No video

UKIOTA NDOTO YA CHOO AMA KINYESI INA MAANA HII KIBIBLIA. USIOGOPE - Apostle Johaness John

  Рет қаралды 24,759

SHINING STAR HEAVENLY EMBASSY

SHINING STAR HEAVENLY EMBASSY

Күн бұрын

Пікірлер: 36
@subirapallangyo5670
@subirapallangyo5670 2 ай бұрын
Barikiwa mtumishi , asante Sana Kwa maneno ya Mungu
@HaikaBeatrice
@HaikaBeatrice Күн бұрын
Thank you
@joliapantaleo349
@joliapantaleo349 2 ай бұрын
Nimekusikiliza vyema laminitis mimi niko tofauti nikota kinyesi au kimenizunguka hua nafanikiwa sana nanitashika ela sana
@Neema-q3b
@Neema-q3b 6 күн бұрын
Na,je ukiota unafanya haja ndogo yani kukojoa
@mummymaduhu5307
@mummymaduhu5307 3 ай бұрын
Asante baba ubarikiwe mno
@JoyceOnyino
@JoyceOnyino 5 ай бұрын
Ameniii mjugaji nimeota nimetapa choo inakinyezi na maji ilijaa Kwa choo nanikaosha na mtoto akakuja inaanaana gani
@MwaduduFatma
@MwaduduFatma 10 ай бұрын
Ameen..mtumishi m nliota naenda haja kubwa alaf baadae nkaoga pia Io inamaanisha nn
@inviolathaMasinde-yy1by
@inviolathaMasinde-yy1by 7 ай бұрын
Amen mtumishi
@agathemichelle238
@agathemichelle238 6 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi Nisaidie kwa tafsiri pls nimeota kwa choo panaja uchafu mwingi sana maana yake nini
@shiningstarheavenlyembassy
@shiningstarheavenlyembassy 6 ай бұрын
ISHARA ya DHAMBI na ROHO CHAFU kukufuatilia
@agathemichelle238
@agathemichelle238 6 ай бұрын
@@shiningstarheavenlyembassy Asante nashukuru kwa tafsiri mubarikiwe na Bwana
@emilywafula9237
@emilywafula9237 6 ай бұрын
Hi..Mimi Niliota majirani wangu wanakuja kijisaidia kwa choo changu ...yani majirani kona zote wanakuja chooni mwangu nimeshtuka😢🙄
@linahkavishe3745
@linahkavishe3745 4 ай бұрын
Asante mimi baada ya kufunga maombi ya toba nmeota namfuta mama yangu mavi mara mbili
@annandunguru2678
@annandunguru2678 9 ай бұрын
Niliota nimekwenda mahali tulikuwa wengi, nawengi wao ni wanafamilia wa tumbo moja, sasa hiyo nikaenda kusaidia nikakuta chooni ni kuchafu sikujisaidia, nikaenda sehemu nyingine hicho ndio kimjaa na wadudu wengi, nikatoka nikaanza kutafakari na kujiuliza nitafanyaje na nimeshikwa na haja, bahati nzuri nikatupa jicho nikaona niko karibu na eneo ambalo nilikuwa ninafanya kazi maana sasa hivi ni mstaafu nikaona niende kujisaidia, ghafla nasikia watu wanaongea kwa nje huyu yuko wapi, halafu ni usiku, nikatoka, wale watu wakaniambia unatafutwa sana na wale ndugu zako wamesema wanaingia watakiacha, bahati nikakutana nao mlangoni wakaanza kama kunilaumu nikawaambia huko siendi ninyi nendeni mara nikastuka kutoka kwenye ndoto, ina maanisha nini?
@annandunguru2678
@annandunguru2678 9 ай бұрын
Mi ni
@JeniferIminza-ur3wj
@JeniferIminza-ur3wj 10 ай бұрын
Amen mm apo nyumba nilikua naota sana nimeingia chooni lkn imejaa kila mahali mpaka akuna penye unakanyaga lkn sikuizi uwa sioti tena kwa sababu nimeachia mungu mambo yangu yote
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 Ай бұрын
Shalom mmi niliota naingia choon nilivyo taka kuingia nikaishia mlangoni nilivyoona nikichafu hakina hata marumaru
@latifakisena8345
@latifakisena8345 5 ай бұрын
Nikwel kbsa mtumishi nimeota nipo chooni nachungulia kinyesi baada ya hapo nikaoga nakutoka nje ....najitahid sana kuomba. Nina maadui wengi kunamda ninaroho yakukataliwa nawatu pia napitia magum kwenye ndoa yangu mwanaume amenikimbia mwaka mzima na hakuna sababu yamsingi yakuniacha nilee watoto peke yangu naumia mnoo nakitahid sana kuomba ila bdo sijafanikiwa naomba uniweke kwenye maombi namm
@shiningstarheavenlyembassy
@shiningstarheavenlyembassy 5 ай бұрын
Amen
@VeronicaRobert-oy7cf
@VeronicaRobert-oy7cf 3 ай бұрын
Habari mtumishi Mie nimeota nipo ndani nimelala nikachukua kopo nikajisaidia kinyesi kisha nikawa nataka kukitoa nje watu wakawa wapo nje nikawa wavizia watu wasione nimetoka na kinyesi ndani
@user-rz7pj2hp7b
@user-rz7pj2hp7b 8 ай бұрын
Habari ,niliota mwanangu anajisaidi kwa kuharisha na kukojoa kwa kwa kuvirusha kwa mbali nini maana ake
@user-zy1li5nt7x
@user-zy1li5nt7x 10 ай бұрын
Nasimu kuwanguka choo
@user-qw5kk5jw2z
@user-qw5kk5jw2z 9 ай бұрын
Niliota nimekunya kwa chumba changu .inamaana ngani?
@marryedson2762
@marryedson2762 6 ай бұрын
Nmeota nmeenda kwa choo nikakuta kuna tundu limebomoka kinyes kinaonekan na kina funza wengi nikawa naziba lile tu nkaliziba lote hii ina maan gan naomba kujua
@user-um5bb9st5e
@user-um5bb9st5e 10 ай бұрын
Mm nimeota nasafisha choo Cha wazngu lakini inavitu vingi vichafu naosha mpk bs
@HarrietMwashi
@HarrietMwashi 5 ай бұрын
Ukiota unafukiwa kwa choo ?
@mareh18
@mareh18 8 ай бұрын
Na kueda haja kubwa kwa kiti????
@user-kv7hq5mb6m
@user-kv7hq5mb6m 9 ай бұрын
Ukiota unakuwa mavi,inamaanisha nini
@shiningstarheavenlyembassy
@shiningstarheavenlyembassy 9 ай бұрын
Yaani WEWE unageuka kuwa mavi au unakula mavi?
@user-kv7hq5mb6m
@user-kv7hq5mb6m 9 ай бұрын
Unakula mavi,inamaanisha nini
@Teshy23
@Teshy23 7 ай бұрын
​@@shiningstarheavenlyembassyMm nimeota nimemaliza kujisaidia kila nikijisafisha kinyesi hakiishikikawa kinadondoka nikakimbilia kwenye maji mengi hii ina maana gani?
@shiningstarheavenlyembassy
@shiningstarheavenlyembassy 7 ай бұрын
@@Teshy23 ACHA MAISHA ya DHAMBI, ni ISHARA ya AIBU nakupoteza heshima na utukufu WA MUNGU
@Teshy23
@Teshy23 7 ай бұрын
@@shiningstarheavenlyembassy mtumishi niliota nimepoteza viatu high heels na raba nikakuta vimetupwa porini raba zimechafuka nin maana yake,then nikaota tena natembea nimevaa raba zilezile ni nyeupe ila zimechafuka msaada maana yake. Niliota siku tofauti
MAOMBI YA KUOMBA KAMA UMEPOTEZA NGUVU ZA KUOMBA - Innocent Morris
42:03
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 32 М.
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 2,9 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,3 МЛН
UKIOTA NA CHOO NINI MAANA YAKE?
21:38
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 23 М.
UKIOTA NDOTO YA MKOJO AU UKIKOJOA INA MAANA HII KIBIBLIA- Apostle Johaness John
21:08
SHINING STAR HEAVENLY EMBASSY
Рет қаралды 8 М.
ISHARA 5 WEWE NI MWONAJI NA NABII MKUBWA ISHARA HIZI ZITAWATOKEA WATU 10 KATI YA 1000 #2024.
13:10
MAKOSA UNAYOYAFANYA WAKATI WA MAOMBI YAKO // REKEBISHA HARAKA
12:45
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 239 М.
Sababu 4 Ukiota Unakojoa Kitandani
1:33:12
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 2,9 М.
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 422 М.
PIPI KIFUA (TOPICAL MINT) INANOGESHA MAHABA CHUMBANI
4:20
Wasafi Media
Рет қаралды 295 М.