UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 02|MAGAMBO JOHN-HILI GARI

  Рет қаралды 227,077

UnitalentShow

UnitalentShow

3 жыл бұрын

Hii ni TOP 30 ya Mashindano ya Unitalent show/ROBO FAINALI safari ni moja wanavyuo kutoka vyuo tofauti wanashindana kwenye stage moja wakiwa na vipaji tofauti ili kuibua vipaji vipya na kukuza soko la sanaa hapa nchini
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #starstudent #talentsearch

Пікірлер: 251
@MUJWAUORIGINAL
@MUJWAUORIGINAL 3 жыл бұрын
Sijawahi kucomment ila leo umenishika haswa sina budi kusema kweli wewe ni msanii, na sisi waarabu weusi uwa tunase mashallah pia mungu atupe mwisho mwema amiina👏👏👏👏🙏 naitwa BINAM RAJI a.k.a MUJWAU comedian 😂 and musician 🎼
@debbiedewilbe6606
@debbiedewilbe6606 3 жыл бұрын
Dah hakika umesema kweli, hilo gari halinaga kondakta, wala mpiga debe. Mungu atupe mwisho mwema. Ameni
@nganzanyamiamba5616
@nganzanyamiamba5616 3 жыл бұрын
Konda ni whozu huendi mbinguni😭😭😭😭😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂
@mamaamina6592
@mamaamina6592 2 жыл бұрын
Kabicaaaa yani
@FerdinandMedia
@FerdinandMedia 3 жыл бұрын
wangapi tupo huku baada ya kuona Tiktok?
@zaibonge7867
@zaibonge7867 3 жыл бұрын
Wanao jua maa kamuigiza ostadhi nipeni like 🙌
@momogolden6960
@momogolden6960 3 жыл бұрын
Aseeee Show yk ni AMAZING san 🔥🔥🔥
@geophreymlewa3863
@geophreymlewa3863 3 жыл бұрын
Inavuta hisia za maisha yetu ya kila siku ubunifu mzuriiii. Hongera sana kazi nzuri
@kajogoo_tz2655
@kajogoo_tz2655 3 жыл бұрын
Noma San kunawatu Wana vipaji jamani ♥️♥️🙏😭😭😭😭😭
@h.akarim
@h.akarim 3 жыл бұрын
Toutes nos félicitations.....aux jeunes..... talentueux....end NO BODY CAN SAY...☝️🔥
@hassansumera7818
@hassansumera7818 3 жыл бұрын
Magambo anamkopi Brooke mmoja hivi anitwa bajoun nenda utube andika jeneza bajoun utaona og yake.
@carlitacelestino4228
@carlitacelestino4228 3 жыл бұрын
Wakwaza from Mozambique
@juliuskitao7839
@juliuskitao7839 3 жыл бұрын
Daaa umenikumbusha mbali sana bro wangu alale mahari pema peponi😭😭😭🙏🙏
@nyimbizikamtima967
@nyimbizikamtima967 3 жыл бұрын
Mwanangu ww tayari ni star salute ila dah😭😭😭😭😭
@alivuai3286
@alivuai3286 3 жыл бұрын
Umewakilisha vizuri mistari ya watu kaka hongera...... Inaitwa gari La mwisho
@youngbosskijanger2416
@youngbosskijanger2416 2 жыл бұрын
Aaah Jamaa anajuwa sana much respect to you, umetisha sanaaaa
@prophetmunuo9317
@prophetmunuo9317 3 жыл бұрын
Huyu jamaa mbunifu sana, kuna kitu anakumbusha watu. V.Good brother.
