No video

NDOTO NA TAFSIRI ZAKE. UKIOTA UNAPAA ANGANI || WEWE JIANDAE NA HAYA YATAYOKUPATA | SHEIKH KHAMIS

  Рет қаралды 1,326,121

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Күн бұрын

Simulizi Za Ndoto. Ukiota Unapaa Angani Nini Maana Yake?
Fuatana Na Sheikh Khamisi Suleymani.
#Masjidmtoro #Masjidmtoro #Masjidmtoro

Пікірлер: 991
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 3 жыл бұрын
Msifatishe hizi maana za ndoto mtakosa amani ya maisha hata Kama Ni ukweli..kikubwa ukiota ndoto mbaya muombe Allah akuepushe na Hilo balaa na ukiota ndoto nzuri mshukuru Allah (s.w)
@jumahemed9301
@jumahemed9301 3 жыл бұрын
😁😁😁
@shabilyjahaa6488
@shabilyjahaa6488 3 жыл бұрын
Nkwer
@shanimwinyi691
@shanimwinyi691 3 жыл бұрын
Ukweli kabisaa...
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 3 жыл бұрын
Kbs
@cookinglist1004
@cookinglist1004 3 жыл бұрын
sawa ndugu yangu sio ndoto zote unaweza kutangaza kwani si vizur kwa ilie ota , kama ndoto ni nzuri usimwanbie mtu kama mbaya na ukashtuka amka na kumlani shetan na kutema mara 3 kulia na kushoto alafu geuka upande wa pili ,shukran.
@MuasitiAboBakri-ew5mu
@MuasitiAboBakri-ew5mu Күн бұрын
Shekhe nipo nje kikazi ila ndani kwangu nilikuta kichwa kabatini kwangu kimefungwa kaniki nyeusi kichwa hicho kina jicho la ajabu sana kilifungwa na kamba nyekundu shekhe 🙏🙏🙏tangu mwanzo wa kazi hadi majuzi nikakuta maajabu hayo shekhe napitia ndoto za ajabu sana sina raha sna amani na hiyo ndoto, na nimelala asubuhi ya leo majira ya saa tatu asubuhi nimeota nimepaishwa na mtu simjui wala mim ila sio angani tunapaa tuu kiukweli na mengi ya ajabu inapelekea kukataa tamaa ya kuludi nchi 🙏🙏kwetu salama maana sielewiii shekhe, nafanyishwa kazi zaidi ya mkataba unavyosema ni mtu wa huzuni miezi yote 🙏nipo kwenye kujipatia riziki lakini mauzauza na ndoto za ajabu aziihishi na sna ubaya ila boss wangu ananitafutia sababu mala mavituvitu mala nguo siku na kuta zimechafuka damu wakati chumba changu hakina panya
@shemsasulles8416
@shemsasulles8416 3 жыл бұрын
Manshallah, ya Allah tunakuomba utupe katika ndoto nzuri Na utukinge Na ndoto ambazo zinazoweza kututisha
@bijumakassim3697
@bijumakassim3697 4 жыл бұрын
Mashaallah sheikh.mm nilikua naota hii ndoto ya kuruka tokea nikiwa mdgo sana nikimsimulia nyanyangu akaniambia kama ulivyo ileza sheikh na nikweli imekuja tokea sasa hvu nkiwa mtu mzima..shukran sheikh
@deusirichard3442
@deusirichard3442 3 жыл бұрын
Habari
@josephkiwale3495
@josephkiwale3495 3 жыл бұрын
Kimekutokea kipi Dada,hebu nijuze maana ni muhanga
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 8 күн бұрын
Tujuze basi maan ake nn ukiota unapaa😂 plz
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 жыл бұрын
mm napenda kuwakumbusha tunaoandıka neno ma sha Allah napenda tuandke kwa kuachanisha ndıgu zangun yaan *MAA SHAA ALLAH* maa Sha Allah ma sha Allah ( sio mashallah) n makosa !
