Jamani nini tena kimepata uwiii Mungu awasaidie wamalize jambo lao salama
@merrynancesimon15623 ай бұрын
Kama ndoa inakipingamizi msilazimishe msije mkauana jamani
@LucyRafeali3 ай бұрын
Heee hapo Kuna shida kama ni hivyo kweli
@Shadia5443 ай бұрын
Huyo mwenye gauni la pinki kapendeza sana na kagauni chakev✌️✌️✌️
@HusnaSalum-p1q3 ай бұрын
Jamani mnasahau hiyo harusi ni ya wasanii mambo ni moto 😂😂🎉🎉tumbo linauma
@MYME-u5d3 ай бұрын
Mmmmm😅😅labda bibi harus nae ni comedy
@nasraAl-b1w3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MYME-u5d3 ай бұрын
😄😄kweli usikute nae comedy sas kilichomfanya agome kuolewa ni nn? Tangu walivyoanza kuchumbiana hd akakubali kuolewa half siku imefika anagoma si comedy hiyo
@FreshJuiceFoodSimpleCook3 ай бұрын
Labda hakumpenda kwa dhati, iyo mbaya sana 😂
@stephenmalilo98333 ай бұрын
Kosa la kiufundi, Bwana harusi anakaa mkono wa kulia halafu bi harusi anakaa mkono wa kushoto wa Bwana harusi.....😎
@Verenabashasha-cm4sm3 ай бұрын
Kumbe nawewe umeliona
@RandB_Channel3 ай бұрын
Jamani yamekuwa hayo? Iyo ndoa itadumu kweli? Mchango yawatu mtarudisha 😃😃 simaajabu aya jamani bichekesho🤣🤣😃 jameni harusi ya pili inao barikiwa kwa Masanja zikaleta vituko
@DesertTears3 ай бұрын
Kiki za kijinga😂😂😂😂
@ShabaniBakari-p4r3 ай бұрын
Ringo ujanja wote kwisha kabisa leo,jamaa yuko very sirious kisawa sawa
@aaronjustin72353 ай бұрын
hii ndo congo movie
@najathtemo39083 ай бұрын
Huyo msimamizi wa kiume kapatika😅 kazi anaiweza siyo kwa kumfutafuta hvyo huyo ringo😂😂😂😂😂
@Officials-kay_tz3 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/jX-qhKZ4mr6SqrMsi=yFApOukUeEfnanEk Wale washabiki walingo ametoa goma lake jipya hili
@meddycr3 ай бұрын
Uenda Alikua Anataka ka Yachihoma..... Nahis move
@sesiliahussein77743 ай бұрын
Umefanya kiazi kinikabe
@MwanvitaBwaaa3 ай бұрын
Hii ndoa mmh ngojs tuone niko pale nimekaa mana ndoa zahiv bibi harusi kugail gsfla mbele uko kuna simtofahamu ila nawsombea sn wadumu
@NeemamussaMaitale3 ай бұрын
Hivi nivituko ili tufwatirie
@NdekejaKamuli-sh5pe3 ай бұрын
Mmmmh bongo kwa kiki cku hzi zimeendelea
@JanethJaneth-b5f3 ай бұрын
MINILIJUA TU ILE PETE YA UCHUMBA ILIKUWA PT ONE HI ARUC PT 2 SASA NASUBILI PT 3
@festohaule97163 ай бұрын
Toka mwanzo ilikuwa mbaya...Ringo ulimpiaje magoti Mwanamke Ili umvalishe Pete!!!!
@fatumazakalia-yx4kg3 ай бұрын
Kwani Ringo ndo wa kwanza kupiga magoti
@festohaule97163 ай бұрын
@@fatumazakalia-yx4kg Sio wa kwanza...bali Mwanaume ukipiga magoti umeolewa hivooo!!! Anayepiga magoti ni yule anayetolewa Mahali na anayeolewa!!!!
@reginacosmas8683 ай бұрын
@@festohaule9716goti ni ishara ya shukran ya makubaliano sio kama unavyodhani maana anaeomba ndoa ni mwanaume hvyo goti ni ishara ya shukrani
@MaryamKhan-zz6dh3 ай бұрын
@@festohaule9716magoti ya nini Kwan?
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Karogwa huyo uchawi unatembea
@DaliCamussaJoaoCamussa-qc7nv3 ай бұрын
Sasa kwanini amufanyi KAZI pamonja
@aby211113 ай бұрын
Hi bwana nakasrika nini.manamke naja dunia, hi bibi ni trouble life takuwa miserable. 🤔
@cheiknamouna20583 ай бұрын
Hivi ndivyo wanavyoingia kanisani kienyeji kumbe hakuna utaratibu hata kidogo naona vuruguvurugu tu
@RandB_Channel3 ай бұрын
Jamani yamekuwa hayo? Iyo ndoa itadumu kweli? Mchango yawatu mtarudisha 😃😃 simaajabu aya jamani bichekesho🤣🤣😃 jameni harusi ya pili inao barikiwa kwa Masanja zikaleta vituko
@AmosYusuph-cj6gb3 ай бұрын
Acheni utani basi bwana harus ana harisha hakuna duka la dawa hapo
@LucknessPeter3 ай бұрын
Mbn kama vile walilazimishwa kuoana jamani
@AniziaKamanzi3 ай бұрын
Presha ya nini utapeli huo
@SalumJuma-iz2gj3 ай бұрын
Alie muona mwanamke mwembambaa agonge laik 😅
@aminakasim11983 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@SalumJuma-iz2gj3 ай бұрын
@@aminakasim1198 hhh
@mrliverpoolynwa76413 ай бұрын
Kwa usanii wa zunde mchungaji anaweza kucheka😂😂😂
@mushtaqakram98433 ай бұрын
Mpaka kwenye harusi bado tu maigizo
@olicej78373 ай бұрын
Na mimi nimewashangaa 😂😂😂😂
@MariaMagele3 ай бұрын
Pili kazi unayo😂😂 sio kwa mimaiki iyo nilijua tu tin atavaa suti vipi masantula wapi jamani
@MwacheoHanzada3 ай бұрын
Kama alikuwa hataki mbona akawacha watu wafanye maandalizi
@meshackjackson28383 ай бұрын
Alie vaa gauni la pink kapendeza 🎉🎉
@linashayo20683 ай бұрын
Kiki hio harusi ya wachekeshaji kila kitu ni makubaliano iwe hivyo. Bado ukimbini mtasikia vitu vingine, all the best kwao.
@nshaijatedy55123 ай бұрын
Sio kiki umuon macho yamevimba
@CarolineMahenge3 ай бұрын
@@nshaijatedy5512kuna vitu vya kiki sio harus
@mohammedabdala75263 ай бұрын
@@nshaijatedy5512kiki
@hosianaeliud2433 ай бұрын
Ndio ya kulazimishana hiii bora tuu wasifunge maan dalili za mvua mawingu
@ShamsaFahad-n8v3 ай бұрын
Mwenye pnk kamzidi biharusi
@ndimimaskati36413 ай бұрын
Hapo hakuna harusi haitodumu.
@rehemanassor3523 ай бұрын
Acha kutabiria wenzio mabaya wewe. Hayo mawazo yako yasitimie kwa jina la Yeau
@evasilaa90643 ай бұрын
Wiki iliyopita pete wiki hii ndoa? Haya ebu tuoneee itakavyokuwa
@jamesjoseph68253 ай бұрын
Hii wameitengeneza wenyewe ili kuteka vichwa vya habari, ndoa ya wasanii
@FaidhaMlanzi3 ай бұрын
Pole lingo😊
@HASSANBAKARI-q9c3 ай бұрын
KIKI😊
@rahymaaa43573 ай бұрын
😂😂😂😂😂 harusi ilikuwa na vituko
@francismshote58173 ай бұрын
Kwa Hali hii mm kuoa bado sana
@VictorGosbert3 ай бұрын
Hii inaitwa ATTENTION
@JoyceKiheka3 ай бұрын
Jamaniii Pili Hivi Sina hamu na wasanii😂😂😂😂😂
@FatmaHamad-g6s3 ай бұрын
Bongo kilakitu kiki
@matildamoris36413 ай бұрын
Kwaiyo anayefungisha ndoa ni masanja?😂😂
@helencyprian87453 ай бұрын
Bwana hatusi hajui kucheza kabisa
@ishe_ngo89263 ай бұрын
Aaah watu wenyewe wanabariki ndoa sasa anakataaje?
@hassanomar81573 ай бұрын
Kiki za kijinga izo
@consolathJacob3 ай бұрын
Kusimamia harusi ya hv unawez kuamua kusimam wewe badala ya mwenzio mpk akij kukubl kilakitu tyr😅😅😅😅 hakuna zunde mwinginee popote chini ya jua awezae kujitoa nakutenda miujizaaa
@nasraAl-b1w3 ай бұрын
Ningekuwa ningevaa Shera nikajifanya ndo Belarusian mambo yasiwe mengi😂😂😂😂😂wasinichanganye
@GloryMtui-ym4ck3 ай бұрын
Waongo
@MiliamenockEnock3 ай бұрын
😂😂😂miwani ya nzude imefika penyewe
@richardmshiu51183 ай бұрын
Hizo ni kikiiiiiii,, hamna kituuu hapoo
@UpendoMtunguja3 ай бұрын
Hivi ni kweli au wanaigiza hawa
@pilicharo41233 ай бұрын
ringo na kipanga na vituko vyao😅😅
@ndimimaskati36413 ай бұрын
Bibi harusi anaitwa Zakia aligoma kuja kanisani kwa sababu inzonesha hahusiki katika ndoa ya kanisa. Jiulizeni huyo Zakia ni Muislamu? , kama Muislamu hiyo ndoa haikubaliki.
@رقيهالخصيبي3 ай бұрын
Nahis alibadili dini alikuwa anasali Kanisani kwa Masanja na Ringo kampatia hapo
@lunangabenjamin31213 ай бұрын
Lakini huyu mwanamke aliye olewa na ringo mbona sio.kwamaana kabla ya iyi arusi miaka 5 iliyopita kunabinti flani alikuwaga sana na ringo wote walikuwa waigizaji,ringo akasema ndo mchumba wake tena wote mashabiki wasimba.dada mmoja mweupe ivi kuna movie kacheza kama mke wa tin inaitwa tajiri mow.ringo kabidili sielewe.
@elvira93253 ай бұрын
Ndo hivo mambo hubadilika
@janetymatola66393 ай бұрын
Shetani ashindwe kws jina la Yesu
@FroraMichaer3 ай бұрын
Ameni
@SamwelishukuruShukurusamweli3 ай бұрын
😂Haha Martin no 1
@FocusNyari3 ай бұрын
Sema raha ya harusi ya makomedian hata wakizingua wanaonekaana ni wehuu tyuuu aichukuliwi seriously
@LucyMlowosa3 ай бұрын
C tunahc wanaigiza tu
@alphadreammedia3 ай бұрын
Kick Hawa 😅😅😅
@JumaSudi-w9d3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@SalmaSoko-vp8lg3 ай бұрын
😮😂
@josephlorri4313 ай бұрын
Comedy tupu
@simonseja75813 ай бұрын
Duu😂😂😂 pole ringo
@LugendoObedi3 ай бұрын
Hongera Mr Jacob
@Mwene_Jery3 ай бұрын
😂😂😂😂 ila tin white
@florianhenry71983 ай бұрын
Anaogopa mjegeje
@setiseti52813 ай бұрын
Pore ringo
@josephlorri4313 ай бұрын
Alimkuta Ringo anakunywa alkasus,na mfukoni ana vumbi la kongo
@tausifautini4073 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@NaifinMohamed3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@EmmanuelOwiti-fd4br3 ай бұрын
Itakuwa amepata mwingine
@lydi7913 ай бұрын
😂😂😂😂
@RashidKidume-w8e3 ай бұрын
Tatizo dini ndio shida hiyo
@mariaphilipo3 ай бұрын
Sasa apo mambo ya dini yametoka wapi alafu usifananixhe ndoa za kikrist na izo zingine wanazoowana leo kesho wanaachana
@FatmaHalfan-w3l3 ай бұрын
Chizi ww wakristo wangapi wanaachana Kila siku@@mariaphilipo
@florianhenry71983 ай бұрын
Bwege
@happnesskitumbo57133 ай бұрын
KIKI TU HIZI NINGESIKIA KWA MASIKIO YANGU MANENO YA BI HARUSI KIDOGO MNGENISHAWISHI.
@JumaSudi-w9d3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@kichefuchefu23823 ай бұрын
Ooooh kumbe
@kichefuchefu23823 ай бұрын
Heeee😂😂😂😂😂😂 bwana harusi anaharishaa😂😂 duuuuu
@nasraAl-b1w3 ай бұрын
Kuharisha is trying 😂😂😂😂😂
@Officials-kay_tz3 ай бұрын
Nimekuwa wakwanza toa koment
@kamarhelo3 ай бұрын
Kwaio
@ZakiaAlRamadani3 ай бұрын
Ila x Hana huruma
@NajmaSaid-sb2lh3 ай бұрын
❤❤😂😂
@MbongoBoy-yg9tq3 ай бұрын
Dh pole sn Ringo
@RAMADHANAllykibanga3 ай бұрын
Nyiewasenge munatafuta kiki mbwa nyie
@faridaabdallah74243 ай бұрын
Ex wa Ringo kishafanya yake😂
@zuhrazuhra6373 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀
@mariaphilipo3 ай бұрын
😂😂😂
@kamarhelo3 ай бұрын
Yani wew ndo umemaliza jambo 😂😂😂😂😂
@kassimchuo52903 ай бұрын
Hii comedy mpya au😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@twaibumikidadi73773 ай бұрын
Tatizo mifumo yenu ya ndoa na mazıshi sijui mmeyapata wapi Maana chuı kama Biblia imefundsha ndoa ziwe hivi Full ushetan tu hapooo!!!!
@jaropthebilldone16523 ай бұрын
Ushetani upo kwa baba yako nyie mbona mnaswali na majini upuuzi tu njoo kwa yesu uokoke karibu kanisani