@khaulatmohammed3765
@khaulatmohammed3765 3 жыл бұрын
Kamkopy albajun sio mashair yKe
@cosmasbunge6448
@cosmasbunge6448 3 жыл бұрын
Ili gali limebeba wazazi wangu wote😭😭😭😭😭😭
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 3 жыл бұрын
Al- bajoon... message sent
@ibrahimujuma1689
@ibrahimujuma1689 3 жыл бұрын
Al banjoon ndo mwenye nashide sio yey uyoo ila katisha Kali kinoma
@seifothman2162
@seifothman2162 3 жыл бұрын
Al bajoon ndo muhusika sio uyo mshkaj
@mwishehemwaita6869
@mwishehemwaita6869 3 жыл бұрын
Asaivi tunalijua yeye n muislam na watu wengi hawafuatilii mambo ya din
@armanyagwara5176
@armanyagwara5176 3 жыл бұрын
Daaaah walah vipaji vipo tz big up san broo🔥🔥🔥
@peternziku26
@peternziku26 3 жыл бұрын
Dah! Bro sio poa unanikumbuxha machungu ya mpenzi wangu Hilo GARI R.I.P MY LOVE AMANI.
@agnesakari3312
@agnesakari3312 3 жыл бұрын
Jamn pole
@peternziku26
@peternziku26 3 жыл бұрын
@@agnesakari3312 Asante ila bdo cjakufahamu we nani please km hutojali kuniambia
@hagaimtagwa9233
@hagaimtagwa9233 3 жыл бұрын
Pole broh😭😭😭
@vicentmlumba591
@vicentmlumba591 3 жыл бұрын
Ilo Gari Ni shidaa🙌🙌🙌
@alverztv6272
@alverztv6272 3 жыл бұрын
Rest in Peace Dr .JPM .... 😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@arafatharoub6215
@arafatharoub6215 2 жыл бұрын
Jomba huna talent umemuiga albajouni muongo oya unitalent angalieni wakat mwengine wanatucopi
@ayunisaid5216
@ayunisaid5216 3 жыл бұрын
Magambo, Much respect to u bro
@gloriapaul6099
@gloriapaul6099 3 жыл бұрын
Pamoja kaka,hilo gari ni nomaaaaa asee
@wahiduitsverycommentmane5421
@wahiduitsverycommentmane5421 3 жыл бұрын
R.I.P dada zangu felista na neema hakika ilii garii jamanii silitamanii sister zangu wangekuwepo nisinge tesekaa kiasi hikii jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭 pumzikoo la amanii dada zangu 😭😭😭😭
@denisibijampola1529
@denisibijampola1529 3 жыл бұрын
Pole sana
@juxepinakhadijamkofitisana6919
@juxepinakhadijamkofitisana6919 3 жыл бұрын
Mko juu sana kipaji chenu n kikali 💯
@rehemamaduhu5642
@rehemamaduhu5642 3 жыл бұрын
Nakukumbuka baba yangu, Nakukumbuka sana kaka yangu, Nakukumbuka Mary my classmate kweli gari mmelipanda
@meshackkangwe3414
@meshackkangwe3414 3 жыл бұрын
😭😭😭
@hagaimtagwa9233
@hagaimtagwa9233 3 жыл бұрын
Daaah 😭😭 njaa wangu tony hiri gari ulilipenda asee mwanangu wa faida tony ulikuwa tayali kupigwa kwajili yangu baati mbaya daah😭😭😭😭😭hiri gar😭😭
@user-ze5zm1gg4l
@user-ze5zm1gg4l 10 ай бұрын
kaka hii nzuri saana magambo
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 жыл бұрын
Allah amrehem mama yng na bibi yng tuliwapenda mno ila allah aliwapenda mno hatunabud kusema innalillah wainnaillah rajiun
@livefans5914
@livefans5914 3 жыл бұрын
Amiin
@erickelia9826
@erickelia9826 2 жыл бұрын
Kak unaweza sana hiyo ngoma ina ujumbe mzito sana
@travisscott2398
@travisscott2398 3 жыл бұрын
Nakukubar mwang
@sadasambuka5053
@sadasambuka5053 3 жыл бұрын
Nakumbuka mama angu , kaka, classmate wenzangu r.i.p
@muhammadmbamba5161
@muhammadmbamba5161 3 жыл бұрын
Kaka ww ni fundi..
