Hongera Mtumishi Omary kwa mafundisho mazuri! Nashauri uandae vitabu kwa masomo haya.
@estasage55064 жыл бұрын
I like when he goes fast to the point rather than spending all his air timing with many exemples. Most of time I will start but can't finish Yaani inaondosha uwepo.
@hardd24973 жыл бұрын
Yuko vizuri Sana katika delivery of the massage.
@amossamwel46994 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana ila wenye roho za jiwe hawataelewa, barikiwa na bwana
@KoomeNzima-e2v6 ай бұрын
Ameni ubarikiwe sana
@joycedaudi87655 жыл бұрын
Amina Sana utukufu Kwa Mungu aliye juu.
@peteryukunda92392 жыл бұрын
Karibu sn kwa YESU! Umebarikiwa sn kwa kuijua njia ya kweli.
@brendanasenya3663 Жыл бұрын
Asante kwa siri hizi za rohoni
@cypmkutubi31095 жыл бұрын
Huyu Sheikh ni muhimu sana katika kuwabadilisha wanadamu walio potea!
@marygaspary1995 жыл бұрын
Karibu Kwa Yesu, ujue kweli na kweli ikuweke huru !
@dorismasakia98395 жыл бұрын
Asante, tutumie zaidi semina za Sheikh Omar
@Hshshsueue4 жыл бұрын
Kweli wewe ni mwalimu brother mungu akupe hekima zaidi 🙏🏼
@shishshikoh49795 жыл бұрын
Yesu anaokoa ... Yesu ndiye njia ya kweli
@t7zkc5tpxgim285 жыл бұрын
AMEN, Mungu akubariki sana mtumishi
@tabithakabirimo7475 жыл бұрын
be blessed brother continue doing the good work of God
@euniceeunice76805 жыл бұрын
Namkumbuka sheikh alitoa ushuhuda ktk kanisa la gwajma Mungu akubariki sana kaka
@aishamustapha73814 жыл бұрын
Shekhe na kanisa wapi na wapi .kweli siku za mwisho tutaona mengi
@husseinissa71183 жыл бұрын
@@aishamustapha7381 kanisa limegeuka bongo movie na makondoo wanasikiliza
@maryjustertarimo62695 жыл бұрын
Niwasaidie tu ninyi waislamu mnaosema duniani Hakuna kuokoka ,kuokoka ni mbinguni mnajidanganya, kuokoka ni hapa duniani(jua kwanza nini maana ya neno kuokoka) hiki ni kitendo cha kiroho, kuzaliwa Mara ya pili kiroho baada ya kuzaliwa na wazazi wako, nikitendo cha kiimani cha kumkiri Yesu kristo kuwa ni Bwana Na mwokozi wa maisha yako, na ukisha kiri hii unatakiwa kutenda mambo mema yanayompendeza Mungu hapa duniani .
@lastborn89545 жыл бұрын
Na ukirudia kutenda mambo mchafu itakua bdo umeokoka ? Mungu wetu anatwabiya (Faman zuhzia aninnar waudikhila lljana fakad faaz) yule atakae epushwa na moto na akaingia peponi huyo ndo atakae fuzu maana ndo kaokoka .Na ukiangalia neno kuokoka nikuepushwa na kitu kibya sasa ww sema nimeokoka wakati hujajua mwisho wako utakuaje
@maryjustertarimo62695 жыл бұрын
@@lastborn8954 Kwa Yesu kila Goti litapigwa na kila ulimi utakiri yakuwa Yesu Kristo ni Bwana,namuomba Mungu akuokoe wewe kwa njia yoyote atayopenda, na wewe uwe wa kwanza kushuhudia kuwa kuoka ni hapa hapa, Minguni ni hukumu
@lastborn89545 жыл бұрын
Sawa ila jitahi kuaangalia sana vitabu vya mungu kwa undani vinasemaje na utafute ukweli ni upi kumbuka tunapokwenda ni kuzito na hakuna kuru sisi waislam tunamuamini yesu km ni mtume km walivyo mitume wengine
@ahmadakishingo19355 жыл бұрын
Sio waislamu tu wanaopinga kuokoka Hata wakristo walio wengi wanapinga kuokoka na huo ndio ukweli
@khumayraabdul32594 жыл бұрын
Naomba niambie kuokoka umetoa wap wap yesu kasema lazima uwokoke
@estellesichone74135 жыл бұрын
Ameeen,asante Yesu,kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kwamba Yesu ni bwana.
