TIMBWILI KALI BUNGENI, MZOZO WA KUTISHA/ MBUNGE WA PASSPORT KUINGIA ZANZIBAR AKATAA SIO MTANZANIA

  Рет қаралды 75,914

Uhondo TV

Uhondo TV

19 күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 563
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 17 күн бұрын
Lisu ni mkweli sana
@JacksonFrances
@JacksonFrances 17 күн бұрын
ILA JAMANI WATANGANYIĶA TUNATAWALIWA KIENYEJI SANA JAMANI.WANANCHI TUAMKE KUTETEA UTAIFA WETU VINGINEVYO NCHI INAUZWA JAMANÌ na NCHI INA HALIMBAYA KIUCHUMI,, KISIASA na KIJAMII "
@user-nt3my1jf9t
@user-nt3my1jf9t 16 күн бұрын
Ww mvutu kweli itauzwa na Nan?
@JacksonFrances
@JacksonFrances 16 күн бұрын
inauzwa na CCM Wenzio Wasiolitakia mema Taifa Letu Rushwa na Ufisadi Huoni Vimetapakaa kila kona au ??"
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 15 күн бұрын
Suala hili mlaumuni julius nyerere alieikataa Tanganyika kuwa na serikali yake​@@JacksonFrances
@salimmalaka256
@salimmalaka256 14 күн бұрын
@@JacksonFrances KWANI HAO MAFISADI NI CCM PEKE YAO??? WEWE UKIPATA UPENYO WA KUIBA UTAIBA NA RUSHWA UTAPOKEA USIJIFANYE MALAIKA.
@JacksonFrances
@JacksonFrances 14 күн бұрын
@@salimmalaka256 Acha Kuchukulia Kwamba Watu Wote Wana tabia Za Kishenzi Pasipokuwajua, CCM Wametufikisha Pabaya Sana Haijawahi kutokea Kwahiyo Ni Wakati Wao Kuachia Na Kukaa Pembeni Kabla Mabaya Hayajatokea "
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 17 күн бұрын
Zanzibar tukipata wabunge kama hawa kumi tu bungeni muungano ungevunjika 😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-mh9wy5ui8t
@user-mh9wy5ui8t 10 күн бұрын
Watafuteni 😂😂😂
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 17 күн бұрын
Kumbe TUNDU LISU yuko sahihi kabisa kusema kuwa Wazanzibar sio Watanzania.
@omaryjumas6327
@omaryjumas6327 17 күн бұрын
Kumbe tukisema kwamba Watanganyika wengi wamefanywa wajinga kuhusu kujua ukweli wa muungano huwa hatubahatishi. Hivi unaweza ukatutajia kirefu cha Tanzania, na ilikuwaje jina la Tanzania likapatikana? Jibu swali bwege we.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 17 күн бұрын
Hakuna mahali alinukuliwa Lissu akidai wazanzibari siyo watanzania, sijui hayo uliyapata wapi? Wazanzibari hawataki kuficha uasili wao, wanajivunia na kujitambulisha kwa uasili wao. Hawataki kuwa mbumbumbu walioisalimisha na kuifuta historia yao. Badala ya kuwabeza wanastahili kuigwa na kupongezwa!
@user-xe1im9tt1z
@user-xe1im9tt1z 17 күн бұрын
Elezea wanzibari ni watanzania ila watanzania si wanzanzibar
@talibsaid8096
@talibsaid8096 17 күн бұрын
Si kweli wazanzibari ni watamzania lakini wwabara huwa mnafanya ishu kutibagua
@AhmedZahor
@AhmedZahor 17 күн бұрын
@@omaryjumas6327 Wa Zanzibari sio Wa Tanganyika kwani kabla ya 1964 kulikua nchi inaitwa Tanzania?
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 17 күн бұрын
Wabunge wakishiba posho zetu wanaanza kuongea wanachojickia na sisi tunaendelea kuwatafutia kwa jasho ...
@abduljuma7807
@abduljuma7807 14 күн бұрын
Mbona likija swala la muungano
@hamismabula9934
@hamismabula9934 10 күн бұрын
Mtu wa Bara haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar! Ila Wazanzibar wanamiliki ardhi Bara! Mbona huo ni ubaguzi wa wazi tu!?
