UJENZI WA FLYOVER WAPAMBA MOTO ZANZIBAR

  Рет қаралды 8,054

ASAM Online TV

ASAM Online TV

2 ай бұрын

Пікірлер: 41
@SuleimanSaleh-js5wh
@SuleimanSaleh-js5wh 2 ай бұрын
Jekeni unguja Pemba hata njia ya kutoka mkoani mashimo tu mungu anajuwa kilio cha wapemba kwani tunalipa mapato kwa wote
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go Ай бұрын
Serikali ya CCM ni ovyo tu
@YussufJumaOmar-pe8yg
@YussufJumaOmar-pe8yg Ай бұрын
Ni wajinga kwel nyinyi wenyenu hamujeng mnakuja kuja huku
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 Ай бұрын
​@@YussufJumaOmar-pe8ygwajenge kwani wao ndo serikali? Habithul a'mal wewe
@YussufJumaOmar-pe8yg
@YussufJumaOmar-pe8yg Ай бұрын
Nawew hvy hvy
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 Ай бұрын
Cc bro pemba tusilalamike hao tumeshawakataaa milele hakuna shida
@Ablahisaid
@Ablahisaid 11 күн бұрын
Badala ikajengwa barara ya mkowni kwnza haipitiki mashimo matupu lakini silaumu ss wapemba hatuna haki km wa unguja kwni kinachonishangaza tunalipa makodi lakini barara za pemba mtihani mtupu hata ukisikia kwjengwa nikwjili ya waekezaji sisi wnanchi tunateseka
@user-dz1gm4dh7e
@user-dz1gm4dh7e Ай бұрын
Flyover wakati daraja jomany tunadanganywa saanaa Kwa tuloona Kwa macho ndo tunajua
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka Ай бұрын
Kweli hilo ni daraja
@user-gy5ii3ig1d
@user-gy5ii3ig1d Ай бұрын
Hamna kitu hapo Mwinyi anawafanyia Wazanzibar usanii tu,Zanzibar yanuka njaa shida tupu,vijana ajira hawana yaana maisha yanazidi kuwa magumu kila kukicha😢.
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 Ай бұрын
Kweli Zanzibar inahita flyover
@abdulrahmanrajab4369
@abdulrahmanrajab4369 2 ай бұрын
hamn mpang wwt tang siku izo njo kwaz nguzo ingelikua zina kwend mpk nungw je si mnge jeng mkp kiama
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 2 ай бұрын
Setting ndio kazi kubwa kuliko kuendelea kumwaga hiyo zege.... wakimaliza hapo speed itakuwa kubwa.... foundation ni muhimili wakifeli hapo hamna kitu..... wacha tusubiri
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke Ай бұрын
Ukikua utajua
@RashidAbdallah-oo7cd
@RashidAbdallah-oo7cd Ай бұрын
Mwandishi acha kutumia nebo Zanzibar ktk hili dema Unguja Yaani huko ndo kwenye serekali Huku Pemba ni kama kisiwa cha watoto wa kambu
@official_masud
@official_masud Ай бұрын
Kuweni serious watu tumesoma kila neno tutafsiriwe kama cha3 B
@salyali7807
@salyali7807 2 ай бұрын
Jamaa wa bara wanapewa kazi .. wazanzibari wanaangukia patupu
@Hussein-qq2uy
@Hussein-qq2uy 2 ай бұрын
Duh sijapata kuona nyinyi watu ni wabaguzi mno ,,,mbona wazanzibar hawabaguliwi huku Tanganyika wako huru hivi hamuoni hicho mnachokifanya mtakuja Jutia baadae?kwani nini maana ya muungano?Na kwanini mtu wa bara awe hana haki ya kupata ajira zanzibar ?Nakuhakikishieni muungano ukivunjika nyinyi mtaumia na mtaathirika pakubwa kuliko watanganyika,,
@omarhababuu3159
@omarhababuu3159 2 ай бұрын
​@@Hussein-qq2uyjaribuni muone tanganyika mutakapoangamia. Itakuwa hamuna bandar tena wala bahar yakupita meĺi yamakontena mpaka mutulipe ss wazanzibari ndoturuhusu. Meli zipite bahari yawazanzibari zije tanganyika kushusha mizigo
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go Ай бұрын
​@@Hussein-qq2uyTuathirike kwa kipi 😂😂 wakat ni sisi ndio tunawalisha mumezidi unyonyaji kima nyinyi achaneni na sisi
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Ай бұрын
Huyo Ndugu Suleiman Cosmas aliwahi kuwa mbunge wa Bububu ni mtu na nusu na muungwana sana ila hizo siasa za hovyo ndizo zilizomtoa kwenye ubunge!
@ZubeirJuma-up7kb
@ZubeirJuma-up7kb Ай бұрын
Kwa nini watanganyika mnangangania muungano mukixkiq uvunjike mnalia maisha ya kwenu hamna pesa halafu muko wengi hamna kazi mmejazana uku tumewachoka kwa ilo na zanzibar kitambo tuu hatutaki muungano​@@OmerSuley-gl7go
@juma3473
@juma3473 2 ай бұрын
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 Ай бұрын
YAKIJA MAFUTIKO NA MVUA KUBWA YOTE YATABANGUKA KISHA MLAUMIANE. ZANZIBAR SIO NCHI YA FLYOVER JAMANI!
@alirajab921
@alirajab921 Ай бұрын
sasa mwandishi wa habar hajui kingera yy kaz yak kukamata maic tu du zbc😅
@JumaSaad
@JumaSaad 2 ай бұрын
So good up to you Zanzibar
@humoudseyd7310
@humoudseyd7310 Ай бұрын
Wizi mtu umeme unataka siku mara tatu barabara zote mbovu njaaa imezidi..mgefanya wana nchi wanapata mlo kwanza daraja na njaaa itasaidia nini ?
@htx1873
@htx1873 Ай бұрын
Mbona no wazeee tuuu , VIJANA WAKO WAPI ???? Vibabu bado havitaki kustaaf .. muwape vijana ajira huyo babu mnamuona jinsi alivyo MZEMBE he don’t look strong he seems tired hata kuongea haeleweki yani . Hii nchi inani kera sitaki hata kuisikia
@binzubeirnasheed4088
@binzubeirnasheed4088 Ай бұрын
Ina maliza mwezi wa 10 Au wa 8 Raisi Mwinyi unaziingua viijana wa ki Zanzibar tupo. hatuna Kazi unaenda kuchukuwa watu bara wasio jielewa ,, kwanza sisi Zanzibar sio washamba hatuwezi kushangaa flyover
@tanzanite9944
@tanzanite9944 Ай бұрын
Acha Uchoyo na Ubaguuzi. Cha Zanzibar ni Chako na Bara ni Chako pia. Mbona Wazanzibari wako Bara wanajenga barabara husemi? Kwani Vujana wa Kitanganyika hawapo?
@hansclever334
@hansclever334 Ай бұрын
We kweli choko
@salyali7807
@salyali7807 2 ай бұрын
Upumbavu mtupu... wanajengewa wageni .. wazanzibari wafa njaa ... nonsense
@user-un3hr5kh6z
@user-un3hr5kh6z Ай бұрын
Flai ova zipite chai maharage
@user-un3hr5kh6z
@user-un3hr5kh6z Ай бұрын
Flai ova mwera bububu kisauni hakuna barabara
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 Ай бұрын
Shida yetu sio ujenzi wa masjabu Bali ni ZNZ HURU YENYE MAMLAKA KAMILI
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 Ай бұрын
Hata mjenge "PEPO" ,bado waznz shida YETU KUBWA ni ZNZ HURU YENYEAMLAKA KAMILI NA KITI CHAKE KIREJESHWE UNO!!!
MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
6:56
Global TV Online
Рет қаралды 646 М.
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 18 МЛН
WAFANYABIASHARA DARAJANI SOUK WALIA NA RAISI MWINYI
6:50
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 12 М.
Hoteli mpya ya Kisiwa cha Bawe, Zanzibar
4:17
Salim Kikeke
Рет қаралды 14 М.
KINACHO ENDELEA KATIKA UJENZI WA FLYOVER ZANZIBAR
6:23
ASAM Online TV
Рет қаралды 4,5 М.
HUO NI SEHEMU YA MKAKATI WA WAKANDARASI WA UJENZI WA MASOKO MWANAKWEREKWE,JUMBI NA CHUINI
6:49
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR
Рет қаралды 1,2 М.
Maeneo Huru ya Uwekezaji Micheweni Pemba
7:13
ZIPA TV
Рет қаралды 4 М.
#ANGALIA UJENZI MPYA WA TERMINAL4 ZANZIBAR
4:58
IsleBlogTv
Рет қаралды 4,5 М.