USIPOHAMA ULIPOZALIWA HUPATI MAENDELEO ..SHEKH OTHMAN KHAMIS

  Рет қаралды 138,507

Saimu gwao Online tv

Saimu gwao Online tv

Күн бұрын

Пікірлер: 193
@benhorta5121
@benhorta5121 4 жыл бұрын
Mm ni mkristo lakini... Somo nzuri sana limenitia nguvu sana Kwanini nife mnyonge eneo nililozaliwa lazima niame na kwa uwezo wa Mungu litafanikiwa ...Nitarudi siku moja hapa kuja kuweka shuhuda yangu pale jambo hili la kuhama litakapo fanikiwa
@neamusic2601
@neamusic2601 2 жыл бұрын
Ubarikiwe broh
@user-ei3ps8dw8h
@user-ei3ps8dw8h 3 ай бұрын
Mungu akupe njia haki amin
@kingofshorts6824
@kingofshorts6824 Жыл бұрын
Nimekuja kufungukiwa kimaisha Alhamdulilah baada ya kuhama sheikh shukran Allah akujaze kheri nyingi
@deborakomba947
@deborakomba947 4 жыл бұрын
Shehe asante sana mi mkiristu lkn hapo kwenye kuhama ni kweli ukitaka maendeleo toka nje ya eneo lako ulikozaliwa na kukulia
@saidmbanga2867
@saidmbanga2867 4 жыл бұрын
Debora Komba Hii ndo dini ya kweli.
@Rolemodel_wa_taifa
@Rolemodel_wa_taifa 4 жыл бұрын
Debora Komba InshaAllah Mungu akufanyie wepesi uweze kuingia katika Uislamu
@user-ih8yq8dp4z
@user-ih8yq8dp4z 4 жыл бұрын
Kweli shekhe wetu
@mwakahassan8742
@mwakahassan8742 4 жыл бұрын
@@Rolemodel_wa_taifa IN shaa Allah
@mwakahassan8742
@mwakahassan8742 4 жыл бұрын
@@saidmbanga2867 IN shaa Allah ipo cku atakuwa mwezetu
@emmanuelmajele5784
@emmanuelmajele5784 4 жыл бұрын
Yeni mm mkristo lla nimekuelewa sana jinsi yakuama Mungu Akulinde
@zamabuu7707
@zamabuu7707 4 жыл бұрын
Shukran
@dktabbaimran2002
@dktabbaimran2002 3 жыл бұрын
Karibu kwa dini ya haki
@user-ei3ps8dw8h
@user-ei3ps8dw8h 3 ай бұрын
Mungu akujalia na akupe njia haki
@iddramadhani2715
@iddramadhani2715 4 жыл бұрын
MaashaAllah mawaidha mazuri, na kuhama faida yake sio kufanikiwa kimali tu bali na fikra zinahama na kujifunza mengi, ndio maana ya wahenga wakasema tembea uone.
@mbaga82
@mbaga82 4 жыл бұрын
Sheikh ni kweli kabisa hili Nimehama kwenye nyumba moja hivi hata wiki moja haikuisha nikapata nafasi kazini. Nilikuwa na kiwanja nikaanza ujenzi Alhamdullah nilimaliza na ujenzi
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
wiki moja umejenga ww noma
@dktabbaimran2002
@dktabbaimran2002 3 жыл бұрын
Masha Allah
@saidnasor2317
@saidnasor2317 4 жыл бұрын
Assalaam alaykum, shekh upo vizuri na umelipa nguvu wazo langu, mimi sehemu ninayoishi nimepata mtihani wa maisha, nikapata wazo la kuhama kuna walionipinga lakini kwa mada hii nahama shekh.
@HassanHassan-sn5cj
@HassanHassan-sn5cj 4 жыл бұрын
Usitafutie nyumbani sheikh ni mtihani. Natamani nikuone nikupe nguvu kwenye swala zima la hijra au kuhama.!! Safar njema na Allah akufungulie!!!
@user-sk5qd8wt1m
@user-sk5qd8wt1m 4 жыл бұрын
@@HassanHassan-sn5cj mmmm
@user-sk5qd8wt1m
@user-sk5qd8wt1m 4 жыл бұрын
Maa shaAllah sheikh
@saidnasor2317
@saidnasor2317 4 жыл бұрын
@@HassanHassan-sn5cj aamin, Allaah atufanyie wepesi Inshaallaah.
@mrusangitz607
@mrusangitz607 4 жыл бұрын
Kweli
@aminajuma1435
@aminajuma1435 4 жыл бұрын
Maashaallah Nimekuelewa maalim... hata katika Qur'an ALLAH ametuambia "ametuumba mataifa na makabila tofauti tofauti ili tupate kujuana hakika aliem'bora niyule amchae mwenyezimungu." Sasa ikiwa mtakaatu sehemumoja bila kuhama mtajuana vipi. Shukran shekh .
@mussaismailbadawy2686
@mussaismailbadawy2686 4 жыл бұрын
Allah akbar
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 4 жыл бұрын
Assalam alaikum, wale wote tuliohama tujuane kwa like ❤
@mansurahmed2176
@mansurahmed2176 4 жыл бұрын
Vipi faris salaam Allah alleykom Mimi kama hivyo uko wapi.
@abdallahmuttaq7306
@abdallahmuttaq7306 4 жыл бұрын
Mwalimu uthmaani hii hta mimi niliiona niliishi sana Tanga lkni kiukweli vijana walio hama kutoka tanga kuja dar walibadirika kiuchumi kiukweli hata mimi baada ya kupata fursa ya kuhama nimejaaliwa sasa nataka nianze kujenga chamazi insha'Allah na hukohuko tanga nipo kwenye kumalizia kununua kiwanj, shekhe usipo hama kiukweli hata ubongo wako unakuwa na fikra mgando.جزاك الله خيرا
@fatmaswaleh7004
@fatmaswaleh7004 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@dktabbaimran2002
@dktabbaimran2002 3 жыл бұрын
Masha Allah
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 4 жыл бұрын
Daaah,nimekubali,nimehama maisha kabadilika namshukur Allah
@peterambrose2657
@peterambrose2657 4 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu xana shekhee mm ni mkristo nimekuelewa xana nimepata moyo
@japhetikongo453
@japhetikongo453 2 жыл бұрын
Mimi ni Mhanga wa kung’ang’ania Mahali nilikozaliwa . Hakika nimedidimia Sana Na Siwezi kujikwamua tena Maana umri umekwenda, Nimehamia Mkoa Mwingine nijaribu Kuiona tofauti ya Maisha ya Mwanzo Na Sasa.
@fatumababy1756
@fatumababy1756 4 жыл бұрын
Nimepiti baadhi ya comenti wanamkosoa shekhe na ndio tatizo letu sisi watanzania, shekhe kamaanisha ukikaa huo muda woote halafu huna maendeleo yoyote ya kidunia na akhera basi hama hiyo sehemu huenda kwa kufanya hivyo huko unakokwenda mungu ndiko alikokupangia wewe kupata mafanikio,, na Mimi naamini hilo
@hassanramadhan8978
@hassanramadhan8978 4 жыл бұрын
Swadakta
@mohamedmariano5699
@mohamedmariano5699 4 жыл бұрын
Mmh
@mwanaidishibe9275
@mwanaidishibe9275 4 жыл бұрын
Shekhe hayo maneno nikweli kabsaa nshayaona..yani mada zako uwanisafi sana na zinaeleweka...mashaallaah
@samsonezekiel970
@samsonezekiel970 4 жыл бұрын
Somo liko mzuri
@hamdanimohammed5220
@hamdanimohammed5220 4 жыл бұрын
Mashallah mufti asante sana kwaujumbe mzito kwakila mja amekuelewa vizuri kabisa
@harrishussein6992
@harrishussein6992 Жыл бұрын
Hata usipo fanikiwa lakin utakua umejifunza mambo mengi sana ukihama kama mimi hapa namshkr Allah nimehama nimejenga na kujenga mjini nanyumbani pia maana kwetu hakuna lakufanya zaidi ya kushinda vijiweni bora nilihama kweli kabisa maalim
@neemafatu7885
@neemafatu7885 4 жыл бұрын
Mashaallah sheikh wewe unaongea point sana
@tatuali1379
@tatuali1379 4 жыл бұрын
Shukrn shekhe
@abdulrazackkipingu5437
@abdulrazackkipingu5437 4 жыл бұрын
Inshaa Allah subhaanahu akuzidishie kila lilokua lakheri kwa elimu unayo tupatia
@bellbell9294
@bellbell9294 3 жыл бұрын
Shukraan Sana sheikh wetu uko sahihi kabisa sheikh kwa swala la kuhama Allah akuhifadhi sheikh wetu umetuzindua jazakallahu kher
@yussufkhamis6536
@yussufkhamis6536 2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuweke na akujaalie pepo iwe ndo makazi yako shekh Asante Kwa darsa
@salmahamis7415
@salmahamis7415 4 жыл бұрын
Sheikh kweli kabisa miepia nimehama niko omani kimaisha ni meamini usemayo
@rahmanakapi4071
@rahmanakapi4071 4 жыл бұрын
Shukrani nimeta da'awa inshaallah nitalifanyia kazi mana shekhe kanigusa
@nassorsalum8018
@nassorsalum8018 4 жыл бұрын
Usipo hama na ukipata maendeleo kuna tatizo
@halimayusufu6305
@halimayusufu6305 4 жыл бұрын
Mawaidha mazuri yarabi tujaalie mwisho mwema
@abdallahjambia6596
@abdallahjambia6596 4 жыл бұрын
Be blessed shekh
@fatmaameer5333
@fatmaameer5333 4 жыл бұрын
Mashallah shekhe ALLAH akuhifadhi ujumbe mzuri
@hussainomar1849
@hussainomar1849 4 жыл бұрын
سافر تجد عوضًا عمن تفارقه وانصب فإن لذيذ العيش في النصب.
@radhiambwana8787
@radhiambwana8787 4 жыл бұрын
Kweli kunamaeneo mengine usipo hama huwez endilea ndomana mungu akaona likukalia vby eneo unahamia kungine.
@ZuleikhaAbdallah
@ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын
سافر ففي الاسفار خمس فوائد. شكرا وجزاك الله خيرا
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 4 жыл бұрын
باراك الله فيكم وجزاك الله خير
@barkaabdallah2407
@barkaabdallah2407 4 жыл бұрын
MashaAllah jazakalahu kheri.Allah atupe wepesi katika mambo ya kheri
@ashazaharan1750
@ashazaharan1750 4 жыл бұрын
Masha Allah shukuran saana
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 4 жыл бұрын
Maashallah Allah akuweke sheikh
@alimzushi6626
@alimzushi6626 3 жыл бұрын
Swadakta kabisa sheikh wangu
@issamkondoa7183
@issamkondoa7183 4 жыл бұрын
Mada nzuri sana Allah akuhifadhi sheikh!
@ameenaoman7416
@ameenaoman7416 4 жыл бұрын
kwakweli asemayo ni hakika sasa hivi kariakoo yote inamilikiwa na wageni.
@saidimasimba9819
@saidimasimba9819 4 жыл бұрын
Jaman Allah atup wepes inshaallah
@mariamukajiru1898
@mariamukajiru1898 4 жыл бұрын
WALE WALIOGOMA KUHAMA NYUMBANI NA KUZEEKEA KWAO POVU LINAWATOKA.
@ZuleikhaAbdallah
@ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын
Sana
@Boyz2nabii
@Boyz2nabii 4 жыл бұрын
Nabii akubariki kwao
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
maashaallah Alhamdullillah
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 4 жыл бұрын
Masha Allah
@salimusaid7309
@salimusaid7309 4 жыл бұрын
Alhamdulillah
@SaidSaid-v9q
@SaidSaid-v9q 24 күн бұрын
Shehe hamujamfahamu ikiwa maisha yko magumu upo sehemu hiyo hiyo ndio uhame.
@mwanakombaabbas93
@mwanakombaabbas93 4 жыл бұрын
Swadakta kabisa shekh wetu jazakallah kheir
@mussashabaan1219
@mussashabaan1219 4 жыл бұрын
Masha Allah shekh khamis Allah akuhifadhi, ameen.
@fahadfahmy
@fahadfahmy 4 жыл бұрын
Uisilamu ndio dini ya haki.
@hajimgwami5224
@hajimgwami5224 4 жыл бұрын
Namkubari sana huyu Sheikh, Allah amuweke insha Allah
@mzammirchanneltv7390
@mzammirchanneltv7390 4 жыл бұрын
nam shekh Allah akulipe
@lucialibaba202
@lucialibaba202 4 жыл бұрын
Do Do mile nimekubali maneno yako kuhama kumenipa utajir kila nlipohamia nmejenga asante she he
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 4 жыл бұрын
MashaAllah!
@inabikorwaneema8815
@inabikorwaneema8815 4 жыл бұрын
Barak'Allahu fiiQ
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 4 жыл бұрын
Allah akulipe pepo
@twariqanairobi5897
@twariqanairobi5897 4 жыл бұрын
UKWELI MTUPU .MASHAALLAH
@laylasuliman5805
@laylasuliman5805 4 жыл бұрын
Mashaa-Allah shukrani jazeela napendaga kumsikiliza huyu shekhe
@salmahamis7415
@salmahamis7415 4 жыл бұрын
Shehe kweli kabisa maneno yako
@ameenaameena5727
@ameenaameena5727 4 жыл бұрын
Shukran shekh una mistari mashaalah
@fatumaramadhanmashaallahal9966
@fatumaramadhanmashaallahal9966 4 жыл бұрын
Kweli kabisa shehe wetu shukran wajazaka llahu heri
@rashid.mwenyezimunguakurin2968
@rashid.mwenyezimunguakurin2968 4 жыл бұрын
mawaidha mazuri sana
@kazungucharo2413
@kazungucharo2413 4 жыл бұрын
Swadakta sheikh maneno ya kweli kabisa. Yassin Kakiyo
@amissesefu445
@amissesefu445 4 жыл бұрын
Mm shekh mguu wa kutoka mtume kauombea mm nyumban nilipigaka kinoma lkn tokea niondoke nashkur maisha yang kidog afuen
@dirayaduniageneralviews312
@dirayaduniageneralviews312 4 жыл бұрын
Mashekh wengi wanapenda raha tu vijijini wanapakwepa sana unakuta msikiti mmoja mashekh kumi hapo ni mjini
@qariikhamisiqarii5920
@qariikhamisiqarii5920 4 жыл бұрын
Na wewe pia uhame uta ongeza akili
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 жыл бұрын
Shukran shekhe, Ni kweli kuhama sehemu moja kwenda sehemu nyingine ni dawa!
@hussenahmed4284
@hussenahmed4284 4 жыл бұрын
Kwli kbsa sheikh MUNGU akuweke na akulipe kila la kheir.
@aishaaisha1495
@aishaaisha1495 4 жыл бұрын
Mashallah Shekhe uko vzl Sana kielim na kutuelimisha
@shufaahamza9926
@shufaahamza9926 2 жыл бұрын
Nikweli hata maendelo ya mji huwa yanaletwa na wageni maan ht ukifanya kz huwa hawakuungi mkono zaidi yakukuombeya ushindwe
@adenaden338
@adenaden338 4 жыл бұрын
Msha alah sheq Osman
@Mchomeke
@Mchomeke 5 ай бұрын
Umenipa muamko sheh wng
@mwanakombaabbas93
@mwanakombaabbas93 4 жыл бұрын
Maneno ya kweli kabisa
@dktabbaimran2002
@dktabbaimran2002 3 жыл бұрын
Nimepata hidaya kutoka kwako Shekhe langu
@issamussa9726
@issamussa9726 4 жыл бұрын
Aya hiyo inahusu watu waliokuwa waisilam kisha kwa kuzidiwa nguvu na makafiri watu wale wakarudi kwenye ukafiri tena. Ndio muda wanapokufa huulizwa na malaika sababu ya kufa makafiri nao hujibu Tulikuwa wanyonge tukazidiwa nguvu na makafiri wakaturudisha kwenye ukafiri. Ndio huulizwa ni kwa nini hamkuhama hapo mlipozidiwa nguvu mkaenda mahala pengine ambapo huko mngepata utulivu na ardhi ya Mungu ni pana!? Hii ndio hoja ya aya hiyo sio kuwa ni lazima mtu ahame mahala pa asili yake ndio afanikiwe. Hizo ni katika tawaaqui za kimaarifat kwa sababu huwezi kusema leo kuwa mtoto wa bakhresa asipoondoka alipozaliwa na kwenda kuishi kwingine atakuwa hana maendeleo!!
@Zinjibartvzanzibar
@Zinjibartvzanzibar 4 жыл бұрын
DAH : HUU NDO UBAYA WA CHUKI kzbin.info/www/bejne/bamQdYOan5WUsNU
@nurdinathumani3989
@nurdinathumani3989 4 жыл бұрын
Hujamuelewa shekh
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 4 жыл бұрын
Huyo anaelezea faida za hijra ila kuhusu ile aya makusudio ni wale wanaorejea ktk ukafiri baada ya kuzidiwa na makafiri ndio wataulizwa kwani ardhi ya Allah ni wasaa .ila hijra ina faida sana sana
@asphathbashiru2052
@asphathbashiru2052 4 жыл бұрын
Shekhe yupo sahih mada IPO wide hyo ktk maisha yko yte migration ni KTU cha msing, ww unasemea kipengele kmoja tu
@kalikalisalehe3701
@kalikalisalehe3701 4 жыл бұрын
Naam but aya makusudio ni hivii na si alivyosema Sheikh lkn hijra ina depend na mtu mwenyewe hali alokua nayo
@salmaanhemed2665
@salmaanhemed2665 4 жыл бұрын
iwapo sehemu unayo ishi hupati kufanya ibada kutokana naukafiri ulipo..
@sharifarajabu7255
@sharifarajabu7255 4 жыл бұрын
Shukurn sana na mimi nitahama umesema kweli kabisa
@faizahamim9935
@faizahamim9935 4 жыл бұрын
Naam sheikh naku kubali kabisa yani umeongeya kweli kabisa
@hamisiramadhan104
@hamisiramadhan104 4 жыл бұрын
MashaAllah
@nassororajabu5873
@nassororajabu5873 4 жыл бұрын
Inshaallah
@fatmamohammedali4306
@fatmamohammedali4306 4 жыл бұрын
Ndio maana sisi Wapemba tunafanikiwa kumbe ukenda Marekani utamkuta London yupo China hakosekani Dubai ndo usiseme Tunduru yupo Mtwara Moshi Arusha shikamoo mpemba
@sabunisop1050
@sabunisop1050 4 жыл бұрын
Uko sawa sheh
@aishaomar4318
@aishaomar4318 4 жыл бұрын
Kweli kabisa haswa kwa znz niwakarim na ndio io yakufanya kazi za bure mpaka kwa majiran
@abdullathabithemed9377
@abdullathabithemed9377 4 жыл бұрын
Duh
@ibnumarwaonlinetv4456
@ibnumarwaonlinetv4456 Жыл бұрын
Ukweli kabisa
@hassanjumabajwala1862
@hassanjumabajwala1862 4 жыл бұрын
Allah akulipe fact tupu
@anifauwizeyimana8468
@anifauwizeyimana8468 4 жыл бұрын
yani umeongelea point
@fatmaswaleh7004
@fatmaswaleh7004 4 жыл бұрын
Swadakta ni kweli kabisa wallahi nmeona hakika QURAN YA ALLAH IMEKAMILIKA
@muhammadahmedaliyyu3854
@muhammadahmedaliyyu3854 4 жыл бұрын
LA hawla wala quwata illah billah 😭😭😭🤢
@ndolimanaamani9106
@ndolimanaamani9106 4 жыл бұрын
Asante
@ndolimanaamani9106
@ndolimanaamani9106 4 жыл бұрын
38pp to up 08 up 7 ok 0u up 0l
@sheikhsaidonlinetv6045
@sheikhsaidonlinetv6045 4 жыл бұрын
Nakubali Sheikh mtu anasoma hapo anaolewa ama anaoa then anazekea tu hapo da!
@neamusic2601
@neamusic2601 2 жыл бұрын
Kweli kaka na anajukuu hapo maendeleo huwezi kuyapata.
@binlubawa8387
@binlubawa8387 3 жыл бұрын
11:40 Dunia inatembea pia sio jua peke yake linalotembea na kutembea kwa Dunia zipo aya katika Qur-an zimebainisha kutembea kwa Dunia, shekh soma vizuri Qur-an.
@athumanmohamed9155
@athumanmohamed9155 2 жыл бұрын
Allah akujaalie hekima
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 жыл бұрын
Kuhama maana yake ni kuonna, kufanya, kupanga pia ni kusoma mazingira mapya na kuona jinsi ya watu wengine wanavyoishi. Hakika kusafiri ni elimu lakini sina uhakika na usemi wa Sheikh kuwa utakuwa maskini kama hujaondoka kwenye maeneo yako.
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
mie naona kaongea kweli ukihama unapata hata ufumbuzi au akili nyingine nn cha kufanya mm kipindi niko kijijin maisha yalikua ya dhiki sana nikaja dar nikakaa miaka saba kwa sasa nipo oman nashukuru mungu nimebadilisha hata maisha yangu
@winfridamwamban1078
@winfridamwamban1078 4 жыл бұрын
Shekhe tunashukuru kwa muongozo
@faizasaid8262
@faizasaid8262 4 жыл бұрын
Mashallah shukuran
@muhidinali8180
@muhidinali8180 4 жыл бұрын
Jitahidimni msome tafsiri za wanachuoni ili utowe tafsiri sahihi Aya haizungumzii ulazima wa kuhama ulipozaliwa Bali inazungumzia waislam waliobakia maka hawakumfata mtume s a w kuhama maka kwenda madina
@rosemwinyi4925
@rosemwinyi4925 4 жыл бұрын
Muhidin Ali .....endelea kubaki hapo hapo ulipozaliwa maendeleo yko yatakuwaje ....halaf baadae ujiangalie tofaut kati ya awal na mara ya pili ...........akili yko uciigandisha kufaham kitu pekeee lazma uwe na (istim-batw) .....pia jitahd Kuwa na adabu ktk elimu yko ...akhui SHUKRAN fkir ndpo utende
@binausimohammed775
@binausimohammed775 4 жыл бұрын
Kwani aya zote katika kurani zilishushwa kwetu sisi? Asbaabi nuzuli ya aya zote zimeshuka wakati wa mtume
@kingbabumusictzkingbabumus6285
@kingbabumusictzkingbabumus6285 4 жыл бұрын
Qur_an Hai jawai kuexpire kwa kuwa Dunia ndo ile ile na mambo ndo Yale Yale
@abdulhamidkipweza5978
@abdulhamidkipweza5978 4 жыл бұрын
Mashaallaah endeleaa kujifunza uendelee kutufunza tusojuaa pia
@abubakarybodley3877
@abubakarybodley3877 4 жыл бұрын
Shehe umenilenga kabisa, abubakary a.n.bodley.mola akulipe.
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 жыл бұрын
😃😃😃nimecheka wallah
@awenanassor3169
@awenanassor3169 4 жыл бұрын
naam bila ya kukosea
@asilclub
@asilclub 3 жыл бұрын
سيروا في الأرض
@wolfugangtesha5724
@wolfugangtesha5724 4 жыл бұрын
Naked truth
@kassimali1943
@kassimali1943 4 жыл бұрын
Mimi kunamtu ariniambia maneno hayo hunapozariwa ukiishi apo huenderei kipato
@saidimrisho883
@saidimrisho883 4 жыл бұрын
Kama umemuelewa SHEKH ingia ktk uislamu usiogope watu
@ezekielshija9251
@ezekielshija9251 4 жыл бұрын
Nimemuelewa sheikh lakini hajatuambia tuache ukristo.
@MctMct-tt4rq
@MctMct-tt4rq 3 жыл бұрын
👏👏👏
@rashidihassani3170
@rashidihassani3170 2 жыл бұрын
Vp
@editrudesmbonde9051
@editrudesmbonde9051 3 жыл бұрын
Nipo nilipozaliwa sijahama,na nina maendeleo Shekh,kwa hapo kidogo umekosea.
@hamzaswaibu9470
@hamzaswaibu9470 2 жыл бұрын
Ndugu hujamuelewa vizuri
@editrudesmbonde9051
@editrudesmbonde9051 2 жыл бұрын
@@hamzaswaibu9470 Wewe si umeelewa?inatosha tu hata ukielewa wewe tu ni Cool😎👍
@kamarimtangi9814
@kamarimtangi9814 3 жыл бұрын
Audio
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 2 жыл бұрын
MAWAIDHA NI MAZURI SANA BALI KAWAIDA YETU TUTAKUTUHUMU KUA UNANIA YA KUWATOA WENYEJI MSIKITINI UBAKI WEWE !
@estamelejomah572
@estamelejomah572 4 жыл бұрын
Ishaallah
@mbaroukabdalla3967
@mbaroukabdalla3967 4 жыл бұрын
Baaraka Allah fyk
@yusufathman2478
@yusufathman2478 3 жыл бұрын
Q 4:97-100
@yusufathman2478
@yusufathman2478 3 жыл бұрын
Tupe tafsir ya ibn taymiya kuhusu aya hizo sheikh..maneno matamu lakini kwa quran umejalizia maneno yako
MJUE MKWE WA MTUME SAW ABUBAKAR SIDIQ SH OTHMAN KHAMIS
26:11
Saimu gwao Online tv
Рет қаралды 16 М.
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 5 МЛН
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 25 МЛН
NYAKATI NANE ZA KUJIBIWA DUA HARAKA SANA ..OTHMAN KHAMIS  ..no 1
24:15
Saimu gwao Online tv
Рет қаралды 170 М.
WACHUNGUZE MAHASIDI WAKO TABIA HIZI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
55:59
arkas online tv
Рет қаралды 49 М.
Usifanye Mambo Haya Mazishini Sio Kazi Yako  - Sheikh Othman Khamis
28:50
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 83 М.
ZIJUE ADABU KUMI NA MBILI ZA KUOMBA DUA ..OTHMAN KHAMIS ..ramadhan darasa
18:35
ILI KUFAULU MAMBO YAKO UYAFANYE KUA SIRI // SHEIH OTHMAN MAALIM
43:30
arkas online tv
Рет қаралды 14 М.
KISA CHA KIPOFU NA MGONJWA - SHEIKH ALLY Abdallah MPENDU
21:40
Maradhi ya Moyo na tiba yake. Sh. Othman Hamisi.
36:45
OBA Online tv
Рет қаралды 9 М.
WALLAH UKISOMA DUA HII TATIZO LOLOTE LITAKUTOKA ..OTHMAN KHAMIS ramadhsn ya 16
14:19