ndio.chazo
@hssanrubota389129 күн бұрын
Kweli maisha ni magumu sana tena sana lakini hizo sela za matusi hazikubaliki kumwambia mtu hana akili hiyo siyo sera hayo ni matus
@Bboy-ek8vn29 күн бұрын
Askofu unajihusisha na siasa mshenz we
@TegemeaFutemakatifu29 күн бұрын
Mbona Ma Askofu wanaoshiriki Ccm hamuwashangaagi?
@ephraimkalanje710529 күн бұрын
Matusi haya utoayo yanamuhusu na Askofu wenu Gwajima na wengine mlionao huko CCM?
@bonifacemkanga630229 күн бұрын
Askofu wa kanisa ganiiiii ushapotea wewee
@user-fr7jj1bo7y29 күн бұрын
angekuwa amevaa shati la kijani angekuwa hajapotea? aliyepotea ni Gwajima aliyeoba kura posho za ubunge zimemfanya akae kimya huku watanzania wengi tukiumia
@user-ig3bu6lb5i29 күн бұрын
Unajua unacho kiongea askofu?
@user-rw7ww2yd7i29 күн бұрын
Askofu hata kama Kuna tatizo kubwa vipi huwezi kuhamasisha vita hapo hakuna askofu kabisa
@TegemeaFutemakatifu29 күн бұрын
Wakishiriki mikutano ya Ccm mnawashangilia, wakishiriki ya Upinzani mnawashambulia, Poleni
@LuciaAgustino-pt5mg29 күн бұрын
Mkuu mzingwa uko safi oijana wetu
@TegemeaFutemakatifu29 күн бұрын
Amehamasisha vita gani?
@gangan461829 күн бұрын
Kwa sasa hatutaki kuchezewa... na MaCCM, dah ni zaidi ya miaka 60 mtu amezeeka.
@silasngoya942229 күн бұрын
Askofu kwenye uaskofu hutoshi na kwenye siasa hutoshi. Bahati mbaya hujui kwamba hutoshi !