Mama kwanini usibadilike ukawa kama mama wa kambo??? Usiwe mpoele watanzania wanataka wapekekeshwe kama punda, kuwa kama King "magufuli"
@josephudoba55636 ай бұрын
Mama mpole sana badilika kidogo uonyeshe sura ya mama mkali ndie mlezi Bora
@marymgimwa6 ай бұрын
Mungu aliyemuumba makonda amlinde yeyote aliyekinyume nae kufa na afe
@ponsianomnyaru91406 ай бұрын
Sasa mama baaday ya kuwabain hao wez unawachukulia hatuwa GANA tatzo mama unalalamika tu mbona watu wenye njaa wanaiba vyuma vya reli mnawachukulia hatua je hao wanaoiba mabilion nashangaa unawaangalia tu kama vp tumpe makonda nchi hii au kasbu Majaliwa Ndo awanyooshe
@hamishatibu6996 ай бұрын
Hawa wezi tunashidwa kuwashughulikia aswa wa vikundi feki kwa ajili ni wana CCM ifike wakati hii roho ya ccm ife kabisa tunachekeana xna, Alafu tunafunga safari za Nje kuomba misada na mikopo ndani tunashidwa kusimamia rasilimali zetu, umasikini utadumu adi Yesu aludi
@EzekieliKatigizu3 ай бұрын
Mama unasema kweli kunamajizi yanavuruga tunakusingizia wewe yabane mama yetu
@JohnOkechi-m7b3 ай бұрын
Raisi analipwa mshahara munge alipwa mshahara nk lakini viongozi wa ngazi ya kijiji na kitongoji hawalipwi chochote na wao ndo walinzi niwao ndiyo chanzo cha migogolo ya aridhi na mengi hayana haki kwasababu viongozi wananunuliwa
@hamishatibu6996 ай бұрын
Hao watu wanyongwe tu Mama mtoto usipo mchapa anazoea vibaya.
@KipajiMgalula16 ай бұрын
Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu
@evancykashaga65766 ай бұрын
Tunamtaka Alhapi Bwana kwanini hamtaki kumteuwa, faha sisi wanne kwa furaha sikweli watu wanaishi kwa uchungu ivi aliye sema muongo kabisa
@ponsianomnyaru91403 ай бұрын
Ww uwe unawasikiliza wananchi shida zao kama mtanguliz wako unawatuma watu wez kazi alaf unawabembeleza w mama ww huoni tatzo nenda mwenyew
@restitutalucian786 ай бұрын
Jamani kwani madini tena hamna? Hizo maliasili imebaki historia. Mhh7😢
@IsraelUrasa3 ай бұрын
Mama aridhi imeleta maumivu kwa watu mama samia
@jesusnametv49356 ай бұрын
mama anaupiga mwingi halafu anaibiwa kila siku ,
@success-only6 ай бұрын
Ingelikuwa yakweli unayoyasema usingekuwa Una wabagua wamasai ktk kanda ya kazkazini Lkn huwa unazungumza hiki na kufanya jingine kiukweli Wananchi tumekochoka
@hasanichengula686 ай бұрын
Sema wewe siyo wanainchi misijamchoka bado namwitaji
@godsonishengoma53786 ай бұрын
@@hasanichengula68 asilimia kbwa ya wananch tumemchoka.. Nashangaa kmkbal hali hata dini yako haimruhusu.. Kmbk yey ni mwanamke kapewa saut ya kbembeleza hata aongee kwa ukali vp hawez ms2ua m2 ndo mana anachoagza kwa wasaidizi wake hakzingatiwi..
@josephmchila64673 ай бұрын
Aksante kulegeza kikokotoo,lakini warudishe denominator kwenye formula urudi 540, Kama itakuwa hii 580, haitasaidia
@hajihassan54336 ай бұрын
Mama ukienda hivi watakuvua mpaka vidani ulivyovaa, ni mpole mno! Mhe. Magufuli alikuwa akizungumzia wizi aliimanisha na kimsingi bila kunyonga Mafisadi hadharani hatutakwenda popote.
@AllyBachu-k3p6 ай бұрын
Mama wanakuchukulia poa 2025 wanatoa ushinde ili waendelee kuiba mama fata nyayo za JPM tumbua majipu Bila hivyo KWA maneno huwawezi Hilo ni kundi hatari kikulacho linguini mwako
@mashaurimageme26786 ай бұрын
Asante mama kwa kuona makonda Anafanya kanzi zuri
@sheilamarandu27506 ай бұрын
Mama chukulia watendaji wa ardhi sheria ni wabaya mno unauliza kiwanja kipo wapi mbezi ukiserch wanasema kipo morogoro watendaji wako wa ardhi wanakuangusha mno
@Mundi-oz7os6 ай бұрын
Watieni watu jela. Wanyongeni maharamia hawa. Kuwaomba watendaji waende wakafanye kazi umeomba sana. Washukie sasa mama Samia . Binadamu inaelekea haendi mstari ulionyooka hadi mijekedi. Wagonge hawa wavaa tai na suti wanaoitafuna hii nchi. Lawama dhamana dhima iko kwako. KUWA MKALI
@KipajiMgalula16 ай бұрын
Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu
@user133753 ай бұрын
Na ww upo😮
@ERNESTAMAHENGE3 ай бұрын
shikamoo
@madaiincubationcenter49476 ай бұрын
Inawezekana Rais sio mbaya kama wananchi wanavyomfikiria inamaanishabwatendaji wake ndio wanajinufaisha na kufanya Rais achukiwe na Wananchi
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Mbona huwafukuzi kama hayati magufuli alivyokuwa anawafukuza wewe unawalea mama mijizi fanya kweli
@mangesajoseph52846 ай бұрын
Mama na rais wetu wa jamhuri ya Tanzania ipo siku utashinda tuzo ya normal .watanzania tunaimani na wewe mama upo vizuri utashinda kwa kishindo 2025
@aminaosman33156 ай бұрын
Sema mama huku tanga mama mjane kazulumiwa haki zake na taasisi moja ya kidini mwisho mahakama nayo ikawapa taasisi hiyo hospitali ya mabilioni inateketea wakuuwamkoa WA wilaya wapo
@shabanimataka84186 ай бұрын
Rais ao watu usiwaombe kuwa waadilifu ao ni kuwalazinisha wawe sawa na wasipokuwa ivyo watimue na atakae onekana anahaki za watu lazima azitoe na sio kumtoa sehem 1 kwenda nyengine
@mchunguliechibwa1986 ай бұрын
Yani nchi yangu hilivyo na utawala,uongozi wa ovyoo imagine raisi kiongozi wa nchi hanakubali kuna wizi na ubadhilifu kwenye serikali yake...ccm ni chama cha wezi na utawala wake ni ovyooo kabisa..katiba mpya ndio solution ya yote hayo..
@nenolauzima52816 ай бұрын
Kwa maana nyingine raia wajiandae kisaikolijia kulipa kodi...utendaji ukipimwa kwa makusanyo nchi hii, masikini wataumia sana.
@mufaddalmoawalla85226 ай бұрын
Wanauziana mizigo bila risiti za tra,na TRA pia wanahusika na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa kariakoo, ndo maana waligomaa store zisisajaliwe,hebu mama mhe,rais uje uangalie.sasa hivi Magherafelt kariakoo zimekuwa magodawni
@willymgaya76186 ай бұрын
MH. RAIS, HAO WEZI USIWAONGELEE TU JUKWANI. TUNAOMBA WAKAMATWE NA WASHITAKIWE. NDIPO CCM TUTAWAELEWA.
@HappyNkya-x9v6 ай бұрын
Mama asante sana kwa kuwaeleza ukweli Mama tunamba ututazame pia kwenye swala la ukusanyaji wa Fedha za Taka Mama watu hatuna Amani sh 3000 MAMA kwa mwezi tunaomba tazama na hili Mama
@KhaleedHamad-vl7lz6 ай бұрын
Sijawahi kuona serikali kama hii watu wanaupiga mwingi sana halafu wanamsifia hahaha kwa kweli chukua chako mapema soon uchaguzi
@SafariMsafi-um1pz6 ай бұрын
Jifunzeni kwa magufuli alivyokuwa akifanya kwa majipu
@NzilentaIssa6 ай бұрын
Dawinurodi
@HijaSaid-xd7fg6 ай бұрын
Hizi makonda amazogawa zinatoka wapi jamani Rais wetu Mama yetu mpendwa, au ni mshahara wake ndio anaougawa
@MariamWiliam-z8k6 ай бұрын
Mama tuletee makonda wilaya yachunya tafadhari tunakuomba mama chonde
@aminaosman33156 ай бұрын
,wakuu mkoa WA wilaya waliopita walikuwepo nawanajua lakini ndio hivyo
@PropKibali-f8d6 ай бұрын
LKN, KWA NN MNANG'ANG'ANIA KUTUTAWALA WKT KILA SIKU MNALALAMIKIANA KIUTENDAJI HAMUWEZI JAMANI, SI MTOKE?