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 18 сағат бұрын
Siyo kitu cha ajabu mwanza kabla wewe hukuzaliwa watu wa Zanzibar walikuwa wakiingia Dar es salam kwa passport. Na yuko alokuwa mshenzi mmoja wa Zanzibar ndio alosema wa Bara waingie Zanzibar bila ya passport na wengi walikuwa hawajataka jambo hilo.
@huriyaomar3313
@huriyaomar3313 12 сағат бұрын
UNAJUA KUWA ZANZIBAR INAINGIA KWA TZ BARA MARA NGAPI? INAMEZWA NA BARA ZAIDI YA MARA LAKI TATU !! NA TANZANIA YOTE BARA NA VISIWANI HUMILIKI ARDHI KAMA YAKO ILA UNAPEWA LIZI NA HIYO LIZI INATEGEMEA NI MIAKA MINGAPI AIDHA 33 ,66, AU 99 LAKINI ARDHI SIO YAKO LAU KWENYE HIYO ARDHI KWAPATIKANA MAFUTA BASI SERIKALI WANACHUKUA WENYEWE, LAKINI NCHI ZA WENZETU ARDHI MALI YAKO KIKIPATIKANA CHOCHOTE MALI YAKO!!!!
@erickchaula5084
@erickchaula5084 17 күн бұрын
Hakika lisu na mbowe naona wako sahihi kabisa na ss watanganyika tudai uhuru wetu
@faridmohammad3801
@faridmohammad3801 12 күн бұрын
Yani ww ndio mwenye akili nyingi ktk watu 100 niliowasikiliza ni kweli coz u haven't government so struggle ur cntry.. am srry umoja ni nguvu..
@SalumJuma-iz2gj
@SalumJuma-iz2gj Күн бұрын
Bora mudai uwo Uhuru wenu wazanzibar angalau tunywe maji hatuna Raha kwA nyie nahaya yote kayataka karume kuitoa nchi kw warabu kuipeleka kw wanyAmwez
@julianamwalongo6047
@julianamwalongo6047 17 күн бұрын
Yaani Umeenda kwa wananchi kusikiliza shida zao, na wamekutuma, wamekuchagua uwawakilishe hoja zenyewe Ndio Kama hizo ,hata mpangilio wa kuongea huna ,hii nchi ni ngumu Sana.
@jumasaid2792
@jumasaid2792 17 күн бұрын
Tatizo lipo ila wanapotezea kwa kuwa wanapenda sana pesa kuliko ubinaadamu wa binaadamu.
@IsidoreMakutu
@IsidoreMakutu 17 күн бұрын
Viongozi walioko madarakani wanajifanya hawaoni tatizo kwa sababu ya maslahi binafsi.Halafu wanaanza kuwalaumu Akina Lissu kwa kivuli Cha ubaguzi...
@celestinaregi
@celestinaregi 18 күн бұрын
Ubaguzi mnao. Kweli wazanzibari. Leo umefanyiwa wewe unaona uchungu. Mnayotufanyia huku hamuoni kama ubaguzi. Shilingi Ina pande mbili mweshimiwa. Leo shilingi imekugeukia umeumia😂😂
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 14 күн бұрын
Wazanzibari wabaguzi sana
@SoudShuraim
@SoudShuraim 14 күн бұрын
Ulikuja Zanzibar ukabaguliwa
@kassim1262
@kassim1262 12 күн бұрын
Nyinyi wtnganyika munongoza kwakubaguliwa duniani 😂😂😂wzungu wbguzi wkenya wbguzi wznzbar wbguzi ondokeni duniani bc
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 12 күн бұрын
SAFI SANA, KILA MMOJA ASHIKE NJIA YAKE. UKOLONI UMESHAPITWA NA WAKATI. TWATAKA NCHI YETU
@bellalygeomecky1145
@bellalygeomecky1145 5 күн бұрын
Hata tukiwa wabaguzi.......ni heri kwetu na nyie bakini na utanzania wenu
@AhmedZahor
@AhmedZahor 2 күн бұрын
Kweli Wabaguzi kwa ajili ya Nchi yetu si Mukaungane na Machogo wezenu Kenya Uganda Congo Burundi nyie Wa Tanganyika sisi Wa Zanzibari na Timu yetu ya Taifa Zanzibar Heroes
@bellalygeomecky1145
@bellalygeomecky1145 5 күн бұрын
Passport muhim....
@user-nm5sn2vr8c
@user-nm5sn2vr8c 17 күн бұрын
Tunadai Tanganyika yeti! Wazanzibari wasitutanie
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 18 сағат бұрын
Siyo Nchi mmoja ni Nchi mbili. Wacheni ubaguzi.
@JumaSalim-bd1ff
@JumaSalim-bd1ff 10 күн бұрын
Safi Sanaa mbungunge w konde
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 9 күн бұрын
Mimi mwenyewe siwapendi wa znz kwa kuuzaa bandari zetu bara mmeanza ubaguzi na mwanzirishi wa ubaguzi ni Mh samia na limote yake ya msoga tutamzomea samia wakati wa kampeni zake
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 11 күн бұрын
Safii mbunge
@ahangfaith1180
@ahangfaith1180 Күн бұрын
Nikwli mbunge asnt mungu akulinde na watanganyika wanasema kwl
@ahangfaith1180
@ahangfaith1180 Күн бұрын
Ikiwezekana waufute tu muungano tmechoka wazanzibar kwa maneno ya watu wabara
@MsanangoMwalabu-rx1oo
@MsanangoMwalabu-rx1oo 19 сағат бұрын
Huku Tanganyika wazanzibali wapo wachache sana kama polisi wataanza wao,sisi tutawagawana wasisahau hilo.tutafanya kama Nigeria kujibu ubaguzi waliofanya South Africa tunawakumbusha
@CornenciaFaustine-pd2rc
@CornenciaFaustine-pd2rc 17 күн бұрын
Hii ni dharau na ni kejeli ya kiwango ati na yeye ana fikra ya kuja kututawala watanganyika. Aah halafu waheshimiwa wetu wa bara wanashangilia.aah sijui afya ya akili wanayo kweli.
@camilomassao8971
@camilomassao8971 17 күн бұрын
Kuna shida kubwa kwenye huu muungano, Kuna kesho na kesho hiyo Kuna watakaokaa na kuangalia maslahi ya muungano kwa pande zote mbili
@user-xe1im9tt1z
@user-xe1im9tt1z 17 күн бұрын
Tanzania ina mazombi sio watu
@fredducaunt
@fredducaunt 8 күн бұрын
Kwanini
@ashahamad-mq3iz
@ashahamad-mq3iz 17 күн бұрын
Huna lote limekuganda hilo Passport ni lazima ipo zamani
@babazizu1255
@babazizu1255 10 күн бұрын
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
@babazizu1255
@babazizu1255 10 күн бұрын
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
@abdultour1647
@abdultour1647 17 күн бұрын
Zanazibar, Tanzania , Tanganyika iko wapi apo hatutaki muongano imetosha apo bc kila mtu achukue ubao wake ishaAllah vunjika shetani muongano toka na uwende Zako
@seifabdulwahid4579
@seifabdulwahid4579 4 күн бұрын
Sisi wazanzibar hatutaki Muungano hauna faida na sisi, tatizo lenu mkiitwa watanganyika ndo mnasema mnabaguliwa
@MrKhatibu
@MrKhatibu 17 күн бұрын
Yaani huyu mbunge imekuaje anaongea lsfudhi ya kibara kamavile haja zaliwa na ku kukulia Pemba. Au ndio wale ambao makaazi yao yapo Bara ila jimbo liko Pemba 😅😅😅
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 12 күн бұрын
TUNATAKA WAJE PEMBA KWA PARSPOT HAWA WANYAMWEZI😂😂😂
@AbdulrahmanSalum-vs4jd
@AbdulrahmanSalum-vs4jd 23 сағат бұрын
Muungano usivunjike lakin passport muhim
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 9 күн бұрын
