Nimejifunza, kazi yangu inapaswa imwabudu Mungu yaani iwe sehem ya watu kumwona Mungu na kuachilia sifa zao kwa Mungu....eeeh Mungu nisaidie niwafundishe hawa watoto kwa upendo km ulivyojitoa kwangu
@jacksonmrema47373 ай бұрын
I miss That Place 😢 I attend Service nilipokuwa Chuo Mbeya University Waooh!! Mungu awabariki watumishi na watenda kazi wa Madhabahu hii...Daah! Asante Mungu kwa neema ya kumpenda na kwa watumishi wako wote...heri kumjua Yesu Bwana ❤❤ That a Grace.
@IloveJesus-nd7sw4 ай бұрын
Nakupenda saaaaaana, what a lesson . Ulikuwa unamsifu Mungu si yeye kukupa chochote no. Ukijisikia kumpenda. Nimebarikiwa sana.Utukufu kwa Mungu
@annmutongu36672 ай бұрын
A true worshipper God bless you and keep you am in the medical profession and God really reveals Himself through medics who fear God.Your worship is so encouraging
@thomaskiponda60793 ай бұрын
WANAOJIFUNZA SOMO HILI LIVE WANAFAIDI SANA MAANA NI SOMO UMUHIMU SANA JAPO KUWA UPATIKANAJI WAKE NI HADIMU❤❤❤❤❤❤❤❤
@JanethZefania4 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Bwana Yesu roho wa Bwana amenifundisha kitu. Ubarikiwe sana Bwana aendelee kukutumia kwa viwango vya juu mno
@marthandenuka7903Ай бұрын
Nilikuwa nahitaji ujumbe huu asubuhi hii, asante sana Mtumishi wa Mungu kwa neno lenye nguvu na faraja.
@paschaltimotheo54414 ай бұрын
Nimebarikiwa mno, ubarikiwe sana man of God Dr. Ipyana kwa ujumbe mzuri
@magrethwillson20213 ай бұрын
Sito mkatia tamaa Mtakatifu wa Israeli kwenye maisha yangu na watoto wangu Najua unani imarisha Mungu wangu 😭😭 🙏🙏.
@marykibali75684 ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi leo nimejifunza kitu hallelujah
@taupenisanshimirimana4754 ай бұрын
Wakwazaa ebu nipeni like hata moja 😭
@joyceallan27584 ай бұрын
Asante Mwana Wa MUNGU YESU KRISTO , KWA SOMO HILO DEAR LORD HELP ME TO HAVE IT, TO WORSHIP YOU EVERY DAY, EVERY HOUR, EVEN MY JOY MAY ALSO WORSHIP YOU
@magrethmkemwa928722 күн бұрын
Mungu akubariki,somo adimu Sana Kwa kizazi hiki
@rebeccabrown51354 ай бұрын
Asanti Mungu naomba na mimi unipee kibali changu
@BenadethDagharo3 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi nyimbo zako zina niponya nakunipa hatua fulani kiroho kabla hata sijawahi kukuona nikiwa na sikiliza nyimbo tu naponwya Mungu akupe hatua
@angelmsuya74233 ай бұрын
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Mungu
@MSM3744 ай бұрын
Amina from USA
@user-xk7vt1ic4mАй бұрын
Asante Bwana Yesu
@mwl.peternjau11014 ай бұрын
From Nairobi kenya
@JustineMlambie2 ай бұрын
Mungu akutumie sawa na mapenzi yake
@talentshow20242 ай бұрын
Be blessed a man of God I got spirit healing now
@StephenNdegwa-mb7qwАй бұрын
❤ hii ibada ni ya maana nguvu 😂na 🎉nyingi sana za mungu
@hopemaish984 ай бұрын
Waabuduo wawe nauwezo wa kumpeleka Yesu wao mtaani...may God help me 😮😢
@petermkare27902 ай бұрын
God bless u man of God
@marcelastephen42472 ай бұрын
Yesu chukua madhaifu yangu yote in Jesus name
@JUDITHAMONDI3 ай бұрын
Shukran sana kwa hii mafundisho, nimehisi kunyenyekea zaidi na zaidi. Ubarikiwe mno.
@SuzanaNghelembi4 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Bwana mafundisho yako ni mazuri sana
@marystephen11834 ай бұрын
Mungu akubariki sana we baba yaani sijui niseme nini ila asifiwe sana Yesu kwaajili yako
@gift_of_worship_mada_madulu4 ай бұрын
AMEEEEN. THANK YOU FOR REVELATION. GLORY TO GOD
@Eng.MillyG.4 ай бұрын
I am truly blessed. This teaching is deep.
@JoyceNdossaАй бұрын
Yesu nisaidie
@user-zq3xt3ib3n4 ай бұрын
Nabarikiwa Sana mtumishi sichoki kukusikiliza kabisa una upako sana
@EllyMasam3 ай бұрын
Mungu aendelee kutunza huduma aliyoweka ndani yako
@elizabethmgina9453 ай бұрын
Barikiwa sana dr ip
@annamagawa3995Ай бұрын
Sifa na utukufu tunakurudishia Bwana
@user-om3jd6kq4p2 ай бұрын
MAY 2024 #TUKO_PAMOJA ! ASANTE SANA !
@lebeccachalamila69564 ай бұрын
Amena hakika kunakitu cha kujifunza
@felistervenance88634 ай бұрын
God help me to preach you through my attitude,action whether it's home or working area,,,
@rosejemima35524 ай бұрын
Hallelujah 🙌
@BabyConstble3 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe na uzidi kuinuliwe maana unafungua wengi
@REBECCAMOLLEL-ex7zu4 ай бұрын
Amenii utukufu Kwa Mungu
@pendojosephmagadula4828Ай бұрын
Amen
@Jujan12353 ай бұрын
😊najifunganisha na neema hiyo
@EggysDiary4 ай бұрын
Amina
@vickymoshi60384 ай бұрын
Sifa na Utukufu ni zako Jehova
@rosejemima35524 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@enockmusyoka14 ай бұрын
Nimebarikiwa sana 😢
@felistervenance88634 ай бұрын
Regardless the situation is ,,the circumstances around me is::Those doesnot remove your divinity God .....
@Apostlepetermusungu4 ай бұрын
Nakufwatilia sana . Kila hatua unayofanya nipo...sitachoka
@devothaalfredlwinga69324 ай бұрын
🙌🏽
@nicetoknow274 ай бұрын
Nimefunuliwa kitu kupitia mahubiri haya
@wamagata20234 ай бұрын
Watching from kenya
@shedrackrukwetu49083 ай бұрын
Ubalikiwe saana kuna sehemu umenivusha kupitia mafundisho yako ❤❤❤❤❤❤
@jameskuguru62664 ай бұрын
This time sound system not tht clear Abit noisy
@rispercharo8104 ай бұрын
Sante mtumishi wa Mungu.
@shaddybmc83424 ай бұрын
Pastor maboko👏👏
@doreenmueke3 ай бұрын
Teaching is about worship and the congregation can't stand to worship 😂or they're standing in the spirit 😂😂😂
@anethfredy9864 ай бұрын
Hawa watu mbona nimabosi sana KwA huo uwepo wa Mungu wamekaza kwenye viti no kusimama wala hawashughuliki Bwana tusaidie
@ImanMwakyeja-cw3ty4 ай бұрын
Upo sahihi nami nimewaona 😂😂😂😂 Dr ana abudisha hata hawajitikisi. Naona mmoja wawili flani ivi ndo angalau wanatikisika. Khaaa!
@jobwikismedia3 ай бұрын
No, something mafundisho yanaweza kuugusa moyo wako ukabaki umeduwaa.
@doreenmueke3 ай бұрын
Aki hata nashangaa, nikama wamechoka😂😂😂😂
@user-zq3xt3ib3n4 ай бұрын
Nabarikiwa Sana mtumishi sichoki kukusikiliza kabisa una upako sana
@SuzanaNghelembi4 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Bwana mafundisho yako ni mazuri sana