@ashamasudi9441
@ashamasudi9441 4 жыл бұрын
shukran
@ashamasudi9441
@ashamasudi9441 4 жыл бұрын
kwa kwa kutukumbusha
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Haha twaibu
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Maa Shaa allah
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Asante twaibu
@rangmyridua3152
@rangmyridua3152 2 жыл бұрын
A.a. asante sana kwa mafunzo yake sheikh, nakuwombeya heri wewe na familia. Nawomba usaidizi wako, mim nimewota nakaribiwa nawatu ambawo ni haghalifu nika amuwa niruke toka pale chini kwa kichwa juu migu chini bila mabawa nikafikia nuymba ya kwanza, badae nikaowona nikaribu nikarikuwa tena miguu chini kichwa juu nikapandisha sana kwenye gorofa mrefu sana. Kutokana na utafsiri wako sijajiweka mahala pake ndotoni. Tafadhali naomba kusaidiwa. Jina langu ni Rangmy Ridua From Mozambique
@bnussrahlimsantah3730
@bnussrahlimsantah3730 2 жыл бұрын
Duh pole
@ahmedchoden9970
@ahmedchoden9970 9 ай бұрын
Bro mtafute namba ipo hapo
@aishasuleiman6320
@aishasuleiman6320 Ай бұрын
Hiyo inaonesha unataka kuwa super man
@ommyakili552
@ommyakili552 4 жыл бұрын
Maashaallah hii ndoto ya kuruka nakutua kilele cha mlima huwa ninaota lkn sijui na sikumbuki pia nn maana yake ila nashukuru kuijua Allah ndiyo mjuaji zaidi
@khumeinshawal6646
@khumeinshawal6646 3 жыл бұрын
Hahahaha kwaiy ndo umedanganyika au? Ufukara huooooo
@MARIAMABUBAKAR-y9m
@MARIAMABUBAKAR-y9m 27 күн бұрын
​@@khumeinshawal6646😂😂😂😂
@LiviaMwesige
@LiviaMwesige 19 күн бұрын
Nami naotaga ila nayoyaota nayaona kweli
@fatmitahdishar920
@fatmitahdishar920 3 жыл бұрын
MAA SHAA ALLAH Naona ni kweli maana mm nilikua nikiota sanaa hizo ndoto zaangani na ndio nikasafiri shukran sheikh
@shadidasaidi3318
@shadidasaidi3318 11 ай бұрын
Amina
@rahimakhalid9668
@rahimakhalid9668 4 жыл бұрын
Ma sha Allah nikweli shekh mie sana naota naruka tangu nikiwa mdogo saivi nashkuru nimeruka kweli kwa ndege nasaivi alhamdulilah namiliki ata kamilioni 10 nasiku amini maisha yangu yalikuwa magumu sana
@ladytatu2139
@ladytatu2139 4 жыл бұрын
Hahaha
@rahimakhalid9668
@rahimakhalid9668 4 жыл бұрын
@WAASI Fort Gangstars lakini tumeambiwa kuruka kuna maana nyingi kama alivoelezea shekh
@stevensosipita5673
@stevensosipita5673 3 жыл бұрын
Hiyo ni kweli kabisa shekhe wangu mimi yashanitokea nasipo nchini kwangu amina
@khalfanomar7665
@khalfanomar7665 4 жыл бұрын
Shekh ni kweli ulio sema mimi ni mzaliwa wa pemba siku moja usingizi ni nilota napaa kwenye eneo lenye milima mirefu iliopitiwa na nyaya za umeme nilipata uhamisho wa kikazi kutoka zanzibar mpaka mkoa wa Manyara wilaya ya Mbulu na yote niliota niliyaona
@allysaidd4623
@allysaidd4623 4 жыл бұрын
Mashaa Allah....mie nimeziota saana allhamdulillah sas nipo ughaibuniii
@fabianmagambo
@fabianmagambo 10 ай бұрын
duuuh bola uote unaenda mbingun kweli
@RukiaJuma-fv3du
@RukiaJuma-fv3du 9 ай бұрын
Asalam aleikum,nishaota nimepaa nikadondoka kwenje gorofa juu kabisa mwisho alafu nikapaa kutoka kwahiyo gorofa Hadi nyingine ,hiyo yamaanisha nn
@RukiaJuma-fv3du
@RukiaJuma-fv3du 9 ай бұрын
26:52 26:52 26:52
@RukiaJuma-fv3du
@RukiaJuma-fv3du 9 ай бұрын
Niliota napaa kwenda chini nikiwa nimesimama juu Kwa blonde,chini zaidi hiyo nini
@mwanaishahussein2635
@mwanaishahussein2635 4 жыл бұрын
Shukran shekhe Khamisi, ALLAH akurefushie maisha. Nashukuru nimepata uwazi wa ndoto yangu kwani niliota nafukuzwa na joka la rangi kijani badae nikaruka angani kwa kunyooka napia hilo joka likanifuta nyuma na halikunipata 🙏🙏🙏🙏
@rebeccamaunde4085
@rebeccamaunde4085 Жыл бұрын
Oooh my God ndoto ya kupaa nao ni ukweli kabisa Nisha hota mara kanza,watching and listening from 🇰🇪 kenya Asante sana brother kwa ufafanushi wa ndoto.mungu akuongoze sana kwa kutafziri
@agapenkya4148
@agapenkya4148 4 жыл бұрын
Niliota naongea na mzungu gafla nikapaa juu ila siyo juu saana niojikuta nasema asante mungu asante mungu
@user-gi4ls3bh3l
@user-gi4ls3bh3l 2 жыл бұрын
Ma sha Allah shukrani shek wangu Mimi nilikua nilipenda kuota nafukuzwa na mwanamke habaye yupo mtahani kwetu na mwanamke huyo ni mganga basi katika kupaa kwangu nitahishia juu ya mti kwetu nyubani Yani Mimi nimeoleka sasa hupaa kuelekea kwetu kwa wazazi mwisho nafika juu ya mti uliopo mbele ya nyuba yetu naa ilipo niachia ndoto hiyo hikamjia mwanangu yuwafukizwa na mwanamke huyo huyo basi nae yuwapaa juu kwa juu paka yuwamka nipe tafsiri in sha Allah
@chesangvihendah2513
@chesangvihendah2513 3 жыл бұрын
Mashalaaa.....nimeota ndoto hiyo ya kwanza na kweli yalitimia....good job sheekha
@fatumaamri3743
@fatumaamri3743 4 жыл бұрын
Asante sheikh ALLAH akurehem inshaallah
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 жыл бұрын
ma sha Allah shekh nmekuelewa sana Allah akuhifadhi tuzdi kupata elimı
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Shukran sana
@wdeidwdeid8538
@wdeidwdeid8538 4 жыл бұрын
Jenikiota msiba inamaana gani
@alvinsafi2733
@alvinsafi2733 3 жыл бұрын
Allah atuepushe na mitihani ya ndoto inshallah
@muslimakassim9791
@muslimakassim9791 4 жыл бұрын
Masha Allah 🙏Shukran Sheikh
@jemimamagubiki9994
@jemimamagubiki9994 2 жыл бұрын
Asante sheikh kwa tafasiri, na je ukiota unapaa juu sana na kabla haujatua ukashtuka nayo inamaana gani
@salumnassor9425
@salumnassor9425 3 жыл бұрын
Ostaz je ukiwa umelala ukaota unakimbizwa harafu ukapaa inamaanisha mini shekh
@OmarMohamed-cb1tu
@OmarMohamed-cb1tu 29 күн бұрын
Apa ndo nasubiria adi mm
@celinaganga2105
@celinaganga2105 2 жыл бұрын
Asante Sana Ila tafadhali ningependa kuuliza maana ya ndoto niliyoiota ya kwamba ninamhifadhi adui yangu mahali ya kulala yeye pamoja na mtoto wake ambae alikua hajisikii vzuri yaani alikua anaumwa. Tafadhali naomba nafsiri ya ndoto hii.
@ashuraramathani8997
@ashuraramathani8997 3 жыл бұрын
Jamani kuhusu kupaa duu Allah anijalie nime kuelewa ustadhi mashallah
@malota2138
@malota2138 3 жыл бұрын
Ma sha Allah nilishawahi kuota ndoto nafukuzwa na n'gombe mweupwe alaf nikapaa juu nikaenda kutua kwenye mti mrefu kuangalia chini nikaona karatasi nyeupe inakuja kule nilipo nikaipushi kwa mkono iliirudi ilikotokea lkn ikajaikaingia mdomon mpaka leo sipatii jibu hii ndoto
@vincosmeticsmarvin
@vincosmeticsmarvin Жыл бұрын
Yako nzito aiseee😂
@husnasalim5569
@husnasalim5569 4 жыл бұрын
Asalaam alaykum naomba tafsiri ya hii ndoto nimelala nimeota imekuja radi kubwa sana baada ya hp ardh ikachanika ikawa nyekundu na kiama kikawa mm nalia na kuomba dua na kujiuliza mm nitakuwa katika kundi lipi natetemeka na nguv sina na watu wanapiga kelele na kuku zikipiga kelele nilivoamka nilistuka sana na moyo wnitetema
@sikudhan3378
@sikudhan3378 3 жыл бұрын
Namm naota sana ndoto za hivyo mwisho leo lakini Hua naota wakati nikilala sana rabda sambili asubuh nikiwa bado nimelala
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
@@sikudhan3378 ni makumbusho hayo uamke umuabudu allah
@tukanobakary2005
@tukanobakary2005 3 жыл бұрын
Fanya sana ibada . Yaonekana Kuna madhambi unayafanya ambayo mungu hayapendi
@SuleimanSalim-ql3ny
@SuleimanSalim-ql3ny 2 ай бұрын
Sheikh nmekuelewa vzr asante na tafsiri alizotoa zote ni sahihi nami umeigusa kila ndoto niloota
@productdemos4682
@productdemos4682 2 жыл бұрын
Assalaam Alaykum, nilipokuwa mdogo nilikuwa nikiota mara kwa mara ninaruka lakini nikiwa nimekaa na kunyoosha miguu, nikiota kuruka level ndogo ndogo tu, lakini swadakta maneno yako sheikh, hadi sasa miaka 30 nimekuwa nikisafiri nchi hadi nchi mji hadi mji, nimesafiri takriban nchi 35 na baadhi ya nchi hizo nemkwenda zaidi ya mara 60 na miji zaidi ya 110. Namshukuru sana Allah Subhana wa taala kwa neema hiyo.
@zuwenanyerere83
@zuwenanyerere83 Жыл бұрын
🥰
@ramadhanisefujohn7734
@ramadhanisefujohn7734 4 жыл бұрын
Asanteni Sana mm nilianza kuota nikiwa na paa tangu nilivyokuwa mdogo na mpaka Sasa ,Ila kwa Sasa huwa naruka na kufika juu zaidi Tena bila tatizo lolote.
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 4 жыл бұрын
Ushakua mzoefu kawaida tu kwako, alafu raha sana mwenzangu
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Ushakua mzoefu sasa 🤣🤣
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 4 жыл бұрын
Iyo kweli kabisa swadakta Sheikh,mimi nilikuwa napenda kuota naruka navuka miti kwa kuruka,Leo hiyi nipo Marekani alafu ile miti nilikuwa naota sometime napitaga fasi naona najikaza hiyi miti si ndiyo nilikuwa naiota kwenye usingizi.🙏Allahuma Amiiin hiyo kweli.
@iigigijfjffjfif550
@iigigijfjffjfif550 4 жыл бұрын
Naam
@jaywest8123
@jaywest8123 3 жыл бұрын
Inshallah Shekhe...mi nimeshaota mara kibao napaa.... Kwa hadhi niliyonayo saivi nahisi ni tafisiri tosha ya unachokiongelea.
@mwaminikabatooro2632
@mwaminikabatooro2632 3 жыл бұрын
Alhamdulillahii rabbilalamienah 🤲 Namuharadhahuu na wakina Masheikh Mingi wanasema eti Ndooto siza Usilam
@Slddhhh
@Slddhhh 2 ай бұрын
Mashaallaah nilota napaa amini usiamini nilisafiri Tena kuntumia ndege subah Allaah 🤲🤲
@nandagohadijah6180
@nandagohadijah6180 3 жыл бұрын
Waaleikumsalam warahmatullahi wabarakatuh yaa Sheikh 🤝🤝
@ndayishimiyejacqueline9117
@ndayishimiyejacqueline9117 9 ай бұрын
Jamani hui nikwel mimi miezimitatu iliopit nilikuwa nataka napaa ici niko saudia rabia alhamndulillah shukran shiekh
@nickdeestrong7159
@nickdeestrong7159 3 жыл бұрын
Mungu nikomboe kutoka kwa hizi dhiki
@rizikinyarusi5074
@rizikinyarusi5074 2 жыл бұрын
Mungu awape maisha malefu tuweze kufanikiwa kupia nyinyi
@nahyanhareb4053
@nahyanhareb4053 4 жыл бұрын
Shukran Sheikh.ALLAH akupe umri mrefu uzidi ku2elimisha
@BarakaMwakalambile-u6n
@BarakaMwakalambile-u6n 14 күн бұрын
❤yesu nikiboko ya wach😢awi ndio ntafsiri mzuri wa ndoto
@jasminali5921
@jasminali5921 4 жыл бұрын
Naam shukrani kwa ukumbusho
@Kadzo-jv1ws
@Kadzo-jv1ws 4 күн бұрын
Walykum salama
@ayshaalsahafi5714
@ayshaalsahafi5714 3 жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishie Inshallah kakaangu Na ndoto zetu Allah atakusaidia.In shaa Allah
@raphaelsombi5704
@raphaelsombi5704 3 жыл бұрын
Asante sana kwa kutuelimisha kwan mm nmekuwa mhanga wa hz ndoto kwa miaka miwil bila kujua nn maana yake.Ila sasa nmejua.Hakka ww ni mwalim.
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 4 жыл бұрын
Shukran shekh
@Adventsumari-dl5mc
@Adventsumari-dl5mc 9 ай бұрын
Amina shee wangu. ubarikiwe sana nime kuelewa
@yasalaam590
@yasalaam590 3 жыл бұрын
Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
@shufaarashid896
@shufaarashid896 4 жыл бұрын
Subhannallah mi naota nakimbizwa na mbwa wengi sn..kisha napaa uku nakimbia angani,,halafu naota nakimbizwa na watu wachawi kisha nawaona lkn napaa angani huku nakimbia nikishukachini hawanioni lkn mm nawaona
@mwambakakudji6288
@mwambakakudji6288 4 жыл бұрын
Shufaa Rashid@ ondoa nywele za wazungu. Unapo lala vaa chupi. nyeusi.
@aishakhasim1440
@aishakhasim1440 4 жыл бұрын
Maa Shaa Allah
@SurtanMohamed
@SurtanMohamed 23 күн бұрын
Amen 🙏🏻 sheikh
@ashaa2768
@ashaa2768 3 жыл бұрын
MAA SHAA Allah
@hajigelegeza7532
@hajigelegeza7532 2 жыл бұрын
Asnte sana kwa kunielimisha hilo mungu akubariki
@tausiramadhan7927
@tausiramadhan7927 4 жыл бұрын
Yaa Allah nihurumie Mimi mja wako hakika maelezo ya mwisho yote ya ndoto hizo Mimi naota na ninateswa sana na masheitwan uadui wa dhahiri kwa family nmelia for sure
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Pole sana
@hijarajab5449
@hijarajab5449 4 жыл бұрын
Pole sn tausi upo wapi
@tausiramadhan7927
@tausiramadhan7927 4 жыл бұрын
Nipo temeke
@millionairejeffreysunofbez3766
@millionairejeffreysunofbez3766 4 жыл бұрын
Hao ni ndugu zenu usiseme yanakutesa, dawa ni yesu tu. hutak basi
@samimdhahabu6813
@samimdhahabu6813 4 жыл бұрын
Pole xana ndug yangu Mimi miah yananikuta hayo familia had I marafik
@user-rh7en3kd3p
@user-rh7en3kd3p 9 ай бұрын
Shukran Sana Allah akulipe kila lakheri
@saumrajabpalomar9569
@saumrajabpalomar9569 3 жыл бұрын
Alhamdulilah Leo nimepata jibu ya ndoto za kuruka na pia niko na ndoto za kuteleza na kungoka meno nn maana zake na huwa zajirudia rudia ama kutafuta kuni ama kuteka maji shekh wangu naomba jibu
@dysamarcus8462
@dysamarcus8462 4 жыл бұрын
hakika kama ni kweli ina maana nitakuwa nasumbuliwa na mizimu na wachawi ee mola wangu ninusuru
@dotytydo2342
@dotytydo2342 3 жыл бұрын
Hiyo ya mwisho ishawahi nitokea mara nyingi tu sana
@mohammedyusuph5909
@mohammedyusuph5909 4 жыл бұрын
Maa Shaa Allāh
@iradukundahassan2102
@iradukundahassan2102 Жыл бұрын
Salaam aleykm aina za izo ndoto nisha ziota hata kipindi niko mdogo kwa sasa.nime kuwa maisha yangu sio waku kosa ao wakupata kati kwa kwa kati pia kuna mambo naona nikiwa na fanya katika kazi zangu nahisi kama kitu icho nisha.kifanya japo kuwa ni mara ya kwanza! Kweli pako ndoto zenye zimejibiwa na.allah
@qassimally3876
@qassimally3876 4 жыл бұрын
ماشاءاللہ
@ahmedsukeyna8034
@ahmedsukeyna8034 2 жыл бұрын
Mashallah jazakalahu khail Sheik
@shadiahborandi2687
@shadiahborandi2687 3 жыл бұрын
Shukuran yaa sheikh
@merhatyup916
@merhatyup916 Жыл бұрын
Habari, nimeota nimechuna ngozi ya binadamu nikaweka kwenye begi nikawa naogopa natafuta pa kuificha sikupata hadi naamka naomba uniambie maana yake 👏👏
@Carolyn-ec1jy
@Carolyn-ec1jy Жыл бұрын
Allhabdullahi i thank allah mhm c muslam bt nadai kuwa muslaam nataman jamn🧚 mtu anisaidie n catch up n hii deni
@abdulremanesefo9295
@abdulremanesefo9295 4 жыл бұрын
Nishelewa shehe asante
@miselemanchimvuno5978
@miselemanchimvuno5978 3 жыл бұрын
Shukran sana kwa helium yako nzuri mungu akujaze kheri
@issaali1797
@issaali1797 4 жыл бұрын
Wa alaykum salaam warahamatullah wabarakatuh, Sheikh nimeota katika usingizi wa asubuhi nikiwa natembea mjini mchana kweupe bila ya nguo hata moja hali ya kuwa mwenye akili timamu na kujitambua
@bellalygeomecky1145
@bellalygeomecky1145 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@bellalygeomecky1145
@bellalygeomecky1145 4 жыл бұрын
Jiandae na kubakwa
@samxx411
@samxx411 3 жыл бұрын
unahitaji mume
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
@@bellalygeomecky1145 😂😂🤣🤣
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
Hata mi pia naota natembea mtaani uchi.Yaani sipendi basi tu.
@halimahassan3031
@halimahassan3031 3 жыл бұрын
Mashaallah.... Jazzakallah kheir
@maryndomba7028
@maryndomba7028 4 жыл бұрын
24 na 25 yangu hiyo ee Mwenyez Mungu wangu ninusuru
@saidbaharia2357
@saidbaharia2357 3 жыл бұрын
You tube
@nuriathsaid1181
@nuriathsaid1181 3 жыл бұрын
Mashaallah,shekhe ila mm huwa naota napambana .ila katika kupambana mm nikuwa juu hrf wale wabaya wako chini.naomba unitafsirie ndoto iyo
@augustinekiprono6404
@augustinekiprono6404 4 жыл бұрын
Shukran sheikh
@damianmlembe1446
@damianmlembe1446 3 жыл бұрын
Shukran,sheikh
@saylion415
@saylion415 3 жыл бұрын
Emungu nijarie ndoto yangu ikamirike asante sanaa shekhe
@mariabahati1264
@mariabahati1264 4 жыл бұрын
Mimi ndio ndoto zangu hizo lakini ni Kama flight Kama Ndege vile Kama helpcopter na maji naona chini bahari na milima na manyumba na hua natamani nisiamke ni ndoto nzuri ajabu saana
@benmcdream2268
@benmcdream2268 4 жыл бұрын
😁 😁 😁
@mejuvigs
@mejuvigs 4 жыл бұрын
Hahahaaa
@ArafaMuharam
@ArafaMuharam 6 күн бұрын
Shukran
@romadanromadan4398
@romadanromadan4398 4 жыл бұрын
Mashallah👍
@officialkimclever8486
@officialkimclever8486 3 жыл бұрын
Shekh me huwa naota nko naanguka kutoka juu ya ghorofa halafu nikisha fika chini nikiwa naanguka nastop hapo hapo au wakati mwingine naanguka ila siumiii kabusa naamka na kuendea kutembea .. Naomba unisaidie kujibu maalim..
