USIANZE MWAKA 2025 BILA KUJUA HAYA || JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 75,635

NGUZO YA MAARIFA

NGUZO YA MAARIFA

Күн бұрын

Пікірлер: 147
@tawakaliramadhani1352
@tawakaliramadhani1352 Ай бұрын
Kaka toka nimekuaa umenipa ujasiri wa kujijua mm ni nani... Hongera sana kwa kuwapambania watanzania.
@EMMANUELTHOBIAS-oe4wn
@EMMANUELTHOBIAS-oe4wn Ай бұрын
Joel kwakwel utaendelea kuish kwenye maisha yangu unapoint kuntu(I believe u).Naitwa Ema Thobias nipo kangae mwanza nakufuatilia sana barikiw na Mungu.
@NGUZOYAMAARIFA
@NGUZOYAMAARIFA Ай бұрын
See you at the top
@GodlyElizabeth
@GodlyElizabeth Ай бұрын
Aaah Mungu akutunze Sana Kaka JN , wewe ni hadhina kubwa na njema sana kwenye Taifa Letu. This Talk imekuwa ni MY NUMBER ONE, THE BEST SPEECH kati ya zote nilizosikia 2024.Hasa kwenye kipengele cha identity, Spiritual & Mental Toughness. This speech Imefufua vingi vilivyokuwa vimekufa ndani yangu Na imepanda mbengu njema sana kwenye Maisha Yangu. GOD BLESS YOU HIGHER JN💚🙌
@hopezakskincare6745
@hopezakskincare6745 Ай бұрын
Asante Mungu kwa kukutana na huu ujumbe imenipa nguvu ya kuuanza upya kumbe kukataliwa ni daraja pia la kupita kwenda upande wa pili Mungu 2025 God una makusudi na mm
@AnethLameck-s1r
@AnethLameck-s1r Ай бұрын
Ahsante sana Joel unanifundisha mambo mengi sana na nimeanza kubadilika kitabia, kinaisha na namna ya kuishi na watu.
@ALICIAKAIJAGE
@ALICIAKAIJAGE 23 күн бұрын
Asante sana kiongozi kupitia maarifa yako mimi nimepona nimekuwa mtu mpya barikiwa sana na Bwana uwepe maisha marefu🙏🙏
@RehemaMmbaga-f7h
@RehemaMmbaga-f7h Ай бұрын
God bless you unanitoa hatua moja kwenda njingine Mungu akubariki 🎉❤
@RehemaMsuha
@RehemaMsuha Ай бұрын
mungu akubariki sana kaka joel Mungu akupe maisha marefu ili uzidi kutupatia maarifa
@Mishaeligospel
@Mishaeligospel Ай бұрын
Shalom naomba kujua utalatibu wa menta ship ya mwezi huu ni talehe ngapi
@EmmanuelyLukas-n8m
@EmmanuelyLukas-n8m Ай бұрын
Ahsante Mungu kwakuipata hii Elimu nzuri ninaasema Ahsante sana Amen.
@brithosimkwai8577
@brithosimkwai8577 Ай бұрын
Long live Dr.Nanauka. J. You are spiritually and psychologically healer thriving for people's success God of heaven bless you so much.
@MarcoPeter-y5n
@MarcoPeter-y5n Ай бұрын
Asante sana MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana Dr madini mazuri
@evanestory3711
@evanestory3711 Ай бұрын
Thanks my son Joel umekuwa na maneno mazuri sana ya kunivusha kila ninapokusikiliza .sijawahi kukusikiliza nikabaki kama jana.Mungu akubariki sana na akuongezee maarifa zaidi.
@irenemakuta1719
@irenemakuta1719 Ай бұрын
Nakushukuru sana Kwa mafundisho mazuri na ya kugusa maisha ya Kila siku.mifano ni mingi na yenye vitu vingi vya kujifunza .na vya kusaidia kubadilisha mfumo wa maisho.Utafute na mifano ya waafrika wenzetu kama IPO.be blessed abundantly.
@danielisaiya340
@danielisaiya340 Ай бұрын
Ooh Hallelujah. Amen Joel
@pendogwisu
@pendogwisu Ай бұрын
Mr. Joel Mshukuru sana Mungu kukujaalia talanta ya kubadilisha mimd set za watu.
@ZachariaYohana-v8e
@ZachariaYohana-v8e Ай бұрын
Stay blessed Nanauka Nilichojifunza kwako nikwamba unatamani kila mtu hasa mtanzania atimize ndoto zake, Mungu akubariki zaidi uwe Rais wa Nchi sio mbuge tu, please dream on it
@JAMILAH-l4s
@JAMILAH-l4s 18 күн бұрын
Amiin,ni mbunge wa wapi?
@BarakaKiya-d9j
@BarakaKiya-d9j 12 күн бұрын
Nakuelewa sanaa brother
@hawahamza1085
@hawahamza1085 Ай бұрын
Congratulations Joel.Hii tuiite video bora ya mwaka imekusanya vitu vingi sana na ushahidi wa kutosha . Allah akubaaik na akupe umri mrefu,Hawa from Zanzibar.
@DicksonNelson-d1f
@DicksonNelson-d1f Ай бұрын
Asante sana ndugu Mungu ni mwema.Aendele kukupa kibali zaidi
@JAMILAH-l4s
@JAMILAH-l4s 18 күн бұрын
Big up bro 🎉🎉👏
@khdj-x3w
@khdj-x3w Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤nakupenda sana mungu akupe afya njema kufika mwaka mpya pamoja
@joykapaya1970
@joykapaya1970 Ай бұрын
It's only God who connected me to this page! Remain blessed son.
@AGINESELIAS
@AGINESELIAS Ай бұрын
Mungu ni mwema jani Asante yesu 🙏🙏🙏
@feddymwanga5462
@feddymwanga5462 Ай бұрын
Thank you for a great lesson
@wendynkya1309
@wendynkya1309 Ай бұрын
Mungu akubariki sana sana kaka Joel,mafundisho yako ni mazuri na yanatutia moyo na kutuvusha wengi,una hekima sana na Mungu akupiganie
@eselinabibuka9610
@eselinabibuka9610 Ай бұрын
Yes mwalimu Joel, nimekupata: 'Longevity is vital for one's impact'
@FrankPaulo-y7r
@FrankPaulo-y7r Ай бұрын
Brother Joel katika speech zako zote hii umetisha kaka unareference za kutosha.
@AlexJefwa
@AlexJefwa Ай бұрын
Thanks sana kaka Joel...umebadilisha.... Sana maisha yangu toka... nianze kukufatilia... barikiwa sana kwa... kuendelea kutupa ukomavu wa akili 🙏🙏
@sweetbethmwacha584
@sweetbethmwacha584 Ай бұрын
You really inspiring me Joel
@pulcheriamayombo5780
@pulcheriamayombo5780 Ай бұрын
Nakukubali kweli nimekataliwa ofisini sifai kuwa matron wa wauguzi hata Leo napambana.
@FadhiliNzogela-j6b
@FadhiliNzogela-j6b Ай бұрын
Asante kwa maarifa unayo tujengea hallo 2025 tutafanikiwa kwa viwango vikubwa sana.
@194summer
@194summer Ай бұрын
Barikiwa dkt Joe,,nakuelewa sana Kizazi hichi ni kizazi cha nyoka kinapenda tiktok vichekesho na ujinga mwingine ,,,ila kuna watu wanakuelewa katika hali hii hii,,.asante
@JumaMasanja-b4p
@JumaMasanja-b4p Ай бұрын
ubarikiwe mtumishi wa mungu Ila utamshauli vp mtu ambaye anapitia changamoto Kama yet anamaono lakin familia yake wanatumia pesa bila malengo
@timothykengere2535
@timothykengere2535 Ай бұрын
Shukrani Maisha ni yako Mtu asikuamlie jiamini pambana iposiku kitabu kizuri akubariki Mungu .........
@HalidimsalaTz
@HalidimsalaTz Ай бұрын
🎉
@JacklineGasper-th3jl
@JacklineGasper-th3jl Ай бұрын
Nimepona katka maisha haya kupitia ujumbe huu..NAKUSHUKURU MUNGU WA MBINGUNI KWA YOTE UMETENDA KWANGU🙏
@KristofaPetro
@KristofaPetro Ай бұрын
Amin watu wakikutaaa mbingu zinakuandaaa utukufu
@julianabella4258
@julianabella4258 Ай бұрын
Ubarikiwe sana Man of God🙏🙏
@JoynessAkankiza
@JoynessAkankiza Ай бұрын
Aise kaka Joel umenibariki kwa maneno yako Mungu abariki kipaji chako
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
Kaka Joel asante sana kwa maarifa.
@emyhelenKichawele
@emyhelenKichawele Ай бұрын
Mungu akubariki kaka unaiamsha ajili yangu upya
@happiejackson6662
@happiejackson6662 Ай бұрын
May God Bless You Brother! Speech zako ni 🔥 🔥
@FilbertMkoma
@FilbertMkoma Ай бұрын
Kila mafundisho Yako Joel uwa yananipeleka ktk mafanikio ya ndoto yangu, ahsante sana mungu akubaliki
@OmarHemed-k1y
@OmarHemed-k1y Ай бұрын
Shukran mno 🙏🏾❤
@AnethLameck-s1r
@AnethLameck-s1r Ай бұрын
Ahsante sana
@muginiryoba99
@muginiryoba99 Ай бұрын
✍️hongera Sana Dr.joel elimu nzuri tunapoenda kuanza 2025 🎉
@SophiaKibitanyi
@SophiaKibitanyi Ай бұрын
Mungu AKUTUNZE sanaaaa Dr
@NeemaTimothy-h8k
@NeemaTimothy-h8k Ай бұрын
Mungu akutangulie maan tunapat vitu vizur kuhusu speech zako
@FatumaRamadhani-p1f
@FatumaRamadhani-p1f Ай бұрын
Ubarikiwe na mungu akulinde kupitia wewe tunapata vingi sana
@imeldasanga6465
@imeldasanga6465 Ай бұрын
Barikiwa sana kwa ujumbe mzuri kaka
@JoakimNikobiba
@JoakimNikobiba Ай бұрын
Kaka Joel una content nyingi xana huu mwaka umenifanya niwe na uwezo kuamua maamuzi ya kujaribu kufnya mm kama mm kaka mungu ana male go na mm amin
@LinusMbezi
@LinusMbezi 15 күн бұрын
Asante kiongozi
@Mwitakihani
@Mwitakihani Ай бұрын
Joel hakika una kitu umenisaidia sana siku Moja nitakuwa sehemu ya juu
@kingbrand5141
@kingbrand5141 Ай бұрын
Akika kaka kunasehemu umenitoa Mimi toka nimeanza kukujua mungu akubaliki sana nategemea hii 2025 ntakuwa mkubwa zaidi kwenye biashara yangu kaka
@WankyoGonjo
@WankyoGonjo Ай бұрын
Barikiwa sana kaka
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 Ай бұрын
Kila navofatilia mafunzo ya Joel's napata maalifa yake mengi yanatokana na usomaji wa Vitabu. Hii inanipa picha ya umaskini wa wa Mwafrica dawa yake inefichwa kwenye vitabu
@Yohanakahindi
@Yohanakahindi Ай бұрын
Uakikaaa tuwe na habt ya kusoma vitabu mara kwa mara
@yudamosha
@yudamosha Ай бұрын
❤❤
@easterngiriti5335
@easterngiriti5335 Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka joel nina mda kidogo toka nikufaham lkn nilikuwa skai nikatulia kukusikiliza, lakin vile nilianza kutenga mda kujifunza maisha na namna ya kuishi aisee mafundisho yako yamenijenga mno na namshukuru Mungu kwajili yako akupe maisha marefu pia kwajili ya watu wake..❤❤❤
@amonmethod
@amonmethod Ай бұрын
That is great, be blessed 🙏
@DianaHaule-v3z
@DianaHaule-v3z Ай бұрын
Aminaaa napokeaga sana Toka kwako japo sijatoboa
@Eva-q7t9e
