MTANZANIA ALIYEFUNGWA SOUTH AFRICA "MWANAMKE ALIPIGIA KELELE TUNAPOISHI"

  Рет қаралды 585,017

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 1 000
@yascoguidezanzibar
@yascoguidezanzibar 5 жыл бұрын
sema mshkaji anaju kujieezea kinoma bless kk we fighter kak
@mwanalikhamis9875
@mwanalikhamis9875 4 жыл бұрын
basi tusimtanie mungu unavaa herini
@albertmichael8675
@albertmichael8675 5 жыл бұрын
Pole sana kaka kila mmoja huwa na historia ya maisha kwaiyo umri wako bdo mdgo pambana nyumbni mambo yatakaa sawa tu kalibu katka kilimo
@hundamaniamania872
@hundamaniamania872 5 жыл бұрын
Duuuh Wesgate cort no 09 From john foster dahhhh hyo kitambo sana Pamoja mwamba🤙
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Subhannallah, mtihani kwakweli, maisha ni safar ndefu mmmmh! Pole sana kaka, ila umeniudhi kuweka matatoo usoni, mtu akikuona tu, atakufikiria ni jambazi kweli.
@ruuh5149
@ruuh5149 4 жыл бұрын
Mambo naomba nitaft 0683924441
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 5 жыл бұрын
Duh stories nzuriiiiiiiiiiiiii. Km na wewe unaikubali hii gonga like.
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 5 жыл бұрын
Millard Ayo Hongera Sana, Keep Inspiring.
@Nacy_katoto
@Nacy_katoto 5 жыл бұрын
Daaaah Cdhan km utakua sio ww Ben wa keko Magereza,,, nakumbuka Pale Wailes secondary school mwisho kukuona home boy ila pambana ndo changamoto za maisha ayo....Daaaah Respect Boyi
@saedrashed2896
@saedrashed2896 5 жыл бұрын
Nacy Avelin katoto .. avelin laurian
@muktartz7314
@muktartz7314 5 жыл бұрын
Leo naomba like ya Millaedayo #milladayo
@DrSanai
@DrSanai 5 жыл бұрын
Ambao tumebahatika kuishi nje, tunaelewa uhalisia. Vijana wenzangu tuthamini kwetu, tubaki nyumbani tupambane nyumbani, tupajenge nyumbani, tupapende nyumbani, inawezekana sana kufanikiwa nyumbani....maisha nje ni gharama sana
@fatumazuber7513
@fatumazuber7513 5 жыл бұрын
JUMA SELEMANI SANAI kweli broo
@africanboyamani8640
@africanboyamani8640 5 жыл бұрын
Nakubari
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 5 жыл бұрын
Very true tena nchi za watu ngumu sana
@omarymansuri2406
@omarymansuri2406 5 жыл бұрын
Kweli kabisa Kaka J Me Mwenyewe Nipo Durban now
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
True kabisa from USA
@safiamontana4333
@safiamontana4333 5 жыл бұрын
Interview ipo poa ongera saaana Millard ayo but angalia kwenye maendeleo nazungumzia about 🎤🎤 siku izi kuna zile ndogo inakua hungoji kucha ngia n mgeni wetu kitu kama icho big up bro naipenda kazi yako 💪💪
@alimohammedali4925
@alimohammedali4925 5 жыл бұрын
Ben Kiwale Pritchard street & mooi jengo hilo niliwahi kuishi 2002, nijengo linalomilikiwa na jamaa mmoja anaitwa NASA ni mrangirangi, ni kweli jengo hilo kuna waTZ wengi wanaishi na ni City Center.
@albertopereira1056
@albertopereira1056 5 жыл бұрын
Salute Mm nimekaa Deviliers and Quartz street Nakubali
@albertopereira1056
@albertopereira1056 5 жыл бұрын
Nimekaa miaka minane
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 4 жыл бұрын
Pole sana bro tunajifunza kupitia ww kweli ukiwa huna hatia Mungu anakutetea mahali popote
@robertdaud9894
@robertdaud9894 5 жыл бұрын
Npo Pritchard Johannesburg ,the truth is life is hard needs patient passion and persistence .As men we were born to hustle l will fight a fight till I die as a real nigga
@theresiakaruhanga1169
@theresiakaruhanga1169 5 жыл бұрын
kijana huyu yuko honesty sioni kwanini kumtukana. ila watu wengine matunzo ni jadi yao🤔🤔🚞
@geophreymwakasyuka3825
@geophreymwakasyuka3825 5 жыл бұрын
Nimewai kuwa huko Durban to jburg, southafrica unatakiwa kuwa fighter kweli, pia unatakiwa kuwa mpiganaji toka day one.
@Sidik-d7e
@Sidik-d7e Жыл бұрын
I LISTEN THIS STORY ITS TOO SAD BUT MY ADVICE HOME SWEET HOME UR COUNTRY IS BEST TZ 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 5 жыл бұрын
Kama umemkubali mpambanaji uyu gusa like acha chuki.
@bopatzbopatz5419
@bopatzbopatz5419 5 жыл бұрын
Ammnueli mnyama
@mudysadiki6146
@mudysadiki6146 5 жыл бұрын
Da pole sana kaka kwa maisha magum ulio pitia mungu bado ataendelea kukulinda ila kua makini sana
@paulothadeo9730
@paulothadeo9730 5 жыл бұрын
Nije
@bekabakari9595
@bekabakari9595 4 жыл бұрын
Goodluck Temu
@zarunaamwanajimba1950
@zarunaamwanajimba1950 4 жыл бұрын
Pole mdogo angu hayo ndo maisha, na pia unauvumilivu sana hongera kwa sasa tafuta maisha nyumbani.
@muharamijuma4148
@muharamijuma4148 5 жыл бұрын
pole hom boe hizo nichangamoto tu za maisha one day yes
@danilopato8472
@danilopato8472 5 жыл бұрын
Bob.pole sana.ila mungu akusaidie utoboe kweny maisha kama ulivyoweza kutoboa sikio mungu.akutie nguvu
@mlugumbogo7675
@mlugumbogo7675 5 жыл бұрын
Chizi ww😹😹😹😹
@danilopato8472
@danilopato8472 5 жыл бұрын
mlugu sasa MTU kama uyo jinsi alvo akipita kwako atakama kuku kaenda kuzurula lazima utahisi kama kaiba tu
@mntwanawabantuacademy4170
@mntwanawabantuacademy4170 5 жыл бұрын
what about WaMaasai.. wana hereni ni tatizo?,, also, i it a problem , why people dissing him, stp judging a book by a cover, kila mtu atabeba mzigo wako, he is smart kid, i feel him, ni soldier huyu mchini namheshim sana, annikumbushia nililala miaka MITATu homeless, NJE, chini ya mdaraja, nilikuwaga ombaomba, kwa miaka mitatatu, nikachekwa sana, iliniuma sana, KABLA SIJAANZA KUFANIKISHA MALENGO YANGU NA WENGI WALINING'ONGA SANA , jah amenibless,
@apostlejackpraise2116
@apostlejackpraise2116 5 жыл бұрын
True man....
@masawemushi7515
@masawemushi7515 5 жыл бұрын
Lv daban
@ausiswalehe6273
@ausiswalehe6273 5 жыл бұрын
Kikubwa Mshukuru Mmungu Umerudi Nyumbn salama, Karibu sana TZ karbu Tukomae Kwetu.
@rachelchelango941
@rachelchelango941 5 жыл бұрын
Ttrue
@2pacdaud29
@2pacdaud29 5 жыл бұрын
Cool bro unalijua life kaka Godbless yoh ma men
@abbynamungu4783
@abbynamungu4783 4 жыл бұрын
Eeeeh, bwana good story hayo ndo maisha kiume never give up
@emmanuelchizenga1572
@emmanuelchizenga1572 5 жыл бұрын
Tupendane watz na tumepende home kwetu maisha maagum kokote kikubwa ni tupambane tu popote waungana
@zainaburamadhani9650
@zainaburamadhani9650 4 жыл бұрын
Aaah,nimesoma nae jaman tang msing paka secondary wailes
@meedaafarai9677
@meedaafarai9677 5 жыл бұрын
Pole kaka. Maisha mitihani. Umefika nyumbani. Mshukuru mungu.
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 жыл бұрын
MEEDAA FARAI mitihan kaitafuta mtu anae tafuta haishi kama mjinga hvo huo ni upuuz waish kwa kuiga wahuni
@jacksontulito969
@jacksontulito969 4 жыл бұрын
Kweli mkuu, lakini maisha popote tu cha muhimu tumtangulize Mwenyez Mungu
@apostlejackpraise2116
@apostlejackpraise2116 5 жыл бұрын
Me mkenya ila sipendi watanzania wengine wanavyo mkosowa huyu dogo kwa kizungu anachoma I kiongea, mbona wazungu wakiboronga kiswahili hamuwacheki, acheni unafiki bana... Kaka usijali tunajifunza kutokana na makosa yetu
@veronicamkali6283
@veronicamkali6283 5 жыл бұрын
jack praise uko sahihi
@mwadangalamwanjelile5469
@mwadangalamwanjelile5469 5 жыл бұрын
@Mwajuma Kilobwa m
@khadijasaid5461
@khadijasaid5461 5 жыл бұрын
Hata hao wanao kosoa pia awajui 😂😂😂 ni Kweli wa tz tunatupia hiyo sana 😈
@aminasalum1954
@aminasalum1954 5 жыл бұрын
Mbon yupo vizr tuu aaa nimaisha tuu mwenyew naboronga English acha tuu
@abrahamjoseph2589
@abrahamjoseph2589 5 жыл бұрын
Kweli
@sifamugwaneza1178
@sifamugwaneza1178 5 жыл бұрын
Duh!! Nani Jonas bug kbs maana imewaweka mwaka mzima dah I see poleni san kaka ake ndio ukubwa huo ila hapo najua mumepata funzo kua nakuwaelimisha vijana wengine, shukran san kwako #MillardAyo me nakukubaligi san
@ashab2537
@ashab2537 5 жыл бұрын
Na vijana wengi wanaoingia south Africa ni wengi mno wachuuzi wa madawa ya kulevya, Na wao kwa wao wana tabia ya kuchomeana
@samniza1763
@samniza1763 4 жыл бұрын
Ni vizuri sana kupata exposure ili utambue mafanikio ni popote, bila kutoka huwezi kuziona opportunities zilizopo nyumbani. Tulio nje ya nchi tunaona opportunities kibao baada ya kuishi nje muda mrefu.
@festonelee8509
@festonelee8509 5 жыл бұрын
Millard Ayo the best in asking questions
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 жыл бұрын
Pole sana bro ..!! Sisi wa toto wakiume tusiogope kutoka nje ya nchi ..mana ata ukiwa apa Tz unaweza kusingiziw kesi na ukafungwa vilevile
@salimuamini7023
@salimuamini7023 5 жыл бұрын
michael samson Hata Mimi Naona ndivo Hivo Ila polee sanaaa Broo
@abduladhimually3542
@abduladhimually3542 5 жыл бұрын
Alyesikia jonas bagi kama mimi agonge like twende zetu😂😆
@SamGatiNHO
@SamGatiNHO 5 жыл бұрын
abduladhimu ally tulipekwa kituo cha Sentelo ( central ). Ukikutwa Guiliti ( guiltily) hahaha
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Ndio kinacho watambulisha. Pengine hata anaulizwa ajitee ana baki kusema mi no Tanzania mi No sif.
@fredmsigwa4047
@fredmsigwa4047 5 жыл бұрын
Hahahaaaa!!!!Jonas bag
@yvonnepeter3487
@yvonnepeter3487 5 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃
@zullaicamatola3431
@zullaicamatola3431 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@esterester5490
@esterester5490 4 жыл бұрын
Du mungu akusaidie kaka endelea kupambana uschoke
@Burner_Acc
@Burner_Acc 5 жыл бұрын
Kwa huo muonekano lazima awe mtuhumiwa sehemu yoyote. Hata kwenye daladala mtu akipoteza simu lazima waanze nae
@allymtz4348
@allymtz4348 5 жыл бұрын
Hahahahaa
@kulwajoel2465
@kulwajoel2465 5 жыл бұрын
anasema uongo watanzania wengi walishakuwa waarifu south africa
@elinahdaudi8195
@elinahdaudi8195 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@richardcharles5210
@richardcharles5210 5 жыл бұрын
Hahahahahahah
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 5 жыл бұрын
Umeona eeeeh
@Simangwa
@Simangwa 10 ай бұрын
nakubali sn mwamba mnao mtukana mwamba mna feli mbona mnaogopa hata kupanga hata chupa cha 20 hongera ndugu 2 be continual
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 5 жыл бұрын
jamaaa tayari anadegrii ya maisha , high confedence 9c
@zaidukinawa5530
@zaidukinawa5530 4 жыл бұрын
Nakubali
@tashwakotaii3632
@tashwakotaii3632 5 жыл бұрын
Daaad damu yangu karibu keko ndio home wanao tupo ben
@jjboy5157
@jjboy5157 4 жыл бұрын
😂😂😂😂sisi bado tupo huku tunasavaiv
@rashiangereza2044
@rashiangereza2044 5 жыл бұрын
Yah kweli kabsa iko kitu kama hii ipo. wa tz wanachomwa moto na wazulu wanapigwa chupa pub.tena usiombe wazulu wakuone unapika chai na vitumbua wataku shea kanda akokhole.
@ismailkatala4792
@ismailkatala4792 5 жыл бұрын
I think before judging his appearance......kuna kitu cha kujifunza kwenye story ya huyu bro na lengo la hii interview ni kutoa lesson kwa Jamii hasa vijana.....But naona wengi naona tunajikita kukosoa mwonekano na grammar......Maneno ya busara unaweza kuyapata hata kwenye mdomo unaonuka.....!
@AIPusle
@AIPusle 5 жыл бұрын
Ni kweli bro
@jacksonchimomo554
@jacksonchimomo554 5 жыл бұрын
Ismail Katala Achana nao hawana Akili wajinga Sana
@bahatijuma144
@bahatijuma144 5 жыл бұрын
peter adriano MN
@amanimanase5794
@amanimanase5794 5 жыл бұрын
Daaah real broo
@zakaliabuxh7675
@zakaliabuxh7675 5 жыл бұрын
Nakubali hustrel za mshikaji gud bro
@mrsochu-hv7bm
@mrsochu-hv7bm 4 жыл бұрын
Jamani south Africa kuzur achen tu ma hom Boy wakimbilie Kule mi nimekaa miez miwili Johannesburg ni pazur hatare
@hollymore4904
@hollymore4904 5 жыл бұрын
Kofia ime egeshwa kisela sana Millard... Si unajua bana!!
