MUME AMTESA NA KUMTELEKEZA NA WATOTO NANE (8)

  Рет қаралды 15,354

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Жыл бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 96
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Subhaana لله Husseen mwinyi mtizame huyu mama. Kesho الله atakulipa.
@bintmuhammad4913
@bintmuhammad4913 Жыл бұрын
Pole kwa mtihani. Allah akufanyie wepesi
@mwanaidatkhamis5310
@mwanaidatkhamis5310 Жыл бұрын
Pole Sana mama angu dah wanaume watu wabaya mtihani Allah akupe subra
@HemedSerious
@HemedSerious 3 ай бұрын
Sio , kweli mtu yyte anaweza kuwa mbaya àwe mwanamme au mwanamke inategemea na alivyo mtu
@hadharaalli5201
@hadharaalli5201 Жыл бұрын
Waume muzadhima Mbele ya mungu kwakweli daah pole mwanamke mwenzangu inaumaaa sna usikate tamaa mungu anakuonaaa atakupa faraja in Shaa Allah
@khatibabass3106
@khatibabass3106 Жыл бұрын
Hawa ndio wale waliochagua wanaume wao wenyewe wamechagua masharo baro halafu wanatuletea matangazo yakikukuta mnaanza maneno
@mtumwajuma3906
@mtumwajuma3906 Жыл бұрын
@@khatibabass3106 khatibu nakuit x2 hii dunia kila 1 na matatizo yake usione wewe unauwadilifu na mkeo omba mungu uwe hai ili utunze familia yako ili mkeo asije kuwa mjane na ukamuwache watoto
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
ujue kuna waume na magume ,.mume wa kweli.hatelekezi familia yake hata kama akiwa ameachana na mke Mume ni Lazima ahudumie watoto wake lakini mijitu mengine Mishenzi tu
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt Ай бұрын
Allshu akbar allah atutie nguvu na tuweze kumangalia mama huyu inshallah
@saidjunior5247
@saidjunior5247 Жыл бұрын
Umr uwoo watoto nane duh il allah akusaidie
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
ALLAH amuekee wawe wema
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm Ай бұрын
Ttzo wapemba tunazaa bila ya mpangili
@Humble.....
@Humble..... 13 күн бұрын
@@AliNassor-qt6fm Somo MUOGOPE ALLAH….
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm 13 күн бұрын
@@Humble..... Uzazi wa sio Haram katika dini
@MariyamusefukhamissiMariyamuse
@MariyamusefukhamissiMariyamuse 2 ай бұрын
Subhannal-llah ya Rabby tuweke wepesi tujalie moyo wauruma
@qurankareem2275
@qurankareem2275 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi aliekuwa na nia ya kutoa kikwazo kikawa kipato au mazingira, Ampe moyo wa kutoa maisha yake yote DUNIANI na Akhera , na Amjalie wepesi wa kipato na mazingira ya kutoa Maisha yote hadi siku ya kumfisha, NA ili Nafsi yake iridhike, AMIN
@zainabuali9915
@zainabuali9915 Жыл бұрын
Allah atkfanyia weps in shaa Allah
@AIFOSMUGOTV
@AIFOSMUGOTV Жыл бұрын
mimi sina cha kuwapa watu kama hawa ila nawaombea Alah awasaidie...Allah awape umri muzidi kuwasaidia watu kama hawa....aaamiin
@alisuleiman1528
@alisuleiman1528 Жыл бұрын
Pole Allah akufanyie wepesi
@skjjsj1889
@skjjsj1889 Жыл бұрын
Ma sha allah wtt 8 Allah awabariki na awahifadhi Kiongozi wa nchi msaideni huyu mama ajengewe vyumba 3 aushi na wanae ajistiri viongozi mnawajibika mjiandae na majibu ya kumjibu allah siku ya kuhukumiwa watu
@alafasyquran9806
@alafasyquran9806 Жыл бұрын
Assalam alaykum Allah akufanyien wepsi
@hafazstanzania5577
@hafazstanzania5577 Жыл бұрын
Pole sana ila jamani kuna uzazi wapango leo hii kam hivi unazalilika na watoto
@skjjsj1889
@skjjsj1889 Жыл бұрын
Mwanamke mzr ma sha allah Allah akujaze subra
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 Жыл бұрын
Allah ni mwingi wa rehma jamani jamani tujifunze katika maisha yetu wenzetu wanaishi maisha magumu
@waheedaw1953
@waheedaw1953 Жыл бұрын
SUBHANALLAH ALLAHU AKBAR MUIJULISHE SEREKALI INAUWEZO KIYASI CHAKE
@hafazstanzania5577
@hafazstanzania5577 Жыл бұрын
Mwanamke mzur 😍
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Kabisa!!