Takataka hawa htasijuwi wanaingiaje kwenye bunge la Tanganyika na hawana faida yoyote zaidi ya wao wanakula kura kodi zetu bure
@AbuuMuhsin
@AbuuMuhsin 7 күн бұрын
Huyu hamtamuona tena bunge lijalo 2025~2030 bye bye. Chezea come weyeeee
@adamyussuf1678
@adamyussuf1678 15 күн бұрын
ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo coz Tanzania imeundwa ili kusudi kuidhibiti Zanzibar na wazanzibari wameamka sasa
@abdullahmanalex2306
@abdullahmanalex2306 11 күн бұрын
Mimi sio Mzanzibar ila nakubali hili Muungano huu upo kwa ajiri ya kutawala Zanzibar
@Mmdttt6653
@Mmdttt6653 10 күн бұрын
Yote ni tanzani ni sawa nitakavotoka mwanza kwenda dar sa passport ya nni na nchi ni moja ye mwenyewe apo alipo hana paspoti afu yupo bara mpuuzi kwel,,, ukitaka urais gombea tukupe kura acha upuuzi
@SalumJuma-iz2gj
@SalumJuma-iz2gj 2 күн бұрын
Mpuuz babaako
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 17 күн бұрын
Juzi nolimsikia Mh Warioba. Nilimuelewa sana. Ukweli kuna changamoto za Muungano ambazo kila upande unalalamika. Ila Tanganyika ndo imeonewa zaidi. Kwa vitu vingi tu. Inafaa kukaa chini na kuziondoa changamoto hizi.
@FeymaarOfficially-uu4nr
@FeymaarOfficially-uu4nr 17 күн бұрын
Umeanza kuelewa ila endelea kufanya research ujue nani anaeonewa zaid zengo sisi tunaupenda muungano ila vitu vingi tunaumizwa sie leo imekua mtu wa Kenya akija na mzigo kutoka kwao kuingia tanga halipi we njo undue TV upitishe apo wanataka pesa ulipie ushuru
@LUBAINAMOHDRAJAB
@LUBAINAMOHDRAJAB 16 күн бұрын
Muhimu Hata huu muungano hatuutaki tena sote kila upande iwe kivyake lakin ccm ndio wanalazimisha tufanane
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 12 күн бұрын
KWANINI TUNAUNGANA PARSPOT?. WANYAMWEZI MJE NA PARSPOT ZENU PEMBA😂😂😂
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg 9 күн бұрын
Mi natamani hoja hii ifanyiwe kazi, wabara waridi bara ili wazanzibar viwanja vya kujenga wapate, and vice versa wazanzibari warudi kwao halafu tuone kama kile kisiwa kitawatosha. Lakini pia tutawauzia chakula kama tunavyowauzia Kenya na kwingineko nione kama hamtakula......yenu.
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg 9 күн бұрын
​@LUBAINAMOHDRAJAB kila watu wajitegemee, maana sisi tunaoumia hata hatusemi, ila wao wanaotunyonya kelele juu baada ya kushiba kiporo cha ugali wa mtama.😅😅😅
@nabilasaidkhalfan4401
@nabilasaidkhalfan4401 11 күн бұрын
Safi sana , naunga mkono wazanzibar tunataka passport yetu , hatutaki kuwa na machogo
@JIWE-G-UNIT
@JIWE-G-UNIT 10 күн бұрын
Nadhani ni vizuri sana tukitengana coz Tanganyika tuna kila kitù sioni maana ya kuungana, wazanzibar wakae na zanzibar Yao na Tanganyika tukae Tanganyika yetu ltakuwa poa sana
@BennyJumah-hd8yf
@BennyJumah-hd8yf 6 күн бұрын
Akili hunaa
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 18 сағат бұрын
Hamwishi na hizo taarifa. Mwecheni akamilishe.
@AbeidMabrouk-yu7iy
@AbeidMabrouk-yu7iy 2 күн бұрын
Haiwezikua mtanganyika na mzanzibar sawa numbingly na ardhi watanganyikaniwashenzi nushenziwaowameufikishahadi zanzibar wiziwalevimalaya zanzisasakunanukakwasababuyawatanganyika
@Mweya-87
@Mweya-87 17 күн бұрын
Hivi kumbe wa Zanzibar ndiyo wanachangia hivi?
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 10 күн бұрын
Mashallah
@RajabKhamis-il5to
@RajabKhamis-il5to 4 күн бұрын
Ww mbunge Malaya wa Tanganyika Kwa nn msingie na passport sisi hatumutaki huku Zanzibar watanganyika kumamazenu manyamwezi
@user-vk4zb8fo9u
@user-vk4zb8fo9u 3 күн бұрын
Uyu sio mbunge uyo msengetu
@johnalto2619
@johnalto2619 11 күн бұрын
Dooooh hao wanaoishi visiwani hawataki muungano muungano uvunjwe tuu watanganyika tubaki kwetu na wao warudi kwao na walipr Kodi ya makazi kama wageni
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 9 күн бұрын
Hiyo Mbunge kaka kwamba yeye sio Mtanzania,Sasa anatafuta Nini kwenye bunge letu?
@MkatorikiOg
@MkatorikiOg 7 күн бұрын
Wanamkopi sana Roma mkatoriki
@MasterG-dc1tx
@MasterG-dc1tx 8 күн бұрын
C mvunje tu vizanzibar vibaguz sana
@EarnestMwangombola-iv7hr
@EarnestMwangombola-iv7hr 3 күн бұрын
Muungano utakapozingatia matakwa ya wananchi kama walivyojieleza katika rasimu zote za katiba, kwa kutaka serikali 3, ndio utakuwa mwisho wa mtifuano wa wabunge wazanzibari na watanganyika. Huo ni mwanzo tu wa muungano wa Lazima serikali 2.
@SalumJuma-iz2gj
@SalumJuma-iz2gj 2 күн бұрын
Lakini kweli sisi wazanzibar tunawabagua sana wanyamwezi tunawalimisha tuu halafu hatukubali watoto wetu kuolewa na wanyamwez
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 17 күн бұрын
Huyu asikilizwe vizuri huenda ana hoja za msingi kama tunaingia Zanzibar Kwa passport basi lije suala la vibali Kazi, kila upande uombe vibali vyote vya makazi na Kazi, na si ruhusa kumiliki ardhi upande wowote hadi Uwe mzawa
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg 9 күн бұрын
Hivi tukisema kila watu warudi kwao; Zanzibar patatosha?
@bestkilimanjarohike
@bestkilimanjarohike 8 күн бұрын
Mbona mzanzibar anaweza miliki ardhi bara lakini mbara hawezi miliki zanzibar?
@YoshuaSeverino
@YoshuaSeverino 17 күн бұрын
Yeye anataka serikali 3, ya Muungano na serikali ya Zanzibar na Tanganyika. Pia anahangaika na Uzanzibari ambao hawezi kumsadidia.
@AhmedZahor
@AhmedZahor 2 күн бұрын
Sisi Muhimu kwetu ni Zanzibar yenye Mamlaka kamili sio Tanzania tunajua Tanzania ni Tanganyika ni kivuli tu cha kuikalilia Zanzibar
@yunushaji5327
@yunushaji5327 8 күн бұрын
Ndio Muheshimiwa usipokee taarifa, Kwani hapo Mwanzo hakuwepo Mh Nyerere na Mh Mkapa mbona huku Zanzibar hatukusema kuwa tumetawaliwa, Hapa hakuna mjadala, panatikiwa zile kero za Muungano zitatuliwe. Hizi ndo kero Zenyewe.
@abubakarmuhammadsaid3244
@abubakarmuhammadsaid3244 2 күн бұрын
Sisi Wazanzibari Muungano sio kipa umbele chetu. Sisi Wazanzibari tunataka mamlaka kamili.
@ustawiwetu
@ustawiwetu 17 күн бұрын
Muungano mnaungangania wa nini au mna manufaa gani kwa huo Muungano. Ipitishwe referrendum wakati wa uchaguzi mkuu, ili tujue kama Muungano uendelee au uvunjike
@HamisiMwalimu-pp9ci
@HamisiMwalimu-pp9ci Күн бұрын
Huo ni ubaguzi mzee mwwnzangu wapemba acheni siasa musiikaange mbuyu mukaja walisha wengine
@augustinemainde
@augustinemainde 17 күн бұрын
Hiyo ndio demokrasia ya kweli na Uhuru wa maoni
@OmarAweis-of7ru
@OmarAweis-of7ru 6 күн бұрын
sisi ni wazanzibar. Sio watanzania. Wala sio watanganyika.
@SalumJuma-iz2gj
@SalumJuma-iz2gj 2 күн бұрын
Ndouwo ubaguzi tunao ambiwa
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 16 күн бұрын
Ni kweli sijui Nyerere alikua na nia Gani mpaka anatuajia bomu kubwa namna hii ambaye Leo tunafarakana
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 12 күн бұрын
KWASABABU NYERERE ALIKUWA MLAFI NA ULAFI WAKE ALIFIKIRI ATAIFANYA ZANZIBARI NI JIMBO LAKE NDIO MAANA BARA MKAINGIZWA MKENGE 😂😂😂. TAMAA MBAYA ZA MWALIMU WENU MJINGA NDIO WAZANZIBARI BARI TUNAPATA FURSA YA KUUZA BANDARI ZENU KWA WARABU WETU NA MBUGA ZENU ZA WANYAMA MPAKA TUMALIZE. HATA WABARA MKIPATA UHURU UJUE ZANZIBARI TUSHAWALA KISHUNDU 😂😂😂
@user-vz3bb3ch3z
@user-vz3bb3ch3z 7 күн бұрын
Wazanzibari ni wabaguzi kwanini hata kipindi chauchaguzi ukiwa kitambulisho cha Zanzibar ila ukigundulika ni mtanganyika unawekwa ndani? Na kwanini asilimali zetu tunawakatia fungu ila wao hawajawai jaman mfikirie apo viongozi na mlitatue
@edlumala9428
@edlumala9428 17 күн бұрын
Mimi mzazibar, kiukweli Wazanzibar wabaguzi sana! Mungu awahifadhi, wanachuki na watu wa bara for no reason!
@ibrahimame9805
@ibrahimame9805 17 күн бұрын
Hatuna Imani na wanyamwezi
@user-pm7yo3xi3h
@user-pm7yo3xi3h 17 күн бұрын
Reason no kuwa wazanzibari wanahujumiwa na watanganyika na watanganyika wamepora haki za wazanzibari na haki ya nchi yao.
@AhmedZahor
@AhmedZahor 17 күн бұрын
Muuongo wewe Si mzanzibari Chuki yetu tunataka nchi yetu kwani mtu kudai chake ndio hua Chuki
@alihaji215
@alihaji215 16 күн бұрын
Muongo wewe si mzanzibar wewe mbongo nyoso unaechangia kutunyang'anya haki zetu pumbavu yako
@user-cq4lp5rv1l
@user-cq4lp5rv1l 14 күн бұрын
Mzanzibar gan weye
@user-fb6dh6sz2g
@user-fb6dh6sz2g 17 күн бұрын
Kwa nn serikari 3 inakigugumizi??
@melkizedekiizengo5075
@melkizedekiizengo5075 17 күн бұрын
Mwanzo mbn umekubali kuwa ni mzanzibari mbn unajikataa
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 9 күн бұрын
Dada umetisha sana juu ya passport
@AllyAbdallah-ts3xx
@AllyAbdallah-ts3xx 10 күн бұрын
Acheni ubaguzi wazanzibar
@madoiedo_nalis
@madoiedo_nalis 17 күн бұрын
Nyie ndio mna tubagua sisi
@BonifasiAmosi
@BonifasiAmosi 17 күн бұрын
Ccm ndo uwelewa wao umeishia hapo
@user-mk6my3gb4s
@user-mk6my3gb4s 9 күн бұрын
Paspoti muhimu bwanaaa
@fredducaunt
@fredducaunt 8 күн бұрын
Naona wazanzibari wanasema wanadhulumiwa Nataka kujua wanafhuliwa wapi
@user-yw5ix9gg4d
@user-yw5ix9gg4d 13 күн бұрын
Siyo mtanganyika we
@AyoubPapiy
@AyoubPapiy 16 күн бұрын
Mheshimiwa presha yako iko juu sana fanya mazoezi broo.