@elizalutiga62876 ай бұрын
Hiii ni shida
@mangesajoseph52846 ай бұрын
Utashinda tunzo ya norbel siku Moja mama nakukubali Sana mama
@elioimer84236 ай бұрын
Wamasai mnawanyang’anya ardhi , ng’ombe zao kila mahali katika nchi hii lakini , hivi mnataka waende wapi. Wakienda Zanzibar ni tabu kwa sababu mnawanyima kufuata mila na desturi yao. Waache wakae kwenye ardhi yao kwani mnawafanya watangetange kila kona. Ni tabular na manyanyaso katika ardhi na nchi yao
@CatherineMbatta6 ай бұрын
Hongera Sana mama yetu 🎉kuna mjambazi na majangili yanawajangilia watu Ardhi zao ,kisha Wana matumbo kama vigoma vya asili,hatuna furaha kweli hawa watu wenye nafasi serekalini ,kwenye taasisi wanawajambazia watu ,tuko wakimbizi kwenye nchi yetu
Shida hamuchukui hatua hilo ndio tatizo sasa watu wanafanya mchezo munachekeana sana
@melkizedekwiliam-hi7bz6 ай бұрын
Huyu mama tumpe kura. Anaonyesha uzalendo hasa.
@ullujaffariyohani11866 ай бұрын
Mama Hao unaowambia nendeni mkafanyie kazi ni Hao hao unawaombia kila siku au unawabadilisha mama sidhani kama watabadilika😢
@deven.oauditx75476 ай бұрын
Mama imarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani na uwalinde ili ukusaidie kudhibiti mianya ya wizi wa fedha za serikali.
@aminaosman33156 ай бұрын
,hospitali ya mabilioni inateketea wenye haki yao wanazalilika
@FredHerman-vs8yw6 ай бұрын
Mama ao ndiyo wanaokufelisha usiwachekee
@AgustiAgustisabinisilayo6 ай бұрын
Mama tunakupenda ila kuna wanao kuangushwa makomdaaa baba laooo
@GilbertNhigula6 ай бұрын
Mh , Uko Vizuri Sana !, Msema Kweli ni Mpendwa wa Mungu .
@sheilamarandu27506 ай бұрын
Sana mama mimi mjane nimedhulumiwa na wifi na ana mtandao mkubwa kila mahali nimeenda sijafaulu mama asante ninaenda kumuona waziri slaa
@danielkanso6 ай бұрын
Naam kiongozi umegusa. Mambo muhimu sana inahitajika ufuatiliaji wa hali ya juu sana Raisi baadhi watendaji wa serikali hawako sawa wanaonea sana watu
@selinalawala22706 ай бұрын
Kweli wananchi hatuna Raha , tunatamani siku mmoja hii nchi ibadilike, haki za watu hazifanyiwi kazi vizuri.
@OswardMadege-gd7yo6 ай бұрын
Wananchi kweli wamechoka na wizi wa wahudumu wa serikali Sasa wanadamu Hawa wamemwachia Mungu tu Hali ya wananchi ni ngumu
@AllyBachu-k3p6 ай бұрын
Tunawasubiri 2025 tumewachoka
@fredyjoackimu-bk1tf6 ай бұрын
Thank you Mama,ila wachukulie hatua hao wanaokukwamisha
@seifusengondo91706 ай бұрын
anatupa stori au atapambana nao hao majambazi wa kalamu
@hawaelymaricca76026 ай бұрын
Mama Mwaka 2025 kura zetu zinakuhusu, makonda kumrudisha MAKONDA CCM amewaamsha sana hai wavivu. Mungu akuweke
@edmundrutahiwa6 ай бұрын
Huna akili kiazi wewe
@aminaosman33156 ай бұрын
,inshaalah mjane na watoto wake watano yatima Allah atawapa haki yao haki haipotei inachelewa
@aminaosman33156 ай бұрын
,mashekh na maimamu imekuwa NI tatizo
@danielkanso6 ай бұрын
Wamasai vip jama mbona wanateseka sana nafikiri hawa watu watazamwe kwa jicho la tatu
@menelus911mene56 ай бұрын
Waambie hawa unaowateuwa hawatupendi sisi wanyonge !!!