@alafasyquran9806
@alafasyquran9806 Жыл бұрын
nahitaji nambar ya simu ya Bibahati nimeguswa san nahil jambo
@mtumwahaji3194
@mtumwahaji3194 Жыл бұрын
Hee utamsaidia sana ukimuoa mungu atakulipa
@alafasyquran9806
@alafasyquran9806 Жыл бұрын
@@mtumwahaji3194 inshaallah nipatie maasilian yake ili tuwez kumsaidia ple tutapojaaliwa
@aseahassn88
@aseahassn88 Жыл бұрын
inasikitisha sana Jamani
@user-pk8bp7th9e
@user-pk8bp7th9e 3 ай бұрын
Mbona mdogo ana watoto nane
@user-ur6zr7wc8n
@user-ur6zr7wc8n Жыл бұрын
subuhallah
@imranmahmoud1012
@imranmahmoud1012 Жыл бұрын
Waza kufanya biashara Kwanza uweze kuhimili kulea watoto wanaokuja kutaka kukuowa kwa Sasa anataka tu kutumiza matamanio yake Allah akutie nguvu mama inshallah
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 Жыл бұрын
Mtihani mkubwa huo mwaname anakuwachiya watoto bado mdongo huyo mama watoto wanaume kweli hawatutaki hii mtihani mungu atasaidia ishaalah
@wahidahamadali2563
@wahidahamadali2563 Жыл бұрын
Mzur huo mama maskin
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c Ай бұрын
Mtu wewe masikini uwezo huna unaenda kuoa wake watatu duh !! .Huyu m.mme kweli selfish , dada zanguni kweli munapenda kuolewa lakini jaribuni kuwaangalia na hao wanaume wanaowataka kuwaoa
@pilykingo
@pilykingo Жыл бұрын
Inaskitisha Sana ALLAH سبحانه وتعالى Atamfanyia wepesi . Uzuri umewavutia lakini watoto wamewatelekeza . Tupo pamoja nae In Shaa ALLAH. Sasa hizo namba ni ipi ya bi Bahati ?
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 Жыл бұрын
Mtihani
@talibanalshabab3680
@talibanalshabab3680 Жыл бұрын
Mm uwezo sina rabda nikuoe tulee watoto wetu
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Жыл бұрын
Nijambo la kher Mwenyeez Mungu atakulipa kwasababu utakacho kipata hata kama kidogo mwanamke anaridhika baadhi ya wanaume hawajui mke anahitaji nini mwanamke anahitaji furaha ikiwemo maneno mazuri wanaopenda pesa ni wachache
@machetebogota4218
@machetebogota4218 Жыл бұрын
Yote Sawa lakn c kuzaa huku unashindwa ata kutumia tareh kwel Tafut biashara basi ufanye zungusha hata matunda barabarani na maisha yataenda
@zainabmohammed6700
@zainabmohammed6700 Жыл бұрын
Mh so maneno ya kumwambia ayo km ,,,,,s kuzaa huku,,, hapan ndo kajaaliw uzazi hujuw yup atamfaaa tumuomb mung amfsnyie wepesi apate sehem y kukaaa astrike n watoto wake
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
Si wote wanaelewa unachokielewa azungushe matunda anayapata wapi?unadhani mtu km huyo akipata mtaji hafanyi biashara??au unasema tu ww ah! Ama kweli mzigo wa mwenzio ganda la usufi
@mussamc641
@mussamc641 Жыл бұрын
Da mm mwanamme lakin kutelekeza dam yangu ..nafsi itanisuta kila mda yaan mtihan kwakwel
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Ommy Dimpoz na Diamond tunawalaumu Kwa kuwakataa Baba zao kwakuwa hawakuwajali wakiwa watoto, lakini tukiwaangalia hawa kwakweli unakubaliana nao kabisa kuwakataa!!
@maryamalli9090
@maryamalli9090 Жыл бұрын
Tatizo alfattah hamuweki hizo namba za kuwasaidia wanyonge? Sasa tutawapata vipi wekeni namba kwenye screen ili tutoe chochote
@husna34562
@husna34562 Жыл бұрын
Namba hizo zatembea kwa screen
@maryamalli9090
@maryamalli9090 Жыл бұрын
@@husna34562 hizo ni za benk au mtandao gani tujuulishe basi
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
@@maryamalli9090 kuna mpesa ..tigo na no za kawaida ...sio zote za bank angalia vizuri
@khumayraabdulla96
@khumayraabdulla96 Жыл бұрын
Jamani huyu mama ameishiaje habari yake
@abdulisaidi6677
@abdulisaidi6677 Жыл бұрын
Dah jam wasaidie awo w2 mm hp natok machoz jis nilivyo waon haw
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 Жыл бұрын
serikali banah nyie munawapata vipi na munajuwaje watu kama hawa ata serikali haiwatafuti hatuna viongozi tanzânia
@hawakiza6067
@hawakiza6067 Жыл бұрын
Hii chanel mbona hajibu inavyoulizwa
@salummzee9739
@salummzee9739 Жыл бұрын
Mambo km haya Allah ana chukia km mutamsaidia asaidiwe kimwa bila maonyesho ktk mitandao na Maredio Tukisaidia Wanyonge Tusaidie kwa utaratibu aliotufunza Allah Ili tupate Radhi zake
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 Жыл бұрын
bila ya kutangazwa wewe ungeyajuaje haya
@chudimasoud9604
@chudimasoud9604 Жыл бұрын
Usiwe mjinga fuatiia madrasa vizuri Babu aya inasema kwa siri na dhahiri bila kuonesha tungejuwaje na watu wngepata vipi kuchangia ,inatakiwa ujuwe lipi lenye manufaa kutangaza sio dhambi ,
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer Жыл бұрын
Maskin wee bado mama mdogo
@imranmahmoud1012
@imranmahmoud1012 Жыл бұрын
Halafu binti mdogo Bado sema tu kazaa haraka haraka
@AhmedSeif-il1xx
@AhmedSeif-il1xx 3 ай бұрын
Matunda ya ccm ndio haya watu wanaishi maisha yatabu kutokana nautawala wakidhalim mbovu wakishezi
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c Ай бұрын
Duh wewe kweli huna akili. Kwahiyo CCM ndo ilomfanya awe na watoto 8 ,uzazi wa mpango ni muhimu acheni kulaumu wengine kwa makosa yenu
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Жыл бұрын
😪😪
@muyaomar5617
@muyaomar5617 Жыл бұрын
Nipo tayari kuowa ikizidi dadayangu mkuu
@zaibonge7867
@zaibonge7867 Жыл бұрын
Sio tu unataka kuoa utatimiza huduma za watoto hao ... Kama kweli unania ALLAH akufanyie wepesi InshaAllah
@maryamalli9090
@maryamalli9090 Жыл бұрын
Tatizo sio kuoa tatizo huduma kaka yangu watoto nane hao sio mchezo Wala lele mama
@husna34562
@husna34562 Жыл бұрын
Aramfungulia biashara wasaidiane
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Huna pesa kwnn unaoa tn unao wake wengn duu
@abdulfattaah4510
@abdulfattaah4510 Жыл бұрын
أيها الرجال اتق الله تعالى وعدلوا بين أزواجكم وعاشروهن بالمعروف والله إنكم محشورون يوم القيامة وسوف تسألون يوم القيام كلكم راع وكلكم مسؤولون عن رعيته ولذلك أوصان الله بالأولاد قال الله يوصيكم الله في أولادكم
@heyumi2340
@heyumi2340 Жыл бұрын
wewe sio mjane maana yupo hai isipokuwa wanaume tamaaa za utupu tu kuongeza wake mwisho ww siku ndooo hayo yanawashinda
@khamissalum9285
@khamissalum9285 Жыл бұрын
Shida unampataje huyu
@fundiissa5226
@fundiissa5226 Жыл бұрын
Wekeni namba niwatumie prsa
@husna34562
@husna34562 Жыл бұрын
Kwa screen zatembea
@mohamedsalimsuleiman7014
@mohamedsalimsuleiman7014 Жыл бұрын
Pole sana dada yangu , binadamu tunakua na dhana ila mwenyezimungu amesema tujiepushe na dhana usimdhanie mtu ubaya ambao hajaufanya kama kama una nia ya kumsaidia msaidie tu
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 Жыл бұрын
Nikweli unashida lakin siamin kamakweli mme akwambie nakuacha kwaajili ya shida tatizo kunabaadhi yawanawake wanamidomo sn hd waumme wanawakimbia baadhi yatime wanaomba taraka wenyewe nabadaae wanaanza shida
@zainabuali9915
@zainabuali9915 Жыл бұрын
Huwez kuamin kam hyajkufik tuombe salam in shaa Allah
@khatibabass3106
@khatibabass3106 Жыл бұрын
Huyu huenda mdomo ulimponza wanaume sio rahisi kuamkatili hivyo hasa kwa watoto ,mdomo unamponza au kuna makubwa anafanya huyo
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
@@khatibabass3106 usihukumu kitu usicho kijuwa broo mama ana mdomo watoto wake je ? Wana nini na hakuna anosemea kichogo kila mtu mdomo anaonlabda Allah alompa ulemavu
@madinamashaalla649
@madinamashaalla649 Жыл бұрын
inaonekana wengine munaojibu yasiyo ereweka wala yamsingi hamujaingia kwenyendowa mkayajuwa mazuli yaliyomo au mabaya yaliyomo ndoomaana minaongea bilahuruma kwanilipi laajabu kwamwanaume kwamba anaweza kuogopa kumwambiyaa
@utandachake6134
@utandachake6134 Жыл бұрын
Anyi binaadamu tukumbukeni wacha wa ugumu wa maisha bado zamana ya watoto hawo inabaki kwako jee unajitayarishaje ma majibu kwa allah zidi maonevi ya vizazi vya wenzeni
@khatibabass3106
@khatibabass3106 Жыл бұрын
Asidanganye watu aache tabia mbaya ,anawakataza waoto wasiende kwa baba zao anawakumbatia wala hawawezi anakumbatia kiburi ,mdomo uache na usipoangalia utaziniwa sanaaaaa .wanawake acheni ujuaji mkiambiwa mnaweza mnaona sifa wale wanaokitieni ushetani hule wameshalaaniwa haitaji mume wala nn we we unamfata unaangamia
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
Jirani yak unamjua ndugu wanaume wengi hawapendi huduma uo ndio ukweli wanawake wanavumilia mengi ten wengine wamo kwenye ndoa na hawatoi huduma
@khatibabass3106
@khatibabass3106 Жыл бұрын
@@Awatee soma maelezo yake utakuta nimuongo ,wanaume wawili wote wamtende ? Huyo anatabia chafu
@ramlaali4130
@ramlaali4130 Жыл бұрын
Omba yasikukute
@aishachambo8663
@aishachambo8663 Жыл бұрын
@@khatibabass3106 Wanawake wa huko wajeuri sana
@madinamashaalla649
@madinamashaalla649 Жыл бұрын
au ndoo wewe mwenye watto maana unaongea kwahasira bilahuruma kamavile wewe ndoo mwenye mji ulie terekeza
@heyumi2340
@heyumi2340 Жыл бұрын
watoto 8 na bado unataka kuolewa wakati mwenye watoto kakukimbia nani ataweza hiyo shughuli sio mchezo wa ulezi
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 3 ай бұрын
Heee subhanallah Bora ninyamaze maisha magumu watoto nane heeee nane 😮
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm Ай бұрын
Wapemba tuzae kwa mpangilio , uzazi wa mpango unaruhusika katika dini
@thabitikimu3892
@thabitikimu3892 Жыл бұрын
Kwann ufikie huko na wakati baba zao wapo Unawatia uadui watoto na baba zao ebu alfatah fuatilieni hao baba wa watoto pia tuwasikie wanasemaje Huwezi mwanamke kuachwa bure kuna shida hapo mume wa kwanza kakuacha na pili pia kakuacha !!! Jitizame kwanza
@mussamc641
@mussamc641 Жыл бұрын
Da mm mwanamme lakin kutelekeza dam yangu ..nafsi itanisuta kila mda yaan mtihan kwakwel
YATIMA SABA WANUSURIKA KUMEZWA NA CHATU
7:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 33 М.
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 126 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 93 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 4,6 МЛН
MUUZA SAMAKI ANUSURIKA KUUWAWA ZANZIBAR
8:07
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 65 М.
UNAMPENDAJE MUMEO BILA KUMPENDA MZAA CHEMA?
31:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 8 М.
WANAUME LALENI NA KANGA WANAWAKE TUSIANDAMANE
25:24
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 14 М.
Siti Bint Saad nyota ya Zanzibar
2:57
DW Kiswahili
Рет қаралды 26 М.
KWA HALI HII KILA MMOJA ATAULIZWA NA ALLAH.
9:14
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 68 М.
SIRI NZITO YA QUR’AN YAFICHULIWA CHINI YA MTI NA MTOTO ASIYEONA
8:34
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 15 М.
HUU NDIO WIVU UNAOWEZA KUJENGA MAPENZI KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
20:36
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 5 М.
MAISHA YA MAMA ANAYELALA CHINI YA MTI NA WATOTO SITA NDANI YA RAMADHANIÅ
9:40
HAYA NDIO MAJIVUNO YA WAPEMBA
9:05
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 81 М.
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН