Asante sana Kwa maoni yenu na mungu azidi na kuwafungua macho na neno la mungu lienee ipasavyo Kwa kuzudi na lengo lake
@AbubakarKumbwani-yq5vg9 ай бұрын
Mimi ni Muisilamu lakini nasema kanisa Katoliki halijaruhusu ndoa za jinsia moja bali yeye Papa ndiye anayetaka Kanisa libariki mashoga
@chrisdeoglatias86658 ай бұрын
Huwez kumtenganisha papa n taasisi ya kikatoliki. Ni kama kujaribu kusema kauli ya baba mwenyenyumba sio mwongozo wa maisha ya familia yke!
@MrKhatibu10 ай бұрын
Gay society na wayahudi ni watu wenye nguvu sana duniani,Mungu atuepushe nao
@iddikibwana918510 ай бұрын
Papa ana roho ya Sodoma. Haiwezekani kubariki laana. Huo ni ushetanii. Anataka wafuwasi wake wawe kama Sodoma na Gomora. Najivunia kuwa muislaam. Katika uislaam huwezi kusikia upuuzii huo na uchafu huo.
@sikah475 ай бұрын
Usiji vunie uisilam kwani papa na shehee wenu mkuu wa mfalme za ualabuni Wana mkataba wa dini moja we kuwa makini mtafute mungu
@zacharianyanda542410 ай бұрын
Kweli munataka kwa hiari yenu Mungu awaadhibu kwa ushoga. Musubirini Yehova atakapowashukia.
@EmmanuelMbungu-c6v8 ай бұрын
Hatupambani na shetani kwa kumbembeleza atuache, mwalimu wetu ni Yesu alitumia nguvu kuondoa uchafu hekaluni alimkaripia Petro akisema" rudi nyuma yangu shetani" dhamira ya Petro ilikuwa kumhurumia bwana wake asipatwe na mateso
@zegelibilishanga604710 ай бұрын
😊
@EvaKiswaga-j2o8 ай бұрын
Dunia imeisha huyo papa kwanini hatoki na kusema. au kukanusha? Yuko kimya kabisa. Tabia gani hii ya kishetani!
@ROZITHOMAS-y4q8 ай бұрын
Huyu papa angenyamaza tuu. Hizo doc zingebaki vatican tuu. Ameumiza kanisa sana
@lucaschimba31488 ай бұрын
watu tunaelewa nyazifa za viongozi wa leo zinatoka kwa mungu maagizo kiongozi ya mungu ni kuhani tu hizi nyazifa nimawazo ya watu ndomaana leo nguvu ya munguhaipo viongozi kilammoja anaibuka na ushetani akizani nimungu
@WingoAsakeАй бұрын
Yani dunia hii tumekwisha na hao jamaa tulipo mkosa Jesus wetu basi ss ni yatima wa kutupwa...
@ROZITHOMAS-y4q8 ай бұрын
Mh katoliki imepotea .
@OmbeniLuka8 ай бұрын
Mmebaki mkipoteza muda katika mambo ya ovyo badala ya kuhubiri Injili
@SmilingCityMap-xb9md9 ай бұрын
Huko ndani hilo jungu lilishapikwa kitambo na walaji ni wao sasa wanajalibu kupakuwa na kuwapelekea walaji dunia nzima ili washilikiane kula kishelia mwenye macho haambiwi tazama hao ni wazamisha meli abilia jiponye nafsi yako
@Prosperkisama10 ай бұрын
Kweli watu ni vipofu wanatetea tuu ujinga
@BenjaminKabebo10 ай бұрын
Msimungunye maneno huyo baba yenu si ni mtakatifu? Mbona mnatuchanganya Kwenu hakuna nguvu ya kuishinda dhambi Mlimuacha Yesu mkambeba maria. Time will tell😊
@simonetz70369 ай бұрын
Acheni kudanganya waumini wenu, na kumuosha Papa , yeye ni evil kabisa , mpinga kristo
@amanijampion30459 ай бұрын
The Chanzo ongezeni texture ya maandishi ya majina hayasomeki. Mmefanya vizuri but names are too tiny!
@JescaGodfrei6 ай бұрын
Huu ni upuuz mtupu ndoa ya jinsia moj duh
@JeradiMaulidi9 ай бұрын
⁷nabado mtajuta kuacha millenia
@EliasBalole6 ай бұрын
Kuna madhehebu mengine ni lango la shetani.
@petermuganda732210 ай бұрын
Mhuu
@leonardmaganga992110 ай бұрын
Papa hajaruhusu wala kuwataka Mapadiri kubarikii ndoa za jinsia moja. Alichosema ni kuwa watu wabarikiwe binafsi. Siyo kubaiki ndoa.
@ajn90879 ай бұрын
Katika baraka alizosema kuna vikundi 3, kuna hao unao waita watu binafsi, kuna mashoga, na kuna ndoa, mutu huitwa shoga, hao watu binafsi wakiomba baraka hawaendi as a couple, but shoga na wanaotaka harusi hao ni couple , jaribu kuelewa na manake ingekua niwatu binafsi hangewataja kwajina as couple ( shoga) kwasababu ukiona mtu huezi jua kama ni shoga. Wakati mwingine nivizuri kukubali ukweli ili ujue vile utasimama.
Huyo aliyeongea wa pili ina maana ndiye pekee kamuelewa boss wake kwamba hajasema wengine wooote wameshindwa kumwelewa siyo? Mnachokificha mtakuja kujielewa mkute mko uchi mkidhani mmevaa
@AishaMhoka5 ай бұрын
Acha kumtetea karuhusu ndoa za ushoga huyo mtumishi wa shetan😡😡😡
@evancykashaga657610 ай бұрын
Ajasema mtu kasema wabarikiwe mashonga mbona mna munguya maneno
@KisagasiLuyangi9 ай бұрын
Wanapoteana hawa
@maidafrancis4510 ай бұрын
Ila wewe askofu unaeita baba mtakatifu unanikwaza sijui hujasoma?
@KisagasiLuyangi9 ай бұрын
Akili za wazungu ni hatari kwetu naona mnakataa uhalisia, hebu mnukuu maneno yake msituchanganye
@simonetz70369 ай бұрын
Hivi Hawa maaskofu wa kikatoliki wanatuona sisi wajinga Hadi watutafsirie tamko la Pope?
@EmmanuelMbungu-c6v8 ай бұрын
Hatupambani na shetani kwa kumbembeleza atuache, mwalimu wetu ni Yesu alitumia nguvu kuondoa uchafu hekaluni alimkaripia Petro akisema" rudi nyuma yangu shetani" dhamira ya Petro ilikuwa kumhurumia bwana wake asipatwe na mateso