@jumajaffary96985 жыл бұрын
Yesu sio jike kwa sababu ametahiriwa... Sivyo unavyoamini wewe... Soma Yohana 17 3
@estellesichone74135 жыл бұрын
Bahati mby sinaga muda kubishania imani
@lutufyodixon99975 жыл бұрын
@@jumajaffary9698 jifunze kuelewa
@husseinissa71183 жыл бұрын
@@lutufyodixon9997 kila got litapigwa kwa mungu tu sio kwa mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke na Akatahiriwa
@lutufyodixon99973 жыл бұрын
@@husseinissa7118 Usilazimishe Mungu Atafsiriwe Utakavyo Wewe. Kwa Imani Yenu ni Ngumu Mungu Kuja na Kuishi na Watu Lakini Kwa Mungu Wetu anayejali Mahusiano na wanadamu, hushuka duniani na kuishi na wanadamu na amefanya mara kadhaa kwenye Biblia. Soma Mwanzo Sura ya 3 aya ya 8 pia kitabu cha Mwanzo sura ya 18 Aya ya 1 hadi 5. Kuna Sehemu kwenye Biblia Mungu Alishuka kwa Utukufu wake wenye Nguvu na Utiisho, Wanadamu walikimbia na Kuogopa Sana. Hitimisho Hapa n Kuwa Mungu Wenu Hawezi Kuja Duniani Lakini Wa Kwetu ni Rafiki Yetu hivyo anaweza kuja duniani na Kuishi Pamoja Nasi na akatufundisha yale tuyapasayo kuyajua na akaondoka na Kurudi alikotoka.
@dorsandollah33845 жыл бұрын
Wanambwembwe hawa,nilikuwa huko niliteseka sana ila asante YESU kuniokoa, bado mume wangu tuu.
@suleimanali83175 жыл бұрын
Dorsa ndollah :pole sana
@rehemaahamadiahmadi5665 жыл бұрын
@@suleimanali8317 😀😀😀😀😀😀
@furahinimbise18045 жыл бұрын
Amen
@J4UPro5 жыл бұрын
Pole sana
@mosesmwingira37805 жыл бұрын
Kkkkk
@jefwakalama43366 ай бұрын
Okay good
@barakajuma20855 жыл бұрын
Amen ubarikiwe
@roseokongo32295 жыл бұрын
Glory be to God, waiting.
@rehemaabdallah53065 жыл бұрын
Pole kwa kuabudu mungu alizalilishws msalaban na mung ametahiriws
@allymamlo2525 жыл бұрын
Angetaja Na kazi ya haki inayomuingizia kipato
@salehesengiyanka53975 жыл бұрын
La ilaha ilallah, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ALLAH. ww hata ukipotosha ukwel utabaki palepale
@vumiliahalimeshi31335 жыл бұрын
Hongera umechagua fungu jema
@muyatvonline3125 жыл бұрын
Maisha magumu sana,okoka tu si lazima utukane uislamu.Wewe si shkh ila mchungaji coz shkh haingii kanisani.Hata usingevaa kanzu ungepata umaarufu tu.Mbona Yesu alivaa kanzu na alitawza kwa maji kwenye ibada.Wewe mchawi wa kilokole ulielaaniwa.
@nooordubem28025 жыл бұрын
Ukweli kabisa kakangu,hawa ndio wale wahuni wakuwapoteza watu,wacha awapoteze wakristo ambao ni wepesi wakupotoshwa kwa kila jambo...alaaniwe kabisa
@khamisrubea50835 жыл бұрын
Afadhali umemshtukia
@mosesmwasanga46975 жыл бұрын
Amina Mtumishi!!!
@MMUNGAHOSEA5 жыл бұрын
Wewe Karibu San Mtumishi
@maliethnyoni28475 жыл бұрын
Mungu akusimamie ninalafiki yangu mhisram anatak nae abadili din kbs
@lissochacha52185 жыл бұрын
mkazanie sana arudi kwa YESU KRISTO
@wadimtwana72865 жыл бұрын
We fisadi akiingia kwenye huo moto atajijutia kwa Allah( s.w)
@lutufyodixon99975 жыл бұрын
@@wadimtwana7286 wewe jifunze kuelewa ukweli
@rahmahamisi76045 жыл бұрын
Hallelujah
@MsAggie55 жыл бұрын
Rahma Hamisi Amen 🙏🏾
@feristerkumbuka18375 жыл бұрын
Njooo kwa yesuuuuu kuna uzima
@alikhamisog34225 жыл бұрын
Subhanallah Innalillahi Wainnaillayhi Rajjiun
@lulanjamd38865 жыл бұрын
Hongera kaka
@latfahaule1275 жыл бұрын
Tunangoja nyingine barikiwa sana mtuwamungu
@rashidyusuf85095 жыл бұрын
Subhana llah wala haula wala kuwata illah billahi l aliyul adhwim uislam ni dini ya haki hata mulete ujanja
@miriammwambungu97444 жыл бұрын
Inaukwel gan nyie porojo kwa Yesu kunalipa na change inabak
@sadickwalker27955 жыл бұрын
Mungu nimwema be blessed.
@fadhili22935 жыл бұрын
Sema ulikuwa shekhe mchawi maana Ata wachungaji wachawi wapo. Mtangaze Yesu itapendeza
@fransicamassawe88945 жыл бұрын
Kwa Yesu kila goti litapigwa
@nawihadj66745 жыл бұрын
Got litapigwa kwa Mungu tu
@euniceeunice76804 жыл бұрын
@@nawihadj6674kubali kataa uwezi fika kwa Mungu bila kupitia kwa Yesu ata ubishe ila maandiko yapo ivyo.
@husseinissa71183 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 huyu muhubiri ni muongo hata ukisikia matamshi yake hakuwahi kuwa muislamu huyu ni muigizaji aliyefeli mapema.
@husseinissa71183 жыл бұрын
@@nawihadj6674 kweli goti litapigwa kwa mungu na sio kwa binadamu aliyezaliwa na mwanamke
@miriamlotti72973 жыл бұрын
Jesus is King
@jumajaffary96985 жыл бұрын
Matayo 19 24 Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.” 25 Wanafunzi wake waliposikia haya walishangaa sana, wakamwuliza, “Ni nani basi anaweza kuokoka?” 26 Lakini Yesu akawatazama akawaambia, “Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu kila kitu kinawezekana.”
@nooordubem28025 жыл бұрын
Wacha wakristo wajidai kuwa wataiona pepo kwa huo ukafiri wao
@christinaalexander12135 жыл бұрын
Tuwekee hiyo semina mtumishi,barikiwa na Bwana.
@PromovertvTz5 жыл бұрын
inakuja
@ukhutysalmaah14635 жыл бұрын
Kama ni sheikh kweli aseme kasomea chuo gani sio porojo tu
@richardkaogo34335 жыл бұрын
Safi shehe YESU juu
@sarahabdulatif73915 жыл бұрын
ASANTE YESU
@maryjustertarimo62695 жыл бұрын
Hatujali Kwa majina mtakayotuita (kafir Na mengineyo, mkijihesabia kuwa ninyi ni bora na wenye haki, Mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe, hatujali majina mtakayotuita yote yatapita, Bali Jina LA Yesu litakuzwa ktk nchi na ktk mataifa, Yesu juuuuu.
@bekakinamna42534 жыл бұрын
Huko nkukosa elimu bibilia mwaisoma kesha hamuielewi wapi yesu anasema ingieni makanisan mkaabudu?
@allyawadh84924 жыл бұрын
Yaani wakristo kwakua elimu yao ndogo nahawa wachungaji wao ili wapate kuaminika kwa waumini wao tena kwasababu uislamu siku zote hauendeshwi kwa shuhuda na tena nidini ya mungu ndiomaana hawa wachungaji wanatumia kama daraja la kufikia malengo yao,hawa jamaa ukiwaskiliza wanzo wa maneno yao mwanzo mbaka mwisho hagusi kabisa maandiko ya biblia yaani wanachofanya wao ni hadithi na maneno anayoyatoa kichwani kwake na kwasababu wakristo hawana elimu ya mungu wanaona jamaa anaongea maneno makubwa tena wanamuona anaelimu kubwa,hebu niwaulize swali wakristo toka mmemsikiliza mwazo hadi mwisho kuna andiko llte alilotoa ili aweze kuwashibisha habari kuhusu mungu ili muweze kuujua utukufu wake?
@calorinymrsdeeper98305 жыл бұрын
Yote ni maisha anayejua kweli yote ni Mungu peke yake ,,,,mi ata s comment ,,,,
@lucasgasper52355 жыл бұрын
Safi sana
@fgbeatricegg1455 жыл бұрын
Mungu saidiya watu wako
@bayombejean39593 жыл бұрын
Tabora mji mkongwe na alie ugombowa ni mbembe kutoka congo mbavu moja
@ramadhanijuma99335 жыл бұрын
Everyone will be accountable for his or her own intelligent given in the day of judgment.Hunger and disaster is our test
@myself41285 жыл бұрын
Thats according to ur book not the holly bible
@myself41285 жыл бұрын
Hunger isnt a real test for spiritual matters even tho fasting uplifts a spirit but not fasting at all isnt even a sin eventually
@SAM_1635 жыл бұрын
Hunger??? Spiritual test?? What about those who fasting? A big lie🤔
@ramadhanijuma99335 жыл бұрын
@@SAM_163 hi! Fasting is not hunger brother" hunger means a desire to eat but no food or u don't hv money to buy food ......whereas Fasting Means the food is there but you deprive yourself to eat for a certain time as a command of God or your Will..it is true that hunger is among the test ....foristance most of ivil in the world has rose due to hunger ie robbery ,prostitution ,corruption ,jealous ,ant Christ follower etc
@gladnesssidiu49223 жыл бұрын
@@ramadhanijuma9933 who is ant christ
@glorytoGod6395 жыл бұрын
Tunawezaje kumpata live mtu wa Mungu hivi vitu anavyoongea vya msingi sana ,naomba kujua kama ana Vitabu na namna ya kuvipata
@wardawarda34275 жыл бұрын
Kanenepa mashaalla.
@vumiliahalimeshi31335 жыл бұрын
Kashatua majini atakondaje
@vumiliahalimeshi31335 жыл бұрын
Kwa yesu kunenepa nje nje
@nooordubem28025 жыл бұрын
Muasi hunenepa,na pia sadaka za kanisani si yuazila
@vumiliahalimeshi31335 жыл бұрын
@@nooordubem2802 kwa yesu kunalipa majini yalikuwa yanamnyonyaaaaaaaa
@nooordubem28025 жыл бұрын
@@vumiliahalimeshi3133 kwa yesu ndipo atanyonywa vizuri kwa sababu kule kanisani ndiko kiti cha enzi chao kiliko🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️
@ibrahimibra37715 жыл бұрын
Nimekuelewa kaka
@khaityzahoro60945 жыл бұрын
unaonekana we we nimganga mzulisana nielekeze kilingechako kilipokakanije maana unayoyasema nikama uchawituu akunamambo ya mungu atakidogo duuh mtihani pesaizi jamani
@susynjambi5 жыл бұрын
Twangoja sana
@yohanabanya23895 жыл бұрын
Ujambo suzan
@susynjambi5 жыл бұрын
@@yohanabanya2389 sijambo
@piusthobius90574 жыл бұрын
Umekua mkubwa sasa kitambo sana rafiki yangu mt
@nyamogafamily42625 жыл бұрын
Majina 100 Karibuni kwa Yesu
@davidchoka49545 жыл бұрын
Sote ni bin Adam, leo shehe kesho padri au askofu, kwa nini tuumize kichwa kwa malumbano na kukoment usio yajua!