@ludovickjohn2059
@ludovickjohn2059 3 жыл бұрын
mbona naota napiga mzigo inatafsir gan
@fatumasuleymanashurambinda6880
@fatumasuleymanashurambinda6880 2 жыл бұрын
Maana ya kuuota na tunda na nimtu?
@mariamabdalla3635
@mariamabdalla3635 4 жыл бұрын
Shukran.
@salhaaa4996
@salhaaa4996 3 жыл бұрын
Ma ashallah 😍😍😍🙏🙏🙏
@user-vg2sh8pb3y
@user-vg2sh8pb3y Жыл бұрын
Shaikh mm huota sana sana napaa juu lkn baadae nikitaka kushuka chini siwezi na siwezi kabisaa
@shabaniramadhani657
@shabaniramadhani657 4 жыл бұрын
Shukrani
@Shammyofficial5
@Shammyofficial5 Жыл бұрын
Mashaallah shekhe Allah (s.w) akutangulie katika haya na mengine yote kwauwezo wake AMiN 🙏
@amunaamai8631
@amunaamai8631 3 жыл бұрын
masha allah
@farhatfarhat3816
@farhatfarhat3816 4 жыл бұрын
Mm naota sana naruka uwa nalala nasoma dua kisha naota naruka natua polini naanza kuwakemea wachawi adi wanaanguka kisha naruka narudi uku nasoma LLAILAAH ILLALWAH adi nafika nilipokua awali nalala
@abdulremanesefo9295
@abdulremanesefo9295 4 жыл бұрын
Mashallah.sijaelewa kama kuruka wakati unakimbizwa
@FatumaShabani-k6x
@FatumaShabani-k6x Ай бұрын
Amina mungu anitimilizie
@usajiliusajili6511
@usajiliusajili6511 4 жыл бұрын
Yesu tu anatosha kukuondolea ndoto za majinamizi kama hayo
@miryamsultannsultann5245
@miryamsultannsultann5245 3 жыл бұрын
Yesu hahusiki na hii mada tafuta sehem ya kumtaja yesu wako
@usajiliusajili6511
@usajiliusajili6511 3 жыл бұрын
@@miryamsultannsultann5245 hapa hapa ndo sahihi pa kumzungumzia YESU, wewe kama nani utoe order kwangu. Yesu ndo jibu la ndoto za giza na majini, hahahaaaaaaa hahaaaaaaa YESU huyu jamani hatari sana
@usajiliusajili6511
@usajiliusajili6511 3 жыл бұрын
@@miryamsultannsultann5245 sehemu ya kumtaja YESU ni mpaka ndani ya moyo wako, nashukuru sikio lako limesikia habari za YESU na macho yameona jina lake YESU likiandikwa hapa
@mwanakombogodoro141
@mwanakombogodoro141 3 жыл бұрын
@@usajiliusajili6511 kalale uko n yes wko, yesu uyo kwioooo
@usajiliusajili6511
@usajiliusajili6511 3 жыл бұрын
@@mwanakombogodoro141 Hahahaaaaa halafu wewe si ndo godoro njoo nilale usingizi mzuri, godoro weeeee karibu
@khadijaathumanikhadijaathu9031
@khadijaathumanikhadijaathu9031 Жыл бұрын
Assalamu alaikum warah maturah wabarakatu ustadhi Allhamdilillah mm kunasiku niliota nakimbizwa na ng.ombe je, ndoto hii inamanisha nini shukurani
@fatumahassan636
@fatumahassan636 9 ай бұрын
Ngombe nishetani
@razakiissa4059
@razakiissa4059 3 жыл бұрын
Daah allah ninusuru
@amanikisumo4048
@amanikisumo4048 2 жыл бұрын
Shekha mimi nmeota napigana na mapepo na watu wa makanisani na misikitini wakaungana kukemea tukashinda, ila yalitoka pale yakaenda pembeni baada ya hapo mimi nikaanza kupaa kutafuta ufunguo na huko kutafuta ufunguo nikapata mke mzuri sana, baadae niliokuwa nashindana nao kuutafuta wakaupata na kuondoka nao ila niliwafata na nikaupata ila tatizo sijui unafungua wapi na pia yule mwanamke alikuja tena. Naomben mnifafanulie jaman!