@khaulatmohammed3765
@khaulatmohammed3765 3 жыл бұрын
Ka copy kwa albajun
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
@@khaulatmohammed3765 watu amkosi maneno kukopi iyo kwio
@djrichsingelifreva8245
@djrichsingelifreva8245 3 жыл бұрын
Mungu utusaidie mwisho mwema
@shabanipili4919
@shabanipili4919 Жыл бұрын
Sema g nako hamkubali huyu jamaa toka cku anaanza
@chescoreina2708
@chescoreina2708 3 жыл бұрын
Daaaah kwel ilo gar namkumbuk San lfk Ang Hashim musa na John daaah 🥺😭😭😭
@khaulatmohammed3765
@khaulatmohammed3765 3 жыл бұрын
Copy and pesa ya albajun
@salumdaluga6976
@salumdaluga6976 3 жыл бұрын
Hilo Gari ni Letu Sote
@njugunabrian3464
@njugunabrian3464 2 жыл бұрын
Malenga mwadilifu...😍
@rashidsuleiman6713
@rashidsuleiman6713 3 жыл бұрын
Nakubari. Unyama kabisaaaaaa
@talinangwira6245
@talinangwira6245 3 жыл бұрын
Kaka magamba we noma
@peshiauma2044
@peshiauma2044 3 жыл бұрын
Umenikumbesha babangu kalipanda rip dady.nimekuti man 💪💪💪🤜🤛
@shabanhassan6457
@shabanhassan6457 3 жыл бұрын
Funzo 🖐🖐🖐🔐
@dadychaps7527
@dadychaps7527 3 жыл бұрын
Ubunifu .. dah .. hatari 🔥... Sijapata sikia idea kama hii. Ur da best bru🙏🔥🔥🔥🔥👑👌🇰🇪✅
@muhamedsaidsaleh1539
@muhamedsaidsaleh1539 3 жыл бұрын
Mtafute jamaa Anajiita Albajuni ameshafanya hii kitu inaitwa gari la mwisho
@dadychaps7527
@dadychaps7527 3 жыл бұрын
@@muhamedsaidsaleh1539 iki KZbin?
@khaulatmohammed3765
@khaulatmohammed3765 3 жыл бұрын
Ka copy kwa albajun from Zanzibar
@khaulatmohammed3765
@khaulatmohammed3765 3 жыл бұрын
@@dadychaps7527 ndio ni mashair ya ALBAJUN KUTOKA ZANZIBAR
@dadychaps7527
@dadychaps7527 3 жыл бұрын
Nimeiona, Watu wanafikiria sana mistari. Hongera kwa wote.... 🔥🔥🔥💪🇰🇪✅
@hamisijumanne4137
@hamisijumanne4137 Жыл бұрын
Uyu jamaa anaweza Sana kweli kaukonga moyo wangu
@RahelMakungu-ti4bb
@RahelMakungu-ti4bb Жыл бұрын
Kaka Hilo Gari linatungoja
@shakilakasilo9286
@shakilakasilo9286 2 жыл бұрын
Nimeangalia imenitoa machozi
@husseinseif7438
@husseinseif7438 3 жыл бұрын
Rest in peace,easily my blood bro Hemed
@edwardthuo3516
@edwardthuo3516 2 жыл бұрын
Rip comrade Evans Njoroge aka masaai...
@ashbahbashir9355
@ashbahbashir9355 3 жыл бұрын
Ila umeingaaa jamn
@officialdauditz718
@officialdauditz718 3 жыл бұрын
It's more than pain
@rashidijuma-172
@rashidijuma-172 Жыл бұрын
Nilijuwa Yule mwenyewe alieimba kumbe kakopi
@festokillingo8912
@festokillingo8912 3 жыл бұрын
Bonge Bonge la kipaji, kuanzia ubunifu daaaaa daaaa
@SaidSaid-tr6vr
@SaidSaid-tr6vr 3 жыл бұрын
Hili gari 🙋‍♂️
@daniellevoso523
@daniellevoso523 3 жыл бұрын
Brooo umetshaaa hili gari kweli noma
@glorianamwinga8609
@glorianamwinga8609 3 жыл бұрын
R.i.p my sister 😭😭😭🙏
@gerriemagic
@gerriemagic 3 жыл бұрын
Pure talent aisee
@fatmahkagoya425
@fatmahkagoya425 2 жыл бұрын
Rip in peace to all my beloved ones i miss u a lot darlings
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 2 жыл бұрын
kinacho nishangaza watz lugha yao ya kiswahili ni ngumu kwao kingereza ndiyo sahihi wabongo
@zariamutesiwase2371
@zariamutesiwase2371 3 жыл бұрын
Ili Gali linibeba baba Yangu Allah akulaze Mahali pemaa baba Yangu😭😭😭😭😭
@broodaquizo2510
@broodaquizo2510 3 жыл бұрын
Daah...kwel Gari halina leseni na Gar halina hata vioo
@magambojohn5712
@magambojohn5712 3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mwa jina hongera
@magamboshabani2459
@magamboshabani2459 3 жыл бұрын
Majina yetu hayo😁😁
@magambojohn5712
@magambojohn5712 3 жыл бұрын
Kabisaa Majina adimu sana, Majina ya Wahenga
@magamboshabani2459
@magamboshabani2459 3 жыл бұрын
@@magambojohn5712 😁😁
@mossesgadiye99
@mossesgadiye99 3 жыл бұрын
Rest easy my Father 😭😭❤❤
@kayirangadidace7649
@kayirangadidace7649 3 жыл бұрын
Kayiranga didace
@clinton3168
@clinton3168 Жыл бұрын
Huyu JAMAA ANASEMA AT SIJUI APUNGUZE AACHE IKO SAWA
@rashidsuleiman6713
@rashidsuleiman6713 3 жыл бұрын
Talentiiiiiiiiiii
@ambamwai
@ambamwai 3 жыл бұрын
Ukweli n kwamba Mwamba Anajua
@nasibunganilevanu3150
@nasibunganilevanu3150 2 жыл бұрын
Magambo ananitisha
@eliasjames148
@eliasjames148 3 жыл бұрын
Mwamba anajua
@peternziku3615
@peternziku3615 2 жыл бұрын
R.I.P MY LOVER AMANI😭😭😭
@hassanalimawoko3467
@hassanalimawoko3467 3 жыл бұрын
Safi sana bro..
@rashidikawanga2941
@rashidikawanga2941 3 жыл бұрын
Bonge la ujumbe aiseee
@dodokiller7043
@dodokiller7043 3 жыл бұрын
Shairi liko njema Amiin limetufika
@jonathanemmanuel3494
@jonathanemmanuel3494 3 жыл бұрын
Nmeikubali xn hyo
@collihmushi5944
@collihmushi5944 3 жыл бұрын
Mwamba anajua 🙌
@nabosedward4836
@nabosedward4836 3 жыл бұрын
Rest in peace my mom and dad and young sister and young brothers 😭😭
@wahiduitsverycommentmane5421
@wahiduitsverycommentmane5421 3 жыл бұрын
Polee
@ahmedabalqadhi3577
@ahmedabalqadhi3577 3 жыл бұрын
Hayo sio mistari yake ameichukuwa kwa albajoun kwa nasheed yake yaitwa Hili Gari basi hata haya hana hataji mwenye shairi
@barakaphilip2015
@barakaphilip2015 3 жыл бұрын
Weraver
@solomonichisaye8767
@solomonichisaye8767 3 жыл бұрын
Kwan akichukua Kuna ubaya gani, ndio maana ya mashindano
@mabubakitambi6599
@mabubakitambi6599 3 жыл бұрын
Sio Kama Kuna shida make unayemsema hatumujui tunamjua yule katuwasilishia
@mussamusa8027
@mussamusa8027 3 жыл бұрын
Yule kazungumzia mengine na huyu anazungumzia vingine kasikilize vizurii alizungumzia dhambi zake na huyo mwamba anazungumzia jeneza buddah
@petermushy9883
@petermushy9883 3 жыл бұрын
Kachukue na wewe
@iddymbuma2856
@iddymbuma2856 3 жыл бұрын
Nakubali mwamba we unajua
@khalidngwembele9075
@khalidngwembele9075 3 жыл бұрын
REST IN PIECE MA MOM!😭🙏
@happydepretty1817
@happydepretty1817 3 жыл бұрын
Pole mpenziiii🎀😓
@christinajmnkenyi724
@christinajmnkenyi724 3 жыл бұрын
Polee
@unclevirustv9772
@unclevirustv9772 3 жыл бұрын
Poleee
@khalidngwembele9075
@khalidngwembele9075 3 жыл бұрын
@@happydepretty1817 thanks dear 🙏
@khalidngwembele9075
@khalidngwembele9075 3 жыл бұрын
@@christinajmnkenyi724 ahsante sana🙏
@Dougie_machine004
@Dougie_machine004 3 жыл бұрын
Talent boy 😢😢😭🙌
@amanichisso945
@amanichisso945 3 жыл бұрын
Iligali iligali jamani iligali liacheni
@emmanuelmasele311
@emmanuelmasele311 3 жыл бұрын
Nimelia kiukweli
@mtitagirloriginal9472
@mtitagirloriginal9472 3 жыл бұрын
Ndio nin kunitoa michoz nimelia kama fala flan hiv
@dominickadogo11
@dominickadogo11 3 жыл бұрын
Talented
@kenethmlanga1382
@kenethmlanga1382 2 жыл бұрын
🙌🙌👏
@ngombejackison267
@ngombejackison267 3 жыл бұрын
Rip my anko Geoffrey kelaty
@mkissjoseph
@mkissjoseph 3 жыл бұрын
Aisee mwamba anajuaaah
@vanpopeye90
@vanpopeye90 3 жыл бұрын
Kuna watu wana roho ngumu sana...ujumbe ni mzito ila watu humo nawaona sura kavu sana. Original poem hii hapa kzbin.info/www/bejne/fZuYamiZibWYoZo
@masungazabron4571
@masungazabron4571 3 жыл бұрын
🔥
@laraabbas7011
@laraabbas7011 3 жыл бұрын
Al bojuon shahid hilo kaimba tyr
@mabubakitambi6599
@mabubakitambi6599 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 R.i.P mpenz wang umeniacha mpweke hili gari 😭😭😭😭😭😭😭 nakumix Sana happy Wang
@evanceaboke9381
@evanceaboke9381 3 жыл бұрын
Pole sana budah.
@mabubakitambi6599
@mabubakitambi6599 3 жыл бұрын
@@evanceaboke9381 Ahxnt ndg yang
@salomeandrew4148
@salomeandrew4148 3 жыл бұрын
Pole sana ndugu
@agnesakari3312
@agnesakari3312 3 жыл бұрын
Pole sana
@ukwelisamwel9348
@ukwelisamwel9348 3 жыл бұрын
True Brother 🙏
@HappynessJose
@HappynessJose 2 жыл бұрын
Hakika haswaaa
@meshackkangwe3414
@meshackkangwe3414 3 жыл бұрын
Rest in peace father 😭
@yahyamassawe8011
@yahyamassawe8011 3 жыл бұрын
Nashiidi ya adbajuni ndugu yangu kifo kinatisha
@tuntufyekabisa1480
@tuntufyekabisa1480 2 жыл бұрын
Rip my mama😭😭😭
@SennyFleva_1
@SennyFleva_1 3 жыл бұрын
Ujumbe mzitoooo
@arafatharoub6215
@arafatharoub6215 2 жыл бұрын
Aah kaniudh xana tna xana dah ametucopi huyu
@johnkombe5384
@johnkombe5384 2 жыл бұрын
Big up Magam o
@johnmkingababatulikupedasa3093
@johnmkingababatulikupedasa3093 3 жыл бұрын
Noma sana 🙏🙏
@aboefromrombo255tv4
@aboefromrombo255tv4 3 жыл бұрын
Unaweza mwamba
@bahatihappy5693
@bahatihappy5693 3 жыл бұрын
Rest in piece my dady
@hassansumera7818
@hassansumera7818 3 жыл бұрын
Huu wimbo ni nasheed( shairi) la brother bajoun nenden u tube mtaukuta.
UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 02|MAGAMBO JOHN -HISTORIA YA TID
10:34
UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 02|ABIE AFRICA-MIX FLAVOURS
10:48
UnitalentShow
Рет қаралды 98 М.
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 40 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 19 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 75 МЛН
TGUN TOZZY ANAISHI NDOTONI
4:24
BongoStarSearch
Рет қаралды 205 М.
Wedding Show Part 1 (Mary and Edwin) courtesy of Citizen TV
27:02
Mary Anyango
Рет қаралды 18 М.
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 40 МЛН