Nyie wehuu hakuna la kuongea wakati hamjaona mkataba. Machambuzi ya tz yahovyo sana
@hassanabdala7383Ай бұрын
Wachambuzi wa Uto habari zao zinaegemea upande mmoja
@lonesomekabora5547Ай бұрын
Hiyo kuheshimu mkataba unathibitisha vipi kisheria km kipengele hicho umekiuka?
@hamisikapute598Ай бұрын
😊mbona Simba vurugu nyingi mwaka huu, ila waandishi mnawatetea; Lawi, Kagoma , Valentino na sasa Awesu wote na malalamiko
@user-gp3pm4qp5yАй бұрын
Mimi timu nazitetea kwa sababu mchezaji unapomnunua unampa mkataba na haijalishi atapafomu kwa kiwango kizuri au la na akiuumia mwaka mzima kama kramo utalazimika kumlipa sitahiki zake zote kwa hiyo suala la kuweka kross kubwa
@kassimkingu5512Ай бұрын
Wachambuzi nyie bwana yaan hamjielewi kosa aweso kwenda simba basi.