@euniceeunice76804 жыл бұрын
@@davidchoka4954 amna padre au nan apa njia ni moja tuu Yesu ivyo ndivyo maandiko yalivyo sema
@sabrinaislam42004 жыл бұрын
Poleni kupotežewa mda hapo sasa anawafundisha nini
@carolinetalam58325 жыл бұрын
Waiting for the next part
@calorinymrsdeeper98305 жыл бұрын
Caroline Talam wow m so proud of you I'm Caroline also
@carolinetalam58325 жыл бұрын
@@calorinymrsdeeper9830 Thank you, am from kenya 🇰🇪 and you?
@calorinymrsdeeper98305 жыл бұрын
Tanzania
@نايفالشمري-ط3د5 жыл бұрын
I don't care work of darkness upon our life . Jesus him self overcome devil I come against darkness an its mission in command of Jesus i declare heaven to consume fire over the gathering of witchcraft in Jesus name Amen
@jumajaffary96985 жыл бұрын
Timothy 2:5 English Standard Version (ESV) 5 For there is one God, and there is one mediator between God and men, the man[a] Christ Jesus, Footnotes:
@Happey-lx3rl5 жыл бұрын
Kama umeamua kutusi thafadhali andika kiswahili safi watu wasome vizuri
@maryjustertarimo62695 жыл бұрын
CV ya maisha yako (matendo mema) unaitengeneza wewe mwenyewe hapa duniani ,ukiwa marehemu haifai mbinguni hakuna kuokoka ,kuokoka ni hapahapa ,kule Mungu atasoma CV yako ikiwa ni ya kuridhisha utaingia mbinguni hairidhishi moto utawahusu ,maana yake mbinguni vinaingia vitakatifu tu vivyosafishwa Kwa Damu Ya Mwanakondoo (Yesu)
@mocranaburugi34865 жыл бұрын
Mbona link ya grp la whatsup inakataa
@PromovertvTz5 жыл бұрын
chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1lDtufLd2LPIP Kama inaendelea kugoma tuna neno niunge kwenye 0764004602
@pamelajohn96995 жыл бұрын
Huyu ni mhubiri mkubwa sanaaa
@khamisrubea50835 жыл бұрын
Huyu shehe alikuwa anasalisha msikiti gani naona anazungumza maneno matupu sisi waislamu tunaongozwa na qur ani na sunnah toa aya toa hadithi tukujibu ayo mambo ya uchawi unoyataja kama ni mada basi ktk uislamu uchawi ni haramu na ni ktk mambo yenye kuangamiza sasa siju ww unojiita wakati unauhusisha uislam na uchawi
@shebbywanammurun96125 жыл бұрын
Mpaka naondoka katika post hii cjajifunza kitu kutoka kwa huyu msanii...
@myself41284 жыл бұрын
Utajifunzaje wakati umekuja kujaribu??? Kaa huko huko uliko uendelee kuabudu na majini yenu,,,,,nasikia mtume wenu alirogwa???
@husseinissa71183 жыл бұрын
@@myself4128 kurogwa sio hoja hata nabii daudi mtume wa mungu alilogwa na shetan akaugua magonjwa makubwa.can god be killed by some peaple act?
@nellyk2560 Жыл бұрын
Only jesus can
@digalaahmad63145 жыл бұрын
Mungu akuraan akuazbu apa dunian nakesho akhera na uwongo wko
@ngasamoc14015 жыл бұрын
Usihukumu kwani utahukumiwa piah
@omarysadiki99235 жыл бұрын
Kwakweli njaa ni mbaya sana,.. Wanaomsikiliza hapo kanisani na anayeongea wote ni makafiri tu. Wewe sheikh was msikiti upi. Kula tu ngurue hatuna kesi nawewee sisi
@calorinymrsdeeper98305 жыл бұрын
Omary Sadiki sote watanzani usitembee na pepo mfukoni mwako ,,kwa kuita wenzio makafiri ,,ivi we unahakika na maisha uako?
@calorinymrsdeeper98305 жыл бұрын
maisha yako
@nabiiesterdonald42055 жыл бұрын
mtumishicmbona una mambo mengi j ni ibada au hadithi .nenda kwenye mada inayohusika
@barutmsofe52795 жыл бұрын
Huyu jamaa kinacho msumbua ni njaa na hakun njaa mbay kama njaa ikipand kichwan na nyie wakriso mmezoea kudanganywa Sana ngoja na huyu awadanganye kwaiyo kila anaevaa kanzu tu ni Shehe .kuweni makini na wauza maneno kama kweli ni shekhe awape aya angalau 3 tu huyo alikua mganga wa kienyeji kafir mkubwa huyo laanakum llah
@athumanikaroyo59995 жыл бұрын
Uzuri makanisa ndio yanayochezewa msikiti ujinga kama huo nawashaangaa wakristo anapelekwa tu amjiulizi mbona maskofu awaendi kuubiri msikitini ila kanisani jitambuei mnaonesha udhaifu wa ibada yenu
@feristerkumbuka18375 жыл бұрын
Wandish mnasema katinga na kanzu iyo sio kanzu ni vaz la heshma na ndo alovaa tajir lazaro
@messimessi72555 жыл бұрын
Lazaro gan
@nawihadj66745 жыл бұрын
Na hloo pajab ni miguo ya kihindi sio kanzu wala nn
@issayahyaally49465 жыл бұрын
Ukitaka ujue uongo wa mwisho kbs embu jaribu kuckiliza shekh asoweza kujiita shekh ati ajiita shaikh huo ni uongo wa mwisho kbs
@ukhutysalmaah14635 жыл бұрын
Ata anachoongea hakieleweki basi wakrito wanafurah duh hamtuweza kuzima nuru endeleni kudangwa mara aongelee uchawi mara vibaka yan mada hakieleweki kwendeni huko
@hamzamwilaphy29025 жыл бұрын
Sisi tunamuelewa nyie hamuwezi kumuelewa
@khalifamahondo15875 жыл бұрын
Mnatumia nguvu nyiingi kutafuta mbinu za kuumaliza uislam lakini hamtaweza, hayo ni maigizo tu, we ongea baadae upewe sadaka
@minaziparasu33525 жыл бұрын
Saw akijana pambana upige hela Usawa mgumuhuu mudandio huuhuu ukichelewa imekulakwako
@ashurakambangwa145 жыл бұрын
Mmmh
@graceshayo57635 жыл бұрын
Jmn tunaomba sehemu nyingne wapendwa
@mariamfritsi97615 жыл бұрын
Duniani kuna mambo jamani,ee Mungu tulinde tusikutane na majini kama hayo.
@sabrinaislam42004 жыл бұрын
Nyoo Ata kuitamka shehe huijui
@sospetermasanja32245 жыл бұрын
Ninasubili ushuhuda wake hapa youtebe: Marikiwe sana
@PromovertvTz5 жыл бұрын
Ushuhuda wake unakuja,kaa tayari
@mocranaburugi34865 жыл бұрын
Mi natamani hayo masomo aliyotoa
@yvonneamekakaombeniwimbomu83125 жыл бұрын
Mtu aki okoka ana amini kuwa Yesu ana mulinda hana aja ya ulinzi wa mabondiya kumu linda.
@stephenkitururu55885 жыл бұрын
Vitabu vya dini vimeandika jilinde nami nitakulinda, ukibisha hodi nami nitakufungulia
@stephenkitururu55885 жыл бұрын
Mbona nyumba za ibada kama makanisa au msikit vinalindwa na walinzi nawakati ni nyumba za ibana?
@iliyasamanzi56675 жыл бұрын
Dini ya uislamu ni dini mzuri dini ya haki dini ya nabii IBRAAHIMU (baba wa imani ya kweli)uislamu nidini ya maumbile ndio tunao kua ili mtu asiwe muislamu lazima wamtoa (wam batize) kumtoa katika asili yake ya uislamu,uislamu ni amani, uislamu ni dini ya upendo ,uislamu nidini ya kuelezana ukweli (haki)karibuni katika uislamu dini ya muumba wa mbingu na ardhi muumba wa viumbe vyote,Na huko ndipo tutapata uzima wa kweli wa milele.