@Eva-q7t9e Ай бұрын
Amina nimejifuza mengi kwako mtumishi
@FaithBoliko
@FaithBoliko Ай бұрын
Akika,mungu akupe maisha marefu umenitia nguvu akika
@josephkahindi1713
@josephkahindi1713 Ай бұрын
Barikia sana nanauka
@DonathCholela
@DonathCholela Ай бұрын
Asante kaka
@ShamimShamy
@ShamimShamy Ай бұрын
2025 ninaomba mungu kupitia Joel nibadilike na Maisha yangu yabadikike ni kwa mstari ni siwe mguu moja ndan mwingine inje,, noooo
@PetroMashaka-z8g
@PetroMashaka-z8g Ай бұрын
Kaka shukuran sana Kwa marifa nayoyapata Kila ninapo fatilia video zako
@nelsonngilisho9426
@nelsonngilisho9426 Ай бұрын
Good words to hear
@SamuelCimenge
@SamuelCimenge Ай бұрын
Mafundisho nzuli sana,ila kingereza yapo mingi kwenye maneno Yako hadi nashindwa kukuelewa
@florahchristopher383
@florahchristopher383 Ай бұрын
Your speech. I see new life again i very proud of u so may God bless u brother Joeli
@ELIASMANCHAN
@ELIASMANCHAN Ай бұрын
Amen thanks
@ponsianaprotas8990
@ponsianaprotas8990 Ай бұрын
Asante sana Joel, Mungu azidi kukubariki.
@josephatdubi6038
@josephatdubi6038 Ай бұрын
Asante Sana Mtumishi wa Mungu kwa maarifa unayotoa. Nakuelewa vizuri Sana! Ombi, Kwa mtu yeyote aliye na namba ya simu ya Mtumishi huyu,nisaidie
@evalema470
@evalema470 Ай бұрын
Najifunza pia kuwa wamama wana nafasi kubwa sana ya kuwatiq moyo watoto wao
@MaombiMwasumbi
@MaombiMwasumbi Ай бұрын
Amen mtumishi MUNGU akubariki sana but naomba kuuliza nawezaje kupata vitabu vya nanauka Joel?
@NGUZOYAMAARIFA
@NGUZOYAMAARIFA Ай бұрын
joelnanauka.selar
@AngelMassawe-nz9sk
@AngelMassawe-nz9sk Ай бұрын
Nimeipenda jinsi watesi wanavyohangaika kuharibu na Mungu anavyo wasarambatisha hatimae tunachanua kwa viwango vipya safiii mwl unatuongoza vizuri jinsi ya kujingamua ktk hisia za uongo na kumiliki hisia za ukweli ktk viwango vya ufaulu
@EsterSwai-n9q
@EsterSwai-n9q Ай бұрын
Good speech
@KalebeNsomba-d9f
@KalebeNsomba-d9f Ай бұрын
Vizur
@rahmakassim1632
@rahmakassim1632 Ай бұрын
Shukriyeee ❤❤
@zakazakazi-fn6zy
@zakazakazi-fn6zy Ай бұрын
Joel daima utabaki best nakubali in the future 🔮
@NkangaMwinamila-m9p
@NkangaMwinamila-m9p Ай бұрын
Wowoo! Nanauka you well enough
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza kukusikiliza lkn nimekuelewa sana, mafundisho yako yana nguvu ya kubadilisha na kuinua, nimewahi kupitia mazingira magumu sana, kukataliwa,lkn sikujikataa, niliinuka nikasonga mbele na leo niko hapa namtukuza Mungu.
@JumaShekha-y4c
@JumaShekha-y4c Ай бұрын
Good lesson Dr,Joel.
@Victoria-bv6xu
@Victoria-bv6xu Ай бұрын
God bless you 👏
@MaltinJon
@MaltinJon Ай бұрын
Mungu akujalie maarifa zaidi ya hapo kiongozi
@OmariMwasi-t4z
@OmariMwasi-t4z Ай бұрын
God bless dear brother!!
@SalehHajiOthman
@SalehHajiOthman 18 күн бұрын
@JonathanDavid-n4w
@JonathanDavid-n4w Ай бұрын
Barikikiwa saana ninapokusikiliza nakuelwa kwaelimuunayotoa wewe ni tunuya taifa. Endelea kutendea haki taaruma yako umetuokoa wengi kwaunachokifanya tunakuombea barikiwa.
