USIYOYAJUA KWA WANAOIZUNGUKA TANZANIA NZIMA KWA MGUU "HATUVUNJI SHERIA YA NCHI"

  Рет қаралды 22,223

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 129
@ivangeorge1578
@ivangeorge1578 2 жыл бұрын
Mnapoteza MDA mkizeeka mtakuwa hoi Sana tembea bila kujiengeneza maisha yako
@amosjuma4536
@amosjuma4536 2 жыл бұрын
Ukisema ivo unakosea kwasababu sio wonte Nimatajili umemanisha wanapoteza Munda kutafuta maisha ety wanatembea naomba uteguwe kauli
@africankidsnegebumamlemale9176
@africankidsnegebumamlemale9176 2 жыл бұрын
Njaa sio nzuri
@rafikiwildlife4263
@rafikiwildlife4263 2 жыл бұрын
Hongereni sana, inawezekana leo watu baadhi wasiwaelewe ila ipo siku watawakumbuka. Hakika ninyi ni wazalendo. Ni dua yangu mbele za Mungu aliye hai awatunze na kuwafanikisha katika malengo yenu kwa Taifa la TZ. Mungu ibariki TZ na Mungu wabariki watu wako hawa.
@alexsalum7824
@alexsalum7824 2 жыл бұрын
Ongereni na pongezi nyingi sana kwenu kwa wachache ni ngumu kuwaelewa kwa kile mnachofanya lkn kwa kina maana kubwa sana maana hkn serekali yoyote Duniani itakayofanya mipango yake ya maendeleo pasipo kujua idadi ya wananchi wake,M/MUNGU awasimamie........Amina.
@songweairport7602
@songweairport7602 2 жыл бұрын
SUPER MTANGAZAJI,SIMPLE AND SHORT QUATIONS.... HONGERA
@surusuru1994
@surusuru1994 Жыл бұрын
Mashaallah nguvu moja💪🔥🔥🔥🔥
@chiefchacha2992
@chiefchacha2992 2 жыл бұрын
Kwa mabango hayo, lazima serikali iwape fungu la maana na huwenda wakawa mabalozi wa sensa na chanjo ya uviko- 19
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 жыл бұрын
Heee njaa hizi lazma tuseme nazo jmn
@hadiaali5517
@hadiaali5517 2 жыл бұрын
Safi sana mungu awabariki mbona hujamhoji dd
@rehemaa597
@rehemaa597 2 жыл бұрын
Hasa dude lenyewe mmetengeneza naona kama ni zito mnatumia nguvu mtamaliza mikoa yotee kweli
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 2 жыл бұрын
Nchi yenye wapuuzi watupu wanasahau majukum yao wakiwa vijana
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Oooh allah hakika kila penye mwanzo pana mwisho hara wanadamu wafanyaje kama riziki ni ya mtu itabaki kuwa yake tu
@allytv1714
@allytv1714 2 жыл бұрын
Mimi naweza kujiita mzalendo pale naisema serikali iliopo madarakani ikikosea na ikipatia kuipongeza lakini nchi yetu daima vyombo vya habari na wasani wanapongeza serikali iliyopo madarakani at kama inakosea ety kisa wapate kula na kusifiwa wapo pamoja huo ni unafki sema ukweli ukuweke huru
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 2 жыл бұрын
Hakika we jembe nimebkukubali 🙏🙏🙏💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 2 жыл бұрын
Dada atafikia labor moja kwa moja ili azae tu ....dada mwenyewe kanuna kama kala ukwaju
@HelbethMlelwa
@HelbethMlelwa Жыл бұрын
Hapo hakuna kazi. Hapo ni ngoswe, penzi kituvo cha uzembe. Hakuna chochote kitakachotokea hapo.
@adamambangile7819
@adamambangile7819 2 жыл бұрын
Huyo Dada kanuna au kachoka?
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Anajikaza tuu
@luckygmdegela8477
@luckygmdegela8477 2 жыл бұрын
Hii Ni Sanaa
@mohamedalirachidi380
@mohamedalirachidi380 2 жыл бұрын
HAO HATEMBEI KWA MIGUU NCHI NZIMA WASITUDANGANYE
@uthmanmaluja7005
@uthmanmaluja7005 7 ай бұрын
Acheni kudanganya watu hakuna uzalendo wa kipuuzi Kama huo kwanza kutembea nchi nzima ni uongo na kutembea mme na mke sio mke wako inakuaje na Kwa Nini msitafute shamba shamba mkalime.
@timamusulemani7306
@timamusulemani7306 2 жыл бұрын
Awana kz yakufanya Bangi mbaya sana
@rashidyally8715
@rashidyally8715 Жыл бұрын
😄😄😄😄 mtakuja kuvimba miguu ukienda hospitali ndio mtajua kua hii nchi ngumu
@zihinjishinifa7573
@zihinjishinifa7573 Жыл бұрын
Kwanza nicheke mie😅😅😅😅
@lanlady2504
@lanlady2504 2 жыл бұрын
Kuna kila sababu ya kutoa elimu kuhusu UZALENDO. Uzalendo sio kujitesa! Uzalendo sio kubeba mabango au kutembea kwa miguu, baiskeli nk. UZALENDO ni dhana pana sana.
@menikojohn2782
@menikojohn2782 2 ай бұрын
Mpaka mmalize hiyo safari huyo Dada atakuwa tayali ana mimba ya miezi mitatu, jiandae kutoa mahali kabisa.
@elibarikikivuyo5946
@elibarikikivuyo5946 2 жыл бұрын
Madhara ya kutoajiri kwa mda mrefu ndo haya matokeo
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 жыл бұрын
huko maporini ngoja mkutane na MAJAMBAZI muuwawe, mna dhalilisha wasukuma
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 жыл бұрын
Hamna kaz mbwa nyinyi kalimeni mnajitesa tu hafu hamaambulii kitu shika jembe kalime
@manchalijob9600
@manchalijob9600 2 жыл бұрын
Vichaa nyinyi madishi yanayumba
@adamhashim3352
@adamhashim3352 2 жыл бұрын
We unafikiri mda wanaozunguka wanakula nn? Na wanafaidika nn wanatuongopea ni mchongo huo
@evancymassawekenya7521
@evancymassawekenya7521 2 жыл бұрын
Serikali nayo imelala unaangalia watu vitu azina Kochwa kwani technology yenu mpaka Leo iko Nyuma hivyo nashangaa hawa watu tangazeni Kwa station za radio Na runingaa,mtaamka lini lakini Aki acheni hizo
@theprovitionofnature9188
@theprovitionofnature9188 2 жыл бұрын
Hapo sawa
@bashiruhassani1017
@bashiruhassani1017 2 жыл бұрын
Wako vzr
@saidasanga3233
@saidasanga3233 Жыл бұрын
Tatzo sio uzalendo bali vjana wamekosa Kaz za kufanya mngekuwa nakaz za kufanya msinge pata mda wakuzunguka hvyo vijana tufanye Kaz kwa bidii tusipende kutegemea mafungu bro
@annrobin9291
@annrobin9291 2 жыл бұрын
Washezi hawa hawanakazii 😏😏
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Жыл бұрын
Safi sana kila kitu kinawezekana
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Hatakama iwekwe kipingamizi namna gani itarudi kuwa haki tu
@shaameshaame9721
@shaameshaame9721 Жыл бұрын
Mtafia njiani, watu wanakula hela nyie mnajitesa tu
@KaskasTHEfinderCLIP
@KaskasTHEfinderCLIP 2 жыл бұрын
Daaaa
@calvinmramba8087
@calvinmramba8087 2 жыл бұрын
Hawana kazi hawa
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 2 жыл бұрын
Kwa mwendo huo ni miaka5
@azizymachadeson3577
@azizymachadeson3577 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Eti wanatembea kwa Miguu nchi nzima hahhahaahhaaaaaaa Ni nchi ipi iyo ! Tanzania imekua uwanja wa mpira nini ! Pelekeni ujinga wenu uko Na wapongeza kwa uzalendo ila pelekeni ujinga wenu kwa kunidanganya eti Tanzania nzima kwa miguu Nyoooooooooooooooooooooo
@mkushiandikayakoachananaya7944
@mkushiandikayakoachananaya7944 2 жыл бұрын
Akili wameishiwa hao!
@amourmunga8356
@amourmunga8356 2 жыл бұрын
mnatumalizia bandoo milard
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 жыл бұрын
Mmekosa kazi
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Mmhhj,🤣🤣ety kwa mguuu. C wangebaki vipara kama tairi za gari... wazarendo wa michongo haoooo
@aishambondo8923
@aishambondo8923 2 жыл бұрын
Mnalala wapi
@adamrenatus4235
@adamrenatus4235 2 жыл бұрын
Waongo
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 Жыл бұрын
basi ndyo maana hauchoki, mnalala wapi mkichoka 😂
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 жыл бұрын
Wamefika wapi Hadi sasa jamani 🤣
@jafarimruke9111
@jafarimruke9111 Жыл бұрын
Si wakachunge ng'ombe jaman🤣🤣🤣 desi shaur yako
@kauyegeorge3335
@kauyegeorge3335 2 жыл бұрын
Hawawezi tembea kw mguu nchi nzima
@jumannerajabu6324
@jumannerajabu6324 2 жыл бұрын
wanatafuta rawama2 ili bdae waseme serikari haitujali haitupi chochote kwani mlitumwa
@mariasalumu474
@mariasalumu474 2 жыл бұрын
Mmmmmmh mimi huo uzalendo sina kwakweli
@neemalema5312
@neemalema5312 2 жыл бұрын
Jamani hivi vitu si vinatangazwa kwenye vyombo vya Habari huu muda si mngefanya kazi km kweli ni wazalendo 😒
@silverytesha6788
@silverytesha6788 2 жыл бұрын
Wastage of time uzalendo ni maisha sio tukio
@mkushiandikayakoachananaya7944
@mkushiandikayakoachananaya7944 2 жыл бұрын
Njaa tu Dada yangu!
