Allahumma ghafiril lahuu warhamahuu waskinuh fil jannah. Ya Allah tunakuomba Umsahe dhambi zake na Umplipe kila la kheri. Utujaalie tuwe wenye kusimama katika haki na utujaalie mwisho mwema. Ya Allah tunakuomba ututhibishe katika dini Yako kama Ulivyowathibitisha waliokuwa kabla yetu.
@yussuphmbaroukalliy86695 жыл бұрын
mungu akulipe na akujazie kwa mema uliyoyafanya na akusamehe makosa yko uliyotenda kwa kujua au kutojua alijaalie kaburi lko miongoni mwa viwanja vya peponi amiin
@timbulosaid635 жыл бұрын
Allah atie nuru ktk kaburi lako na alifanye pana
@husseinchiaseeds26535 жыл бұрын
Allah akulipe kwa mema uliyokua ukiyafanya kipindi Cha uhai wako
@jumannejabil70184 жыл бұрын
naaam waisilamu wanaojitambua kamahuyu leo wakoap mungu amuifadhi amsamehe alipokosea amjalie pepo amin
@athmanchihangu33843 жыл бұрын
Dog of the king is the king to other dogs (kama umeipenda hiyo gonga like hapa)
@aminasaid655511 ай бұрын
Dog?
@bilaliomar40233 жыл бұрын
Allah s.w akulipe ujira Kamila akuingize katika pepo yk
@moxasaidi33987 ай бұрын
Allah S.W akujaalie makaazi pema peponi
@eliamtani28402 ай бұрын
alifariki mwaka gani?
@mwananakilima29875 жыл бұрын
Mungu amuondole athabu ya kaburi ameen thuma Ameen
@jamalshebughe25153 жыл бұрын
Mzee wewe mungu akujalie kwa kuwaelewa wazanzibari
@athmanchihangu33843 жыл бұрын
Huo ndo ukweli sheikhe Allah akufanyie wepesi
@saidsuleiman9018 Жыл бұрын
Kweli Shekhe Ilunga Allah akurehemu na akujalie salama na amani Akhera ulipo tangulia
@hassanally4960 Жыл бұрын
Huyu ndo mwanaume Allah Allah atujaalie kila la kheir katika kaburi lako
@shomarykhamis97113 жыл бұрын
Allah akuhfadhi mahala pema inshaallah,
@allykhamese6512 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu amuweke mahal pema pepon amina, alikuwa mwl wangu huyu wa somo la ISLAMIC KNOWLEDGE,thaqafa sec school mwanza
@othmarluwawilo830810 ай бұрын
Tatizo ulikosa elimu dunia, Watanzania hatufungamani na udini.kinachoongoza ktk maisha ni elimu , sheria na kanuni na si mila na disturb km mjinga mmoja anasema.
@allyabdallah43573 жыл бұрын
Allah atakulipa umejivua dhimaa
@AbuubakaryKisheo-rp7vo Жыл бұрын
Teacher huyu ndiyoo maana mnaona yuko na madini mingi Allah amuwie radh alipokosea
@saidabdala74465 жыл бұрын
Marehemu Shekh ilunga . Allah akusamehe mazambi yako yote. Tutakukumbuka kwa ujasri wako
@ismailramadhani38134 жыл бұрын
Shekhe mungu akusamehe madhambi yako ulipwe mema ,, jasir
@zulkhasalim34053 жыл бұрын
Amin
@mohamedmwanja68573 жыл бұрын
mungu akuweke mahali pema peponi inshaallah
@hafidhkhamis36155 жыл бұрын
Kull hakku laukkana murra viva sheikh ilunga and big up Sana'a Allah akupushie adhabu za kabur
@abdullahalaghbari38714 жыл бұрын
b
@adilhabibu79583 жыл бұрын
Alhamdullah maa shaa allah ndugu yetu mwenyezmungu akupe khatma njema
@bilaliomar40233 жыл бұрын
Amin
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Allah Akupe Kheri Mzee Hassan ilunga Huko Uliko MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏
@angelomalimi244411 ай бұрын
Shehe jinga sana hilo linapenda vulugu nchini shenzi kabisa
@nuruali96082 жыл бұрын
Mungu atienuru qabri lako shekh ilunga hassan kapungu
Allah atakulipa insha Allah kwa elimu yako juu ya kutetea uislam akupe nuru ya kaburi lako
@zainabzaid22545 жыл бұрын
Ya Allah msamehe madhambi yake na utuletee Ilunga mwingine atakaekuwa na uwezo wa kuyasema haya bila kuogopa chochote
@feruzisila23293 жыл бұрын
R 7vp .. LINA
@zulkhasalim34053 жыл бұрын
Amin
@hamdanvitaris20843 жыл бұрын
Allah akulipe Jana allahma amiin
@kingsoboropayani51275 жыл бұрын
Ukweli unapigwa vita.. R. I. P mzee Ilunga
@wanymuni33455 жыл бұрын
Ukweli huu ndio ulio mponza huyu bwana,waislamu awana fikira wapumbavu helium na uwezo awana,,kapunga amefariki akuna mwingine ,wasomi wakuu wote marehemu east Africa ,uislamu unakufa
@Adeeii-zu5kh11 ай бұрын
Tunakukumbuka sana sheikh Ilunga
@salehkhamis30633 жыл бұрын
Mzee. Mungu akurehemu
@SA-xj8hc5 жыл бұрын
Allahumma ghfirlahu warhamhu
@khatibucarroll53395 жыл бұрын
Marehemu alikuwa vizuri sana RAP
@profesamakame11064 жыл бұрын
Mzeeeee Ulikuwa sawaa katika Kuelezeaa union Lak8n ss wazanzibar tumefungwa mdomo kimyaaaa
Huo ndio usahihi, sababu mwanadamu kaletwa duniani kwa ajili ya dini na dini ndiyo utakayoulizwa kwa MwenyeziMungu.
