Hongera kwakuombea vita ziishe 🤲🏿🤲🏿🙏🏿🙏🏿Ubarikiwe sana kwakuchambua ukweli na kuombea Amani sababu wanaokufa ni watu, nampenda sana huyu mchambuaji, anachambua kibinadamu 🙏🏿he must be christian tumelelewa imani na huruma 🤲🏿
Sio vita vya Urusi na ukren Bali ni vita vya Urusi na NATO
@aidandamian25662 ай бұрын
Naipenda urus ,asante Mungu vita inapigwa na uchumi unapanda
@chikusangalala77592 ай бұрын
Hapo tusipende kokote wote washenzi
@jumashedafa2 ай бұрын
Sema putin yup poa san bas tyu magharib wana hitaj kufa ...Huyu Jamaaa itakuwa anazalisha silaha za kupga NATO wote pind wakilianzisha...ukiplus na rafik zake itakuw balaa huku China na Iran nao wanatisha...Babu kiduku naye ndan ni atar na huyo ni russia tu apgan na NATO, Je wakiungan?
@pongezimwakyoma55052 ай бұрын
SNS mko na watu makini sana huyu ally masubi ni wamoto kama djsma Bro Sky hongera kwako kwakuwa na timu makini kwenye hii industry
@ramy-k79322 ай бұрын
Ally Masudi ur the best kabisa mzee wangu
@GeorgeMagadula2 ай бұрын
Hakika sio kolo dj sma
@user-ex6sh1rl4d2 ай бұрын
@@GeorgeMagadulaAcha izo ww kma mapenz yko ypo kwa huyu usimfuje mwengine mtoto wakiume ww sio kazi yko kutia kasoro tu tabia izo waachie walioleft na kina dada
@jacksonwilson57722 ай бұрын
@@user-ex6sh1rl4dni kwel kabisa, kila mtu ana ladha yake ya uchambuzi, na wote wako vizuri sana, sio sawa kumponda mwingine. Kila mtu ana utofauti na ubora wake.
@jacksonwilson57722 ай бұрын
Anaitwa Ally Masubi sio Masudi. 🤣🤣
@MzeeKigogo_2 ай бұрын
Hana jipya! Anaibeba sana Russia kama DJ sma. Uchambuzi wake Uko biased sana
@Mjukuuu2 ай бұрын
mh, hakuna sehemu Mrusi amesema anataka kuishika Chasov Yar kabla ya May 9.. Weupe na vyombo vyao vya habari ndo vinasema ivyo ila Mrusi hajasema aisee
@deokalonga1272 ай бұрын
Hongera Urusi wa kujihami dhidi ya mabeberu
@chikusangalala77592 ай бұрын
Wewe mzungu mzungu
@zagadat11292 ай бұрын
Ally mnyama ........
@jumaseif75142 ай бұрын
Wanachokitak watakipata..Allah inusuru dunia kuharibk kutjn nahii vita
@bakariyusuph-uf7nc2 ай бұрын
Good
@williamdaud91532 ай бұрын
Duhh htr san
@technicalgearboxenginebysc13602 ай бұрын
Mchambuzi mzuri djsma piriod
@davismuzahula9072 ай бұрын
Ningekuwa Urusi jingepiga eneo la karibu na alipo D. Cameroon iliazimie kwanza
@FerdinandCharles-ko7de2 ай бұрын
😢😢😢 hi mbaya sana
@ShabannamadLada-vz1hg2 ай бұрын
Uraaaaa team urusi
@ngadumbishi14052 ай бұрын
Kwa ukraine kubadilisha matokeo ya kivita ni ndoto ya abunuasi
@szympo992 ай бұрын
Let's keep finger crossed for the win of Ukraine! 😁
@user-nu4xr6ik5n2 ай бұрын
@@szympo99Wewe najuwa shoga
@KihangoIsmail-qn2uh2 ай бұрын
Ukreine na NATO mtakuja kupata matatizo makubwa kwa mrusi
@user-vi7ly9zh1q2 ай бұрын
Kazi nzuri putin ❤🇷🇺🇷🇺💪💪
@linnusaloyce65592 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kuimarisha nguvu kwa mrusi aichape iyo nato inayo leta choko choko duniani cwapendi basi tu
@papybenshi24632 ай бұрын
❤❤❤ Russian vivvvaaa Tuko pamoja na urusi💪🏼
@chikusangalala77592 ай бұрын
Peke yako
@charlesmwita74842 ай бұрын
Jamaaa anajua sana hyu aongezewe mshahara
@AFRICA_D6692 ай бұрын
Kbsa
@chikusangalala77592 ай бұрын
Kweli mwalimu mzuri sana anaelezee mpaka unasikia laha
@RajabuHussein-to7jz2 ай бұрын
Asanteni kwa habali uruss kaza but piga hoo mbuzi bira huruma
@zuberrymaabaddy55842 ай бұрын
Wana sns huo wimbo mwishoni kabisa habar ikiisha naupataje mzur
@stevenmahinda6572 ай бұрын
Tumia Shazam app
@geomangi61232 ай бұрын
jina la wimbo mwisho plz
@OkotaEkeleze2 ай бұрын
Sns salut
@jordanmwinukatz2 ай бұрын
Tunaomba muwe mnatuwekea video ya Mchambuzi hata kama hayupo studio kuna mbinu nyingi za kumuunganisha kuongeza zaidi Mvuto.
@AliAli-hs8si2 ай бұрын
Naam
@user-ow2jv4vn8b2 ай бұрын
Herikubwa Sana Kwa rashia
@jairoshamisi32662 ай бұрын
Kama urusi uchumi wake umekuwa nayupo vitani mojakwamoja mbona sisi uchumi unayumba natunaambiwa sababu ni vita ya Ukraine na urusi
@user-cw8zn2dn6m2 ай бұрын
Wenzetu wana viwanda ndugu yangu, Tanzania inazalisha nini? Hamna!!
@MohamedSalum-kr6nz2 ай бұрын
❤❤
@obo_Baddest2 ай бұрын
Huyu jamaa na Dj Sma fanya mpango wawe wanarecodia mic nzuri...maana watu washayapenda makala na uchambuzi wao.
@user-sd5hj2im4q2 ай бұрын
Excellent mchambuzi
@ibba80822 ай бұрын
MAKOMBORA YENYE AKILI😂😂😂😂
@AyubuSamson-go4yc2 ай бұрын
Nipo upande wa urusi
@user-zk7sc7fg1s2 ай бұрын
Kwanini sky huwa hamaliziye tena simulizi mwenyew?
@SalumMrisho-vd3cx2 ай бұрын
Safi sana urusi
@King_Of_Everything2 ай бұрын
👊✌️🙏.
@SijaOlomi-cm4cw2 ай бұрын
Ali masudi unachambua kama mchambuzi wa bbc sns raha sana
@AFRICA_D6692 ай бұрын
Ona huyo jamaa WA Ukraine anavyo ongea na hao wazungu akitia huruma maskini 😴😴😴😴
@user-kq5si5pv9n2 ай бұрын
Aaaaaah
@toymadebho70482 ай бұрын
My favourite mchambuzi
@kafwimbimilambo85562 ай бұрын
Vita ya tatu
@user-qq6mv6vh3e2 ай бұрын
Yarrabiii ee mungu😢😢
@kafwimbimilambo85562 ай бұрын
Putin chuma
@aishaarusha8942 ай бұрын
Bwana we wapigane na nyuklia tuone nani mmbabe 😊
@hassangaddafi23472 ай бұрын
Punt baba lao ❤❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
@PaurothyMedia2 ай бұрын
Nataman kusikia kuhusu brics na mipango imefikia wapi..?? Lakini pia nimeona kuna kampuni imetengeneza invisible suit.. nataman kusikia makala yake
@MohamediOmari-nz4vv2 ай бұрын
Marekani mpumbavu sana yeye anauwa watu alafu yeye asumbuliwi lakini wenzake anawaekea vikwazo jinga sana marekani
@user-eb7oi2bx6s2 ай бұрын
Ally unachambua bomba sana siyo kama dj smaa anauchambuzi wakishabiki sana kifupi unakera 😢 anatufanya goi goi sana mpeni makala za waraabu huko🤔
@abdillahjuma84742 ай бұрын
Kwa ushauri tulikua tunahitaj kuona maeneo ya hivo vijiji kwa njia ya MAP ili kupate kuelewa zaid wapi Russia Amechukua
@raymondmushi90192 ай бұрын
Urusi ni laxima ishindwe,kwani watu wa nato wao wanamsubirisha.wakati wa kufanya maandalizi yao.
