LEO USTADHI SHAFII AMETUBARIKI NA MOJA YA HISTORIA NGUMU KWENYE MAISHA YAKE ALIYOPITIA ALIPOENDA KUFANYA MHADHARA KATIKA NCHI YA MSUMBIJI
Пікірлер: 57
@user-li2el5vb8w19 күн бұрын
Mash Allah' Shekh' SHAFII' ALLAH Akujaalie Afya naakupe mwisho mzuli ufe ukiwa umetoa shahada.
@IddyMbarak15 күн бұрын
Alla awafahamishe hao maqafili
@SafiaOmar9 күн бұрын
Allah akujaalie mwisho mwema. Na akujaalie pepo ya Firdausi sheikh Shafi
@fahadfahmy7 күн бұрын
amin
@immtm49306 күн бұрын
Allah awalipe kila la kheri duniani na akhera.. poleni sana walimu wetu .. bidhaa za M.Munhgu ni ghali sana,.. hakika bidhaa ya M.Mungu ni pepo! Bishara Njema!
@muznazahra45520 күн бұрын
Uchafu wote wameubandikiza UISLAM,JAMANI TUTAFUTENI ELIMU KWA WATU WENYE LENGO LA ALLAH WALA SIYO KWA MASLAHI YA MTU MWENYEWE....MAUSTADH WENYE ELIMU NA IKHLASWI...
@JosephMwamlima-j5i6 күн бұрын
Asee hii simulizi inasikitisha sana
@OHAAOHAA8 күн бұрын
MaashaAllah ALLAH atakulipa kheri Mimi nataka namba za ustadhi shafi
@muznazahra45520 күн бұрын
Umeengea vizuri sana Shekh wetu ,bikhusus ulovyoelezea jihadi ....Mashallah...Ahsantum....
@myself412813 күн бұрын
Akili yako haina akili
@issarashid770720 күн бұрын
MaashaAllah Allah atupe mwisho mwema
@innocentndikumana892820 күн бұрын
safi sana sheikh shafi usikatetama kupiganiya dini ya Allah ❤
@harshkirit678012 күн бұрын
@@innocentndikumana8928 Ameen
@muznazahra45520 күн бұрын
Allah kuwanusuru..poleni sana Allah awape ajri ya yale yote mlosubiri....ni mtihani khaswa.😢
@muznazahra45520 күн бұрын
NAKUOMBEA MWISHO MWEMA SHEKH WETU...
@jimjam-xg7rv19 күн бұрын
Maa Shaa ALLAH 💚
@abdululiza39219 күн бұрын
Assalamualaikum umeongea vizuri sana sheikh ila nawaomba wahadhiri msigombane
@muznazahra45520 күн бұрын
Umeamsha wengi na wengi wasiokua hata waislam wamezinduka....
@user-bf3mm5wu1s12 күн бұрын
Polen sana ndugu zetu wa islamu
@sukumaganga261319 күн бұрын
Pole Sana kaka kwa mtihani
@SwahibuAthuman-yv2mn16 күн бұрын
Pole sana sheikhee
@mwanaidikellner765311 күн бұрын
Napenda masimulizi ya huyu Baba❤
@user-nm2pr1xz6u13 күн бұрын
Pole sana Sheikh wetu
@saidimdoe524616 күн бұрын
Upo sawa shekhe
@amoschacha288519 күн бұрын
Simuluzi Mimi nawafuatilia sana toka mbogo alivyoongea na Shafy , mbogo wakati anaongea kaongea vizur sana na yeye kasema alikuwa kiongoz na shafiy hapa anasema alikuwa kiongoz hebu mtafute Hamidu nae atueleze ukweli wake hapa naona kila mtu. Anavuta kwake
@SIMULIZIZONE19 күн бұрын
@@amoschacha2885 sawa
@ahmedmpimbi968418 күн бұрын
@@amoschacha2885 kaka nafikiri wewe mwenyewe unaweza kuona mhadhiri na anaemsaidia kusoma nani ni rahisi kua kiongozi, mfano ktk debate nyingi utaona labda dr. Sule na Ndacha afu Hamidu anakua msomaji
@allyway99920 күн бұрын
Allah akujaalie sana shekhe shafi
@muznazahra45520 күн бұрын
Wanatuhumu sana watu na Mashekh wanaojua kuunganisha watu na uislam ,na MAGAIDI WA KWELI HAONEKANI NA HAWATAJWI ILA WANAWATUMIA WATU WENGINE WASIOJUA HATA NINI DINI ? NA NINI UBINADAMU....MLIKUA MWAWINDWA BILA KUJUA...KWA KTUMIA DOCUMENTS ALLAH AWAHIFADHI MUBALIGHIN WA KWELI NA WALA SIO ....ALLAH NDIYE MWENYE KUJUA NA NDIYE MWENYE KUHIFADHI...
@muznazahra45520 күн бұрын
Wanaojificha katika DINI YA UISLAM WANASABABISHA KUHATARISHA MAOSHA YA MAULAMAA WENGI NA KUUCHAFUA UISLAM...😢😢
@user-tz8zu2gt6u17 күн бұрын
Huku kwetu uisilamu nikuwa kwingi ndio kuingia peponi , aisee hii dini ni hatari maqlishababu
@muznazahra45520 күн бұрын
Wamechafua Dini na kuwadanganya wengi wasojua ,ahsantum kuna kitu wengi hawakijui ....jamani wafundishwe watu wajue huo siyo Uislamu ,maana hata kafiri hafai kuuawa ,...
@Pelegrinoemanuel6 күн бұрын
Kwahiyo kuuwa bila holela kunauhusiwa? Dini ya shetani hiii .Mungu anasema usiuwe halafu nyie eti muue yaan nyie wote ni finally jehanam
@maestro961814 күн бұрын
Ila imam shafii😂😂dah kun mda lazima akuchekesheee 😢😢😢ila maashallah
@muznazahra45520 күн бұрын
Kiongozi mwenye busara ndiyo misk ya nafsi za watu....
@lucaswanyonyi40375 күн бұрын
Ila tu.s hekhe hujui.niko kenya
@Pelegrinoemanuel6 күн бұрын
Nje mnasema hivi ndani mnasemq ukiuwa mkristo unaenda peponi
vita ya albadri mtume alifukia visima, vita ya mtaro mtume aliamrisha wayahudi wote wakiume wauawe wawe watoto au lah.
@user-ip4ie7pt6i17 күн бұрын
Ule upande wa moenda kuna maeneo kuna migodi ndicho wanacho gombea na nyuma yake kuna mtu mweupe akiwemo na mportugues
@armindodamiao320115 күн бұрын
Docta sulle alinshitua majini yake
@user-hi8le2vb7z19 күн бұрын
ulimchapa sule vikali...leo unakuja kuonyesha jinsi gani unamkubali...na kumbe alikichukulia kama mdogo wake katika daawa😊
@nubianqueen670019 күн бұрын
Mwenye dini ni Allah, kwa hiyo mtu yeyote anayekosea katika dini atakosolewa hata na ndugu yake, Hai maanishi watu wamekua maadui.
@AbasMabuli18 күн бұрын
Tumia akili basi, Hapo anaelezea story na mchakato ulivyokua, We unaleta ushabiki maandazi apa, Kwahiyo Sulle alikosea aachwe kwa sababu dini ni mali yake au!
@user-hi8le2vb7z18 күн бұрын
@@AbasMabuli imebidi nicheke 😄😄🙃
@ramahassan551517 күн бұрын
Kunakitu hujaelewa kwakua alimuita mdogo wake akikosea lazima arekebishwe hata kama Kawa mkubwa
@maase202313 күн бұрын
Huyu jamaa fix sana
@mbalilax16219 күн бұрын
nice story....sema waislam ni makatili huo ndio ukweli.
@sultansallah877218 күн бұрын
Tatizo hujui maana ya neneo islam
@mbalilax16218 күн бұрын
@@sultansallah8772 nimeenda kuangalia maana yake....nimegundua ata wewe unaweza kujilipua alafu useme ni "submission to the will of God"
@HanifaOman-oo4pl6 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@HanifaOman-oo4pl6 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@user1337519 күн бұрын
Kulipiza nako ni ushetani tu😮😮
@mashakamwinula379719 күн бұрын
Haayo nimaneno yako hatufuati mtu bali kitabu
@user1337519 күн бұрын
@@mashakamwinula3797 msikilize shehk anavosema jihadi ni kulipiza kisasi🤔🤔🤔
@swafiirbulbul81918 күн бұрын
Qur’an ni tofauti na Biblia.. Ninyi mnafundishwa "akupigae shavuot la kulia, mgeuzie na la kushoto".. (maumbile yanakataa) ... sisi sio punda. Sisi Waislamu, "Jino kwa Jino" ... 🎉 ..
@abdulnaseermrisho434216 күн бұрын
Dini yetu haitaki unyonge,ni jino kwa jino,kisu kwa kisu,upanga kwa upanga,yaani hakuna kukaa kizembe