UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA WA KISASA - BROILER

  Рет қаралды 103,375

Changamkia Fursa

Changamkia Fursa

Күн бұрын

Пікірлер: 84
@davidmrope-pt2rx
@davidmrope-pt2rx Ай бұрын
Asante sana kwa muongozo wako mzuri ❤❤❤❤❤❤❤❤
@janesabina1080
@janesabina1080 2 жыл бұрын
Nikweri ira watanzania ukimwambia aandae hera yote watasindwa cc wababa isaji
@LailatAbdullah-w9d
@LailatAbdullah-w9d 7 ай бұрын
Na ukitaka kulia au kupata wazim ingiza hawa kuku bandani ukiwa Huna mtaji wa kutosha😢😢😢
@lilianmahenge9053
@lilianmahenge9053 2 жыл бұрын
watu wa mbeya tunaweza kujenga Banda la hivi kwelii
@ZennaKhalid
@ZennaKhalid Жыл бұрын
Kaka Asante kwa kutufundisha
@violetndibwire4338
@violetndibwire4338 2 жыл бұрын
Je broilers wanaweza kufugiwa kwenye kichanja chenye wiremesh au ni lazima wawekwe chini kwenye maranda?
@TusekileMwaswapu
@TusekileMwaswapu 2 ай бұрын
Ahsante naweza pata namba yako
@teddymatasha4639
@teddymatasha4639 6 ай бұрын
Elimu nzuri emeniimgia vizuri.Keep the going pace for more discoveries
@endeshyamat6773
@endeshyamat6773 5 ай бұрын
Asante sana 🎉
@StephaniaNevele-ql8bn
@StephaniaNevele-ql8bn 5 ай бұрын
Naomba badget ya vifaranga 100 broiler
@stellamgaya2988
@stellamgaya2988 Жыл бұрын
Napenda kufuga kuku WA broila
@fanuelygusse7623
@fanuelygusse7623 2 жыл бұрын
Nice
@LailatAbdullah-w9d
@LailatAbdullah-w9d 7 ай бұрын
Sante
@alexmtasiwa3497
@alexmtasiwa3497 Жыл бұрын
asante sana
@beatricemmari6305
@beatricemmari6305 8 ай бұрын
Kwa kuanzia kuku 100 unatakiwa kuwa na shs ngapi
@hildakamugisha1135
@hildakamugisha1135 Жыл бұрын
Unapatikana wapo natakaafunzo na ushauri
@TasnimFadhili
@TasnimFadhili Жыл бұрын
Campuni gan ni Bora ya kuku
@BrendahKangai-c8z
@BrendahKangai-c8z Жыл бұрын
nafanya kazi yakupiga kuku wa broilers naomba no Yako please
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 3 жыл бұрын
Naomba namba yako
@TusankineNzowa-yi7pn
@TusankineNzowa-yi7pn 15 күн бұрын
Napataje namba yako boss
@TusekileMwaswapu
@TusekileMwaswapu 2 ай бұрын
Je kwahuku mbeya unaweza kujenga bada kama hili
@GloryMushi-cc3yu
@GloryMushi-cc3yu Жыл бұрын
Samahanii napenda kuuliza Banda la kuku 100 wa nyama linatakiwa liwe na urefu kiasi ganii na upana kiasii gani
@OthmanHassan-tg6bn
@OthmanHassan-tg6bn Жыл бұрын
Chakula bora cha kuku wa kienyeji
@santinachalamila6879
@santinachalamila6879 2 жыл бұрын
NAHITAJI vifaranga Bora nawapataje
@saudamjape4973
@saudamjape4973 5 ай бұрын
Kama naitaji kuingiza kuku 300 niwe na tsh. Ngapi? Pia nylon unazozunguzia ni zipi?
@JudithMilanzi-v3h
@JudithMilanzi-v3h Жыл бұрын
Je nilazima kuwapa dawayakukausha kitomvu
@shebygtonlinetv4498
@shebygtonlinetv4498 3 жыл бұрын
Naomba namb zako na alaf kwa mtaji mdog kabsa km shilling ngap uenazo??
@NeemaRobert-hr4jp
@NeemaRobert-hr4jp Жыл бұрын
Habar. Naomba nije unifundishe kufuga . Uko wap
@matildachalachim-wu7st
@matildachalachim-wu7st Ай бұрын
