Nakupenda mjomba magufuli Allah akupe maisha marefu yenye furaha
@ababuumwana51025 жыл бұрын
JPM Ni Nomaaa jaman dah sijawahi kuona kiongozi muadilifu kama huyu Africa nzima viongozi mujifunze kutumikia wananchi wenu kama JPM Mungu akulinde Sana'a My President
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san viongozi wetu wote mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi
@fahminasser38555 жыл бұрын
Tatizo meli za kizamani hazina uhakika Mara unasikia majanga kwanza tupate meli mpya siyo hizo za mkoloni ukiwa usafiri mzuri wateja watakuja ila meli hizo watu watafata hayo ma lori
@kingjafu77595 жыл бұрын
Nashangaa watu wanaomsifia Magufuli wakati hata hajatajwa hapo nahio meli ilikuwepo Kitambo kabla hata ya magu
@ramadhanisuru18225 жыл бұрын
J. P.m nikwereee bbk
@gaykazimoto14195 жыл бұрын
Usiseme waachane na maroli mbona wa tz Kiswahili shida roli usafili meri usafili mameliyenyeweyakizamani acha kuponda kazizawatu
@shukrankifyasi15005 жыл бұрын
nc
@issakawanya6485 жыл бұрын
Ipo myaka yote mwanza
@freduallughano23015 жыл бұрын
USA kwenyewe mizigo inasafirishwa na malori pia itakuwa sisi tusio na miundo mbinu imara ya reli?!