Kila la kheri mkuu katika uongozi wako....Mungu akuongoze vyema
@tanzanite99442 жыл бұрын
Big Up Majeshi yetu, jitahidini Tanzania iwe na jeshi bora Africa.
@williamkeita15192 жыл бұрын
Mungu awape kila la kheri mkuu wa majeshi mnadhimu na Raisi Samia suluhu Hasan,muweze kuimarisha jeshi la Tanzania kuendana na majeshi ya ulinzi yaliyo piga hatua.
@marylibaba25892 жыл бұрын
AWIIII AWAAAAA!!!!! KARIBU SANA MKUU WA MAJESHI .
@Sadock_artist Жыл бұрын
Mungu azidi kulinda jeshi letu amin
@abbassalum18642 жыл бұрын
Mungu ambariki kwa kazi yake Mpya CDF wetu.
@elizabethmvumu18812 жыл бұрын
Mungu awaongoze viongoz wetu
@machasofficialsite62212 жыл бұрын
Nimetamani sana kuwa mwanajeshi basi tu
@dd-yc1mw2 жыл бұрын
Ila mtunzi wa huu wimbo wa taifa letu la Tanzay,Mungu ambariki sana tena.
@PeterZacharia-zh7dd Жыл бұрын
duh!! Co pw
@elizabethmvumu18812 жыл бұрын
Mama Samia naomba uangalie swala la ajira kwa jicho la tatu maana Sasa hv tunaitwa kwenye interview lkn watakao ajiriwa tayar wanajulikana kisa tu wanawatu wakushka mikono na kiwavuta,Tusio na watu huko juu tunateseka mama,From 2014-2022,mtu huna ajira kweli jaman,So sad.
@josephisack87872 жыл бұрын
Nchi ya hvyo sana watu wanatetea matumbo Yao tu,.
@emmanuelierasto87502 жыл бұрын
Tzd yenye uhulu
@isayamapolu16382 жыл бұрын
Mavi
@gabrielmuchangi7318 Жыл бұрын
Embu
@MahidAli-jm6ey4 ай бұрын
Good
@bujashidaniel55374 ай бұрын
Umefanana na wa South Africa 🇿🇦 coz mamdera and Nyerere walkua friends
@ismailjuma99722 жыл бұрын
Yaan tunaburuzwa kwel Africa 🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️ angalau wangevaa wakiw spital pia inatosh mana uko kw mabeberu tunaowafata wanafanya hivyo saiv
@josephisack87872 жыл бұрын
Wananchi wanataka maendereo bhna ,.hzo nyota bila maendereo na uzalendo ni sawa na kaz bure
@tumlakimwaitumule2 жыл бұрын
Kwaiyo ulitaka mkuu wa majesh avalishwe maendeleo au? 😂 Mbona vitu haviusiani?
@bennyceaser87962 жыл бұрын
si ndio hapo!? yaan ndio tatizo la kuvamia tukio tu bila kujua anaongea nni
@tanzanite99442 жыл бұрын
Kichwa kibovu, kazi ya jeshi ni kukulinda sio kukuletea mandeleo. Unataka maendeleo kwanini usilime? Mashamba hakuna?
@ismailjuma99722 жыл бұрын
Jamaniiii Tanzania tunamuiga nan saiv🤔🤔🤔🤣🤣🤣 au Korea kaskazin 🤔🤔🤔 mana uko ulaya kunako ayo magonjw ya korona hawavai mask saiv
@Eldiablo_692 жыл бұрын
Nchi huru hii unafanya utakayo. Usivunje sheria tuu
@tumlakimwaitumule2 жыл бұрын
Kwani mwanzo mlikua mnamuiga nani? Yani hamtak kuamini kua nchi ipo kwa kiongoz mwingine saizi😂
@isayashayo47772 ай бұрын
Rais ni kiongozi mkuu Sana ila kwenye kikao naye anaongozwa hakika BWANA NDIYE MUNGU
@daudirobert73852 жыл бұрын
Mh Makamu wa Rais sijamuona Nakupongeza mkuu wa majeshi kwa kuapishwa kwako kulitumikia Taifa letu pendwa