Nimekuwa mtoa sana kwa ndugu, jamaa na hata rafiki shida kubwa ninayoipata ni kwamba.. mbali ya huko kujitoa kwangu kote mtu bado anaona ninzo nyingi na nikisubutu kusema sina maneno mabaya nayasikia kwa watu wa karibu kuwa SI MTU WA KUJALI MATATIZO YA WATU ....Nimejifunza kitu hapa
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Ni baba watu hawajui kabisa,wanafikiri una pesa tu
@happinessmulundi5821 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa huwa hawajui unapitiakwenye changamoto Gani huwa na ukiwa huna huwa hawaamini.
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Unachosema ni kweli,,naunga mkono
@medlucas5686 Жыл бұрын
Msaada unanguvu ktka mafanikiao ya mwenyewe kiu ya mafanikiao nimeona ktk kutoa kwn hujui mungu ametuma Nan I'll umtolee sadaka
@bonaventurasumaye62902 жыл бұрын
Nimejifunza kuwa ukiwa mtu wa kusaidia watu wengine watatumia hiyo chance kukumiza kwakutojali unapitia nn ila wanataka uwasaidie
@happinessmulundi5821 Жыл бұрын
Wengine ukimsaidia anakuhukuru Hadi unogopa kumsaidia tena .
@fabiansamwel5364 Жыл бұрын
Ahsant sana bro, uwep wako no WA mhim usinyamanz maan ukinyamanza kunawatu watasimama hawataendeleya mbel maan mungu anakutumia kama chombo Cha usafili wa wengi
@issaibrahim87962 жыл бұрын
Joel yaan hiyo point ya tatu ya kusaidi kwa kutohitaji malipo Wala shukran bali kutegemea malipo kutoka kwa Mungu yaan umezungumza maneno kutoka ktk quran surah insan au surat dahari mwenyezi Mungu amewataje wale wanao saidia msikini na wafungwa ma mayatima na wala hawahitaji kutoka kwao malipo wala shukran isipokuwa wanafanya hivyo kwa kutaka radhi za Allah
@eliaichitilya57282 жыл бұрын
Thanks saaana bro joel coz nimejifunza meng meng coz napenda kusaidia watu
@AfiSoul103 Жыл бұрын
Mwenyezmungu atupe khatma njema.. 🤗
@gaudencemwakibibi8225 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana nimejifunza kitu kikubwa
@ahmedomary83312 жыл бұрын
Nikweli kabisa uyasemayo mm nimejifunza nimesaidia bila shukrani ila nimejitutumua nakufelisha mambo ilasasa nimejifunza niko kwenye mabadiliko
@user-dq3op3gs2dАй бұрын
Mungu atusaidie
@liberatussylvanus54772 жыл бұрын
Asantesana kaka Joel hukukwetu ukimsaidia mtu akifanikiwa wengi wanakudharau mpaka unaweza kujutia ulichofanya
@user-by9qr6ov7n3 ай бұрын
Hasante sana bro kwaushauri mzuri
@salmazwallo5920 Жыл бұрын
Ukweli mm hilii jambo la 4 huwa linanitesaa kweli aisee yaani ataa uwasaidie vp
@happynescostat74202 жыл бұрын
Asante kwa mafudisho mazuri,barikiwa Sana toka kwetu kwetu ata sisi unatusaidia kutufundisha🙏🏻🙏🏻
@eliaichitilya57282 жыл бұрын
As iko kwenye plan yang ya maisha japo kuwa nasoma bdo but i believ ntaweza kufika mbali
@shishichocolate1402 жыл бұрын
Jambo lingine ambalo nimejifunza kwa upande wangu ni kuwa unaposaidia watu kuna kundi la watu wengine hawapendi kabisa ufanye ivo,wengine wangependa kuwa kweny nafasi yako,wengine ni chuki tu zisizo na sababu.