@jennraphael29235 жыл бұрын
Jamani nahitaji kujifunza zaidi kwa kuwa nilipatwa na shida ya kukutana na MTU wa namna hili na namujua ila nikajua hili baada ya kuanza kuomba mungu anijuze kitu gani kimenipata maana moyo ulishtuka ghafla kwake japo alichokitaka hakukipata maana jina LA yesu lilinipa majibu
@jumajaffary96985 жыл бұрын
Jina la Yesu halina chochote wacha uongo
@jumajaffary96985 жыл бұрын
Yohana 5:30 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 30 Mimi siwezi kufanya jambo lo lote kwa mamlaka yangu mwenyewe. Mimi nahukumu kufuatana na jinsi Mungu anavyoniambia. Na hukumu yangu ni ya haki kwa kuwa sitafuti kufa nya nipendavyo, bali nafanya mapenzi yake yeye aliyenipeleka.” Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
@khamisjuma61755 жыл бұрын
Wakristo hata sijui mpaka leo munakwama wapi, kwa sababu sijui mpaka lini mutaendelea kudanganywa kwa maslahi ya wachache ambapo kwamba baada ya muda tu huwa wameshachuma. Kwani hii dini yenu haiendi mpaka mudanganywe? Kwa mwenye akili timamu atajua kuwa huyu jamaa anaporoja tu, lkn wengine wao hushangilia tu. Dah! Innalillah.
@marygaspary1995 жыл бұрын
Khamis Juma :Kakiri mwenyewe, kuwa alitokea Uislam kwa cheo cha Shekhe, kuja kwa Yesu. Hatuna budi kumpongeza mambo yakuchambua dhambi zake tumuachie Mungu. Kama anadanganya anatapeli mwizi nk :
@khamisjuma61755 жыл бұрын
@@marygaspary199 kuweni makini na wa2 km hawa
@khalfanomar76655 жыл бұрын
Ndugu zangu kwa nini mnakubali kudanganywa ?
@signfriedjoji55875 жыл бұрын
Kwahii movie hata director atakufa !, polen wenye nywele chache ,nimesikiliz sijaelewa nikajitahid kukaza macho picha inixaidie ila bado ,All muslim Allah atuongoze katki njia iliyo nyoka kama alivyo tuelekeza. Qruan suratul fatiha: 5 ,
@salehesengiyanka53975 жыл бұрын
Ww cyo shekh hata kidogo kwanza ongea yako haina hata rafudhi ya koran, ila kwakuwa unataka kueneza ushetan na kujaza kanisa uko sawa
@alhaddajmohammed47685 жыл бұрын
UISLAMU unahimiza Elimu, usiseme jambo/neno ambalo huna elimu nalo. Huyu ni mchawi tu hata mada yake haipo ktk mpangilio!
@myself41285 жыл бұрын
Nasubiria waislamu watakavo mkosoa na kumkataa🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️ hata wale wasiojua juzuu moja tu watakwambia wanamzidi elimu ya dini😂😂😂😂na watadai kanunuliwa au hakuwa muislamu😂😂😂 #HAKUNA WOKOVU KATIKA UISLAMU
@zawadiommary85935 жыл бұрын
Me? Ha ha ha hamna kituhapa
@nawihadj66745 жыл бұрын
Hyoo choko tuu hajawahi kuwa shekhe makuuu tuu hyooo
@vumiliahalimeshi31335 жыл бұрын
Wasijichoshe kwa yesu Kila goti litapigwa labda kama waislam hawana magoti
@vumiliahalimeshi31335 жыл бұрын
@@nawihadj6674 mbona nyie mnaaminigi mtu akisema alikuwa mchungaji akasilimu ila sio shehe kubatizwa? Mnafeli wap?