@AbdulmajidHyder
@AbdulmajidHyder 4 жыл бұрын
Sheikh Mashallah uko swa lakini pia twataka tufaidike pia kwa Fiqhi na sera na pia Aqidah.Umeshika sana Njozi.....Sisi wengine Hatulali Sana
@mwanasitituwa7820
@mwanasitituwa7820 3 жыл бұрын
Shukurn kwa ujuzi wako
@meyusuleiman6482
@meyusuleiman6482 3 жыл бұрын
MASHAALLAH I always dream that people chase me but I fly without wings
@rosemartin2984
@rosemartin2984 3 жыл бұрын
Na Kama ujasoma up utawara unatoa wap na Kama umeota hivyo mwenzangu Mimi sijasoma ndot hizii naziota napaa nakimbizana na watu wengi Napa uku nikikwepe miti na nakwerekea mapangon au kusiko julikana
@khadijambeyurai8522
@khadijambeyurai8522 3 жыл бұрын
😂😂😂
@tawhidajizee8014
@tawhidajizee8014 2 жыл бұрын
Hata mimi jamani ndoto zangu lol😁
@abdulrahimmohamed4854
@abdulrahimmohamed4854 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mohamedimnembwe1342
@mohamedimnembwe1342 Жыл бұрын
Mimi naota nakimbizwa nawatu nisio wajua ndio naruka
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 2 жыл бұрын
Bismillah mash Allah shukran
@jumambwana6351
@jumambwana6351 4 жыл бұрын
Maaa shaaa laaah!
@maryamyeri9958
@maryamyeri9958 3 жыл бұрын
It Masha Allah dear not mass shaaa laaah
@belamicheal3353
@belamicheal3353 2 жыл бұрын
@@maryamyeri9958 yupo sahihi wewe ndio umekosea kuandika sio mashallah unatakiwa kuacha nafasi na mwisho usiandike Allah ni makosa
@akramuakramy4065
@akramuakramy4065 4 жыл бұрын
Asante mungu akuzidishie
@ibrahimrukundo3064
@ibrahimrukundo3064 4 жыл бұрын
حقا يافضيلة الشيخ.
@saidsoud5967
@saidsoud5967 3 жыл бұрын
Mwengine wana kuwa kitu flani wakipaa na vooo
@saay4273
@saay4273 4 жыл бұрын
Shukuran shekhe
@dorcaslor2166
@dorcaslor2166 4 жыл бұрын
YESHUWA HAMASHIACH CHRISTU MUANA WA MUNGU ANA UPENDO SAANA JU YAKO MUTETENZ I WETU YU HAÏ
@timejames4590
@timejames4590 4 жыл бұрын
Nani kakuiza You hai hio kwio
@latifahissa8581
@latifahissa8581 3 жыл бұрын
@@timejames4590 😂😂😂
@hawajj5768
@hawajj5768 2 жыл бұрын
24,25,26 naotaga Sana mwenyez mungu ninusuru
@professormzunnycomedy8604
@professormzunnycomedy8604 3 жыл бұрын
Mimi huwa naota napaa huku nakimbia hewani, ina maana gani? Na nyingne naota huku nakimbizwa
@saidasao4985
@saidasao4985 3 жыл бұрын
Asee ata mm sana
@zakhianzuki9348
@zakhianzuki9348 3 жыл бұрын
Asante shekhe wetu.
@adelajaksoni466
@adelajaksoni466 3 жыл бұрын
Hyo ya 14 dah ninusuru mungu wangu
The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.
48:39
Wasafi Media
Рет қаралды 650 М.
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 31 МЛН
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 23 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
NDOTO HIZI '3' NI HATARI SANA!!
4:07
UKOMBOZI TV
Рет қаралды 368 М.
TAFSIRI ZA NDOTO ZA KUPAA
4:36
Mponda Media
Рет қаралды 4,6 М.
JUA KU ISHI NA MARAFIKI NA MA ADUI... OTHMAN MAALIM
34:54
Said Salim Matango
Рет қаралды 1,6 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 31 МЛН