@richrichard3322 Жыл бұрын
Mungu azid kukuweka
@ninjaisma79832 жыл бұрын
Umesahau kugusia swala la kumsaidia mtu na kumsema pembeni ukiwa na watu wengine
@janethgarlus91732 жыл бұрын
Yaan kabisa mwngne akikusaidis ukoo mzma utajua
@kaburiamosi9557 Жыл бұрын
Uko vizr saaana
@janemwita2962 Жыл бұрын
Amina
@zainabz2844 Жыл бұрын
Shukran Kaka kweli Kabisa ujakosea
@bobog97322 жыл бұрын
hatakama nimekutana na watu wasiokuwa na shukrani sitaacha kusaidia kipindi musaada wangu unaitajika
@johntvonline1274 Жыл бұрын
Sawa ila tutatoa msaada Kwa anaejielewa
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
Hii Ni kweli kabisa
@CatherineMasanja-bj4rm Жыл бұрын
Kweli tupu mbaya zaidi wengi husahau wema wote waliofanyiwa hasta aliyewasaidia akiishiwa
@mariashayo139 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@jumatawfiq64432 жыл бұрын
Tunajitoa Sana kwa ndugu na watu wa karibu Ila cku tuh mtu au jamaa akuklilia shda ukimwambia huna lawama.hatari Sana ytaka moyo hassa
@timothykengere25352 жыл бұрын
Mawaidha mazuri Ndugu Nanauka Joel 📚📚📚📚 shukran 🎙️
@annastaziarenatus98802 жыл бұрын
Kweli Kaka Joel Mimi ni binti ambae najitoa Sana kwenye kusaidia watu ijapokuwa Sina pesa za kutosha lakin nakumbuka niliwai kumsaidia dada yangu Mara nyingi Mara ya mwisho nilimpa mtaji lakin baada ya kufanya mauzo akampa Ela zote mume wake alafu akazitumia 😭😭nawakati Mimi nilijitoa kumpa mtaji ili asinisumbue Tena kuniomba omba Ela lakin chakushangaza kala mtaji na mume wake still bado anaendelea kuniomba Ela yaani kweli watu awasaidiki Bali wanarudisha maendeleo ya watu nyuma kwakweli🥺🥺Safari hii atanichukia we ngoja
@zainayolamu64862 жыл бұрын
Mkaushie huyo
@catherinemzurikwao32652 жыл бұрын
Anakutumia vibaya huyo! Ndio tatizo la watu, ukimsaidia anadhani wewe unazo nyingi!!! 💔
@bobog97322 жыл бұрын
wataona cha moto
@highzacknnko96852 жыл бұрын
Hapana wewe ulimpa hela bila kumshauri elimu ya pesa ,mfundishe na aangalie video za elimu ya pesa kwa video za Joel
@mwlekartiesmwankenja3602 Жыл бұрын
Kama wewe ni mtu wa Yesu wala usimhukumu Bali unapaswa kumpenda zaidi Kama wewe ulivyopendwa na Yesu. Msamehe tena na tena na kisha msaidie ushauri na kumwongoza vema. Huyo ni ndugu yako na Yesu anasema asiye wapenda wa kwao ni mbaya kuliko mpagani. Endelea kumsaidia tena na tena
@bonaventurasumaye62902 жыл бұрын
Asantee brother umenifungua nimekuwa mtu wa kuwasaidia watu lakin wengine hawana shukran
@perucebuhomaosward8512 Жыл бұрын
Umeongea ukweli kabisa. Yote hayo mimi nayapitia. Nakukubali sana Joel.
@collinsmercy39718 ай бұрын
Nakufuatilia sana kutoka Kenya transnzoia county .kwa kweli you are my role model
@gilbertndikuriyo8264 Жыл бұрын
Asante umeongea ukweri
@stanleyandrea515310 ай бұрын
Sahihi kaka joe
@abdullyissa20822 жыл бұрын
Mimi ni mmoja wa uliowasaidia katika masomo pale mtwara kaka
@sarahmarco99122 жыл бұрын
Dah, Utukufu kwa MUNGU, nimebarikiwa sana na nimejifunza kitu Cha tofauti sana ambacho nilijuwa skijui ktk kusaidia watu
@AnnaSoa-yn9mg11 ай бұрын
Amina sana kaka
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Hata mie napofanya hivo huenjoy sana
@annsteve44572 жыл бұрын
Mr nanauka kiukweli unamawaidha mzuri kabisa lakini Kuna kitu kimoja kinanitatisa nimekua wakulaumiwa nawatu hakuna kitu naweza fanya ama kusema bila mtu kulamika Hadi liniusunisha sababu najaribu niwezavyo lkini mwisho wasiku lawama , tafadhali ni saindie
@fredgersimbeye5394 Жыл бұрын
Amen Amen Amen
@musamabwe8651 Жыл бұрын
Kweli kaka yangu naomba uhendelee kutufundisha. Nimebarikiwa sana na somo lako
@vicentndiholeye10672 жыл бұрын
umenifunza kaka kwakweli
@mwlrobinson2 жыл бұрын
Naaamin pia ukimusaidia mtu Kuna baraka sana
@amaaissa97132 жыл бұрын
Kabisa kaka joel ukwel sitaweza kuwasaidia watu wote lkn nitajitahid kuwasaidia watu wengi kwenye maisha yangu
@fatumaabdalla2580 Жыл бұрын
Kweli ukisaidia watu usisubir shukran kutoka kwao🙏🙏
@nuruhassan54762 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka now muda wote nahitaji kupata mawadha yako🙏🙏
@hamiduhamisi24572 жыл бұрын
Kaka Joel naomba Mungu akuepushe na mabaya
@fallyde12672 жыл бұрын
Sina cha ziada kwa mafunzo yako bali % mungu akubariki".
@eliethaudax9360 Жыл бұрын
Mimi binafsi Mungu ndio anayenilipaga na kunibarik maana wengi niliotoa kidogo tugawane hawanashukran na wengiwao hawapend ata mafanikio yangu na ndo hao hao unaonijitoa kwa moyo kwao. Watu wanakatisha sana tamaa ataumsaidie Mara 9 ukishindwa kumsaidia mala moja basi chuki inainuka
@lizzybahati3739 Жыл бұрын
Amen kakaangu sana MUNGU akubariki sana kwa Elimu hii 🙏
@shishichocolate1402 жыл бұрын
ni sahihi kabisa kaka Joe mengi nimeyapitia pia karika kuwasaidia watu
@user-ff6jb5mf5z10 ай бұрын
I appreciate kazi yako kaka Joel, unatu-inspire vijana
@sirwophaydom4638 Жыл бұрын
Real talk abour
@khadijajuma71422 жыл бұрын
Mm nikisaidia huwa najifurahisha yaani nainjoi vibaya sana na napata nguvu yakuona kumbe naweza kua sababu ya mtu kufurahi najiona wathamani ile mbayaa.
@emmanuelpesambili66612 жыл бұрын
Ni kwel ayo Ni hakika uwezi kumridhisha Kila mmoja
@emanuelbrysonshauritv.16382 жыл бұрын
Nimejifunza usitegemee chochote kwa unaye msaidia isipokuwa ameguswa yeye mwenyewe kurudisha fadhila. Ila ukimsaidia mtu fanya kama utumishi kwa Mungu utalipwa na Mungu mwenyewe
@zinhotz53662 жыл бұрын
Natumia mda wangu mwingi kujifumza kutoka kwako naona mabadiliko
@saidyshoka18722 жыл бұрын
Nimejifunza kuwa na furaha zaid nikimsaidia mtu
@gaudenciuspeter6544 Жыл бұрын
Asante sana kaka kwa masomo yako Nawezaje kupataje vitabu vyako hasa hiki cha utunzaji wa fedha na matumizi yake
@barakamshana664 Жыл бұрын
Perfect brother
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Natamani kuonana na wewe Mimi nimzaliwa wambeya kwa Sasa Niko sumbawanga Mimi nifundi welding Kuna Mambo mhimu ambayo ninge penda tu shilikishane ya uso kwa uso tafadhali.