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 14 күн бұрын
Kalewa posho
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 10 күн бұрын
Yeye Anasema Apokei Sio Mtanzania Sasa Yupo Apo Bungeni Kama Nani Amevamia Bunge Au Amefika Vipi Apo Mana Mbunge Wa Apo Ndani Ni Mbunge Wa Tanzania Akutakiwa Aendelee Kujieleza Uyo
@abiudkarume938
@abiudkarume938 17 күн бұрын
Tuachane muungano wa nn kama watu awataki wa nn kuwang'ang'ania
@KimanguShemwaliko-ht2jr
@KimanguShemwaliko-ht2jr 17 күн бұрын
Mwenyewe kasema yeye ni mzanzibar nyie mnamlazimisha awe mtanzania, kwakua nyie hajitambui kuukana utanganyika wenu,lisu hana mpinzani kwenye hoja yake,tumpe maua yake lisu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ahangfaith1180
@ahangfaith1180 Күн бұрын
Hakuna chataarifa muuacheni aseme ukwl
@user-bd5hq2kb4h
@user-bd5hq2kb4h 2 күн бұрын
Sorry lkn,KM ANAKATAA UTANZANIA(HAFAI KUA KIONGOZI)AU KM ANAKATAA MFUMO WA UTANZANIA ULIVYO(HAJAKOSEA)INSHAA ALLA KHEIR
@shuaibalula9003
@shuaibalula9003 11 күн бұрын
Hatutaki ubaguzi
@s.m.mbagati4824
@s.m.mbagati4824 4 күн бұрын
Kwani mwinyi alikuwa mtanganyika
@babazizu1255
@babazizu1255 10 күн бұрын
Huyu mbunge ana akiri kwer mbona watanzania hawachukii maraic wote kuwa wa zanzibar huyu mpumbavu nn huyu nimependa sanaaaa wabunge wa ccm walivyo na mcmamo vzr sanaaaa mm nilijua watamuunga mkono na ujinga wake kumbe wamemkataa mpuuzi huyu
@BenedictoSimon-fs6ok
@BenedictoSimon-fs6ok 17 күн бұрын
Naomb kujua kushika shilingi anamaanisha nn?
@ClemenceMsigwa-dt6te
@ClemenceMsigwa-dt6te 15 күн бұрын
Dada hapo apewe mauwa yake
@khanifamussa2554
@khanifamussa2554 12 күн бұрын
Achen ujinga nyiee hii nchi ina amani kulko nchi nyngne yyote ndio kitu tunachotkiwa kujivunia iv mushafkiria kuh vitukuu vyenu hao wabunge wengne wavurugaji tu..ss n wamoja❤Ilove u Tanzania
@tours15
@tours15 16 күн бұрын
Kwanini munachelewesha kuvunja?
@user-rn9og1rk3l
@user-rn9og1rk3l 18 күн бұрын
Ivi huu muungano nyie wabunge wa ccm mmeung'ang'ania wa nini Huyo mwenzenu kashasema yeye ni mzanzibar, Sasa kama pana mzanzibar kwenye bunge la muungano kwanini mbunge wa mtu wa bara hawezi kuwa mbunge wa zanzibar??..?..?????
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 17 күн бұрын
Watanganyika wanatung'ang'ania wazanzibar sijui kwanini
@paulmbogela5147
@paulmbogela5147 17 күн бұрын
Huyu mbunge mjinga sana
@AbduliHalim
@AbduliHalim 11 күн бұрын
Sio ktu kimoja nyinyi mnazaa ovyo halafu halafu mnaowana
@reubenmzengi4589
@reubenmzengi4589 9 күн бұрын
alitakiwa atolewe nje ya bunge
@user-my5yp6xx5s
@user-my5yp6xx5s 12 күн бұрын
Matako yenu Sasa kwani Samia nimtanganyika?
@apostlejacksonkalinga5191
@apostlejacksonkalinga5191 11 күн бұрын
Mbona viti Bungeni viko wazi sanaaa.
@shehafa
@shehafa 6 күн бұрын
Tanganyika sis mazuzu 😅😅😅😅 wale wako na rais wao kwanin hatuna rais wa watanganyika😅😅😅
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 17 күн бұрын
Msipoachana na sera ya uwekezaji mtaliangamiza taifa kwasababu ni aibu kutuletea wawekezaji na wabia watuletee ufanisi kwakisingizio wtz hawana
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 10 күн бұрын
Sasa si nchi mbili mbona watu wa bara hawanunui ardhi zanzibar,, na wa zanzibar wamenunua huku bara😢😢😢wako tele ila watu wa wanaroho ngumu sana
@babazizu1255
@babazizu1255 10 күн бұрын
Co roho ngumu wazanzibar ni acri yao waarabu kwahyo wana roho mbaya hawa
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 10 күн бұрын
Allani mjuzi wawa juzi awaongoze vyema
@Wamisangi
@Wamisangi 17 күн бұрын
Hivi kikotoo kwa Wabunge kinasemaje?
@KijahboyChita
@KijahboyChita 17 күн бұрын
Wazanzibar ndo wabaguz Sana koo mm Zanzibar siipend kabisayan bora muungano uvunjike tu
@user-nt3my1jf9t
@user-nt3my1jf9t 16 күн бұрын
Hakuna kitu ninachokichukia ktk maisha yang km watanganyika mana ni matapel wezi washenz Wana Killa aina ya ushenz
@user-is2pj2vq3r
@user-is2pj2vq3r 16 күн бұрын
Me ni Mtanganyika kwanzia leo
@AnthonyVitalis-iy5su
@AnthonyVitalis-iy5su 12 күн бұрын
Sijuwi kama mnaelewa?
@user-hn6kv6xe7m
@user-hn6kv6xe7m 14 күн бұрын
Mbunge huraaaa 💪👏👏👏
@danielonyango7234
@danielonyango7234 17 күн бұрын
Zama za giza ziliisha kitambo, it is just the matter of time
@allymsellem5353
@allymsellem5353 6 күн бұрын
passport iwepo ndio leo znz imeoza watu waingia tuu umalaya pombe wizi
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 7 күн бұрын
Siku hizi sina haja ya kuangalia au kwenda kubana movie, nasubiri kipindi cha bunge kikinipita nafungua KZbin natafuta episode mpya ya Bunge.😂😂😂.
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 10 күн бұрын
Uhuru niwenu Nyinyi qatanganyika
@user-gv8kv2zd6x
@user-gv8kv2zd6x 10 күн бұрын
Huyu mbunge nikuma kweli
@khafatitv513
@khafatitv513 15 күн бұрын
Kwani hii nchi alitupa nani?
@Worldunite
@Worldunite 17 күн бұрын
Asiyekuwa Mtanzania/anayekana Utanzania anafaa kuendelea kuwa mbunge?
@fatimahants1526
@fatimahants1526 17 күн бұрын
Rudisha wakanywe urojo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 17 күн бұрын
KOMENI KUMDHARAU RAISI.
@Worldunite
@Worldunite 17 күн бұрын
@@salimmalaka256 amezungumxiwa huyu MBUNGE, sio RAIS, rais mbona hana kauli km hizo?
@salimmalaka256
@salimmalaka256 17 күн бұрын
@@Worldunite HUJANIFAHAMU YEYE ANACHO ONGELEA NI WATU KUTOWA KAULI CHAFU KWA RAISI HAJAUKATAA MUUNGANO UJUWE HILO.
ROBOTI KUBWA LILIVYOMPELEKEA RAIS SAMIA KIFURUSHI CHA 5G
9:54
Wasafi Media
Рет қаралды 356 М.
INTERVIEW ya Lissu YATIKISA NCHI, Amwaga SIRI MBAYA, Dunia YASIMAMAAAA!!!
1:00:19