Katika mwendelezo wa somo la Malila,leo mtumishi wa Mungu Shehe Omary anaeleza aina nyingine ya uchawi ambao unafanyika katika jamii na namna ya kuushindwa kwa maombi.
Пікірлер: 29
@mchopaluka43194 жыл бұрын
Uislamu na uchawi ni ndugu kutokana na shuhuda za Mtumishi wa Mungu
@lizzynkifu41795 жыл бұрын
Naomba kwa kila mbinu mguvu za giza wanazotumia ungetupa hits za kupambana nao kiroho yan maombi mazito au ya namna gan yanayoweza kuwamaliza na nguvu zao
@yvettekyalika9075 жыл бұрын
Deep wickedness.. Ô lord !.. Why?? Kimbiliyo yangu ni YESU CHRISTU akuna mwingine jamani🤔...
@mariamfritsi97615 жыл бұрын
Mhh malila jeshi.muumba ni mmoja lakini waharibifu ni wengi.hivi watakwenda jibu nini mbele ya mungu,wanachokifanya ni kufuru.
@samuelnduati97925 жыл бұрын
Mungu tusaidiane jamani.
@kiuwamhina28024 жыл бұрын
Guys have you watched "IT CHAPTER TWO" its what this man narration, floating people assembled by that demon
@mchopaluka43194 жыл бұрын
Jamani tuokoke jamani
@marygregory75665 жыл бұрын
gharama wanazolipa wachawi ni afadhali wangekaa kwa Yesu anayetupenda bure tu.
@azizaz16285 жыл бұрын
Ndiyo ni kazi ya shetani wachawi ni mawakala au vibarua Kiswahili chepesi
@azizaz16285 жыл бұрын
Chakufurahisha Sasa, hakuna mchawi aliyeajiriwa wooote ni vibarua
@freddokuckelmann85025 жыл бұрын
Nani mwenye namba ya Sheikh Omari Mnyeshani
@PromovertvTz5 жыл бұрын
0755025821
@freddokuckelmann85025 жыл бұрын
@@PromovertvTz Ubarikiwe sana
@janegeogre32344 жыл бұрын
daaah! asa mtumish me nauliza je km kaburi ni la kujegea na mfuniko wa sment wachawi hufanikwa kuchukua?
@kabebowakabebo58895 жыл бұрын
Kwa nini yule mbwa wa malila abweke saa 8:45 na sio pungufu au zaidi sana ya muda huo?
@mauvaisecompagnie9515 жыл бұрын
Umetu danganya
@lucasgasper52355 жыл бұрын
Kila kitu kina formula yake hata unapopika maandazi ili yaitwe maandaz yalima uweke amira usubir yavimbe ndio ukate then ukaange ndio yaliwe hata uchawi unafomula na ndio hiyo lazima abweke masaa na DKK izo ndio kazi inakuwa imekamilika
@andersonmwanga64145 жыл бұрын
Naomba namba yako
@joromimwanga32745 жыл бұрын
Je? Hizo ni kazi za shetani?
@azizaz16285 жыл бұрын
Yarishanikutaga mm nili fiwa mtoto nikamzika ck ya ijumaa kesho yake jumamosi nikampeleka mamamkwe akapaone nikakuta kaburi limedumbukia sanda na kanga viko juu
@raheemamkambha60135 жыл бұрын
Pole dear
@melkizedeckdunda46385 жыл бұрын
poole saan
@samuelmoses92435 жыл бұрын
Pole sana
@azizaz16285 жыл бұрын
@@melkizedeckdunda4638 asante
@azizaz16285 жыл бұрын
@@samuelmoses9243 asante
@sospetermasanja32245 жыл бұрын
Hii elimu hata mkemia wa taifa hawezi kufaulu kuchanganya hizo dawa!