@kiotastar17912 жыл бұрын
Nakukubali Sana nipo apa Arusha karibu sana
@daniellepari45252 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa ushauri ubarikiwe na bwana
@funnyclip50522 жыл бұрын
Kaka Joel Asante Sana kwa SoMo lako God bless you uzidi kutufungua kk
@danimsingi78692 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kk Joel
@mchuchumatz4032 жыл бұрын
Elimu unayo tupatia nimsaada tosha kuliko hata ela
@daniellepari45252 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa Elimu yako kwa kweli umenifundisha mengi na umeniepusha vingi sana mungu Akubariki sana upate maisha marefu 🤞🤞
@khadijakisingo7920 Жыл бұрын
Nimejifunza barikiwa Sana Joel nanauka 💝
@masterkeymwakalanje536 Жыл бұрын
yes sir
@dr.bonye12 жыл бұрын
Ahsante kaka Joel nimekuelewa vyema 🙏
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Nakushukuru sana Brother Kwa Elimu yako Amboyo Haina Mipaka
@lukandaguillaume4175 Жыл бұрын
Be blessed
@evancymassawekenya75212 жыл бұрын
That's true brother ubarikiwe unaelimisha Sana Niko hivyo
@user-my9fj8jv3q2 ай бұрын
Thanks teacher
@user-ky5tv2hu4u9 ай бұрын
nita jifunza zaid kupitia mugu atakacho niandikia nawapenda wot
@suziefaustine5462 жыл бұрын
Well said yan kuna watu hawana shukurani hata uwape kila kitu ulichonacho
@catherinemzurikwao32652 жыл бұрын
Hayo yote hata mimi nimeyapitia katika maisha ya kupenda kusaidia watu. Ahsante kwa kunikumbusha
@enocknnko41412 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mtumish wa Mungu kwa somo zuri
@godkundy1582 Жыл бұрын
Fact..🙏
@bukelebengelela2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Joel
@nehemiahelisha6947 Жыл бұрын
Amen Amen Amen Well and relevant issues 👏 May God bless you abundantly 🙏👋
@martinbarasa3200 Жыл бұрын
i agree 💯👍 with you
@user-mc7if8vy3jАй бұрын
Ni kwel kaka kuw tunatakiw kusaidia watu but changamot ni kuw unawezaj kujuw kuw aliyekuj kukuomb msaad ana uhitaj huo kwel maan wengin huja kwa lengo la kukurudish nyum kimaendeleo
@janethkomba44852 жыл бұрын
Asante Sanaa ,unazidi kunifunguwa🙏
@tiffarqueen27122 жыл бұрын
Kaka unajuwasana mungu akubaliki
@emotional_feelingsfeelings57802 жыл бұрын
Yaaaani Hiii Video Nilikuwa Naitafuta Jana You Tube Na Mungu Kaileta SHUKRAN Boss Kwa Kutengeneza Hiiii Video
@dorcasmunisi86782 жыл бұрын
Kila somo lako linanibariki..kwakweli watu hawana wema.BIG UP BROTHER
@bakundukizetz38802 жыл бұрын
Rafiki watu wana wema Sana! Usivunjike Moyo,wako watu wengi wema tu!
@fedharmmark63982 жыл бұрын
Maisha yetu ni kama filamu ambayo mwisho wake huwaga una mambo mengi sana, Ahsante Mwalimu kwa somo zuri moja katika mada hizi tano nazani ni halisi kabisa maisha tunaoishi wengine mpaka sasa.
@sylvestersylvester86132 жыл бұрын
Nisaidie namimi jamanii
@mariagabba84012 жыл бұрын
Mtafute Mtu anaitwa Mwalimu Huruma Gadi yupo Dar. Namba Yake ni
@kasimuthabiti69072 жыл бұрын
Hili somo nimelipenda saaana
@ambrose_vevo1372 жыл бұрын
Well said Brother......!! Jambo la nne limekuwa kikwazo sana ,mno. Mungu atusaidie katika hili....
@tresorndayisenga65282 жыл бұрын
Asante sana elimu muhimu
@silaserasto782 жыл бұрын
Somo zuri sana Kwan linaboresha maisha
@mariagerald67632 жыл бұрын
Yes Teacher,,,that's powerful
@jumatawfiq64432 жыл бұрын
Kweli kaka nimekuelewa ubarikiwe
@manenolugendo63962 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana. Wengine ukisaidia mmoja anaenda ambia wengine nawao wakija kuomba ukisema sina wanatukana unaringa
@catherinemzurikwao32652 жыл бұрын
Na hili ni tatizo kubwa sana! Mara nyingi wanaosaidiwa hua wanadhani wewe unavyo vingi, wanaambiana kuja! Hua inakera sana
@manenolugendo63962 жыл бұрын
Jamii zetu za Africa ndio tunavyoishi kijamaa sana ndio husababisha maendeleo kuwa finyu
@rhinakiza2 жыл бұрын
Wow, God bless you 🙏🏼 🙌 that's truly I can't help every one and I am making myself poor