@zitashio7920
@zitashio7920 Ай бұрын
Amen mtumishi
@ngiyimberejustin3731
@ngiyimberejustin3731 Ай бұрын
Asante Sana mtumishi barikiwa sana
@salmayusufu4299
@salmayusufu4299 Ай бұрын
100% True
@josephdaud1103
@josephdaud1103 Ай бұрын
Nakukubali sana joel, vitabu vyako navipataje? Kimoja, ninacho!!
@NGUZOYAMAARIFA
@NGUZOYAMAARIFA Ай бұрын
Joelnanauka.selar
@EmmanuelDeus-fs8wv
@EmmanuelDeus-fs8wv Ай бұрын
Asante sana JN brein kubwa
@joycembabazi-y9n
@joycembabazi-y9n Ай бұрын
Najifunza Sana kutoka kwako ubarikiwe sana
@zabronkalala6043
@zabronkalala6043 Ай бұрын
Ujumbe mzuri
@EnelisaMtafya
@EnelisaMtafya Ай бұрын
God bless you nanauka
@FelisterDotto-c5y
@FelisterDotto-c5y Ай бұрын
Asantee mtu wa mungu uzidi katika haya
@JONASMATHIAS-b1k
@JONASMATHIAS-b1k Ай бұрын
Ubarikiwe Sana rafiki
@shabanngondavi143
@shabanngondavi143 Ай бұрын
Da muheshimiwa, yani kusema ukweli hii speech zako nikizisikiliza ziko vizuri sana, mungu akuongoze mana una athari kubwa sana kwenye maisha yetu.
@blackangel.58
@blackangel.58 Ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉 thank you
@bestcakes7098
@bestcakes7098 Ай бұрын
Asante sana
@frankalfredy4991
@frankalfredy4991 Ай бұрын
Great
@UwesuKalamu
@UwesuKalamu Ай бұрын
Umeniamsha san mr
@MariamMtweve-g8l
@MariamMtweve-g8l Ай бұрын
Asante kaka yangu, nilikuwa nakata Tamaa leo umeniinua sana
@ESTHERTHOMAS-w8b
@ESTHERTHOMAS-w8b Ай бұрын
Ubarikiwe sana
@hopezakskincare6745
@hopezakskincare6745 Ай бұрын
Asante Mungu kwa kukutana na huu ujumbe imenipa nguvu ya kuuanza upya kumbe kukataliwa ni daraja pia la kupita kwenda upande wa pili Mungu 2025 God una makusudi na mm
@NeemaAgustino-j6h
@NeemaAgustino-j6h Ай бұрын
Amen nami naamua
@ELIASMANCHAN
@ELIASMANCHAN Ай бұрын
I will never give up
FANYA HAYA KUTIMIZA MALENGO YAKO 2025 || JOEL NANAUKA
23:04
NGUZO YA MAARIFA
Рет қаралды 78 М.
JINSI YA KUWA MSHINDI KWENYE KARNE YA 21 || JOEL NANAUKA
35:10
NGUZO YA MAARIFA
Рет қаралды 7 М.
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
2025 ANZA NA VIPAUMBELE HIVI  - MISANA MANYAMA
24:02
Misana Manyama
Рет қаралды 5 М.
NAMNA YA KUONGEA NA MWANAUME ILI AKUSIKILIZE  | PR. DAVID MMBAGA
40:55
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
FINANCIAL LAWS - KANUNI ZA FEDHA  ( DR. JOEL NANAUKA) | RETREAT CAMP 2024
1:27:01
Pastor Dickson Kabigumila
Рет қаралды 6 М.
UNABII WA 2025 KUNA  RAIS ATAFIA MADARAKANI...
28:54
Haleluya Tv
Рет қаралды 270 М.
Nyimbo za Kuabudu na Maombi
1:00:07
Lucas Kaaya
Рет қаралды 746 М.
NGUVU ILIOKO KATOKA MAONO (JOEL NANAUKA)
1:07:09
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 94 М.
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 126 М.
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН