Рет қаралды 2,923
Wasukuma ni moja kati ya makabila yaliyoko nchini tanzania fahamu mengi kuhusu asili ya kabila la wasukuma kutoka kwa watemi wa kabila hili Mtemi Edward Makwaiya wa BUSIYA - SHINYANGA na Mtemi Dotto Itale wa BUJASHI - MWANZA walipo fanya mahojiana katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI na Elbariki Madihi