@suzanfelix7703
@suzanfelix7703 2 жыл бұрын
Kwaiyo wapo mtu na mke wake 😂 wajanja Sana hawa
@johnsontarimo8383
@johnsontarimo8383 Жыл бұрын
Hahahaha 😆🤣🤣
@hagarbills4023
@hagarbills4023 2 жыл бұрын
Kazi zenyewe akuna hichi ndio tulicho kiacha ni kubeba mabango ndio tumekiacha
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 2 жыл бұрын
Hawana kazi ya kufanya wanakula nini wanalipwaje hawana family😂😂😂😂
@HelbethMlelwa
@HelbethMlelwa Жыл бұрын
Bangiiiii
@rehemaa597
@rehemaa597 2 жыл бұрын
Kuchanja ndio mkome kabisaa tangazani mengine
@mustafaalli4698
@mustafaalli4698 2 жыл бұрын
Kutembea wa mguu nchi mzima unafikir ni utani musitufanye sio mabwege,tena kwa mwendo huo..😳
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
😂
@johnsontarimo8383
@johnsontarimo8383 Жыл бұрын
Na sutii
@KaskasTHEfinderCLIP
@KaskasTHEfinderCLIP 2 жыл бұрын
Daaaa sio poa
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 2 жыл бұрын
Kubwa tuu mtt wa watu asije akabebea mimba brbrni hiyo safari itakuwa ngumu sana
@salomeyuvenali3700
@salomeyuvenali3700 Жыл бұрын
Uzalendo gani nawakati sisi teali ni Mali ya mzungu mzalendo alikua Nyerere na maguli hakuna tenaa.
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 жыл бұрын
mafala hawa yani wamekosa kazi kwa kweli
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 2 жыл бұрын
Hahahaaaa kule raisi alisema awape zawadi eti kanga karamu na tisheti hahaaaa
@jacobjoel3804
@jacobjoel3804 Жыл бұрын
Hao waache umbea hawatopata kitu chochote wanajichosha tu kutembea waache ujinga warudi wakafanye kazi hatuna cofid hap
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Жыл бұрын
Hakika nyinyi ni wazalendo wa kweli
@anahna6788
@anahna6788 2 жыл бұрын
Duu nimejikuta nacheka tu kwa sauti Mmeshakuwa wapenzi Sasa kutembea kite huko Mnakula kwenye vichaka Yale mambo yetu
@collinmhema5443
@collinmhema5443 2 жыл бұрын
Mpaka unamalizia hiyo safar nadhan tutapata na kachanga
@josephinelyimo2467
@josephinelyimo2467 2 жыл бұрын
Vijana nendeni shambani Mkajiajiri kwenye kilimo Naamini kwa Tanzania hii huwezi kukosa kabisa eneo la kulima Naamini kinachowasumbua Ni ukosefu wa ajira na njaa Na si uzalendo !
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
😂😂kweli hawana kz
@alexbenedict5378
@alexbenedict5378 2 жыл бұрын
Duh
@saididodi3988
@saididodi3988 2 жыл бұрын
Kazi mnayo
@allytv1714
@allytv1714 2 жыл бұрын
Mh by foot huo siyo uzalendo ni matumizi mabaya ya muda na icho ndo kinatumiza watu weusi me ningewaona wazalendo kama mngeisemea serika ukweli pale wanapo kosea na pale wanapopatia kuwapongeza acheni kupoteza mda mwisho mtapata maradhi muanze kuomba msaada wa kurejea mlipotoka
@nardhismhagama6266
@nardhismhagama6266 Жыл бұрын
Mkamwambie mwiguru
@aishambondo8923
@aishambondo8923 2 жыл бұрын
Niwashaurii mpige pichaa na mikoa. Yote muweze kushut na kutoa move ya history
@hemedchuma9603
@hemedchuma9603 Жыл бұрын
Ww unampango wako na uyo dem
@evaristimramba9047
@evaristimramba9047 2 жыл бұрын
Kutembea dar nzima muhimbil utapumua kidg
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
Mhhhhhh
@mwanahawarajabu9253
@mwanahawarajabu9253 2 жыл бұрын
LENGO kikuamsha hamasatu kwa vijana kuipenda nchi yao
@chiefchacha2992
@chiefchacha2992 2 жыл бұрын
Alafu mbona host kawa mmbaguzi jamni... Hajamuhoji dada mbona ama me ndo sijaelewa?
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Bongo kwa kutafuta umaarufu na mwishowe jitu kitakwenda kimya barabarani
@veronikamkuwele9072
@veronikamkuwele9072 2 жыл бұрын
Upuuzi huo
@sofiyabakari9730
@sofiyabakari9730 Жыл бұрын
Pesa za matumiz mnatoa wap Kula kunywa na n k
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 жыл бұрын
Wanatfta kiki awa kw mama Samia ili wagange njaa
@nemesjosephat5612
@nemesjosephat5612 2 жыл бұрын
Niliwaona na mlikuwa nao na sio mmekitana
@noelmmari8570
@noelmmari8570 2 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄 wamechanja wakachanganyikiwa😁😁😁😁🤒🤒🤒
@FakihiNapunda
@FakihiNapunda 2 жыл бұрын
Dah
@patrickmsekwa7773
@patrickmsekwa7773 2 жыл бұрын
Kwa hiyo na hapo bado unaota?
@FakihiNapunda
@FakihiNapunda 2 жыл бұрын
@@patrickmsekwa7773 nikujibu nn
@amourmunga8356
@amourmunga8356 2 жыл бұрын
kwaiyoo zanzibar mnapasua bahari kama musa
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
😂😂
@patrinussanga3081
@patrinussanga3081 Жыл бұрын
Jamani jamani muda wa kufanya kazi mnazunguka muda mnaopoteza ungekuwa labda mmepewa fungu
@HelbethMlelwa
@HelbethMlelwa Жыл бұрын
Bangi hizi
@gambathegreat8997
@gambathegreat8997 2 жыл бұрын
Acheni uongo
@jayjay4313
@jayjay4313 2 жыл бұрын
Inahitaji moyo kusukuma damu kweli. Hamfiki hata mikoa 15mshazalishana, uzalendo shughuli pevu mjue. Ohooo
@rashidyally8715
@rashidyally8715 Жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@winterkasela9033
@winterkasela9033 2 жыл бұрын
Nyie mmechanja
@shivobs4485
@shivobs4485 2 жыл бұрын
Wanajikuta vasco dagama
@gangmore9091
@gangmore9091 2 жыл бұрын
Hakuna Tanzania visiwani
@sagilododomamedelipeter1893
@sagilododomamedelipeter1893 2 жыл бұрын
Mbwa nyie hamna kazi za kufanya uzalendo gani upuuzi unailinda nchi ww mnalala wapi 🤣🤣msipotumia akili vzr ujanani na kujishughulisha mtaitesa Sana miili yenu baadae uzeeni endeleeni kupoteza mda usije ikamtia mimba dada wa watu mjinga we🏃🏃🏃
@drmussa1220
@drmussa1220 2 жыл бұрын
AWA YA KULIPWA MADENI YAKO m.kzbin.info/www/bejne/hKume6mmi9Crfqs
@victormashauri3374
@victormashauri3374 2 жыл бұрын
Uongo tu nyie
@misomisomisoji7722
@misomisomisoji7722 2 жыл бұрын
Pumbavu wee uzalendo sio kuchanja uviko 19, unajua hayo madawa ya uviko 19 yamewekwa nini ndani yake? mabebelu sio wajomba zetu watuletee chanjo.
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 2 жыл бұрын
Kiki
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 Eti kitembea nchi nzima ivi mnatuona sisi wajinga Jambo mnalofanya nizuri sana tena sana lakini kitembea kwa miguu hapo mmetupiga kitu kizito kichwan
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 2 жыл бұрын
🙊🙊🙊🙊😂😂😂😂😂
@jeromematuta8285
@jeromematuta8285 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 waongo
@shaameshaame9721
@shaameshaame9721 Жыл бұрын
Watu wanapiga hela wewe unaburuza mkokoten eti uzalendo.Uzalendo? Nenda ukae na familia yako pumbvu zako!!!!
@josephchiluka9357
@josephchiluka9357 2 жыл бұрын
Hamna kazi ya kufanya nyiee😂🤣
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 53 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 62 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 29 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 85 МЛН
The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar
30:04
Wasafi Media
Рет қаралды 235 М.
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 53 МЛН