@raheemamkambha6013
@raheemamkambha6013 5 жыл бұрын
Swaga🤣🤣🤣
@hollymore4904
@hollymore4904 5 жыл бұрын
@@raheemamkambha6013 hahahaa...noma sna mama
@nyamarungujr7834
@nyamarungujr7834 5 жыл бұрын
@@hollymore4904 anamuhoji msela lazima awe kisele ili apate details
@carlsonhunter620
@carlsonhunter620 4 жыл бұрын
Pole yako kaka
@chriskingnampoto3214
@chriskingnampoto3214 5 жыл бұрын
Millard ningeipata hio rozari ingekua fresh sana
@hassanigustavo3856
@hassanigustavo3856 5 жыл бұрын
Km hujapita masha Fulani hujakomaa
@CHRISTIANCHRISTOPHERKATTO-z5z
@CHRISTIANCHRISTOPHERKATTO-z5z 3 ай бұрын
Huyo Dogo namjua nilisema nae. Nilimtangulia kidato kimoja. Alikuwa Msela sana
@allybeka8401
@allybeka8401 5 жыл бұрын
hawa ndo vijan ninaopendaga yaan upambambaji wa maisha napenda san story
@nivogee9830
@nivogee9830 5 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali blood life la jburg life moja amaizing af pia n life tough usipmee ila kwa maree ilawabshi tuliishi man dua dua sana kwa wapambanaji
@estamelejomah572
@estamelejomah572 5 жыл бұрын
Nashukuru umeludi salama kalibu keko mimi nipo omani
@aminaelisha8183
@aminaelisha8183 5 жыл бұрын
Estamele Jomah vp mwaya
@shabanikingolile7091
@shabanikingolile7091 5 жыл бұрын
pole sana fighter maisha popote ila dua muhimu
@mosesambrose5709
@mosesambrose5709 5 жыл бұрын
Hyuu jmaa ni school mate wangu jamn dooo jamaa huyu Dar.
@pendosammy5984
@pendosammy5984 5 жыл бұрын
kweli
@Nacy_katoto
@Nacy_katoto 5 жыл бұрын
Oya uyu Sio Ben wa Wailes secondary kwel naic km Ndo uyu iv
@martinaantipas6790
@martinaantipas6790 4 жыл бұрын
Ndio Ben mwenyewe uyo inasikitisha sana
@mwanaidisalehe3389
@mwanaidisalehe3389 4 жыл бұрын
Mwenyewe namjua sana uyu kaka halikuwa anapita sana keko mabembeani
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 5 жыл бұрын
Mungu mwemaa mmerudi salama
@fadhilplatnumz6209
@fadhilplatnumz6209 5 жыл бұрын
Huaga cici Watanzania Nchi ZaNje tunanyanyaswa saana" Nawashangaa Polis wakwetu Tz hawanaga Ishu nawageni wakat wapo wazurula tu Kkoo hapo
@agaaah6697
@agaaah6697 5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@myself4128
@myself4128 5 жыл бұрын
Njaaa, tatizo la hawa askari hata elimu juu ya haki za wazawa hawana,wamepitia mafunzo ya kupiga na kuonea raia nakutumia bunduki tuu
@danneismail5442
@danneismail5442 5 жыл бұрын
Mbona mimi mkenya +254 niliingia TZ na pande za moshi nikiwa temporary passport nikashikwa na kuacha kila kitu changu geust na kuridishwa na lungalunga
@danilopato8472
@danilopato8472 5 жыл бұрын
polisi wa tz njaa tupu wapo
@TravelTheWorld0000
@TravelTheWorld0000 5 жыл бұрын
ukiwa mkenya tz utatimuliwa mbio sana
@bahatikengese3603
@bahatikengese3603 3 жыл бұрын
ayo huwa anajuwa kuwa hoji vizuri safi sana yan ww tz ndi mtangazaji bora mm huwa naona
@thomasmaphior79
@thomasmaphior79 5 жыл бұрын
Don't worry bro mey be you like president Mandela life is not easy suffer hakuna shida isiokuwa na solution be happy brazee
@Deejay_muddrah
@Deejay_muddrah 5 жыл бұрын
Mirlad ayo big up bro unajua sana
@universalcliptv4871
@universalcliptv4871 5 жыл бұрын
Watanzania wame fungwa sauzi wapo wengi......ukweli ukweli wengi wana ishi maisha ya ujambazi na jinai.......habari izo zina fichwa kwa familia zao uko tanzania!
