Mi mkenya toka mji wa Eldoret ,watanzania laiti mgelijua tunavyomtamani mhs Msukuma😢 , ana hoja za kuijenga nchi ,duh mungu akuongoze sina la kuongeza .
@KapamaDaud-mq3jc2 ай бұрын
Lasba A kweli wewe ni dr, mungu akujalie maisha malefu. Ikibidi ccm ikuamini kiti cha juu inch itaenda vizuri sana. Napenda sana swaga zako bungeni,
@user-yy9jp3ll8p Жыл бұрын
Hivi ni lin watamwelewa Mh.Msukuma point zake na anastahili tuzo ya Heshima🔥very genius 👊
@ObligeeNdoni-pb4vs Жыл бұрын
Wasomi wetu ndio adui wetu tanzania! Ni watu wa ovyoo sana&ole wako wakujue we ni mulala hoi & umetoboa! Wanakomesha.
@athusmateru Жыл бұрын
Salute sana kiongozi wa kweli kura yangu haikwenda bure dadec💪💪💪....mwamba ndo huyu.
@revocatussebastian2427 Жыл бұрын
Huwa natumia Bando langu kumwangalia Msukuma wengine matumbo kushiba kisa wana Degree
@bongecabd2 ай бұрын
This should be all afrikan parliament speak our local languages keep it up my tz brothers and sisters
@user-bf3jl9nz1s5 ай бұрын
Wakuu salam za dhati ziwafikie huko mliko kwa kazi mzuri mnaofanya kwa taifa letu tanzania
@aloycesamba998 Жыл бұрын
Mbunge msukuma huwa anaongea point sana,Mimi Sina mengi zaidi ya kukupa 💐🌹🌿🌹 mapema.
@NurudiniNdoka2 ай бұрын
Asante sana mh.Msukuma kwa kuwasilisha ujuzi wako kwa jamii
@joeljohn6351Ай бұрын
Big up to you mzee wetu MUNGU azid kukuongoza
@StevenWilliams-uf6reАй бұрын
🎉🎉hawa ndio wabunge wanaotakiwa hongera sana KING MSUKUMA
@christopherngunwa9522 Жыл бұрын
Msukuma uko sawa Sana wewe ni mtetezi wa wawanyonge mungu aendelee kukupa hekima zaidi,🌹🌹🌹
@mpakaiwe10 Жыл бұрын
Ahsante sana Rais wa Hoja za msingi hongera sana . NATAKA KUJUA MBUNGE WA JIMBO LA KYERWA KAGERA Alipewa Ubunge kutalii bungeniii au anafanya nini bungeni. OFFICIAL JB NAULIZA.
@WonderfulSaturnPlanet-uz6vk4 ай бұрын
😂😂😂
@NgassaMungo-yq4fi10 ай бұрын
Hongera msukuma Kwan hoja tunatamani uwe raise wa tanzania
@user-gw7fu9pu7d8 ай бұрын
Amsukuma u are a got sent and we thank magufuli for recruiting u.. As a member of the parliament ❤
@user-hq6ge8gs6x Жыл бұрын
Big up saaana msukuma ,,darasa la saba materials with more inteligent points
@EmanuelKiroshi Жыл бұрын
Tuko nyuma ya msukuma kweli ni Kama maghufuli wa pili Asante msukuma wetu
@omaryramdhani98235 ай бұрын
Usimfananishe msukuma na jitu lenye roho mbaya
@KETONKAYANGE3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤@@omaryramdhani9823
@abedinegosikawa587211 ай бұрын
kaka msukuma nakukubali sana kaka ongera kwa uongozi wako
@user-pd4qw8iz6z19 күн бұрын
Mh,msukuma hongera kwako mmpenda maendeleo like🎉 kwako
@user-ts3hg6dq6q4 ай бұрын
Msukuma jamni like uncle maguu natamni uchukue 📜🙆🙆
@edinachami4318 Жыл бұрын
Msukuma oyeee lasaba A❤️
@JackMkambi2 ай бұрын
Uko sawa Kwa hoja nzuri hongera sana
@kasandajames50154 ай бұрын
Uko vizuri , Mungu akuongezee miaka mingine ya ubunge, maana maendeleo huletwa na wageni sio wenyeji na wenyeji tunaiga kutoka kwao
@benedictkihombo348 Жыл бұрын
Hongera sana Kaka Msukuma kuwa Kiongozi bora lazima ujisimamie... wewe ni Kiongozi bora sana uliokamilika
@thurstonkahindi7856 Жыл бұрын
One of the intelligence minds without education, big up msukuma all the way fro Kenyan
@ArafathmudathiruyusuphYu-qw4ux Жыл бұрын
Moja yakiongoz bola nikujiamin nakusemea kile wananchi wake wanachokihtaj nahvy sku yamwish kiongoz asokuw mwadilif atakiona chamoto
Kweli Mimi kama Mimi nasema tu wewe ndio ungekua rais Tanzania ingefika mbali tena sana point yako inasemeka mungu akubaliki ikaje kua rais tu kwanza ww ni zaid ya rais kabisa
@hassanovajunior69722 ай бұрын
Ngosha baba huna Baya miaka yote👏👏👏👏👏
@Gabriel-xf6fg3 ай бұрын
Natamani huyu jamaa awe kiongozi wa nchi
@ShadrackLucasmasagaMasag-mq2pl11 ай бұрын
Mskuma unawakilisha tunakuelewa sanaa
@albertosanga7744 Жыл бұрын
Mufindi -Mgololo tunaomba lami na sisi ' Hii ni barabara muhimu sana kwa uchumi wa Taifa
@joycesanga4378 Жыл бұрын
Mwamba huyu hapa namkubalia sana Msukuma
@wallesmdoe916410 ай бұрын
Mbunge wa Jimbo la korogwe vijijini mkoa Tanga hatumsikiii Yani anakera huyo
@user-ij9cq6kt7t11 ай бұрын
Honggela sana msukuma
@mohamedykabwanga1647 Жыл бұрын
hahahaha nimekuelewa msukuma vizuri sanaa
@user-ko7pv1fh7d6 ай бұрын
Kwakweli msukuma uko vizuri ht kama haujasoma verry guddy brothers
@Marium-el1eo2 ай бұрын
Mwamba hauko mbali na magufuli pambana ungekuwa magu tungekuita baba mwisho pambania jimbo lako magu tunateseka
@arthurkasiba751 Жыл бұрын
Hii chuma naikubali sana.. Keep it up Msukuma
@user-rj6uh3rm8d2 ай бұрын
msukuma Remain In Power (R.I.P) forever
@FebroniaMassawe Жыл бұрын
Wewe ni walasaba lakini unaakili kuliko hao wasomi❤❤❤💪💪💪
@stevinngenza87042 ай бұрын
Wananchi wa geita wana raha sana hili ni Jembe
@KajunguMassami-bz1no Жыл бұрын
Uko vizuri sana kutetea watu wako Pambana mtu WANGU
@zainabmaulid96377 ай бұрын
Msukuma mbabe na anajiamini atokee mbunge choko atoe taarifa aone wamenyamaza kimya wanamsikiliza mbabe%
@-kagerayetubw9jx4 ай бұрын
Wasukuma huwa wana katabia ka ubabe
@HappyMwaigwisya2 ай бұрын
@@-kagerayetubw9jxmnoooooo
@alexikim7005 Жыл бұрын
Musukuma you are one wise articulate people representative hongera sana kaka yetu- love from kenya
@kawiche4911 Жыл бұрын
Muulize kuhusu mkataba wa Dpw usikie madudu Wala rushwa hao walienda Dubai kulamba Asali ya kiaraabu. BUNGE FEKI HALIWEZI KUSIMAMIA RASILIMALI ZETU . MAFISADI
@user-vp5ej3zt5p10 ай бұрын
Good morning musukum uko sawa uko kwa bungeni nakupenda san unasemanga ukweli lkin musomeeni uyo mama wakambo aache ujinga kuusa nch kwel tutakuj kuliman
Mbona unafanana na JPM umerisi adi tabia hongeraa sana keep it up
@user-bc5sd9qv8wАй бұрын
Haga nakupenda inavyosema as ni darasa 7 A
@arnoldmswia2446 Жыл бұрын
Yes yes Mr taked the honest truth big up ❤
@elishashijashija84727 ай бұрын
M/h Msukuma ujasiri ulio nao Mungu akubariki
@lowasameliyo4027 Жыл бұрын
Ukweli msukuma umeongea point Sana, Kuna watu wako kwa ajili ya upigaji tuu ndio maan wanatafuta kamati za ovyo vya kumpoteza mda na pesa
@user-fx4pr4vp8p2 ай бұрын
Mhh msukuma nimekuelewa umepiga mkwala mpaka jamaa kanyamaza kutoa taarifa
@williamloserian5999 Жыл бұрын
❤❤Maua kwako msukuma maana unaongea fact sana huna pindapinda broo❤❤❤
@MusaAgwallo-uy5ic Жыл бұрын
Nàkupenda sn kakangu,Mh.Msukuma
@jenniferkalinga736 Жыл бұрын
Nampenda mno msukumu Mung akuweke wewe ni kichwa ❤️❤️
@AnethCharles-en4qh2 ай бұрын
Kwer msukuma ongera san
@michaelmagwaza-bc6mk Жыл бұрын
Kumbe namimi naweza kua Mubunge kama hali ndo hii duuu😢😢😮😮
@MajaliwaLupembelaАй бұрын
Msukuma Fanya kazi Yako kwa ajiri Yetu wananch tunashukuru san
@HappyMathias-n7g29 күн бұрын
Asante sana unaongea vitu vya kujenga taifa letu
@jumakapilima72953 ай бұрын
Risk assessment, mchakato, upembuzi yakinifu,,,,,ni sehemu Tu za upigaji fedha!!
@user-jl7zm6xw2d10 ай бұрын
Naomba pokea Salam ZANGU na KWAMBA ninakufuatilia kila mara na kusema kweli umeupiga mwingi... NATAMANI SIKU MOJA NIKUTEMBELEE BUNGENI
@user-ej2er1zw9w2 ай бұрын
Yuko vizuri sana
@SarrahayAlex2 ай бұрын
Chukuwa❤❤❤hiyo msukumaa
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
Msukuma ni jembe, wa kama yeye bungeni ni wachache ktk hii nnji, Na ktk wakuu wa mikoa Arusha tumeletewa jembe, yuko site akitetea wanyonge na maslahi ya nnji yetu tukufu ya TZ
@edwarddandu8527 Жыл бұрын
Msukuma safi mtu akiingia kwenye 18 mpe hapohapo umenifurahisha sana
@richardmakweta88758 ай бұрын
Bahati nzuri umesema mfalme aliwaita wanaopinga akakaa nao ikulu ili wazungumze😊😊😊
@nataililuka2372Ай бұрын
Tungekuwa na nchi moja wa masaai na wasukuma inchi ingeeleweka yani unamwuambia myu laiv ukweli yani Mungu akulinda sana unatukumbusha baba wataifa joon pombee magufuli
@jackkakongoma3440 Жыл бұрын
I salute you musukuma
@LinusMataluma2 ай бұрын
Asante mungu wabariki viongozi wote wa tanzania
@ZubaibaАй бұрын
Musukuma la saba mwaminifu🎉🎉🎉🎉🎉❤
@MichaelyMagidanga9 ай бұрын
Yan msukuma namkubali sana nataman angekuwa jimbon kwetu kalenga nahisi kalenga ingenyoka sana kwakweli??????
@nakali79 Жыл бұрын
Anapongezwa, waziri badala ya kuwapa pongezi wenye nchi walipao kodi,
@leahkabura42712 ай бұрын
Musukuma ako na point 🔥🔥🔥
@falsafatz2 ай бұрын
Madini tupuuuu🙌🙌🙌😂
@robertabel6984 Жыл бұрын
Hahaha hili lijamaa bhna hili eti tuweke mada kwenye TV tumeteme material tuone nani zaidi hahaha linajiamini balaa
@Alexmsukuma2 ай бұрын
Msukuma tutetee wanyonge baba
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
Namuelewaga Sana tuu, hawa wa hivi ni wachache, Makonda yuko Arusha, site, anatupambania wana Arusha.❤
@PascoDagama Жыл бұрын
Mungu akujalie msukuma
@ElizaEdwards-qu7bl2 ай бұрын
Siku zote wasukuma wana hakili ndogani munabisha sasa 😜
@JackisonSilungwe3 ай бұрын
mh musukuma weewe nikiongozi mwemaa❤
@richardibrahim5609 Жыл бұрын
Eti sehemu ya kuogea mizimu🤣🤣
@BufumeKasungwa Жыл бұрын
Mwambien awaongeze mshahara😂😂
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
Na huyu speaker (mwenyekiti) HUWA ana sauti kama mstaafu job ndugai..
@MusaAgwallo-uy5ic Жыл бұрын
Tukiwa n wabunge km Mh.Msukuma,kumi tuh tunaeza fika. Mbali