ILA JAMANI WATANGANYIĶA TUNATAWALIWA KIENYEJI SANA JAMANI.WANANCHI TUAMKE KUTETEA UTAIFA WETU VINGINEVYO NCHI INAUZWA JAMANÌ na NCHI INA HALIMBAYA KIUCHUMI,, KISIASA na KIJAMII "
@user-nt3my1jf9t16 күн бұрын
Ww mvutu kweli itauzwa na Nan?
@JacksonFrances16 күн бұрын
inauzwa na CCM Wenzio Wasiolitakia mema Taifa Letu Rushwa na Ufisadi Huoni Vimetapakaa kila kona au ??"
@MilloWamilonga-ft8ir15 күн бұрын
Suala hili mlaumuni julius nyerere alieikataa Tanganyika kuwa na serikali yake@@JacksonFrances
@salimmalaka25614 күн бұрын
@@JacksonFrances KWANI HAO MAFISADI NI CCM PEKE YAO??? WEWE UKIPATA UPENYO WA KUIBA UTAIBA NA RUSHWA UTAPOKEA USIJIFANYE MALAIKA.
@JacksonFrances14 күн бұрын
@@salimmalaka256 Acha Kuchukulia Kwamba Watu Wote Wana tabia Za Kishenzi Pasipokuwajua, CCM Wametufikisha Pabaya Sana Haijawahi kutokea Kwahiyo Ni Wakati Wao Kuachia Na Kukaa Pembeni Kabla Mabaya Hayajatokea "
@shaviercharvinho1817 күн бұрын
Zanzibar tukipata wabunge kama hawa kumi tu bungeni muungano ungevunjika 😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-mh9wy5ui8t10 күн бұрын
Watafuteni 😂😂😂
@GibsonNtamamilo17 күн бұрын
Kumbe TUNDU LISU yuko sahihi kabisa kusema kuwa Wazanzibar sio Watanzania.
@omaryjumas632717 күн бұрын
Kumbe tukisema kwamba Watanganyika wengi wamefanywa wajinga kuhusu kujua ukweli wa muungano huwa hatubahatishi. Hivi unaweza ukatutajia kirefu cha Tanzania, na ilikuwaje jina la Tanzania likapatikana? Jibu swali bwege we.
@sylvestercameo626317 күн бұрын
Hakuna mahali alinukuliwa Lissu akidai wazanzibari siyo watanzania, sijui hayo uliyapata wapi? Wazanzibari hawataki kuficha uasili wao, wanajivunia na kujitambulisha kwa uasili wao. Hawataki kuwa mbumbumbu walioisalimisha na kuifuta historia yao. Badala ya kuwabeza wanastahili kuigwa na kupongezwa!
@user-xe1im9tt1z17 күн бұрын
Elezea wanzibari ni watanzania ila watanzania si wanzanzibar
@talibsaid809617 күн бұрын
Si kweli wazanzibari ni watamzania lakini wwabara huwa mnafanya ishu kutibagua
@AhmedZahor17 күн бұрын
@@omaryjumas6327 Wa Zanzibari sio Wa Tanganyika kwani kabla ya 1964 kulikua nchi inaitwa Tanzania?
@japhetlinus389117 күн бұрын
Wabunge wakishiba posho zetu wanaanza kuongea wanachojickia na sisi tunaendelea kuwatafutia kwa jasho ...
@abduljuma780714 күн бұрын
Mbona likija swala la muungano
@hamismabula993410 күн бұрын
Mtu wa Bara haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar! Ila Wazanzibar wanamiliki ardhi Bara! Mbona huo ni ubaguzi wa wazi tu!?
@awatifalghanim110618 сағат бұрын
Siyo kitu cha ajabu mwanza kabla wewe hukuzaliwa watu wa Zanzibar walikuwa wakiingia Dar es salam kwa passport. Na yuko alokuwa mshenzi mmoja wa Zanzibar ndio alosema wa Bara waingie Zanzibar bila ya passport na wengi walikuwa hawajataka jambo hilo.
@huriyaomar331312 сағат бұрын
UNAJUA KUWA ZANZIBAR INAINGIA KWA TZ BARA MARA NGAPI? INAMEZWA NA BARA ZAIDI YA MARA LAKI TATU !! NA TANZANIA YOTE BARA NA VISIWANI HUMILIKI ARDHI KAMA YAKO ILA UNAPEWA LIZI NA HIYO LIZI INATEGEMEA NI MIAKA MINGAPI AIDHA 33 ,66, AU 99 LAKINI ARDHI SIO YAKO LAU KWENYE HIYO ARDHI KWAPATIKANA MAFUTA BASI SERIKALI WANACHUKUA WENYEWE, LAKINI NCHI ZA WENZETU ARDHI MALI YAKO KIKIPATIKANA CHOCHOTE MALI YAKO!!!!
@erickchaula508417 күн бұрын
Hakika lisu na mbowe naona wako sahihi kabisa na ss watanganyika tudai uhuru wetu
@faridmohammad380112 күн бұрын
Yani ww ndio mwenye akili nyingi ktk watu 100 niliowasikiliza ni kweli coz u haven't government so struggle ur cntry.. am srry umoja ni nguvu..
@SalumJuma-iz2gjКүн бұрын
Bora mudai uwo Uhuru wenu wazanzibar angalau tunywe maji hatuna Raha kwA nyie nahaya yote kayataka karume kuitoa nchi kw warabu kuipeleka kw wanyAmwez
@julianamwalongo604717 күн бұрын
Yaani Umeenda kwa wananchi kusikiliza shida zao, na wamekutuma, wamekuchagua uwawakilishe hoja zenyewe Ndio Kama hizo ,hata mpangilio wa kuongea huna ,hii nchi ni ngumu Sana.
@jumasaid279217 күн бұрын
Tatizo lipo ila wanapotezea kwa kuwa wanapenda sana pesa kuliko ubinaadamu wa binaadamu.
@IsidoreMakutu17 күн бұрын
Viongozi walioko madarakani wanajifanya hawaoni tatizo kwa sababu ya maslahi binafsi.Halafu wanaanza kuwalaumu Akina Lissu kwa kivuli Cha ubaguzi...
@celestinaregi18 күн бұрын
Ubaguzi mnao. Kweli wazanzibari. Leo umefanyiwa wewe unaona uchungu. Mnayotufanyia huku hamuoni kama ubaguzi. Shilingi Ina pande mbili mweshimiwa. Leo shilingi imekugeukia umeumia😂😂
@ayshasaid154714 күн бұрын
Wazanzibari wabaguzi sana
@SoudShuraim14 күн бұрын
Ulikuja Zanzibar ukabaguliwa
@kassim126212 күн бұрын
Nyinyi wtnganyika munongoza kwakubaguliwa duniani 😂😂😂wzungu wbguzi wkenya wbguzi wznzbar wbguzi ondokeni duniani bc
@hilalalhabsi204712 күн бұрын
SAFI SANA, KILA MMOJA ASHIKE NJIA YAKE. UKOLONI UMESHAPITWA NA WAKATI. TWATAKA NCHI YETU
@bellalygeomecky11455 күн бұрын
Hata tukiwa wabaguzi.......ni heri kwetu na nyie bakini na utanzania wenu
@AhmedZahor2 күн бұрын
Kweli Wabaguzi kwa ajili ya Nchi yetu si Mukaungane na Machogo wezenu Kenya Uganda Congo Burundi nyie Wa Tanganyika sisi Wa Zanzibari na Timu yetu ya Taifa Zanzibar Heroes
@bellalygeomecky11455 күн бұрын
Passport muhim....
@user-nm5sn2vr8c17 күн бұрын
Tunadai Tanganyika yeti! Wazanzibari wasitutanie
@awatifalghanim110618 сағат бұрын
Siyo Nchi mmoja ni Nchi mbili. Wacheni ubaguzi.
@JumaSalim-bd1ff10 күн бұрын
Safi Sanaa mbungunge w konde
@BonaBonala-bp5qm9 күн бұрын
Mimi mwenyewe siwapendi wa znz kwa kuuzaa bandari zetu bara mmeanza ubaguzi na mwanzirishi wa ubaguzi ni Mh samia na limote yake ya msoga tutamzomea samia wakati wa kampeni zake
@HafidhKhamis-ph8qg11 күн бұрын
Safii mbunge
@ahangfaith1180Күн бұрын
Nikwli mbunge asnt mungu akulinde na watanganyika wanasema kwl
@ahangfaith1180Күн бұрын
Ikiwezekana waufute tu muungano tmechoka wazanzibar kwa maneno ya watu wabara
@MsanangoMwalabu-rx1oo19 сағат бұрын
Huku Tanganyika wazanzibali wapo wachache sana kama polisi wataanza wao,sisi tutawagawana wasisahau hilo.tutafanya kama Nigeria kujibu ubaguzi waliofanya South Africa tunawakumbusha
@CornenciaFaustine-pd2rc17 күн бұрын
Hii ni dharau na ni kejeli ya kiwango ati na yeye ana fikra ya kuja kututawala watanganyika. Aah halafu waheshimiwa wetu wa bara wanashangilia.aah sijui afya ya akili wanayo kweli.
@camilomassao897117 күн бұрын
Kuna shida kubwa kwenye huu muungano, Kuna kesho na kesho hiyo Kuna watakaokaa na kuangalia maslahi ya muungano kwa pande zote mbili
@user-xe1im9tt1z17 күн бұрын
Tanzania ina mazombi sio watu
@fredducaunt8 күн бұрын
Kwanini
@ashahamad-mq3iz17 күн бұрын
Huna lote limekuganda hilo Passport ni lazima ipo zamani
@babazizu125510 күн бұрын
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
@babazizu125510 күн бұрын
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
@abdultour164717 күн бұрын
Zanazibar, Tanzania , Tanganyika iko wapi apo hatutaki muongano imetosha apo bc kila mtu achukue ubao wake ishaAllah vunjika shetani muongano toka na uwende Zako
@seifabdulwahid45794 күн бұрын
Sisi wazanzibar hatutaki Muungano hauna faida na sisi, tatizo lenu mkiitwa watanganyika ndo mnasema mnabaguliwa
@MrKhatibu17 күн бұрын
Yaani huyu mbunge imekuaje anaongea lsfudhi ya kibara kamavile haja zaliwa na ku kukulia Pemba. Au ndio wale ambao makaazi yao yapo Bara ila jimbo liko Pemba 😅😅😅
@hilalalhabsi204712 күн бұрын
TUNATAKA WAJE PEMBA KWA PARSPOT HAWA WANYAMWEZI😂😂😂
@AbdulrahmanSalum-vs4jd23 сағат бұрын
Muungano usivunjike lakin passport muhim
@fredrickmwakalinga63909 күн бұрын
Takataka hawa htasijuwi wanaingiaje kwenye bunge la Tanganyika na hawana faida yoyote zaidi ya wao wanakula kura kodi zetu bure
@AbuuMuhsin7 күн бұрын
Huyu hamtamuona tena bunge lijalo 2025~2030 bye bye. Chezea come weyeeee
@adamyussuf167815 күн бұрын
ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo coz Tanzania imeundwa ili kusudi kuidhibiti Zanzibar na wazanzibari wameamka sasa
@abdullahmanalex230611 күн бұрын
Mimi sio Mzanzibar ila nakubali hili Muungano huu upo kwa ajiri ya kutawala Zanzibar
@Mmdttt665310 күн бұрын
Yote ni tanzani ni sawa nitakavotoka mwanza kwenda dar sa passport ya nni na nchi ni moja ye mwenyewe apo alipo hana paspoti afu yupo bara mpuuzi kwel,,, ukitaka urais gombea tukupe kura acha upuuzi
@SalumJuma-iz2gj2 күн бұрын
Mpuuz babaako
@zengomikomangwa926417 күн бұрын
Juzi nolimsikia Mh Warioba. Nilimuelewa sana. Ukweli kuna changamoto za Muungano ambazo kila upande unalalamika. Ila Tanganyika ndo imeonewa zaidi. Kwa vitu vingi tu. Inafaa kukaa chini na kuziondoa changamoto hizi.
@FeymaarOfficially-uu4nr17 күн бұрын
Umeanza kuelewa ila endelea kufanya research ujue nani anaeonewa zaid zengo sisi tunaupenda muungano ila vitu vingi tunaumizwa sie leo imekua mtu wa Kenya akija na mzigo kutoka kwao kuingia tanga halipi we njo undue TV upitishe apo wanataka pesa ulipie ushuru
@LUBAINAMOHDRAJAB16 күн бұрын
Muhimu Hata huu muungano hatuutaki tena sote kila upande iwe kivyake lakin ccm ndio wanalazimisha tufanane
@hilalalhabsi204712 күн бұрын
KWANINI TUNAUNGANA PARSPOT?. WANYAMWEZI MJE NA PARSPOT ZENU PEMBA😂😂😂
@TheresiaAndrea-hv9dg9 күн бұрын
Mi natamani hoja hii ifanyiwe kazi, wabara waridi bara ili wazanzibar viwanja vya kujenga wapate, and vice versa wazanzibari warudi kwao halafu tuone kama kile kisiwa kitawatosha. Lakini pia tutawauzia chakula kama tunavyowauzia Kenya na kwingineko nione kama hamtakula......yenu.
@TheresiaAndrea-hv9dg9 күн бұрын
@LUBAINAMOHDRAJAB kila watu wajitegemee, maana sisi tunaoumia hata hatusemi, ila wao wanaotunyonya kelele juu baada ya kushiba kiporo cha ugali wa mtama.😅😅😅
@nabilasaidkhalfan440111 күн бұрын
Safi sana , naunga mkono wazanzibar tunataka passport yetu , hatutaki kuwa na machogo
@JIWE-G-UNIT10 күн бұрын
Nadhani ni vizuri sana tukitengana coz Tanganyika tuna kila kitù sioni maana ya kuungana, wazanzibar wakae na zanzibar Yao na Tanganyika tukae Tanganyika yetu ltakuwa poa sana
@BennyJumah-hd8yf6 күн бұрын
Akili hunaa
@awatifalghanim110618 сағат бұрын
Hamwishi na hizo taarifa. Mwecheni akamilishe.
@AbeidMabrouk-yu7iy2 күн бұрын
Haiwezikua mtanganyika na mzanzibar sawa numbingly na ardhi watanganyikaniwashenzi nushenziwaowameufikishahadi zanzibar wiziwalevimalaya zanzisasakunanukakwasababuyawatanganyika
@Mweya-8717 күн бұрын
Hivi kumbe wa Zanzibar ndiyo wanachangia hivi?
@FatnaAlly-go7yt10 күн бұрын
Mashallah
@RajabKhamis-il5to4 күн бұрын
Ww mbunge Malaya wa Tanganyika Kwa nn msingie na passport sisi hatumutaki huku Zanzibar watanganyika kumamazenu manyamwezi
@user-vk4zb8fo9u3 күн бұрын
Uyu sio mbunge uyo msengetu
@johnalto261911 күн бұрын
Dooooh hao wanaoishi visiwani hawataki muungano muungano uvunjwe tuu watanganyika tubaki kwetu na wao warudi kwao na walipr Kodi ya makazi kama wageni
@AizackKalenge-ro5rc9 күн бұрын
Hiyo Mbunge kaka kwamba yeye sio Mtanzania,Sasa anatafuta Nini kwenye bunge letu?
@MkatorikiOg7 күн бұрын
Wanamkopi sana Roma mkatoriki
@MasterG-dc1tx8 күн бұрын
C mvunje tu vizanzibar vibaguz sana
@EarnestMwangombola-iv7hr3 күн бұрын
Muungano utakapozingatia matakwa ya wananchi kama walivyojieleza katika rasimu zote za katiba, kwa kutaka serikali 3, ndio utakuwa mwisho wa mtifuano wa wabunge wazanzibari na watanganyika. Huo ni mwanzo tu wa muungano wa Lazima serikali 2.
@SalumJuma-iz2gj2 күн бұрын
Lakini kweli sisi wazanzibar tunawabagua sana wanyamwezi tunawalimisha tuu halafu hatukubali watoto wetu kuolewa na wanyamwez
@ndukulusudikucho_17 күн бұрын
Huyu asikilizwe vizuri huenda ana hoja za msingi kama tunaingia Zanzibar Kwa passport basi lije suala la vibali Kazi, kila upande uombe vibali vyote vya makazi na Kazi, na si ruhusa kumiliki ardhi upande wowote hadi Uwe mzawa
@TheresiaAndrea-hv9dg9 күн бұрын
Hivi tukisema kila watu warudi kwao; Zanzibar patatosha?
@bestkilimanjarohike8 күн бұрын
Mbona mzanzibar anaweza miliki ardhi bara lakini mbara hawezi miliki zanzibar?
@YoshuaSeverino17 күн бұрын
Yeye anataka serikali 3, ya Muungano na serikali ya Zanzibar na Tanganyika. Pia anahangaika na Uzanzibari ambao hawezi kumsadidia.
@AhmedZahor2 күн бұрын
Sisi Muhimu kwetu ni Zanzibar yenye Mamlaka kamili sio Tanzania tunajua Tanzania ni Tanganyika ni kivuli tu cha kuikalilia Zanzibar
@yunushaji53278 күн бұрын
Ndio Muheshimiwa usipokee taarifa, Kwani hapo Mwanzo hakuwepo Mh Nyerere na Mh Mkapa mbona huku Zanzibar hatukusema kuwa tumetawaliwa, Hapa hakuna mjadala, panatikiwa zile kero za Muungano zitatuliwe. Hizi ndo kero Zenyewe.
@abubakarmuhammadsaid32442 күн бұрын
Sisi Wazanzibari Muungano sio kipa umbele chetu. Sisi Wazanzibari tunataka mamlaka kamili.
@ustawiwetu17 күн бұрын
Muungano mnaungangania wa nini au mna manufaa gani kwa huo Muungano. Ipitishwe referrendum wakati wa uchaguzi mkuu, ili tujue kama Muungano uendelee au uvunjike
@HamisiMwalimu-pp9ciКүн бұрын
Huo ni ubaguzi mzee mwwnzangu wapemba acheni siasa musiikaange mbuyu mukaja walisha wengine
@augustinemainde17 күн бұрын
Hiyo ndio demokrasia ya kweli na Uhuru wa maoni
@OmarAweis-of7ru6 күн бұрын
sisi ni wazanzibar. Sio watanzania. Wala sio watanganyika.
@SalumJuma-iz2gj2 күн бұрын
Ndouwo ubaguzi tunao ambiwa
@user-oy5dz5xl8s16 күн бұрын
Ni kweli sijui Nyerere alikua na nia Gani mpaka anatuajia bomu kubwa namna hii ambaye Leo tunafarakana
@hilalalhabsi204712 күн бұрын
KWASABABU NYERERE ALIKUWA MLAFI NA ULAFI WAKE ALIFIKIRI ATAIFANYA ZANZIBARI NI JIMBO LAKE NDIO MAANA BARA MKAINGIZWA MKENGE 😂😂😂. TAMAA MBAYA ZA MWALIMU WENU MJINGA NDIO WAZANZIBARI BARI TUNAPATA FURSA YA KUUZA BANDARI ZENU KWA WARABU WETU NA MBUGA ZENU ZA WANYAMA MPAKA TUMALIZE. HATA WABARA MKIPATA UHURU UJUE ZANZIBARI TUSHAWALA KISHUNDU 😂😂😂
@user-vz3bb3ch3z7 күн бұрын
Wazanzibari ni wabaguzi kwanini hata kipindi chauchaguzi ukiwa kitambulisho cha Zanzibar ila ukigundulika ni mtanganyika unawekwa ndani? Na kwanini asilimali zetu tunawakatia fungu ila wao hawajawai jaman mfikirie apo viongozi na mlitatue
@edlumala942817 күн бұрын
Mimi mzazibar, kiukweli Wazanzibar wabaguzi sana! Mungu awahifadhi, wanachuki na watu wa bara for no reason!