@amirsham3352
@amirsham3352 5 жыл бұрын
wewe uyawezi ndyo maana unaogopa kiwanja
@priscaandrew554
@priscaandrew554 5 жыл бұрын
Kweli best,mm nna mfano halisi
@Taifadigital
@Taifadigital 5 жыл бұрын
@@priscaandrew554 unaweza kutupa mawasiliano kwa ajiri ya kufanya mahojiano nao
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 жыл бұрын
m
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 5 жыл бұрын
@@Taifadigital Acha kufanya udalali katika channel ya watu, uwo sio uwandishi mzur!!
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 2 жыл бұрын
Pole
@shaloboy3861
@shaloboy3861 5 жыл бұрын
Sema kweli kilichokutokea jela hadi kuvishwa kipuli
@zainabukhalifa3967
@zainabukhalifa3967 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂hiyo ni siri
@pamelangowi4487
@pamelangowi4487 5 жыл бұрын
Shalo boy we nawe kuma kwel
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 2 жыл бұрын
Hatari sana
@mnyakitz2007
@mnyakitz2007 5 жыл бұрын
Millard ni fundi wakuuliza maswali cjui kwann wengine wanaletaga ucheshi kwenye interview...
@mpondamedia2416
@mpondamedia2416 5 жыл бұрын
U
@sakinayusuf5072
@sakinayusuf5072 5 жыл бұрын
Dah pole sana kakaangu TMK mwenzangu
@Basagamp4
@Basagamp4 5 жыл бұрын
Nina Mifano Miingi ya Dizaini hii ya watu na watu wangu. Ukienda Nchi za Wenzetu na ukipata Chance ya Kufanikiwa ktk utafutaji unafanikiwa kweeli kweeli na ukifeli unapoteza Maziima kabisa A to Z. Ukirudi Bongo inabaki stori kuwa nishahaso saana Mpaka Ng'ambo. Baada ya hapo unagongea Jero kwa Wana. #EeeeMUNGU tujaalie ktk utafutaji
@geophreymwakasyuka3825
@geophreymwakasyuka3825 5 жыл бұрын
Kweli kabisa bigerup.
@Basagamp4
@Basagamp4 5 жыл бұрын
Geophrey Mwakasyuka Vijana tupunguze saana Tamaa
@Basagamp4
@Basagamp4 5 жыл бұрын
KINGCHARZ TV Namba yangu naweza kupa,sasa inategemea wao wahusika watakubali hayo Mahojiano?
@Taifadigital
@Taifadigital 5 жыл бұрын
@@Basagamp4 nipe wala usijal Tutajuwa Namba ya kufanya
@Taifadigital
@Taifadigital 5 жыл бұрын
@@Basagamp4 nipe namba tutajuwa Tunafanyeje
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 4 жыл бұрын
Mmmmmh mbona Kama Teja, jamani
@rnfgpdentertainmentcompany5054
@rnfgpdentertainmentcompany5054 5 жыл бұрын
STREET HUSTLERS GOD BLESS EAST AFRIKA 🇰🇪🇹🇿
@masongatz
@masongatz 5 жыл бұрын
Umenikumbusha nyumbani huko "Johnvoaster" mzee ndo safari inaanziaga pale ukienda kwa mkumbo kiwanja umeumia ubaharia Imani huko kote unakosema tushapita welcome back hom bro RADIGA Metal works Hillbrow
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 5 жыл бұрын
Dah..! Ingawa hakufanikiwa kuwa Movie Star.... Angalau amejifunza KIZULU na KIDHUNGU.
@OmanOman-hr6cb
@OmanOman-hr6cb 5 жыл бұрын
😀😀😀
@carolmuchiri788
@carolmuchiri788 5 жыл бұрын
Pole sana Kaka Mwanaume nikutembea na kuona mengi hongera,Na maisha yaenderee kama kawaida u will make it usife Moyo!
@loner_wolf
@loner_wolf 5 жыл бұрын
Lindela deportation center . Unanikumbusha mbali lkn stori yko ngumu as if unatengeneza isidingo kichwani
@ruuh5149
@ruuh5149 4 жыл бұрын
Nataman kwl kuishi nje kutaft pesa kihalali
@malitomalito
@malitomalito 7 ай бұрын
Huyu muongo mimi niko South afrika
@jitahidmoto5697
@jitahidmoto5697 5 жыл бұрын
Hongera
@husseinmunga9591
@husseinmunga9591 5 жыл бұрын
kama we ni mkenya 👇🏿
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 2 жыл бұрын
Mtihani
@johnsonpaul2883
@johnsonpaul2883 5 жыл бұрын
Ungemchikua huyo kijana beni anafahaa kuwa mtangazaji anasauti ya utangazaji na swaga za utangazaji pia anafaa kuwa reporter
@luciangeorge4642
@luciangeorge4642 5 жыл бұрын
kabisa jamaa anasauti ya utangazaji kabisaaaa
@mdachiog5211
@mdachiog5211 5 жыл бұрын
Kabisa anafaa
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Exactly my dear
@yussufmoha
@yussufmoha 4 жыл бұрын
Reporter na utangazaji n komoja
@anilotanzania8807
@anilotanzania8807 5 жыл бұрын
Daah bora ungebaki huko... Huku maisha hoiiiiii
@magembetz6298
@magembetz6298 5 жыл бұрын
Watoboaje mskio mtoto wakivme na kvweka hereni kabisa hcho ndicho mnacho kifuata huko sovth
@alexexperius7314
@alexexperius7314 5 жыл бұрын
Asee kongole kwake kwa ujasiri. "Hakuna jambo Dogo kwa mzazi" nimependa hayo maneno. Fahari yake na matamanio ilikiwa masuala ya Sana'a na uigizaji, kwa mazungumzo haya naamini kabisa wakongwe wanaweza kumpa pahala pa kuanzia maana anaweza mno.
@wag1fam958
@wag1fam958 5 жыл бұрын
Millard nice interview .
@Derevamkongwe6864
@Derevamkongwe6864 5 жыл бұрын
Yani hakuna sehemu tamu kama Tanzania mana hata usipokuwa na pesa unanenepa
@subiramussa1428
@subiramussa1428 5 жыл бұрын
Ha ha ha
@edinamangu9637
@edinamangu9637 5 жыл бұрын
we ni bangi 2
@dullyninja6137
@dullyninja6137 5 жыл бұрын
Tembea ujionee kuma wewe
@haythamomary6884
@haythamomary6884 5 жыл бұрын
Tanzania njaa tu kaka haina kuficha
@dominicmtopwa2886
@dominicmtopwa2886 5 жыл бұрын
Exactly
@aishaabdallah3906
@aishaabdallah3906 5 жыл бұрын
Gud.. Mpambanajiiii Tuliosoma Wailesiii ..tujuanee Like muhim
@yusraibrahim8218
@yusraibrahim8218 5 жыл бұрын
Eee jaman Raazz wangu pore kwayalio kukuta ktk safali yako😂😂
@rewmfingwa7828
@rewmfingwa7828 5 жыл бұрын
Asante muuupenzi
@shabanimbowela6118
@shabanimbowela6118 4 жыл бұрын
Kama unamkabali mwana halakati gonga like
@johnieutakajr5231
@johnieutakajr5231 5 жыл бұрын
26 life
@masuseleman978
@masuseleman978 5 жыл бұрын
Ukienda kichwa mkuki lazima udunde. Jipange ukitaka Safari. Sio ushakula bange zako .eti ooh mi nasafiri . Safari tu ..mi nawashauri tu kama unatala Safari jipange hakuna linalo shindikana.
@vakwawesanga733
@vakwawesanga733 5 жыл бұрын
Asante ayo tumeelewa
@hamisijmussa6983
@hamisijmussa6983 5 жыл бұрын
South Pale mashoga wengi sana .. Wa TZ tunaoenda kule ndo malijali lazma kiwake mzee
@faridaiddi104
@faridaiddi104 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hamisijmussa6983
@hamisijmussa6983 4 жыл бұрын
@@faridaiddi104 😁😁
@issamgao3306
@issamgao3306 5 жыл бұрын
Hakuna jambo dogo kwa mzazi Usihukumu kitabu kwa muonekano wa nje He is very bright guy👊
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 жыл бұрын
mimi nimeishi zaid ya miaka 4 lkn mnajiweka kihunu
@masabodjuma2263
@masabodjuma2263 4 жыл бұрын
Ayo..tv unajuwa kuoji kipaj unacho sana
@jacquelineadrian1112
@jacquelineadrian1112 5 жыл бұрын
Wanateseka Sana jamaazetu ....mdogo wangu alipigwa risasi south Africa nikiskia hv naumia Sana
@flaviousbenedict6489
@flaviousbenedict6489 5 жыл бұрын
Pole sana
@jaypili9955
@jaypili9955 5 жыл бұрын
mungu ndie muweza bro
@allyduwa9914
@allyduwa9914 5 жыл бұрын
Pole sana bro yote maisha hila shukur mungu umerudi nyumbani salama pambana hili ufikie ndoto zako
@faudhiaissa3429
@faudhiaissa3429 Жыл бұрын
Ooo
@chibudenga8977
@chibudenga8977 5 жыл бұрын
M nimekaa Durban almost3yrs ukiwa smart unapiga mishe zako bila tabu sema mwana anatoa siri za jandoni
@Richforever66
@Richforever66 5 жыл бұрын
Hizo hazina shida na kama kuna kosa wamelifanya Kama kuruhusu simu basi baada ya video hii wakiiyona wataacha
@chibudenga8977
@chibudenga8977 5 жыл бұрын
@@Richforever66 yah
@malitomalito
@malitomalito 7 ай бұрын
Kweli mwanangu
@riotsaddam5474
@riotsaddam5474 5 жыл бұрын
Big up kwa kurud home.acha sisi tuendelee kutulia tulia huku.life is everywhere.afu pia tuamini tu kuwa changamoto zipo kokote..hata ukiwa nchini kwako bado changamoto zitakuwepo tu.that is life
@nurudovino288
@nurudovino288 5 жыл бұрын
Poleni sana ila mungu mwema pia mlikuwa mnakula vizuri sihaba
@mathossecuritycompanyltd6306
@mathossecuritycompanyltd6306 5 жыл бұрын
Nuru Dovino
@tandastan2698
@tandastan2698 4 жыл бұрын
Asante
@Papa2thaE
@Papa2thaE 5 жыл бұрын
Remmy Ongara alishaga imba long time. Mwenye sikio na asikie.
@januaryjoseph4383
@januaryjoseph4383 5 жыл бұрын
I was there by that day I escape though emergence door Mungu ni mkubwa
@judymmuinde9321
@judymmuinde9321 4 жыл бұрын
Shukuru mungu
@januaryjoseph4383
@januaryjoseph4383 4 жыл бұрын
Amina
@judymmuinde9321
@judymmuinde9321 4 жыл бұрын
Safi
@januaryjoseph4383
@januaryjoseph4383 4 жыл бұрын
@@judymmuinde9321 0753956720
@januaryjoseph4383
@januaryjoseph4383 4 жыл бұрын
+255753956720
@oliverkyando9897
@oliverkyando9897 5 жыл бұрын
Nafikilia chanzo kuwa ni mwanamke ,mungu Tusamehe
Africa's Got Talent! The BEST Acts from Africa EVER!
1:01:41
Got Talent Global
Рет қаралды 5 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН
'Nilishtuka na mwili kufa ganzi nilipohukumiwa kunyongwa'
37:06
BBC News Swahili
Рет қаралды 24 М.
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН