Dkt. GeorDavie atoa Gari na zawadi za washindi wa Miss Tanzanite Manyara - GeorDavie TV

  Рет қаралды 69,658

GeorDavie TV

GeorDavie TV

8 ай бұрын

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 348
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 7 ай бұрын
Aliesikia mchungaji anamsifia mdada ana meno like zangu😆😆
@isaacomayio7768
@isaacomayio7768 6 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo kuna kupigana miti
@AhaziAlexander
@AhaziAlexander 7 ай бұрын
Hakika mwenyezi Mungu anawaona mnacho kifanya.sijaona hata siku moja ukihubili.ila kutoa na kujionyesha.mlagowe
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 7 ай бұрын
Nyie waumini wote,someni 1Korintho 10:31. Nyie watu mnachangamoto sana. Yaani mambo ya Dunia yameingizwa kanisani. Mnafurahia kupewa gari na vijipesa lakini mwisho wake ni kilio na kusaga meno.
@elijahsandeh5324
@elijahsandeh5324 7 ай бұрын
Shida li wapi kuzaidia
@jamesndirangu2425
@jamesndirangu2425 7 ай бұрын
Eehh shida i wapi wewe ukisaidiwa utakataaaa
@DanielJackson-vd2jw
@DanielJackson-vd2jw 6 ай бұрын
Point and fact 🎉
@user-ph3pi1dm2n
@user-ph3pi1dm2n 5 ай бұрын
Yesu anasema angalieni msifanye wemawenu machoni pawatu kusudi mtazamwe na watu .pili jiulize wapo waumini wangapi hapo hawajui hata Wana kulanini mbona asiwasaidie wapo watumishi wake wangapi hawana magari mbona asiwape.tatu fuatilia watuwote maarufu aliowasaidia kama Wana vuma tena mna ibiwa nyota fungukeni macho muda simrefu mta juwa Mungu hadhihakiwi
@KushahaLaban-co1un
@KushahaLaban-co1un 7 ай бұрын
Dunia inakalibia jioni kweli kweli
@veronicanestory1662
@veronicanestory1662 7 ай бұрын
Acha ndg yang mm naogopa
@Sarahsaid2648
@Sarahsaid2648 5 ай бұрын
Aiseee jmn ww acha tyu nataman kulia sijui kinini hiki😢😢😢😢😢
@MatildeBjelland
@MatildeBjelland 6 ай бұрын
Hakuna uwepo wa Mungu labda km ana Mungu mwingine
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 7 ай бұрын
YESU anarudi kumbukeni hilo
@jamesndirangu2425
@jamesndirangu2425 7 ай бұрын
Twajua sana anarudi
@charlesmbunda6759
@charlesmbunda6759 7 ай бұрын
Dah Acha niililie roho yangu, na roho za watu wangu!
@user-sk9zr4bn2k
@user-sk9zr4bn2k 5 ай бұрын
Mungu tusaidie ss tulio wadogo wa imani utupe iman iliyo timilifu kiroho utuongoze ututie nguvu uturinde na manabii hawa wauongo kama ulivyo tuahidi kuwa walio wako unawajua miongoni mwaoo na mm unijue bwana yesu wangu ntie nguvu ktk roho yangu Amina
@gideonelishadai100
@gideonelishadai100 6 ай бұрын
Isaiah 9:16 Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia. [16]For the leaders of this people cause them to err; and they that are led of them are destroyed.
@user-tj3wu4jw2p
@user-tj3wu4jw2p 7 ай бұрын
Siku zamwisho tutasikiya Vingi na tutaona Vingi, Neno LA Mungu hamuna😭
@elishamwakapugi7751
@elishamwakapugi7751 7 ай бұрын
Tengeneza mambo yako Acha kuhukumu
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 7 ай бұрын
​@@elishamwakapugi7751kwani weweni usher wa KZbin wakujibu watu??
@isaacomayio7768
@isaacomayio7768 6 ай бұрын
,😭😭😭😭😭😭my God give us spiritual eyes we're perishing
@isaacomayio7768
@isaacomayio7768 6 ай бұрын
​@@elishamwakapugi7751Nobody has judged anyone bt the pple states
@johnmnyawi5718
@johnmnyawi5718 7 ай бұрын
Ushabiki utapoteza nafsi zenu ,bado mnayo nafasi ya kubadilisha njia zenu. Mungu awarehemu
@elishamwakapugi7751
@elishamwakapugi7751 7 ай бұрын
Acha kuhukumu wewe vp wewe maisha yako ya rohoni
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 7 ай бұрын
@@elishamwakapugi7751 sio KUHUKUMU Bblia ihv DHAMBI ZA WATU WENGNE NI DHAHIRI NAZO ZAWATANGULIA HUKUMUNI ILA WENGNE DHAMB ZAO ZA WAFUATA kwhy km n mmoja wao ,unayonafas ya KUJIPONYA roho yko na jehenam ukiwekwa mateka km ASEMavyo Yer42:22 bc tena
@isaacomayio7768
@isaacomayio7768 6 ай бұрын
Watu wamepotea juu wamekosa ufahamu
@mimimimi-pg5uk
@mimimimi-pg5uk 5 ай бұрын
Elisha sema huyu amehukumu nini? kilicho cha MUNGU ni cha MUNGU. kama huyu jamaa ni kichekesho ni hivyo. hakuna Mungu hapa wewe. kama umetumwa nae ni wewe lakini ukweli ni kwamba huyu sio wa MUNGU. na kama huna akili ni huna akili hakuna kukupamba. ELISHA HAKIKISHA unakuwa na akili usiwe mpumbavu usieweza kujua mengi,,, ila hata huyu bado hujua sio wa kutoka kwa MUNGU?. ETI HUKUMU.. UNAJUA HUKUMU WEWE?@@elishamwakapugi7751
@erasmobenardsangu-1854
@erasmobenardsangu-1854 5 ай бұрын
wachugaji apomnaonawivu rakini. watuwakiubirikweri. amtaki iyondosawa mwakipesire. arisema mkasema hanaeki mavipiapo
@GgSaw-vi4mo
@GgSaw-vi4mo 7 ай бұрын
Chukizo la uharibifu limesimama patakatifu jamani
@GodfridMbele-sb1ks
@GodfridMbele-sb1ks 7 ай бұрын
Hapa Yesu hayupo kabisa, kabisa, poleni mliopotea
@Apostlegmkumbwa
@Apostlegmkumbwa 7 ай бұрын
Imeandikwa nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala lakini nyinyi mmeifanya pango la wanyang,anyi
@JedidaNdutuu-ys3lx
@JedidaNdutuu-ys3lx 3 ай бұрын
Wangejua kilicho nyuma yao ata hawawez shiriki .ila mungu awafungue macho y kiroho,
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 7 ай бұрын
Kanisa hili limejaza Yezebeli kibao
@praiseludutu4053
@praiseludutu4053 6 ай бұрын
Yesu tusaidie na uturehemu kwa haya yanayo endelea
@raynawilliam4719
@raynawilliam4719 7 ай бұрын
E Mungu tupe macho ya rohoni
@jamesndirangu2425
@jamesndirangu2425 7 ай бұрын
Omba upewe
@lidyagadyaaminasana576
@lidyagadyaaminasana576 7 ай бұрын
Huu ni uchafu mbele za mungu
@jamesndirangu2425
@jamesndirangu2425 7 ай бұрын
Kivipisasa explain wewe msafi
@QwaridaNadamassay
@QwaridaNadamassay 6 ай бұрын
Huo ni uchafuuuuu...ambaye hujaelewa basiiiii
@QwaridaNadamassay
@QwaridaNadamassay 6 ай бұрын
Mungu asipoingilia Kati mmmmmh
@bettywambui5871
@bettywambui5871 7 ай бұрын
Children of God perish due to lack of knowledge,I don blv in this at all,jihadhalini sana.
@DanielJackson-vd2jw
@DanielJackson-vd2jw 6 ай бұрын
Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu
@samwelimollel
@samwelimollel 7 ай бұрын
Kweli mungu akae minguni maana ujumbe wake ikishaa kwa mtumishi wake kizimuu inamtumiaa poleni sana
@gozdannyisaya6641
@gozdannyisaya6641 7 ай бұрын
Be blessed by gozdanny Daniel GOSPER WA INJILI
@user-pe8vt4lo3g
@user-pe8vt4lo3g 7 ай бұрын
Maandi ili ya time lazima wawepo watimiza maandiko ninawahurumia maana jehamu nimahari pabaya
@Excel-Elevation-School
@Excel-Elevation-School 6 ай бұрын
8:09 Nabii Mkuu kaimba goma Kalii Sanaa Rudi Rich Mavoko ft Patoranking
@agnessmalyeek9387
@agnessmalyeek9387 7 ай бұрын
Baba mungu akuinue in naye akuongezee siku moja kwetu
@chidiomari.65
@chidiomari.65 7 ай бұрын
Woh ❤Maisha marefu kwako Baba
@mariammbwaga8463
@mariammbwaga8463 7 ай бұрын
Eeh!Mungu tusaidie
@user-ke9bg1dm9c
@user-ke9bg1dm9c 17 күн бұрын
Mungu akuongezee palipo pungua
@AbedKirway-tr5wx
@AbedKirway-tr5wx 7 ай бұрын
Asante baba nabii wa kisasa
@luicensigabriel104
@luicensigabriel104 7 ай бұрын
Duuuuuu tukeshe tukiomba no comment
@VisionVibes8
@VisionVibes8 5 ай бұрын
Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x 7 ай бұрын
Mke wa huyu jamaa anajisikiaje mumewe anavomsifia huyo msichana
@elieneapalangyo6938
@elieneapalangyo6938 7 ай бұрын
Mboga hizo za mchungaji zimeletwa achague ile imenona
@QwaridaNadamassay
@QwaridaNadamassay 6 ай бұрын
Jamam Mungu mwema tupe macho ya kuona, kwa jina la Yesu aminaaa
@isaacomayio7768
@isaacomayio7768 6 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏Kyande aliimba vizuri kuwa,kama ni kuimba na shetani anaimba wala kuimba sio njia ya wokovu
@user-tk2rd7pe3v
@user-tk2rd7pe3v 7 ай бұрын
Mungu atusaidie
@amanikivuyo8141
@amanikivuyo8141 7 ай бұрын
Mungu akubariki Nabii
@user-kh2bm4ug9t
@user-kh2bm4ug9t 7 ай бұрын
Mmmmh kwakweli kabisa ni aibu kwa nyumba ya ibaaada hiyo looooh
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 6 ай бұрын
Kcheko cha geordevie duh
@zimanigervas7281
@zimanigervas7281 7 ай бұрын
Woooow
@samiramawby1257
@samiramawby1257 7 ай бұрын
Yaaa Mukuruuuuu Ngaii Salama Manat wa Manase Mudhambiii???Khaii my people are so good and trully mean it🙏Dear Jodave thank you my,,My small letter from Sultan Rasurul daughter am among you
@nicocoba1741
@nicocoba1741 7 ай бұрын
E Mungu wangu e Kwa naamuna hii shetani yupo kazi it
@mosesndimgwanko1079
@mosesndimgwanko1079 7 ай бұрын
Kanisa limegeuzwa kuwa sehemu ya mamiss,andiko gani linaonesha?Yanatoka wap hayo?
@TALLUBOY
@TALLUBOY 6 ай бұрын
MZEE GEODAV NAKUKUBALI KINOMA DUH UNATUMIA PESA SANA MZEE GEODAV
@FiveFunny
@FiveFunny 7 ай бұрын
Amina nabii
@user-gz7ds4mb6x
@user-gz7ds4mb6x 7 ай бұрын
Tunaenda na wanao kwenda🎉
@dayana5513story
@dayana5513story 7 ай бұрын
👏👏👏
@twahaismail9440
@twahaismail9440 7 ай бұрын
Yani binadamu tumekua hatuna hofu ya mungu sasa dini gani inakubali ujinga huu
@user-kq9lb7bd8l
@user-kq9lb7bd8l 2 ай бұрын
baba mungu akubariki nawomba namimi unisaidiye nitoke kwenye umasikini
@lidyagadyaaminasana576
@lidyagadyaaminasana576 7 ай бұрын
Kweli nabii hii ni Ibada au kufuru
@praiseludutu4053
@praiseludutu4053 6 ай бұрын
Majira sasa yapo jioni na ndege wote kwenye viota vyao Mwokozi yupo karibu na ujira wake
@remigimtenga7608
@remigimtenga7608 7 ай бұрын
Nabii mkuu una tabia mbaya!
@helencyprian8745
@helencyprian8745 7 ай бұрын
Yaani jamani Mungu atupe macho ya rohoni
@jamesndirangu2425
@jamesndirangu2425 7 ай бұрын
Asha tupa
@mwesi527
@mwesi527 7 ай бұрын
End of the time,aminini kwamba
@user-qz4bk5zc8z
@user-qz4bk5zc8z 7 ай бұрын
Bwana Yesu hakuwa na upendeleo hata sasa bado anatupenda jinsi tulivyo. TUOMBEANE TUCHUKULIANE MIZIGO. NI HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA. MUNGU AWABARIKI WATUMISHI WOTE WAAMINIFU WANAOWAKUMBUKA WAHITAJI.
@MwanaNgurumo
@MwanaNgurumo 7 ай бұрын
Baba nabii nimekupenda sana mungu akubariki
@catherinemhule6519
@catherinemhule6519 7 ай бұрын
Nawe mwanangurumo upon ee
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 7 ай бұрын
kwa huo uchafu
@AngelRupia-od2gu
@AngelRupia-od2gu 7 ай бұрын
Yaani mtumishi wa MUNGU wahitaji tupi wengi mno ubarikiwe sana ❤❤❤
@DanielJackson-vd2jw
@DanielJackson-vd2jw 6 ай бұрын
Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu
@mimimimi-pg5uk
@mimimimi-pg5uk 5 ай бұрын
aMINA dANIEL mungu ATUFUNGUE MACHO@@DanielJackson-vd2jw
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 7 ай бұрын
Yani bado kuna watu wanamuhita huyu NI mtumishi wa Mungu?? Huyu NI muabudu shetani mkubwa Sana Yani huyu wakala wa kuzimu aslimia miamoja kabisa
@goldenvibeztz8579
@goldenvibeztz8579 7 ай бұрын
Anakusanya nafsi tu kuzipeleka kuzimu maskini
@machachehardware5975
@machachehardware5975 7 ай бұрын
Tokeni huko na umaskiñi wenu mawazo dumavu hayo
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 7 ай бұрын
Machache hunaakili Nani masikini MTU aliye na Mungu wa kweli huwa anakuaga masikini ??? Lazma tukemee ushetani wa hadhalani wa geodev
@nicebatare2737
@nicebatare2737 7 ай бұрын
Umaskini unakusumbua na makasiriko
@signolinenikiza3710
@signolinenikiza3710 7 ай бұрын
Nafurahi sana
@cosmassisa5256
@cosmassisa5256 7 ай бұрын
Unahitajika ukumbozi wa kifkra aisee. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@mwesi527
@mwesi527 7 ай бұрын
Kabisaaa
@agnessima5032
@agnessima5032 7 ай бұрын
Ukombozi wa kifikra ni moja ya utajiri mkubwa sana.❤
@akutiboysolomon9418
@akutiboysolomon9418 7 ай бұрын
Wow! Great
@DianaShayo-io1pz
@DianaShayo-io1pz 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba, iendelee kuwa na moyo huo huo wakuwasaidia wanyonge kama sisi
@gideonelishadai100
@gideonelishadai100 6 ай бұрын
Nabii wa kuzimu
@BisimwaMusagalusa
@BisimwaMusagalusa 5 ай бұрын
Voici l'homme qu'il faut tuonane Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@alfaksadibehuta7960
@alfaksadibehuta7960 7 ай бұрын
Uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafuuuuuuuuuuu!!!!!!!!
@machachehardware5975
@machachehardware5975 7 ай бұрын
😢
@srkkishimbo1558
@srkkishimbo1558 7 ай бұрын
Mtupuuuuu
@EliyaMwangobe
@EliyaMwangobe 6 ай бұрын
Roho ya mtu ikifungiwa kwenye madhabahu basi hawezi kabisa kugundua BAYA Bali atakokotwa Hadi ....
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es 7 ай бұрын
Oo Glory to God!!!
@francislekula-fs1cj
@francislekula-fs1cj 7 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@agnessmalyeek9387
@agnessmalyeek9387 4 ай бұрын
Baba uinuliwe sana❤
@user-mw5om6tl1o
@user-mw5om6tl1o 6 ай бұрын
Muz nabimuku unanibariki sana mimi nimucongomani
@valenakomba9218
@valenakomba9218 7 ай бұрын
Sasa hili ni kanisaa au vipi?
@hajimnzava1972
@hajimnzava1972 7 ай бұрын
Watu wote Mungu anawapenda,tusijihesabie haki nakuwa zarau wengine,minakuambia hao wadada watatoka hapo wamehesabiwa haki,
@agnessima5032
@agnessima5032 7 ай бұрын
Hakuna ajuaye.
@HappyMubiligi-hq9uv
@HappyMubiligi-hq9uv 7 ай бұрын
Nisaidie na mm gali nalitaka au hata bajaji2 nitakushukuru
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 6 ай бұрын
Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 6 ай бұрын
Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?
@glorychristopher7283
@glorychristopher7283 7 ай бұрын
Mungu yupo wap
@user-kh2bm4ug9t
@user-kh2bm4ug9t 7 ай бұрын
Mmmmh injili imevamiwa
@huseynmaitaya9002
@huseynmaitaya9002 5 ай бұрын
Kwanini wasema hivi
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs 6 ай бұрын
Yaani mimi nawashangaa watu wa coment kila mtu amepewa eneo lake
@mamakhadijah2352
@mamakhadijah2352 7 ай бұрын
Hii ndo inaitwa mtawatambua kwa matunda yao yaani mkono mmja unakemea uovu mkono mwingine unauunga mkono Mungu atusaidie tujue kwamba shetani huja kwa njia nyingi
@elizabethabdon2890
@elizabethabdon2890 7 ай бұрын
Halima
@elizabethabdon2890
@elizabethabdon2890 7 ай бұрын
Mama kadija umeamsha kweri kwer uko vizur
@agnessmalyeek9387
@agnessmalyeek9387 7 ай бұрын
Maisha mazuri ,mama na ya Baraka
@alfredpaulokijangwa1229
@alfredpaulokijangwa1229 4 ай бұрын
Lazima amuweke huyu dada maana sio kwa kumsifia huku.
@user-gs8zo4dy1l
@user-gs8zo4dy1l 7 ай бұрын
Daaah kweli tumefikia huku?
@sashalemmoh3264
@sashalemmoh3264 6 ай бұрын
Embu shindweni kwajina la YESU
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 7 ай бұрын
Huyu ni mfanyabiashara sio nabii kajificha kwenye neno la Mungu
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 7 ай бұрын
Kabisa😢😢
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 7 ай бұрын
The Today Christian they love commedian prichers
@angelatarimo1969
@angelatarimo1969 7 ай бұрын
👉🥱
@klauskilamla1957
@klauskilamla1957 6 ай бұрын
Mchungaji geordavie is the best.hongera Santa geordavie
@isaacomayio7768
@isaacomayio7768 6 ай бұрын
Vitu za dunia hizo apeane neno na kuelekeza watu kwa njia ya ukweli
@user-zz7ep5of2m
@user-zz7ep5of2m 7 ай бұрын
Inalilah waina lilah lajuuni
@user-xt4mi5zs2s
@user-xt4mi5zs2s 7 ай бұрын
Ndo mana makanisa yamekua mengi ni nyumba za biashara
@rev.pasteuraimablebaobabt.v.
@rev.pasteuraimablebaobabt.v. 7 ай бұрын
Yyyyyyyyyy 💜💜💜💜📖📖 ubarikiwe mtumishi
@mwesi527
@mwesi527 7 ай бұрын
Kusali inachosha duh hii mpya
@glorychristopher7283
@glorychristopher7283 7 ай бұрын
Ee mungu jaman tusamehee
@user-vj7lo7tl6l
@user-vj7lo7tl6l 7 ай бұрын
Hyu madamu abarikiwe na Mungu
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx 7 ай бұрын
Be blessed Man of God
@elifurahamnkeni2759
@elifurahamnkeni2759 7 ай бұрын
Yote sawa
@user-vs9pg9kg7q
@user-vs9pg9kg7q 6 ай бұрын
Sku mungu akilud Dunian atashangaa kwan aliiacha ikiwa nzuri sana ila sasa imechafuka chafuka sana kana nichakula hakistahih kabsa kuluwa mungu atuhulumie jaman moto unatusubili
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 7 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu na mungu akulinde daima
@mazulacelestine3038
@mazulacelestine3038 7 ай бұрын
We nae unasema ubarikiwe kwa kazi ipi ya Mungu??
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 7 ай бұрын
@@mazulacelestine3038 ametenda kazi ya kitume na huo ndiyo utumishi
@Rapezo
@Rapezo 7 ай бұрын
Mungu tuhulumiee sana
@user-yw5gc4dk4h
@user-yw5gc4dk4h 3 ай бұрын
Kuna wagonjwa, mayatima, wanaotaka Karo ya shule who's need's are very urgent than this, is God really in this, help me choose
@mpesastatements2265
@mpesastatements2265 7 ай бұрын
Huyu si mtu wa mungu pepo
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 7 ай бұрын
Anachaguliwa walembo wakula vichocholoni😢😢😢😢
@uthmanmaluja7005
@uthmanmaluja7005 5 ай бұрын
Hili lizee linasumbuliwa na tamaa tuh hakuna chochote linawawinda liwachape baas hakuna Cha hakuna Cha jina la yesu Wala jina la Paulo hapo....
@hassankidilikia5566
@hassankidilikia5566 7 ай бұрын
Kanisa la kishetani hili
@alvinsanga2428
@alvinsanga2428 7 ай бұрын
NI HAIBU KWA KWELI
@jacsonbayyo3482
@jacsonbayyo3482 7 ай бұрын
Yuko vizuri mzee wa watu hana baya
@mwesi527
@mwesi527 7 ай бұрын
Hao ndo manabii wenu watu wa ulimwengu huu polen
@veronicanestory1662
@veronicanestory1662 7 ай бұрын
Yaani ni mtihani watu wanaangamiza roho zao maskin kwa ajili ya pesa
@daviddavid-gq8zp
@daviddavid-gq8zp 6 ай бұрын
Hili kanisa la aina gani?
@jeniphajohnson2538
@jeniphajohnson2538 7 ай бұрын
Duuuu
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 28 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 5 МЛН
#KANUNI SABA ZAKUIFANYA NDOA YAKO IWE NA FURAHAPR.DAVID MMBAGA
35:53
MUZIKI UNAVYOANDAA WATU KUPOKEA ALAMA YA MNYAMA. MCH PAULO SEMBA.
39:11
Petro Tumaini TV
Рет қаралды 23 М.
#SHULE YA MAISHA:  "MAMBO 7 YA KUEPUKA KWA WANADAMU"  GeorDavie TV
1:04:33
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27