🚨Simba 4-0 Fountain Gate fc,Tathimini dkk 90,Je tayari Simba imeshajipata? au bado.

  Рет қаралды 15,430

mtanange tv

mtanange tv

Күн бұрын

Пікірлер: 49
@hassanomar8157
@hassanomar8157 2 ай бұрын
Simba nguvu moja
@fadhilimashaka2728
@fadhilimashaka2728 2 ай бұрын
Msimu uliopita timu hizi hizi zilikuwa zinatusumbua sana kila mechi kwetu ilikuwa fainal. Sasa hv wanasema sio levo zetu tunawaonea ndio mjue mnyama sasa hv amebadilika ni moja ya hatua kuzionea hizi timu.
@omarimziya390
@omarimziya390 2 ай бұрын
Zamoyoni anachuki binafsi na simba kuna wachezaji wakistaaf wanalazimisha wapewe nafas ktk vilabu vyao isipotokea hivyo bas chuki inachukuwa nafasi yake🎉
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 2 ай бұрын
Sahihii kabsa sio hao 2 hata viongozi wa zamani baaddhi yao wanachuki
@KoroshoKorosho
@KoroshoKorosho 2 ай бұрын
Akili yake haina akili
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 2 ай бұрын
kweli kabisa chuki binafsi zinamtesa tu
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 2 ай бұрын
Mimi Simba, ila gari bado halijawaka. Likiwaka mtaongea sana na bado.
@AshaShariff-lr6ry
@AshaShariff-lr6ry 2 ай бұрын
Sasa mbona yanga mnaisifia bila kujua wamecheza na nani. Sifa tele ila simba wamecheza na vibonde wkt vitalO na hao wapinzani wa leo wapo bora klk hao vitalO
@adamiddymbali402
@adamiddymbali402 2 ай бұрын
yani kuna watu km matako kweli......simba ikishinda magori mengi timu bado ila yanga ikishinda ata moja inaonekana imekutana na timu nzuri acheni ufala.......mtu akipata matokeo mazur mpen maua yake.... acheni unafki
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 2 ай бұрын
sahihi kaka wanafiki tu hao
@thobiasmwambeta6990
@thobiasmwambeta6990 2 ай бұрын
Mzee ndio walewale anachuki na simba
@EmmanuelKiamba-o9b
@EmmanuelKiamba-o9b 2 ай бұрын
Tunakuheshim sana zamoyon ila usibeze ivo tim yetu
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 2 ай бұрын
Kweli, hawa wadogo hawatuwezi.
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 2 ай бұрын
Mukwala ni mgeni hii ligi mnapochambuwa mpira mlikumbuke na hilo.. kinachowasaidia Yanga na nikwamba washambuliaji wake wanauzoefu na hii ligi hata mashaka hana ugeni na hii ligi mm naimani kubwa na Mukwala atawanyamazisha tu soon..
@why-ir8zl
@why-ir8zl 2 ай бұрын
Upo sahihi golden boy endelea hivyohivyo ili wasibweteke
@MuslihiHassan-bi2nj
@MuslihiHassan-bi2nj 2 ай бұрын
Zamoyoni mjinga mjinga sana
@TumainiMwalugaja
@TumainiMwalugaja 2 ай бұрын
Mogera kwani ni nani mbona kama akisilani atulie jayanti yupi kwani vepe mashaka Yako yaweke kwenye familia Yako 😊
@matindeofsa
@matindeofsa 2 ай бұрын
na bado nyinyi semeni tu siku mtanyamaza,,, hakuna mafanikio ya mnafki
@januarysungura8119
@januarysungura8119 2 ай бұрын
Wewe ndio wale wanaotaka kila kitu wale wao, mpaka unafika mahali unasahau kuwa timu ziko ligi moja na daraja moja na tofauti ni ubora tu , maana hata apr tulipomfunga alionekana hana lolote ila alipomfunga azam ameonekana ni bora sana ,sasa mtuache
@therock7257
@therock7257 2 ай бұрын
😮 2:19
@RudonongoR-ub9et
@RudonongoR-ub9et 2 ай бұрын
Huyu ni mchome aliechangamka
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 2 ай бұрын
kabisa
@dalalfundikila507
@dalalfundikila507 2 ай бұрын
Hapo bado hatujakaa sawa
@adamiddymbali402
@adamiddymbali402 2 ай бұрын
mngeenda kucheza nyinyi km ni rahisi
@ANTHONYBULENGELA
@ANTHONYBULENGELA 2 ай бұрын
We zamoyoni,si kweli.mda wako ulicheza mpira wa hivyo?wote mlikuwa wote wa'TZ' tu.
@HasaniKitumba
@HasaniKitumba 2 ай бұрын
Zamuyuni moyo wake siyo simba diyo hatuwataki hao
@IddyMzuri
@IddyMzuri 2 ай бұрын
HAPO MOGELA KIFELI KUSEMA SIMBA WASIJISIFU, YANGA KAMFUNGA MTU HANA KWAO WAMESIFIWA
@shukranionesphoro7744
@shukranionesphoro7744 2 ай бұрын
Huyu zamoyoni ni mzee kiakili
@SophiaJumbee
@SophiaJumbee 2 ай бұрын
Uyo zamoyoni fala tu mchawi wetu huyo
@thobiasmwambeta6990
@thobiasmwambeta6990 2 ай бұрын
Azamu wanakamia
@derrickmbaku4768
@derrickmbaku4768 2 ай бұрын
Kwahiyo ligi ni azam, simba na yanga tu, mbona aibu sana kwa uchambuzi huu kutoka kwa mchezaji mstaafu
@aminaomari2312
@aminaomari2312 2 ай бұрын
Ila amesema ukweli,ligi ya Tz ni Simba,Yanga na Azam tu ingawa Simba haijapata mshindani sahihi sio daraja la simba.
@athmanimkangara9290
@athmanimkangara9290 2 ай бұрын
Tunajenga simba mpya tulieni
@rashidgogo5558
@rashidgogo5558 2 ай бұрын
Sasa hawa hawa mwakajan walitutoa jasho leo mwasema vibonde jaman wabogo
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 ай бұрын
NI KWELI BADO MAPEMA TUWAPE MUDA SIMBA WAJENGE TIMU
@RizikMjujulu
@RizikMjujulu 2 ай бұрын
Huyo zamoyoni nae hajui mpira,hayo magoli angefunga yanga angetoa sifa zote.nyinyi ni wale wale chapa GSM bahasha
@vaxminja9053
@vaxminja9053 2 ай бұрын
Angefunga Yanga mngesema katoa bahasha
@sadih5333
@sadih5333 2 ай бұрын
​@vaxminja9053 yes yanga bahasha ndio tabia Yao sugu, ilianza na kuendelezwa na Issa Makorongo katibu mkuu wa wakati huo. Na hadi sasa inaendelezwa nyuma mwiko ni bahasha tu.
@aminaomari2312
@aminaomari2312 2 ай бұрын
​@@sadih5333acheni chuki za kijinga kwa hiyo yanga wanahonga hata club bingwa?
@Emanueli-vz6fd
@Emanueli-vz6fd 2 ай бұрын
​@@aminaomari2312waambie
@georgelazaro3940
@georgelazaro3940 2 ай бұрын
Kwanini mchambua kishabiki kwani simba ndio itafugwa tuu Utopolo je
@ernestkamata2555
@ernestkamata2555 2 ай бұрын
Kwani APR ni siyo bora zaidi ya AZAM unayoisubiri ikutane na simba. Kituo hovyoooo kabisa
@aminaomari2312
@aminaomari2312 2 ай бұрын
Apr amefungwa na simba kwenye sherehe ya simba haikuwa mechi ya mashindano.
@ernestkamata2555
@ernestkamata2555 2 ай бұрын
Wewe huwezi uchambuzi kabisa
@georgelazaro3940
@georgelazaro3940 2 ай бұрын
Huyu naye sijamulewa ina maana ligi ni ya timu tatu au
@makamelila
@makamelila 2 ай бұрын
Usiseme jamaa wakauharibu maana hawachelewi
@RichardNgumbulu
@RichardNgumbulu 2 ай бұрын
Tunakumbushana tu hakuna bahasha au maan asije yanga ashinde nying muanze kusema bahasha
@HusseinHussein-f7n
@HusseinHussein-f7n 2 ай бұрын
k mziwanda alikuwa anamtafuta aliye mleta jobe sasa mi namtafuta aliyemleta debra
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 90 МЛН
Ouch.. 🤕⚽️
00:25
Celine Dept
Рет қаралды 28 МЛН
When mom gets home, but you're in rollerblades.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 92 МЛН
ROSÉ & Bruno Mars - APT. (Official Music Video)
02:54
ROSÉ
Рет қаралды 191 МЛН
MKUTANO WA SIMBA MO AMEKAMILISHA USAJIRI WA KIZUMBI DEAL DONE
3:59
Victor Osimhen Scoring Goals From Impossible Angles
6:52
The World Game
Рет қаралды 400 М.
A DAY WITH BONIFACE & The Super Eagles
18:08
Carterefe
Рет қаралды 145 М.
Most HEATED London Derby Ever
9:38
GrdArena
Рет қаралды 1,1 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 90 МЛН