@abdikahfi38315 жыл бұрын
Allah akupee jannah
@saidiwaziri3285 жыл бұрын
Mzee ww ni jembe kweli kweli mwnyz mung akupe kauli thabiti
@jabumakame68953 жыл бұрын
Aamiin
@adamrusheke2454 Жыл бұрын
Allah akurehem shekh
@h.rukuba74643 жыл бұрын
Allah ampe kauli dhabiti
@suleimanbakar34293 жыл бұрын
Tunakuelewa shekhe
@hassanyussuph44075 жыл бұрын
Mzee alikua ajua sio mchezo Allah akupe wepesi inshallah
@fatumamisinga62112 жыл бұрын
Allah akupe jahnna amiin
@suleimansaid74864 жыл бұрын
Zainab inshallah dua yako ikubaliwe.
@suwedijafar45172 ай бұрын
Allah akusamehe makosa yako
@abdulsalum969811 ай бұрын
Kilabu nnaari Allah akulipe unachostahili
@salehkhamis30633 жыл бұрын
Huyu sheikh noma sana. Wako wap masheikh kAma hawA
@ChokaHamisi6 ай бұрын
mungu atakulipa mzee wetu
@michaelbachubira719711 ай бұрын
Ukiristo umekufanyaje we acha ubaguzi wa kidini mbinguni akuna dini na Mungu ana dini
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Kweli kabisa, tunashughulishwa na ikhtilaaf ndogo ndogo baina yetu. Hii ni diversion strategy, tusichunguze ya muhimu.
@athumaniwazabanga89495 жыл бұрын
Allah amthibitishe ktk kauli thibiti
@kasanzumasunga18985 жыл бұрын
katika vitu ambavyo Niko tayari kuvipigania nguvu zangu zote, maisha Yangu yote, ujuzi muda na maarifa Yangu yote ni kulinda na kuudumisha Muungano. Hii ndio zawadi yetu adhimu ambayo mwenyezi Mungu katupatia. Tuulinde Muungano wetu, yawezekana hatuna Mali nyingi wala Maghorofa kama wenzetu Wa Ulaya lakini sisi tunaumoja wetu. Mungu Ibariki Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania
@omarymtegwa22993 жыл бұрын
Jina tupu linaonyesha si mtz
@alishop8404 жыл бұрын
Alwa akurehemu kwarema zake
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏
@seifali59738 жыл бұрын
muungano lazima uvunjikeee kila mojaa yuko huruu na kwake hakuna kutawaliwaa tenaa uzembee ulikwisha watu wamezindukaaa
@christophermwanilwa70743 жыл бұрын
tuwe na serikali moja tu ndipo matatizo haya yataisha
@alialamoudi97293 жыл бұрын
Haifai watu wa zanzibari hawataki. Muungano kwa nguvu haifai wanainchi asl mia mia hawataki basi
@seifali59738 жыл бұрын
ukweli siku zote wachomaa hahahahaa
@georgejacob4713 жыл бұрын
Kwenye dini apo hapana,ila muungano is very complicated
@kaishazabengesi29715 жыл бұрын
Mnayo haki ya kusema yaliyomo moyoni mwenu kwani mu wenyeji wa himayaghafi, na jambo moja li wazi kuwa mnajua msilolijua na mnateta mateto yaliyotetwa na watetaji mahili. Hakuna jipya chini ya mbingu. Heri yao wamfuasaye aliyesamehe yote kuliko aliyeishia kulaani malimwengu. Mbarikiwe.
@newsupdate14633 жыл бұрын
Koma ww mbwa
@alialamoudi97293 жыл бұрын
Kwanza kuungana sio kwa nguvu wa zanzibari peke yao hatutarlewana NA bara peke yake au zanzibari eombe himaya kwa dola ya nje kama oman sasa inanguvu sana ikiwezekana maana wa oman ni ndugu kwa uslaam baada ya kuishi miyaka mia tano NA wa zanzibari tabia ni moja NA dini ni moja NA hata wa najua lughu ya kiswahili
@Fm-MornStar20143 ай бұрын
😂🤣 😂 Aya bhana!
@user-pf9cd6zj1g3 жыл бұрын
Nuru ikushukia shekhe wetu
@farajkhatib7418 Жыл бұрын
Tunataka bas nasis tujuwe izo sir
@feisalfaraj442 жыл бұрын
shekh angaliya mfano wa marehemu magufuli na mama mheshiniwa samiya suluhishoo suluhuu president mashallah alipofanya suluhishoo lakufunguwa nchi Kwa bishara bila yakujali kabila nchi diniii ganii mpaka wacristo hapo ndio suluhishoo ciasaa chuki hazijengii
@feisal6592 Жыл бұрын
Shekh jeaamboo linalikwa ukipenda misikitii kulala unasema hauna sehemu yakulala unanyimwa jee wahusikaa wakuu ikosahihi kidini kunyimwa kulala kwa msikiti
@michaelrweyemamu10683 жыл бұрын
Hotuba ya hatari kwa umoja na mshikamano wa nchi yetu.
@user-fd7vi4xv5x Жыл бұрын
Wala hii elimu lazima ipatikane hasa kwa Wazanzibar kabisaa maana wamepoteza taifa Lao kwa sababu ya Muungano na CCM kwa jumla..
Huuo ni ubaguzi mbona kanisa la wanakole mlichoma kwani wenyewe hawana haki? Nasisi
@feisalfaraj442 жыл бұрын
aslm shekh shida sio ukiristo shida uwangozi mbivu sababu anaongoza mcristo ndio akifanya makosa unasema ucristo
@didamathias70615 жыл бұрын
Ww jonas kama hujaelewa kaa kimya aliekwambia muungano ukiato nani hebu masikilize kwa makini
@allymsuya66555 жыл бұрын
Wazanzibar huwa mnakwenda Dodoma kufanya nini?
@ayubunsajigwa39355 жыл бұрын
Zanzibar kweli kuna Mfumo UISLAMU Wakristo wote wa Pemba ,na Zanzibar kama Ukoo was David Wakati ,na Augustine Ramadhan hawana chao kwa sababu ya Mfumo Uislamu ,wakristo was Pemba na Zanzibar wangekuwa kama waislam wangelalamika MBEYA waislamu wachache RPC Mwislamu hata wakuu wa mkoa zaidi ya miaka 40 waiaslamu lakini kwa sababu ya uugwana waliwakubali (Makamba, Kandoro nk
@feisalfaraj442 жыл бұрын
Zanzibar inkochini tanzanizznia ndio muganoo wakimandeleo sawa hapo ndio maanaa
@sherrympemba71063 жыл бұрын
Unguja+Pemba=Zanzibar mnakwama wapi?
@athmankhatibu79762 жыл бұрын
Mama samia hasan wakati huniwako towa mungano bara kwao ukija ukitoka madarakani zanziba iwe huru mama towa mungano njia nyeupe niutamke useme zaniba ijitawale yenyewe tuunde sirikali yakiislamu mama towa mungano
@athmankhatibu79762 жыл бұрын
Tutolewe mungano
@athmankhatibu79762 жыл бұрын
Zanziba tutolewe mungano
@omarikingi98394 жыл бұрын
Kwel
@salimsaleh64233 жыл бұрын
🤲🙏🙏
@BARUWANwirison-se2hh6 ай бұрын
simba
@feisalfaraj442 жыл бұрын
manenoo chuki hayajengii chamsingii Mundo mbinu ya owongozi mboyu ndio uliopoo ndio utavunjaa uzanzibari
@mdalamgir-gu9hu2 жыл бұрын
Magufuli umemtaja
@aminasaid655511 ай бұрын
Hujielewi
@lukakyauke97165 жыл бұрын
Sehemu yoyot waislam walipo hawawezi kujitawala ni vita kila leo Waislamu kama awatakuwa na Mtu wa kuwasingizia kwa ss tumeshindwa kuwa sawa kutokana na Wakristo na kama akuna Kristo watagombana wao kwa wao tunaona libya sirya misri lobanoni iran nchi zot za kislamu zinasuguana sana na ukiangalia kwa makini ni upumbavu wa Waislamu wenyewe Na ujinga wa dini yao
@yahyasalim60065 жыл бұрын
Ww hujujui ndy maana hta hicho unachokisema hakitokuwa na mantiki so jaribu kufatilia mambo kwanza ndio uongee usiwe mshabiki wa vitu usivyovijua.
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Kafiri wewe!!!!
@jumakapilima56745 жыл бұрын
!!!!??????!!!!
@chaleboymusician5284 жыл бұрын
Wewe kwanza unakosea hata kuandika sio lobanon ni Lebanon na lebanon hakuna waislam tu wapo na wasio waislam
@godfreyvenerandus94113 жыл бұрын
Historia ya Z'bar ni zaidi ya bara asee!
@user-fd7vi4xv5x Жыл бұрын
Tena ni complicated na ni ngumu sana kuielewa..
@ibrahimaziz49359 жыл бұрын
vunjeni hio takataka inaitwa muungano au kuwe na mauwano
@moodyeddie253010 жыл бұрын
laana zitawashukia wote wenye maneno machafu na lugha mbovu hasbi yakhu
@obugobaraka1413 жыл бұрын
Kma zanzibar sio taifa je tanganyika ni tafa? na Tanzania ni nchi gani?
@habibushemazunde76755 жыл бұрын
keisali ww ndiompumbavu kwasababu umesiriza na ww
@saadsalum32535 жыл бұрын
Unaongea nini au ndio hujielewi wewe
@kaisarimkuu36855 жыл бұрын
Dini itaendelea kuwa sababu kubwa ya ujinga na umasikini kwa waafrika wengi.
@feekhamis9165 жыл бұрын
Kaisari Mkuu ww boya kumbe stupid
@kaisarimkuu36855 жыл бұрын
@@feekhamis916 tens ningekuwa na mamlaka ningemfanya barbeque
@hafidhkhamis36155 жыл бұрын
ww kaisar unaongea utumbo. Ila ni ukafir umekujasanaa
@richardboaz-mashagospel23463 жыл бұрын
Na chanzo kikubwa cha vurugu duniani!
@abdulhafidhi8410 жыл бұрын
joneas huna adabu c ww hta bwanawako nyerere hawezi kusema ivyo na huna uwezo wa kumua mt yyt bwege ee
@supertenchoo42715 жыл бұрын
nyamaz ww
@Katabwa11 жыл бұрын
Zanzibar ni Tanzania.. Mpaka nife siwezi kukubari kuvunja muungano.. We own you people.. Ntauwa nyote nyinyi mletao hatari katika maisha ya usoni ya vijana wa Africa. Zanzibar ni mkoa tu.. Tutawapiga sana nyinyi vitambi.. People are working for unity and you people are working to deorganize Africa. Nenda shule na acha uchochevu..
@dazuuhmd8195 жыл бұрын
Huna adabu wew kafiri mkubwa kamuuwe wazazi wako ba bwana zako unao wasikiliza kunyanyasa watu na haki zao kisa wanatumia pesa kauwa watu wengi bwana wako nyerere yupo wapi sasa
@fatmahamed32855 жыл бұрын
Jonas Ilole mseng nn ww
@abdulrasheedabass16985 жыл бұрын
PUMBAVU MKUBWA WEWE
@muhammadhaji13515 жыл бұрын
Ww jonas mjinga ni Ww Allah atakuuwa Ww mwanzo kabla hujuuwa waislamu adui wa uslamu n waslamu
@ramadhanimandoa40585 жыл бұрын
Hatushangai sababu hamna kafiri mwenye akili
@ayubunsajigwa39355 жыл бұрын
Hili ni tahira Haswa ,kwa Pemba na Unguja nyazifazote ni waislam ina maana Zanzibar Luna mfumo Mohammed (UISLAM)
@didamansour78255 жыл бұрын
Ww ndio taahira kwa sababu Zanzibar kama hutambui 99% ya population ni waislamu
@suleimanabdallasuleiman27495 жыл бұрын
Usiyo yajua usikuwakiza
@hafidhkhamis36155 жыл бұрын
Nsajingwa fuso ww hujilewi kwan ww ni mzanzibar
@zakialustan7223 жыл бұрын
Mgumu kuelew a ?
@garoodi5 жыл бұрын
ndio lakini pia tanganyika sio taifa tena kwani sasa nchi zote mbili ziko kwa muungano na ndio maana hata tanganyika haina balozo wake katika umoja wa mataifa
@bilalikaoneka50802 жыл бұрын
Kama umesikia jina la magufuli gonga like tujuane ..