@mamlomamlo90646 ай бұрын
Mtaa wa amana Kuna milori mikubwa Barbara zinaharibiwa
@YapukaHassan-i7l6 ай бұрын
Watendaji wako hawana lolote kazi kukusifia 2 mama
@OswardMadege-gd7yo6 ай бұрын
Asiye na kitu basi tu ni mateso nchi hii rais unachosema ni kweli ila Hawa watu Hawana hofu ya Mungu kabisa
@omarijonny6 ай бұрын
hongera mama
@mariamumechara33986 ай бұрын
Badilisheni katibatu ndodawa 2
@GraceMkandawile-j5w6 ай бұрын
Mama shkamoo , saf sana mwenyezimungu akupe maisha marefu
@irumvadonciella79376 ай бұрын
Wapo busy nakuandika utafikilia wanenda kulitendea haki very sad
@AlbethaGasper6 ай бұрын
Tena mama hao wanamchukia maklonda sana
@lameckbalekere19626 ай бұрын
Angalia kwenye madini wanaochukua maliseni wananyanyasa sana
@DaimaNyakunga-jb6do6 ай бұрын
Ndo maana wanataka ugombee Tena ili waendelee kuiba
@Cryptocurrency_Tanzania6 ай бұрын
Wewe ndio final say after God Mama.. angalia sheria inataka nini kisha watu hao sheria ifanye kazi yake. ..
@magorymara55156 ай бұрын
Sheria inafanya kazi mtu anapokuwa gerezani lakin hii ya kupangiwa kazi nyingne basi ujue sheria inalea uozo hawa jamaa wanaibiwa sana na wanaiba sana
@MunsiCosmas-tg2df6 ай бұрын
Ama kwel hapa du Kaz ipo
@MathewNathan-yb2bz6 ай бұрын
Ahsante mama kwa kuligundua hilo
@andrewmalamsha30426 ай бұрын
Rais anaumia sana ujue
@RoseKimishabhalemi-oz9bn6 ай бұрын
Ardhi hakuna mahakama mama
@DevidiCosmas6 ай бұрын
Unawalea vibaya mama
@thetruth89796 ай бұрын
Hiyo kweli kabisa
@LengaiSerea6 ай бұрын
Ngorongoro kimezidi kunyang'anywa aridhi zutu
@magorymara55156 ай бұрын
Huko token token ili tupate maeneo ya utalii mkijenga huko tutatalii wapi
@ankoanko-zz7it6 ай бұрын
Wambie mamangu
@AyubuSaid-d5z6 ай бұрын
Kalimeni sio shamba
@sheilamarandu27506 ай бұрын
Kweli mama
@kulwamaguzmaguzu22026 ай бұрын
Umeme mama vp
@DavisNchinga6 ай бұрын
Lukwa ichunguzwe
@VeronicaNangale6 ай бұрын
Mitano tena kwa Mama. hasa wizara ya ardhi umetuvalisha nguo kwa kweli. Mungu mwema.
@mangesajoseph52846 ай бұрын
Mama piga kazi na makonda yupo vizuri Sana wewe ndiyo rais wetu wanyonge Hadi 2035
@menelus911mene56 ай бұрын
Mgogoro wa Ardhi mimi hapa nimepolwa nusu ya kiwanja changu ninacholipia hsti ysngu toka 1982kimepolwa na bint anaesema anafanya kazi kwa waziri mkuu hashauliwi namtu
@nemeskimbe3766 ай бұрын
Sasa nani wa kusimamia kama hutokuwa mkali mama wanakuchukulia poa na maisha yanakuwa magumu kwa mwananchi
@RudelphZabron6 ай бұрын
Mheshimiwa Rais huwezi kuondoa migogoro ya aridhi kama bado Sheria ya aridhi bado inasema aridhi ni Mali ya umma na inahodhiwa na Rais kwa manufaa ya wananchi wote Mh.Rais badilisha Sheria ya umilikiaji wa aridhi.
@SelemaniAmiry6 ай бұрын
Abadil iweje
@aminibraisonngwiso31756 ай бұрын
Asante umetusemea kabisaa mama yetu,tunakushukuru sana
@aminibraisonngwiso31756 ай бұрын
Yaani kupitia maneno ya kuridhisha kama haya anayosema Mkuu wa nchi tayari tuna matumaini ya kupata haki zetu.na ni kweli kuna wababe wa ardhi sio mchezo ni hatari.lakini Hongera Mama kwa kuthamini wanyonge tunahisi unyonge kwisha habari yake.