Mchekeshaji Oscar Nyerere leo amepata nafasi yakuonyesha ujuzi wake wakuigiza sauti ya Hayati Mwalimu Nyerere mbele ya waziri mkuu Kassim Majaliwa wakati wakufungua maonyesho ya wafanyabiashara
Пікірлер: 80
@mwidinijuma82143 жыл бұрын
Sauti ni kama hayati Mwalimu Nyerere kabisa amempatia vizuri sana.
@shukranitv29713 жыл бұрын
Wabongo wive utatumaliza Safi San oscr umepatiaa san
@jacoblukumay4723 жыл бұрын
Oscar Nyerere unajua sana! Hongera sana
@drTarimo3 жыл бұрын
You have a very good and professional work. Keep on giving us better services
@mchiwamsisi56673 жыл бұрын
Aisee watu wanaumiza vichwa hiki kipaji sio mchezo aisee.
@alexyohana47083 жыл бұрын
n shuda
@shammhagama25272 жыл бұрын
This is direct from God, sio talent ya kawaida aisee, nimefurahi
@opqsweetbert95983 жыл бұрын
Jamaaa huyu anajua zaidi
@joshuaisrael67283 жыл бұрын
Hahahaha leo ilikuwa sku nzuri sanaa
@Hillary_Daudi_Mrema3 жыл бұрын
Safi sana Oscar Nyerere, amepatia kuvaa kaunda suit kati ya nguo special alizoipenda baba wa Taifa. Anatembeaa kama Nyerere kabisa, pia katika kutoa speech anaongea kama Nyerere katika mambo ya muhimu kwa njia ya comedy ila ujumbe unafika kwa watanzania maana sisi hatupendi vitu vigumu vigumu.
@davidchesco523 жыл бұрын
Duuuuh yan nyerere mtupu hata mwili anajua sana 🇹🇿👌
@georgemassebu20833 жыл бұрын
Huyu kawazidi wote wanaomuigiza Nyerere
@kakawamashariki89783 жыл бұрын
Tanzania vipaji telee.. mara tu nimetoka kumuona aigizae sauti Kama mtoto 🗻🇹🇿.
@winfredbespoke84403 жыл бұрын
Hongera sana kaka, umeipatia sauti yake, kifimbo had muonekano wake
@dennislukumay92613 жыл бұрын
Dah umetisha Sana
@chrissmtewa37442 жыл бұрын
Oscar nakukubali sana sina shida na ww
@damsonwillison4353 жыл бұрын
Huyu jamaaa ana kipaji cha Ukweli kabsa
@japhetdaudmaneno84403 жыл бұрын
Kidogo unaanza kuipatia sauti yake 😂😂😂
@bakarirajabu37833 жыл бұрын
Hongera Sana kaka unajuwa Sana kumbe tz tuna azina zakutosha
@erad-tv50012 жыл бұрын
Nimeirudia mala mbilimbili zaidi Nahisi mzee Nyerere kerudi Tena huyu Kijana na Baraka Magufuli wapewa Vipindi maalumu kwenye Terevision ya Taifa WAWEZE kuwa wanahutubia kumbukumbu za mahayati Hawa
@eliyaamowaawusafisana2372 жыл бұрын
Uko vizuri sana
@eliyaamowaawusafisana2372 жыл бұрын
Hongoraaa!!
@mzalendoentartainment322 жыл бұрын
Umeongea jambo la point San an
@user-wj3fe2dd8c4 ай бұрын
Asante sana kwaku chekesha
@kingwatabata42303 жыл бұрын
Daaah! Safi sana aisee👏👏👏
@zaidihussein43112 жыл бұрын
Tanzania raha Sana amani Ni tunu kwetu tuilinde milele
@iddymustapha4892 жыл бұрын
Wazir mkuu namkubali sanaaa
@markosikudhani7993 жыл бұрын
unaanza kumfunika Jk comedian
@amranikigolo59742 жыл бұрын
Alhamdulillah Upo vizur ndg
@is-haqkippaya33363 жыл бұрын
Ni kipaji maridhawa..
@gracemairusya29503 жыл бұрын
true
@salumugidion3 жыл бұрын
Jamaa yuko vizuri sana nimeipenda kazi yake. Yule jamaa Magufuli muigizaji yuko wapi?
@rossemaryeliya61132 жыл бұрын
Yupo, nae anazidi kuchapa kazi
@user-fq9pc1vt1e4 ай бұрын
Just keep on going
@zaidihussein43112 жыл бұрын
Tuna waziri mkuu jembe majaliwa piga kazi bro
@bmajesky632 жыл бұрын
Umetisha Mwamba
@mbarakahussein91073 жыл бұрын
Kongolee kwako brza,unakipaji
@user-fe8zh1yf4u4 ай бұрын
Good job
@mzalendoentartainment322 жыл бұрын
Hiv niulzee, huyu Oscar nyerer ana hata undugu na hayajmt nyerer au ipoj an, maan daah Kam yey an
@filbertrobert17422 жыл бұрын
Daaah! asee kidogo niseme ni Mwalimu
@user-kl2pq4oq1q4 ай бұрын
Wewe ni balaaa 😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@neemajulius12563 жыл бұрын
Safi sana
@kidulajohn18552 жыл бұрын
Keep it up
@MBATINOFILMS2 жыл бұрын
Faida ya kuzaa hadi raha
@shebbybongo5673 жыл бұрын
Huyu kwa upande wangu naona amepatia sauti ya nyerere kuliko stive nyerere,
@hijaramadhani32212 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@kulwacharles57953 жыл бұрын
Kizazi sana, jamaa anawez
@medlucas56863 жыл бұрын
Hatar sana
@Ambagaye2 жыл бұрын
jamaa ana kipaji sana
@husseinshabani95223 жыл бұрын
Yuko Vizuri sana
@petromwakalukwa34553 жыл бұрын
Hongera kaka uko vzr ongeza juhudi bado kidogo sana yaani pozi zake anapoongea
@yusufrajabu84253 жыл бұрын
Masanja akasome😂😂😂
@kakawamashariki89783 жыл бұрын
Kabisa
@mdentertainmenttz1243 жыл бұрын
Good
@frankmakubi53253 жыл бұрын
Like father like son
@wilbroadgrarcian12593 жыл бұрын
Achana na kina steve nyerere huyu jamaa ndo kawezaa
@jifunzekuhusuwewe74753 жыл бұрын
kapatia mnoooo
@muyamndiga66832 жыл бұрын
Ninacho jua huyu jamaa anawakumbusha viongozi tu
@emilyibraimo50323 жыл бұрын
Baraka magufuli anapita wapi
@amosmahona4333 жыл бұрын
Dunia Kuna watu wanavipaji dah!
@kacherosimba57622 жыл бұрын
Jamani niyeye😂😂😂😂🤣
@bebebebe56773 жыл бұрын
Duuh uyu jamaa noma xana anaiga hadi tembea yake
@abdallahyasin68293 жыл бұрын
Duniani ni inchi pekee ambayo viongozi wake ukiwasifia tu utapata cheo ata ukisifia ujinga
@bundaboytz21013 жыл бұрын
Jk comedian ndo anajua vzr
@jumabakari14683 жыл бұрын
Inaonekana mvivu wakufuatiria hutuba za Nyerere ndomana unasema Jk ndo anajua ila Jk kwa huyu jamaa atasubili Sana aisee
@RioIpo2 жыл бұрын
Aah huyu jamaa mkali
@queenjayztz86152 жыл бұрын
Saut km hayati nyerere
@tumainimugini48913 жыл бұрын
Steve agusi
@muyamndiga66832 жыл бұрын
Yuko fizuri kaka
@unclegmihale4553 жыл бұрын
Mule mule
@nassorsaid23313 жыл бұрын
Kiukweli kwa sauti bado sana bora steve nyerere
@papafikiri3 жыл бұрын
Huyu kwa wote waliowahi kumuigiza Nyerere ndio anawaongoza..punguza hiyo nataka "wajue hivyo waelewe watambue hivyo" zinakuwa nyingi