@ibrahimame980517 күн бұрын
Hatuna Imani na wanyamwezi
@user-pm7yo3xi3h17 күн бұрын
Reason no kuwa wazanzibari wanahujumiwa na watanganyika na watanganyika wamepora haki za wazanzibari na haki ya nchi yao.
@AhmedZahor17 күн бұрын
Muuongo wewe Si mzanzibari Chuki yetu tunataka nchi yetu kwani mtu kudai chake ndio hua Chuki
@alihaji21516 күн бұрын
Muongo wewe si mzanzibar wewe mbongo nyoso unaechangia kutunyang'anya haki zetu pumbavu yako
@user-cq4lp5rv1l14 күн бұрын
Mzanzibar gan weye
@user-fb6dh6sz2g17 күн бұрын
Kwa nn serikari 3 inakigugumizi??
@melkizedekiizengo507517 күн бұрын
Mwanzo mbn umekubali kuwa ni mzanzibari mbn unajikataa
Mheshimiwa presha yako iko juu sana fanya mazoezi broo.
@ayshasaid154714 күн бұрын
Kalewa posho
@awadhrajabu140310 күн бұрын
Yeye Anasema Apokei Sio Mtanzania Sasa Yupo Apo Bungeni Kama Nani Amevamia Bunge Au Amefika Vipi Apo Mana Mbunge Wa Apo Ndani Ni Mbunge Wa Tanzania Akutakiwa Aendelee Kujieleza Uyo
@abiudkarume93817 күн бұрын
Tuachane muungano wa nn kama watu awataki wa nn kuwang'ang'ania
@KimanguShemwaliko-ht2jr17 күн бұрын
Mwenyewe kasema yeye ni mzanzibar nyie mnamlazimisha awe mtanzania, kwakua nyie hajitambui kuukana utanganyika wenu,lisu hana mpinzani kwenye hoja yake,tumpe maua yake lisu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ahangfaith1180Күн бұрын
Hakuna chataarifa muuacheni aseme ukwl
@user-bd5hq2kb4h2 күн бұрын
Sorry lkn,KM ANAKATAA UTANZANIA(HAFAI KUA KIONGOZI)AU KM ANAKATAA MFUMO WA UTANZANIA ULIVYO(HAJAKOSEA)INSHAA ALLA KHEIR
@shuaibalula900311 күн бұрын
Hatutaki ubaguzi
@s.m.mbagati48244 күн бұрын
Kwani mwinyi alikuwa mtanganyika
@babazizu125510 күн бұрын
Huyu mbunge ana akiri kwer mbona watanzania hawachukii maraic wote kuwa wa zanzibar huyu mpumbavu nn huyu nimependa sanaaaa wabunge wa ccm walivyo na mcmamo vzr sanaaaa mm nilijua watamuunga mkono na ujinga wake kumbe wamemkataa mpuuzi huyu
@BenedictoSimon-fs6ok17 күн бұрын
Naomb kujua kushika shilingi anamaanisha nn?
@ClemenceMsigwa-dt6te15 күн бұрын
Dada hapo apewe mauwa yake
@khanifamussa255412 күн бұрын
Achen ujinga nyiee hii nchi ina amani kulko nchi nyngne yyote ndio kitu tunachotkiwa kujivunia iv mushafkiria kuh vitukuu vyenu hao wabunge wengne wavurugaji tu..ss n wamoja❤Ilove u Tanzania
@tours1516 күн бұрын
Kwanini munachelewesha kuvunja?
@user-rn9og1rk3l18 күн бұрын
Ivi huu muungano nyie wabunge wa ccm mmeung'ang'ania wa nini Huyo mwenzenu kashasema yeye ni mzanzibar, Sasa kama pana mzanzibar kwenye bunge la muungano kwanini mbunge wa mtu wa bara hawezi kuwa mbunge wa zanzibar??..?..?????