Na fider ngapi za chakula au maji?? Zinatakiwa ziwe ngapi?? Kuku 400
@filipinadaud885
@filipinadaud885 3 ай бұрын
Samahani hizo kilo mlizosema ni kwa kuku wangapi?
@GloryMushi-cc3yu
@GloryMushi-cc3yu Жыл бұрын
Je unatakiwa uwe na mtaji wa shingapii ili niweze kuwafuga hao kuku adi mda wakupelekwa sokonii
@winfridamwamban1078
@winfridamwamban1078 3 жыл бұрын
Asante
@YassiraliMuhidin
@YassiraliMuhidin 4 ай бұрын
Ayo mapolo matatu kwa kuku wangapi
@juliusmyovela4274
@juliusmyovela4274 3 жыл бұрын
Je hawakuku naweza kutengenezea wakawa juu ya nyavu
@saajuma3741
@saajuma3741 Жыл бұрын
Nataka kufunga naeza pata wapi vifaranga
@mtalesophia3830
@mtalesophia3830 2 жыл бұрын
Asante Sana kwa elimu nzuri ya ufugaji numefanya nitamani kufuga je ninawenza kuanza na kuku 50 Kwanza?
@ThomasMarealle-vd5ll
@ThomasMarealle-vd5ll Жыл бұрын
Anza na kuku 200
@stewartnairo4897
@stewartnairo4897 2 ай бұрын
Asante lakini wakati wa baridi au usiku wanalala na uwazi huhu
@saumujuma6172
@saumujuma6172 4 жыл бұрын
Nataman san tu kufunga kuku jamn naomba maelez zaid plz
@JacklineKimbawala
@JacklineKimbawala 4 ай бұрын
Mtiririko wa cjannjo mpaka wamatoka prez Navipi kuku Mia Wana kula mifuko mingapi
@eltonkingdusabe1643
@eltonkingdusabe1643 4 жыл бұрын
Mbona hapo zinabanana sana? Simakose?
@BenedicktoMbilinyi
@BenedicktoMbilinyi Жыл бұрын
3:48
@MorrisonOscar-u6l
@MorrisonOscar-u6l 5 ай бұрын
Garcia William Jackson Kenneth Hall Richard
@peterkombo1625
@peterkombo1625 Жыл бұрын
Makadirio ya kuza kwazia kg1
@GloryMushi-cc3yu
@GloryMushi-cc3yu Жыл бұрын
Nahitaji vifaranga Bora wa kuku wa kisasa nawapataje
@suleimanmohd.7197
@suleimanmohd.7197 3 жыл бұрын
Naomba namba yako mtoa post.
@AngelRaphael-cl3em
@AngelRaphael-cl3em Жыл бұрын
Kifaranga kinauzwa shingapi?
@thegirlfromafrica5726
@thegirlfromafrica5726 11 ай бұрын
1800
@stellajambo998
@stellajambo998 4 жыл бұрын
Habari. Joto hujafafanua linatakiwa liwe nyuzi ngapi kwa vifaranga na ngapi kwa wakubwa?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Wakubwa inatakiwa nyuzi joto 25 - 26 °C Vifaranga wa wiki 1 ni 35°C Vifaranga wa wiki 2 ni 32°C Vifaranga wa wiki 3 ni 29°C Vifaranga wa wiki 4 ni 26°C
@korossocharles419
@korossocharles419 2 жыл бұрын
​@@changamkiafursa
@irenelyamuya5466
@irenelyamuya5466 Жыл бұрын
Mbona wanachukua wiki nyingi hivyo ,WA jirani wanatumia siku 28 tyu anaanza kuuza 😅
@sofiarajabu8149
@sofiarajabu8149 Жыл бұрын
​@@changamkiafursanahitaji mnapatikana wapi?
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Kg1.5 hapana .. hawa kuku wananunuliwa wakiwa na uzito wa kg 1
@irenelyamuya5466
@irenelyamuya5466 Жыл бұрын
😅😅😅nasikia hawa Jamaa wanakula ila wanafaida sana 😊jirani yangu anafuga aseee raha 😊kuku 400 akitoa hasara ,mtaji .manunuzi kila.kitu ,faida ni 600,000 nyie yaani
@nawaalhabsy9852
@nawaalhabsy9852 11 ай бұрын
Natamani nijue ili nianze hata leo
@irenelyamuya5466
@irenelyamuya5466 11 ай бұрын
@@nawaalhabsy9852 wenzako tunakaribia kuvuna 😊awam ya Pili ,Kila kitu ni utayari tyu ,na Ukiwa na mtaji wa kutosha .
@MwanaminaHasani
@MwanaminaHasani 9 ай бұрын
Naomb namb yako
@JacklineKimbawala
@JacklineKimbawala 4 ай бұрын
Wee akuje atupatie mbinu
@matildachalachim-wu7st
@matildachalachim-wu7st Ай бұрын
Naomba bajet ya kuku 400
@leonidaongola4289
@leonidaongola4289 3 жыл бұрын
Mpo wapi naomba namba yenu
@zabibumbaruku8430
@zabibumbaruku8430 3 жыл бұрын
Habar nahitaji kufuga kuku ningependa kujua namna ya kuanza
@joycemujungu4315
@joycemujungu4315 2 жыл бұрын
🙏🙏
@anthonymakongwa3428
@anthonymakongwa3428 2 жыл бұрын
Kwa siku wanaongeza uzito kiasi gan au kwa wiki
@joycekerenge3605
@joycekerenge3605 9 ай бұрын
Mwl ninashukuru
@hajishake1352
@hajishake1352 3 жыл бұрын
nipi kisiwani pemba nitawapata vipi
@onenieliud7776
@onenieliud7776 3 жыл бұрын
Nzuri hiyo
@frollaemany6559
@frollaemany6559 3 жыл бұрын
Kaka naomba nabayako ili unipe somo vizur
@bajirengeblaise6198
@bajirengeblaise6198 4 жыл бұрын
Poa sana kaka ndaweza pataje bifaranga vya week mbili aje ?
@ezekielsangari9675
@ezekielsangari9675 4 жыл бұрын
Nitafute 0743539874
@mariamhajji5195
@mariamhajji5195 3 жыл бұрын
Panda unalisafisha kwa siku ngapi
@akidasalim3859
@akidasalim3859 4 жыл бұрын
Asante sana
@Amina-x3p
@Amina-x3p Жыл бұрын
Kwema nisaidiye bajeti ya kuku 200 nataka niyanze
@angelasudi710
@angelasudi710 4 жыл бұрын
Parental line is Ross or Aviagen?
@zakiarajabu6935
@zakiarajabu6935 4 жыл бұрын
Naomba no yako
@saidiissa2992
@saidiissa2992 3 жыл бұрын
Ninahitaji niwe mwanafunzi wako ninakupataje
@wilckstenyaboke7829
@wilckstenyaboke7829 4 жыл бұрын
Uko nji gani
@rashidkalabi8212
@rashidkalabi8212 4 жыл бұрын
Kuku mia chakula kinakuwa kiasi gani kwa wiki ya Kwanza ya pili yatatu na ya nne
@zaytounerzahran7553
@zaytounerzahran7553 2 жыл бұрын
Nahitaji contact zenu WhatsApp
@AUGUSTINKAMBALE-ok5pf
@AUGUSTINKAMBALE-ok5pf Жыл бұрын
Asante
@ShillahShillah-rp5oo
@ShillahShillah-rp5oo Жыл бұрын
Nice
@juliusmyovela4274
@juliusmyovela4274 3 жыл бұрын
Je hawakuku naweza kutengenezea wakawa juu ya nyavu
@rebekaalex-wu7ly
@rebekaalex-wu7ly 28 күн бұрын
Naomba bajeti ya kuku 150
Kuwapa vifaranga chanjo ya Gumboro
4:20
jomgfarm
Рет қаралды 44
UFUGAJI KUKU CHOTARA
28:34
Kilimo Biashara
Рет қаралды 99 М.
I'VE MADE A CUTE FLYING LOLLIPOP FOR MY KID #SHORTS
0:48
A Plus School
Рет қаралды 20 МЛН
TUMIA DAWA HIZI MBILI KWA BROILER HADI KUFIKIA SOKO/ KUUZWA🌹🌹
15:27
KADALAOFFICIALTV🇹🇿255
Рет қаралды 11 М.
Ufugaji wa nguruwe kisasa.
34:35
ITV Tanzania
Рет қаралды 72 М.
UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA AINA YA BROILER.
12:02
JERY ONLINE TV.
Рет қаралды 933
Ushauri wa Mama Lymo kwa Anae Anza Ufugaji wa Kuku Chotara
9:36
Changamkia Fursa
Рет қаралды 72 М.
NJIA YA KUPATA KUKU WENGI WA KIENYEJI KWA MUDA MFUPI 2021
12:11
Changamkia Fursa
Рет қаралды 285 М.
Bajeti na faida ya kufuga broiler 200
11:19
Layers Pro
Рет қаралды 21 М.