Sky Hz za soka na makala 360 ziwe zako watu wengine hawajuh kuzielezea na sauty Yako ni adimu braza bundara siku nahitaji kukuona
@shishiberb42905 ай бұрын
hapo umesema ukweli SKy ndio kila kitu
@fidelfidel-jz4iw5 ай бұрын
Yeye mwenyewe ana vituko ugomvi dunia nzima kuna ubaguzi toka kina samweli etto wote ni Tabia zao hauwezi ibadili wao wanaona poa .cha msingi apige pesa aende zake unalia unamlilia nani watu wamepinda kwa ubaguzi .
@helencheyo92625 ай бұрын
Sasa hapo umekoment nn ndugu yani ndomaana tunabaguliwa wew kwa wenyewe nishida
@amadykassim5 ай бұрын
Vini yuko na miaka 23
@user-qg3nu1kv2n5 ай бұрын
Mwamba na nusu Vin Jr.
@blackjack33565 ай бұрын
Brother kwenye miaka umetudanganya 29
@razalo46515 ай бұрын
Ana miaka 23 😂😂😂😂 usitupange
@yohannatoroka-ie5ym5 ай бұрын
Sky sio miaka 29 ni 23
@sakhasa37085 ай бұрын
Jamaa hyu ni mjinga sana yy ni mweusi half anapenda kuwakejel mashabik pinzan na mpira ni mchezo wa hasira aache ujinga spain wamecheza wachezaj weusi wengi kwann yy tu aache mambo yake watu watampenda awe tu humble
@mohamedslh54785 ай бұрын
Kk wa jaribu kufatilia spain ni wabaguzi kinoma e Samuel e'too mwenyewe unaemtaja alishakutana na izo ishu mpaka kutupiwa ndizi uwanjani na Dani Alves aliokota na akaila ata ile gem ya final ya baca na arsenal alifunga bao akaonesha ishara ya kidole kwenye mkono wake akimanisha hii ndio rangi nyeusi hawa Spain na Italy kk noma kwa ubaguzi wa rangi
@sakhasa37085 ай бұрын
@@mohamedslh5478 hatukatai kma spain ni wabaguz ila kwake imekuwa too much kwasabab ya ujinga wake anapenda kuwakebehi mashabik wa timu pinzani sana angalia gem za Madrid ndio utajua.... jiulizee jee spain nzima mchezaji mweusi ni yy tu
@adolphmwangoje28875 ай бұрын
Akifanya hivyo lini mwanangu mbn unaongea ucchokijuwa
@mariajemutai29685 ай бұрын
Wewe ndio mjinga sana kumshinda huwezi kuvaa kiatu Cha mtu yeye mwenyewe ndio anakielewa
@johnkipata97525 ай бұрын
29 years old is crazy 😂
@KitangariGenerations5 ай бұрын
daaaah
@surusuru19945 ай бұрын
Hawa wazugu wasije wakaaja watu tukafugulia wallah kwnn wazung 2 jmn
@user-hv8ns7gs9c5 ай бұрын
Sema kwel hi xi nzur
@majalaworldwide5 ай бұрын
Umeonesha Udhaifu mkubwa Sana Kulia ...Hao mangurue ...Hawatakiwi kukunyima Raha wafunge Ndo ulie
@laurentraphael54705 ай бұрын
Manguruwe yakija humu watu wanayaabudu na kuyashangilia. Nonsense
@laurentraphael54705 ай бұрын
Wakoloni ni wapuuzi sana.
@imanimhagama46475 ай бұрын
23yr sio 29yr
@JumaJman5 ай бұрын
Ah mim naon wazungu si watu wazuri
@JeanMalilo5 ай бұрын
😄😄 23 sio 29
@user-hv8ns7gs9c5 ай бұрын
23 uyo mdg tu
@eunicemasika69865 ай бұрын
Only God bro
@user-hg1xw2co5o5 ай бұрын
Umetudanganya umri we tapel
@user-gl9of4on2f5 ай бұрын
Tatizo sio ubaguzi Tatizo ni kwenye 29years🙄😂
@yusuphmark32575 ай бұрын
Shida ya vinicious junior akiwafunga wapinzani anapenda ku provoke wapinzani hasa anavyo funga goli ndo maana wana mzingua sana sabab hispania ina watu weusi wengi sana why yeye tu aangalie mienenendo yake uwanjani akiwa anacheza na wapinzania wowote wale sabab kweli anajua mpira ila hakuna shabiki anapenda afungwe afu adhihakiwe 😂
@ebengapierre88265 ай бұрын
apo ndohatari kwaiyo yy avumiliye kwenye dunia hihi ili ufanyikiwe lazima vitu km ivi vikufikiye avune pesa akichoka apo alipo basi ligi zipo nyingi
Hako kajamaa kanapitia magumu mengi sana pamoja na kiwango kikubwa sana bado kuna nyani wa kizungu wanamsomea shiiit!
@sarahgaula22205 ай бұрын
Mbona mzuri kuliko wazungu kwani wazungu Wana shida gani?
@fedyaalzadjali85975 ай бұрын
Wana shida yakuwa na wivu 😂😂😂
@nicholausmbilinyi35875 ай бұрын
Lakini nadhani wanapata nguvu kwa sababu anaonesha anaumia..angejifanya hawaoni wangekoma kuendelea kumbagua pia
@jaycodestz13045 ай бұрын
Kabsaaaaah mkuu@@nicholausmbilinyi3587
@ebengapierre88265 ай бұрын
Kwanini asiondoke apo nikwenu? mbona ligi zipo nyingi km apendi kuwapa wabaguzi ushindi kumbe ahache kulia Pia ahache kutuambia habari za ubaguzi 😂😂😂😂😂
@AbdulnasriHamisi5 ай бұрын
Huyu anapenda camera c ubaguz tushamzoea😂😂
@IsackYohana-vk3hv5 ай бұрын
Acha uongo ana miaka 29? Daah sky unashindwa hata kufuatilia ana miaka mingapi hii dunia ina maana kuna habari za uongo sana hua mnatuandikia
@richardmalisa46415 ай бұрын
Sasa mpaka miaka unaitaka yanini,andika habari zako basi wewe .
@ethanethan44375 ай бұрын
ACHA UBOYA WEWE FUNGUA CHANNELE YAKO SASA KWANI KATIKA UANDISHI HAKUNA KUKOSEA BOYA WEWE
@FahadAbubakari5 ай бұрын
Mbona unapenda sana ligi kukosea miaka Kuna shida gani? Mbona hasira zenu za ugumu wa maisha mnapenda kuwabishia watu
@user-jo1zp7fj7r5 ай бұрын
chiz sana
@benedictinelusambo0695 ай бұрын
@@FahadAbubakariko shida ni hali ngumu ya maisha sio miaka ya huyo mchezaji😂😂😂😂