Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 19
@basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын
ALLAH AKBAR, ALLAH AKBAR, HAKIKA WAISLAM TUNA KHERI NYINGI ZA KUFANYA, AL FATAH TV ALLAH AWAJAZE BADALA NA KHERI TELE.
@ibrahimomary1362 жыл бұрын
🙏🙏 hakika tuna uhitaji mkubwa sana shukrani alfatah TV🙏 Allah ni mkareem na anaupendo kwa waja wake
@rossamengo72112 жыл бұрын
Kabisa...natunaomba atuongoze
@mariamsefukhamissi88092 жыл бұрын
MashaAllah tabarakaAllah Allah awalipe walo jitolea nisi Allah atujalie tuwe miongon mwawo walo jitolea Allah akujalie umri mrefu kaka yetu😍😍😍
@sabriyasuluh30022 жыл бұрын
Mashaallah Allah awalipe kila la kher aminn inshaallah
@aliy33032 жыл бұрын
الله نور قلبك بالقرآن يا شيخ راشد
@kapondamsita4762 жыл бұрын
Allah awaifadhi Alfataha
@user-he5im1vr7j2 жыл бұрын
لا حول ولا قوة الا بالله نسأل الله أن يسهل اموركم و يساعدكم في مهمتكم العظيمة .
@anwaryabdallah77822 жыл бұрын
Tuwekeeni account tupate khery zamwezi huu waramadhani ktk masiku haya yaliobaki,kwachochote kdgo kikubwa
@OmarMohamed-zf8dp2 жыл бұрын
hainamana kuwatowa kwenye tv haiwezekani usitowo
@sleifikhajjir2622 жыл бұрын
Iyo sadaqa sio kama wanatoa alfatah hapana ila inatowelewa na watu wengine ila wanachokifanya alfatah ni yale ya mafanikio ya waislam juu ya wezao kuwaonesha sio kama ria kwao ila ni kuwapa moyo waislam ili watoe zaidi.
@abubakarmuhammadsaid32442 жыл бұрын
UTAWALA WA CCM NA RAIA WAO
@nasrajuma31602 жыл бұрын
Hee machozi yananitok wallwh jmn Kuna watu Wana maisha magumu jamn
@zakiahaji16832 жыл бұрын
@@nasrajuma3160 😭😭😭😭
@OmarMohamed-zf8dp2 жыл бұрын
radhi hazipati kani kawa kujionesha kwani unapotoa mkonowa kulia wakushoto usijue sasa ulimwengu wote ujuwe nn mmefanya
@ussyussy52 жыл бұрын
Lengo si kujionesha bali lengo ni kuwaonesha kuwaonesha wengine wenye uwezo wa kusaidia ili wafike hapo na vizuri wameweka namba zao. Hata km wao wana dhamira ya kufanya hivyo(kujionesha)mm na ww sio kazi yetu kukukumu Allah anajua vilivyo ndani ya nafsi zao.
@kibabu15742 жыл бұрын
Ww umesoma wapi au sio mwenzetu unajua Kuna watu hawajui kama Kuna wengine wanashida kama hizi kwahio na wengine wanapata kuona hali ya watu
@kibabu15742 жыл бұрын
Pia dini inaruhusu kutoa Kwa Siri na zahiri
@kibabu15742 жыл бұрын
Inategemea mazingira Gani unayotaka kutoa kiufupi kama nimwenzetu kwanza kasome na kama upande mwengine tafuta yanayokuhusu