@user-cw8zn2dn6m2 ай бұрын
Akishindwa ujue analipua nuclear. Kwahiyo sahau katika maisha yako kushindwa kwa Russia. Hawa ni maboss. Kwanza unaambiwa Russia anazalisha silaha mingi zaidi ya mara 10 ya nchi za NATO. Upo kijana.
Nyie mtachukulia kama ndoto lakini vita hii ya Russia na Ukraine inaweza kusababisha vita vya tatu vya Dunia.
@user-cw8zn2dn6m2 ай бұрын
Hiyo ni kweli
@evelynemugeni23692 ай бұрын
Ni NATO si Ukrain
@user-ow2jv4vn8b2 ай бұрын
Staki viishe vita vita isonge mberetoo🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇨🇳🇷🇺🦹🦹
@saidiyusufumuhode31592 ай бұрын
Huyu Putin anaweza kuchukua nchi yote ya Ukraine kama huyu mchekezaji ataendelea kua rais
@user-es7jn7cp5d2 ай бұрын
Hapo ni urusi kutoa manjeshi Ukraine watu wawe huru na inchi yao mbana hii dunia haitanji ubabee
@paulvimbamvula95082 ай бұрын
Na shanga munasema munaipenda Urusi
@user-fe9qp9oo1v2 ай бұрын
Uyu rais wa ukraine akili zake ni km mtt wa miez sita nawahurumia raia wa ukrain na hiki ni kigezo tosha tunatakiwa tuchague rais mwenye akil yake sio mweny akili ya kuendeshwa
@daslamonline46652 ай бұрын
Putin anajua vita aisee
@josepheriah59772 ай бұрын
Ukrane yashambulia urus Belgorod
@raymondmushi90192 ай бұрын
Wewe siyo mchambuzi,bali wewe ni mzhabiki wa urusi
@josepheriah59772 ай бұрын
Ges ya urusi na visima vya mafuta vya lipuliwa
@user-lv1ki7nn7t2 ай бұрын
Vyalipuliwa na shoga wewe au nani hasa labda acha ndoto za mchana huu ndugu nchi zenu za mashoga kamwe hazitafamikiwa dhid ya urusi hata siku Moja futa ndoto hiyo Russia sio kama Libya au Iraq Mzee tulieni doze iwaingie ya putin
@Aminmwansile-we8vn2 ай бұрын
Ukraine itashinda vita hii maana haijawaitokea mchokozi kushindana vita
@annassuleiman45082 ай бұрын
Wewe siyo mzima si bure, aliyeanza kumchokoza mwenzake kumbe hata humjui unajiongelea Ovyo. Kwakukusaidia Ukraine ndiye aliyekuwa akiuwa Raia wa Urusi waishio Ukraine. Kisha wakazi wa ile Miji wakataka kujitenga na Ukraine wakawa Ukrein hawataki. Kwahiyo Russia ameingia Vitani kwenda kuwakomboa watu wake. Pili Ukraine ilikuwa ni jumuiya ya Soviet na siyo NATO. NATO ni Maadui wa Urusi. ATI Ukraine anataka kujiunga na NATO. Sasa hapo ni nani Mgomvi??Na suala la ukraine kushinda hii vita ni Ngumu sana sababu mrusi mpaka sasa hajatumia silaha zake na jeshi lake. Na nguvu anayotumia Kupigana na Ukraine ni Ndogo Sana. Yaani ni sawa na sukuma mlevi. Urusi ana mabomu ya kuichakaza Ukraine Kwa siku moja na kuwa Majivu.
@evelynemugeni23692 ай бұрын
@@annassuleiman4508👌👌👌👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙌🏾
@ezekiambise25952 ай бұрын
Wewe ni mpumbavu tu unapromote ushoga.
@christianrukurugu43412 ай бұрын
Urisi hawezi shinda hii vita, Africa yote ipo upande wa Urisi but hawezi shinda kwa sababu ya support wanayopewa NATO
@annassuleiman45082 ай бұрын
@@christianrukurugu4341 jifunze kiswahili kwanza kisha Ndiyo uje kuongea na watu wenye akili
@tumainielmaruwa31482 ай бұрын
Hakuna atakaye amini kitu mrusi atafanyiwa na EUR
@bakarirajabu37832 ай бұрын
Hawana uwezo mbwa Koko hao
@Abdullah-hb6sf2 ай бұрын
Kwanza mziojua hii ni channel ya urusi na cc ni warusi weusi kama wewe sio shabiki wa urusi mlango upo wasi ni hivyo tu. Mashoga muende Israel
@user-eb7oi2bx6s2 ай бұрын
Tukaenderee kuwafira baba zako waraarabu huko parestina🤣🤣
@malickabbas82712 ай бұрын
Mwamba putin
@FerdinandCharles-ko7de2 ай бұрын
Mm najiuliza ukrein mpaka leo kuna ligi kuu imechezwa leo sasa wanachezea wap nchi krb yte inachukuliwa
@nizarrama2252 ай бұрын
Maeneo yanayopiganwa vita ni miji iliyoko karibia na boda ya Urusi hvyo miji iliyopo jirani na Urusi imechukuliwa na Urusi, yani mfano hapa Tanzania Urusi iwe Kenya ianze kuchukua maeneo ya kaskazini kama Arusha, Kilimanjaro n.k halafu ni siku nyingi zinatumika mpaka kunyakua maeneo, hvyo kama ligi kuu inachezwa maana yake inachezwa maeneo ambayo yapo mbali na vita yani kama Pwani, Dar, morogoro n.k
@jacksonwilson57722 ай бұрын
@@nizarrama225ufafanuzi mzuri kbsa, kama hajaelewa bas tena
@kamanapomo70292 ай бұрын
@@nizarrama225hapana urusi anapigana vita vya kistaarabu hawaadhiri raia ukitaka kujua tim kubwa zote za ucraine zipo upande wa mikoa yenye vita
@Aminmwansile-we8vn2 ай бұрын
Acha kuchambua habar kiushabiki mbona unaisifia Sana urusi wewe mchambuzi?
@GeorgeAkasha-zx2rj2 ай бұрын
Yaani hii ni channel ya urusi tu mkuu, maana huu sio uchambuzi Bali ni sehemu ya chuki
@user-yn3ve7gi2r2 ай бұрын
Mbuzi ww ulitaka achambue nn Sasa Russia ndio nchi pekee Dunian yenye upendo.
@OmaryOmary-lk7zc2 ай бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rjTimu upinde lazima wachukiwe na watimuliwe
@josepheriah59772 ай бұрын
Putin afe
@user-lv1ki7nn7t2 ай бұрын
Uanze kufa wewe na mashoga wenzio wa magharibi na sio putin
@ezekiambise25952 ай бұрын
God bless russia 🇷🇺
@MzeeKigogo_2 ай бұрын
Huyu mchambuzi uchwara anaonekana ni kibaraka wa Putin kama DJ sma
@TeamKilimanjaro20242 ай бұрын
Na wewe ni kibaraka wa nani?
@Nuru-zr2yv2 ай бұрын
Mtafirwa sana tulia uboo ukuingie
@bakarirajabu37832 ай бұрын
Kwani ume lazimishwa kuifatilia
@elicktilia44302 ай бұрын
𝚆𝚊𝚌𝚑𝚊 𝚠𝚊𝚎𝚗𝚍𝚎𝚕𝚎𝚎𝚎 𝚔𝚞𝚋𝚒𝚕𝚒 𝚜𝚒𝚛𝚊𝚑𝚊
@user-yn3ve7gi2r2 ай бұрын
Usiseme anapigana na ukrein sema anapigana na NATO