Рет қаралды 21,114
TWAHA KIDUKU AMALIZA UTATA KUPIGANA na MWAKINYO, SAKATA la DULLA MBABE - "UTAKUJA KUFIA ULINGONI"
BONDIA Twaha Kiduku baada ya kupoteza pambano lake mkoani Mwanza amerudi tena na anatarajia kupanda ulingoni Desemba 26, 2023 dhidi ya Mohamed Sebyala katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar.