Jekeni unguja Pemba hata njia ya kutoka mkoani mashimo tu mungu anajuwa kilio cha wapemba kwani tunalipa mapato kwa wote
@OmerSuley-gl7goАй бұрын
Serikali ya CCM ni ovyo tu
@YussufJumaOmar-pe8ygАй бұрын
Ni wajinga kwel nyinyi wenyenu hamujeng mnakuja kuja huku
@aishamuhammad7785Ай бұрын
@@YussufJumaOmar-pe8ygwajenge kwani wao ndo serikali? Habithul a'mal wewe
@YussufJumaOmar-pe8ygАй бұрын
Nawew hvy hvy
@wadhhasuleiman2621Ай бұрын
Cc bro pemba tusilalamike hao tumeshawakataaa milele hakuna shida
@Ablahisaid11 күн бұрын
Badala ikajengwa barara ya mkowni kwnza haipitiki mashimo matupu lakini silaumu ss wapemba hatuna haki km wa unguja kwni kinachonishangaza tunalipa makodi lakini barara za pemba mtihani mtupu hata ukisikia kwjengwa nikwjili ya waekezaji sisi wnanchi tunateseka
@user-dz1gm4dh7eАй бұрын
Flyover wakati daraja jomany tunadanganywa saanaa Kwa tuloona Kwa macho ndo tunajua
@TwalibuAlbaamiryShokaАй бұрын
Kweli hilo ni daraja
@user-gy5ii3ig1dАй бұрын
Hamna kitu hapo Mwinyi anawafanyia Wazanzibar usanii tu,Zanzibar yanuka njaa shida tupu,vijana ajira hawana yaana maisha yanazidi kuwa magumu kila kukicha😢.
@mohayussuf2057Ай бұрын
Kweli Zanzibar inahita flyover
@abdulrahmanrajab43692 ай бұрын
hamn mpang wwt tang siku izo njo kwaz nguzo ingelikua zina kwend mpk nungw je si mnge jeng mkp kiama
@KS-iw7qv2 ай бұрын
Setting ndio kazi kubwa kuliko kuendelea kumwaga hiyo zege.... wakimaliza hapo speed itakuwa kubwa.... foundation ni muhimili wakifeli hapo hamna kitu..... wacha tusubiri
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
Ukikua utajua
@RashidAbdallah-oo7cdАй бұрын
Mwandishi acha kutumia nebo Zanzibar ktk hili dema Unguja Yaani huko ndo kwenye serekali Huku Pemba ni kama kisiwa cha watoto wa kambu
@official_masudАй бұрын
Kuweni serious watu tumesoma kila neno tutafsiriwe kama cha3 B
@salyali78072 ай бұрын
Jamaa wa bara wanapewa kazi .. wazanzibari wanaangukia patupu
@Hussein-qq2uy2 ай бұрын
Duh sijapata kuona nyinyi watu ni wabaguzi mno ,,,mbona wazanzibar hawabaguliwi huku Tanganyika wako huru hivi hamuoni hicho mnachokifanya mtakuja Jutia baadae?kwani nini maana ya muungano?Na kwanini mtu wa bara awe hana haki ya kupata ajira zanzibar ?Nakuhakikishieni muungano ukivunjika nyinyi mtaumia na mtaathirika pakubwa kuliko watanganyika,,
@omarhababuu31592 ай бұрын
@@Hussein-qq2uyjaribuni muone tanganyika mutakapoangamia. Itakuwa hamuna bandar tena wala bahar yakupita meĺi yamakontena mpaka mutulipe ss wazanzibari ndoturuhusu. Meli zipite bahari yawazanzibari zije tanganyika kushusha mizigo
@OmerSuley-gl7goАй бұрын
@@Hussein-qq2uyTuathirike kwa kipi 😂😂 wakat ni sisi ndio tunawalisha mumezidi unyonyaji kima nyinyi achaneni na sisi
@noorbazaar9063Ай бұрын
Huyo Ndugu Suleiman Cosmas aliwahi kuwa mbunge wa Bububu ni mtu na nusu na muungwana sana ila hizo siasa za hovyo ndizo zilizomtoa kwenye ubunge!
@ZubeirJuma-up7kbАй бұрын
Kwa nini watanganyika mnangangania muungano mukixkiq uvunjike mnalia maisha ya kwenu hamna pesa halafu muko wengi hamna kazi mmejazana uku tumewachoka kwa ilo na zanzibar kitambo tuu hatutaki muungano@@OmerSuley-gl7go
@juma34732 ай бұрын
❤
@natafutamatatizo4382Ай бұрын
YAKIJA MAFUTIKO NA MVUA KUBWA YOTE YATABANGUKA KISHA MLAUMIANE. ZANZIBAR SIO NCHI YA FLYOVER JAMANI!
@alirajab921Ай бұрын
sasa mwandishi wa habar hajui kingera yy kaz yak kukamata maic tu du zbc😅
@JumaSaad2 ай бұрын
So good up to you Zanzibar
@humoudseyd7310Ай бұрын
Wizi mtu umeme unataka siku mara tatu barabara zote mbovu njaaa imezidi..mgefanya wana nchi wanapata mlo kwanza daraja na njaaa itasaidia nini ?
@htx1873Ай бұрын
Mbona no wazeee tuuu , VIJANA WAKO WAPI ???? Vibabu bado havitaki kustaaf .. muwape vijana ajira huyo babu mnamuona jinsi alivyo MZEMBE he don’t look strong he seems tired hata kuongea haeleweki yani . Hii nchi inani kera sitaki hata kuisikia
@binzubeirnasheed4088Ай бұрын
Ina maliza mwezi wa 10 Au wa 8 Raisi Mwinyi unaziingua viijana wa ki Zanzibar tupo. hatuna Kazi unaenda kuchukuwa watu bara wasio jielewa ,, kwanza sisi Zanzibar sio washamba hatuwezi kushangaa flyover
@tanzanite9944Ай бұрын
Acha Uchoyo na Ubaguuzi. Cha Zanzibar ni Chako na Bara ni Chako pia. Mbona Wazanzibari wako Bara wanajenga barabara husemi? Kwani Vujana wa Kitanganyika hawapo?