@SAM_1635 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
@karumekarume36345 жыл бұрын
Wewe unaonyesha kabisa ni muinjilisti sema ulikua mchawi njaa imekupiga umejisalimisha ukawaibie sadaka kanisani
@michaelsiweya65005 жыл бұрын
Shetani lazima afichuliwe.. Ilishaandikwa kwenye Bibilia
@suleimanali83175 жыл бұрын
muislamu wa kweli hawezi kuingia kwenye ukrito, mtu haokoki duniani acha kujidanganya mwenyewe
@MsAggie55 жыл бұрын
Suleiman Ali kuna shuhuda nyingi humu youtube toka kwa waarabu jaribu ku search utaona. Nilimuona Mama mmoja alikuwa anaumwa cancer akapata maono, Yesu alikuja kumponya akapona (ni mwarabu kiislamu) sasa hivi ni muhubiri mkubwa sana anamtangaza yesu.
@suleimanali83175 жыл бұрын
Aggi Bibi Angel : sio waraab wote waislamu,wapo imani tofauti bible za kiarab pia zipo
@MsAggie55 жыл бұрын
Suleiman Ali na fahamu, nilichosema hao walikuwa wanatoa ushuhuda jinsi gani walivyotoma uislam kujiunga na ukristu ndo nikakupa mfano wa huyo mama aliyepona cancer. Search humu KZbin utaona waislaamu wa kiarabu.
@jacksonnchimbi3085 жыл бұрын
Wewe subiri ukaokoke ukifa utaona kama kuna uokovu ,na nukuu maneno ya yesu Kristo alisema hivi mtu hawezi kuja Kwa Baba yangu bila mm ,mm ni njia ya kweli na uzima.
@suleimanali83175 жыл бұрын
Jackson Nchimbi : alikua anaongea na wana wa Israel Mathayo 15:24 matendo ya mitume 13: 23 jitathmini kama ww muisrael
@nswilayella32955 жыл бұрын
Ukristo raha jamaa kanenepa
@swalehkiuga1675 жыл бұрын
Kula mangurue c lazima anenepe uchafu MTU
@bekakinamna42535 жыл бұрын
Acha anenepe jahannam ikafaidi
@nswilayella32955 жыл бұрын
@@bekakinamna4253 kwa elimu aliyokua nayo kuhusu dini yako ningekua mm ningemtafuta anifundishe kwa nn amelitad lkn kwa 7bu tumekua wepesi kuhukumu anakwenda motoni tutazidi kupotea . Nakushauri kuwa mtu wa kuchunguza sio kutoa majibu mepesi kwenye masuala magumu
@allyomari6805 жыл бұрын
kwani nyinyi wakristo mnakawia kudanganywa mtu akivaa kamzu tu nishekh ngoja nikuambie mm muisilamu ukitamka tu neno utajua tu huyu anaekti eti mm Shekh nimeokoka nyoooo piga hela baba mapoyoyo umetajirika kaka haloooo
@karumekarume36345 жыл бұрын
WEWE UMESOMEA VITABU VYA UCHAWI WA KISISINA WALA UISLAMU HUUJUI WEWE ULIKUA MCHAWI MPIGA RAMLI HATA KURANI INAKATAZA UCHAWI
@vumiliahalimeshi31335 жыл бұрын
Ingekataza waganga wa kienyeji wangetumia?
@ابنعثمن5 жыл бұрын
Ni kweli,. Nashangaa Wakristo wanatumia nguvu nyiiingi lakini matokeo ya nguvu na juhudi zao ni hafifu. Kama hapa, inaonekana wazi ni unafiki
@SAM_1635 жыл бұрын
Povu la nini?
@hawakiza60675 жыл бұрын
Hata unavyotamka majina Inaonyesha wewe ni mkristo uliopangwa Et uonekane umetoka kwenye Uislam Sio kweli wewe ni mkristo tangu zamani acha kudanganya watu kwa kuwa peleka motoni Umepata hasara ya duniani na kesho akhera
@eddyjustin58905 жыл бұрын
Wewe haukua muislam nikafar ambae umetengenezwa ili kuudhalilisha uislam , Ninaekujua zaman Sanaa toka upo kijana mdogo Na uijui quraan hata chembe unababaisha watu tuu