Daah!hata ulochukua hii clip gari yako alarm ya speed gavana inaita mbaya yaani😢
@uwezawamungumkuu.amaniafrika10 ай бұрын
Wewe unaonesha picha. Mimi nipo barabarani nayaona yote ni hatari kubwa mabasi haya . Na siyo ya mbeya tu ni Nchi nzima ni matatizo. Na bahadhi ya abiria ndiyo raha yao lakini ikitokea ajali lawama kawa dereva. Mabasi,magari ya serikali ni tatizo barabarani na trafiki wapo lakini wewe mwenye gari ndogo pia ata kwa bahati mbaya 50 pengine imeanguka,au imezuiliwa na kichaka faini inakuusu bila mjadala. Polisi wetu wameshindwa kabisa kudhibiti mabasi, bodaboda,magari ya serikali,siyo kwenye 50,zebra,pasipo faakuovateki wameshindwa kabisa. Wamebaki kusumbua wenye magari madogo bifsi. Nazunguka nchi nzika akuna nisicho kiona. Mungu mkuu aturehemu sote. Amen.
@deoyessaya868911 ай бұрын
Yaaani king'amuzi kinapiga kelele lakini bado speed hata hapunguzi.
@salamsabdullah-st9pt6 ай бұрын
Golden ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@AbuuMuhsin9 ай бұрын
Mabasi ya kusini yanakimbia sana kuliko kanda zote hapa nchini mimi nimesafiri nayo nayajua vizr,, ni moto...
@sifuelinyaki334110 ай бұрын
Askari kuna huyo tito na mwenzake hapo kazi kwenu
@theobardtheonest54342 жыл бұрын
Mimi kama mnazi ianzishe ligi kuu ya mabasi
@KaizaMfuse6 ай бұрын
Mwaga moto tito acha kuniangusha
@spycley6127 Жыл бұрын
Kuna haja gani ya kuovateki na speed almost ni sawa, unakuta bus linaovatek bus jengine dakika 2 nzima hajampita, ndio maana ajali zinatokea kizembe, Apo uyo driver katumia busara na akili ya udereva tu kuamua kumpunguzia mwendo kama sio hivo ilkua akagongane na pickup uso kwa uso, Ni upumbavu, kuforce kuovatek wakati gari zina speed sawa
@nzinotv577 Жыл бұрын
Daah n kwer kabsa
@cuthbertmkemwa4903 Жыл бұрын
Umeongea vema, asingepunguza tuu, ulishakua msala
@plainsanga16612 жыл бұрын
GOLDEN DEER NI 🔥🔥
@ROZITHOMAS-y4q7 ай бұрын
Jamani zile basi zilikuwa zinaitwa scandinavia nani alipanda wakati huo.? Ile kampuni sijui ilitoa wapi madereva. Walikuwa very professional. Niliwahi kupanda kutoka dar mpaka dodoma huwezi amini nafika dodoma sielewi nimefikaje. Gari haina honi za ajabu ajabu. Kwenye kona anakwenda speed inayotakiwa . Hamna overtake zakijinga usikii mabreak ya ajabu yaani utafikiri umo ndani ya ndege. Hawa madereva wa leo utafikiri asubuhi wanatupia bangi. Yani unamkuta dreva professional kabisa lakini umtofautishi na dreva boda boda. Wako kiajabu ajabu. Kampuni ambayo naiona ona ipo vizuri shabiby .
upumbavu wa hali ya juu, ndio maana watu wanakufa kama shida tu
@nzinotv5772 жыл бұрын
Wanajisahau km wamebeba abilia
@nzinotv5772 жыл бұрын
Watu hawaelew
@kennethedward69922 жыл бұрын
Unaweza kuwa mpumbavu wewe
@HasionShekiondo-ck2yn Жыл бұрын
Mtu kaliwa matako dadeq
@selemanmohamedi88382 жыл бұрын
tito umeniangusha
@kassymharoun90472 жыл бұрын
Co amkuangusha ila n vle ust.Rama hatak mazoea na wtot 😂😂😂
@Sancho272110 ай бұрын
Unyama sana sauli katumia akili eti lasivyo jamaa angeua raia
@salamsabdullah-st9pt4 ай бұрын
Sauri Ana ngumvu na mchina
@temuramadhani51342 ай бұрын
Usalama barabarani mnaona?
@alphonceloth30152 жыл бұрын
Kuna watu wanalaumu Sana hii ligi kuu hawajui furaha ya wengine ndo IPO hapo yaan
@nzinotv577 Жыл бұрын
Hahahaaaaa hatar san
@doriceemmanuel1398 Жыл бұрын
Furaha ya mtu mmoja kilio kea mamia haina maana
@ronniebertin356311 ай бұрын
Naskia alam au kengele ikimaanisha over speed ndo maana watu wanakufa kama nzi
@AlexBoniphaceKamomole2 ай бұрын
Kwa.namna hoi ajali zakufikia.
@temuramadhani51342 ай бұрын
Isabuni madirisha mwisho wa sku ni kilio
@musampanda36439 ай бұрын
Uyo golden deer ni kenge kbs anataka kuua watu sauli ana akili sana kamuachia tu
@christinalawrence749310 ай бұрын
Yan gari inakimbia mpk inapiga alarm
@nasibumuya4504Ай бұрын
nawewe pia upo kwenye mbio usimsifu mkimbiaj jisifu na ww unambio😂😂😂
@uwezawamungumkuu.amaniafrika26 күн бұрын
Hawa sbiria akili awana kabisa..wanashabikia kifo.
@samirsaidi8386 Жыл бұрын
Scania izoo mzee kifua cha mwanaume chuma zina panda chuma zinashuka hatar sana
@nzinotv57711 ай бұрын
Motomotooo
@georgenewa3458 Жыл бұрын
Hizo climber zina power ya pekee sauli lazima afeli
@salamsabdullah-st9pt4 ай бұрын
Hivi wachina wanajuwa biashara Yao ya kichina
@joshuamwambene28745 ай бұрын
Jamani jamani acheni hizo
@ElishaSolomoni-kc4zk11 ай бұрын
Kiberti kimewaka chenyewe bampa 2 bampa
@nzinotv57711 ай бұрын
Hatar sana
@SamwelSimion-l5gАй бұрын
Game la nyoka hilo
@KaizaMfuse6 ай бұрын
Mamaeee
@mrvixtz9 ай бұрын
Yakipinduka mkivunja miguu ndo mtapata akili.
@devisshirima678010 ай бұрын
Mna bet na roho za watu asee !!
@nzinotv5772 жыл бұрын
Itakuwa kamuonea huruma tu
@albanbros72105 ай бұрын
Mbele kulikuwa na gari za serikali zinakuja.
@temuramadhani51342 ай бұрын
Nyie wote machizi
@salamsabdullah-st9pt6 ай бұрын
1234waaa
@speciozakaloli5 ай бұрын
Utadhani wamebeba midoli
@fredsonleonard99632 жыл бұрын
Ligi pendwa
@nzinotv5772 жыл бұрын
Apo abilia wanajisikia Raha wafike mapema
@salamsabdullah-st9pt4 ай бұрын
Chenzea mchina ww
@yasinitwalika1565 Жыл бұрын
ikitokea ajali je
@salamsabdullah-st9pt4 ай бұрын
1234waahaaaaaaaaaa
@AwaziRajab10 ай бұрын
Kuanzia Mabasi Ayo Mpaka Nyinyi Mliochukua Video Wote Mwendo Wenu Uko Inje Ya Shelia Za Balabala Kuanzia Mabasi Mpaka Nyinyi Mliorekodi Wenye Gali Ndogo Nyote Wavunjifu Wa Shelia Wote Mwendo Wenu Kasi
@faustinluambano29586 ай бұрын
Huo mlio ni wa speed limiter imefika 80km/hr
@habibnjowele7751 Жыл бұрын
Upuuzi
@farajakwilasa4715 ай бұрын
Raha ya basi imwage moto
@bakarimohamedi58142 жыл бұрын
Ulevi wa wanazi huu🤣🤣
@nzinotv5772 жыл бұрын
Apo deleva aelew...
@ibrahimubless3831 Жыл бұрын
Wanaziii tujuane
@nasibugunda79272 жыл бұрын
Hiyo Benz wanaionea sana
@nzinotv5772 жыл бұрын
Hatar
@temuramadhani5134 Жыл бұрын
Kumbe mnabeti
@saidmohammedlichenjele69632 жыл бұрын
Yani mpaka alamu inalia bado mwendo watu wanakaa kimyaaaa na upumbavu wao
@nzinotv5772 жыл бұрын
Wanajisikia Raha wenyewe
@AbuumjAbdallah-wv2ny Жыл бұрын
Ukute we hujawah panda gar ya mkoa we Ila Kama ungekuwa humo sidhan Kama ungeweza hata panua domo hilo
@nashonkabeja71322 жыл бұрын
Hivi Hawa asikali wa usalama barabarani wanafanya nn mpaka ajali itokee ndipo wajifanye wanathibiti madereva wa mabas I hawana akili kuannzia matajili wao
@kennethedward69922 жыл бұрын
Kwani hapo kuna shida gani kuna mwendo gani hapo spidi 80 kawaida
@emilianchibinda822 жыл бұрын
Watu kama hawa kuna haja ya uchunguzi? Tatizo la abiria hadi waumie ndio wajue chanzo cha ajali
@mosesmzakwe77742 жыл бұрын
Duuuuuuuu
@nzinotv5772 жыл бұрын
N hatar sana
@temuramadhani5134 Жыл бұрын
Watanzani bado wajinga likitokea ndio wanassema wkiwa moi
@lungusii2 жыл бұрын
Huuu ndo ushenzi wa madereva wa Tanzania hapo ni ujinga mtupu.. Na hawa wanao chukua video alarm ya safe belt ina piga alarm kwa usalama wake wala Hana Habari na huyo anaenchukulia video ana fanya ujinga tena mkubwa.
@nzinotv5772 жыл бұрын
Hahahaaaaa
@papaamponda3972 жыл бұрын
Na wwe hujui kitu,coz hiyo alarm sio ya safe belt...usikariri jifunze uelewe!
@Joseph-lu4yj2 жыл бұрын
@@papaamponda397 ukute ata bus la mikoani hajawahi panda
@abdallahbakari69472 жыл бұрын
Speed > 80 alarm 😁😁😁
@AbuumjAbdallah-wv2ny Жыл бұрын
Ungekuwemo we humo ndan ungefanya nn..? Unaandka tu wakat hata ww ukiwa unasafir huwa unakaa kimyaa