Mimi nashangaa wanaopga vta ndoa ya ringo kisa dini kwani sisi wakristo hamna majina ya Yusuph mbn ht kwny bible ameandkwa vzr tu ht mm namtoto anaitwa yusuphu mwng anaitwa ayubu km mungu asingetaka huyu dada kuolewa basi angezuia mpk kaolewa ina maana Mungu kabariki
@Zeanbo1234-pn8tg3 ай бұрын
7:44
@aminaomary55673 ай бұрын
Kweli Khadija kubadili Dini sio suala la mchezo. Mimi nakumbuka baba angu alisema ukipata bw wa Kiislam mahali ni sh 100 ni kweli ikawa nikaolewa ndoa ya dini yangu baba yangu alifurahi sana akapakaa Jivu usoni kote kwa furaha yaan. Hadi sasa ndoa yangu ina miaka 45 hivi.
@ZulekhaAmar-fy4pm3 ай бұрын
45 mashallah shkamooo
@restutacostantine503 ай бұрын
Mhhhhhhh na wewe una miaka mingapi
@JaneKikoti3 ай бұрын
@@restutacostantine50 🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana unapoulizia yeye ana miaka mimgapi
@victoriarwerengera48312 ай бұрын
@@AshaLidu-tx9nsDah! Umepatwa na maswahibu gani? Mbona hivyo mdogo wangu?
@HellenMendard3 ай бұрын
Alafu nyie munaosema waislam amuwezi kubadili dini sijui kapotea, nyie ndiyo wabinafsi ,kwaiyo mumeona wakristo ndiyo awana msimamo na dini yao au,acheni kugawanya dini ,watu wote ni sawa ,na akuna dini bora zaidi ya nyingine
@ukhutfatumah11543 ай бұрын
Yaaaan waandishi wengine waovyo sana yaaan kilichosemwa kingine ili MLADI TUangalie interview
@mr_kajomba_og57193 ай бұрын
Yani mke wa Ringo amekataa kuolewa na Ringo Sasa ndo umeandika nin hapo
@careennkuwi3 ай бұрын
Anajibu maswal ipasavyo jaman amejitahd na saut nzur
@mapishiyetumazuri23123 ай бұрын
Shinda wazazi hawakufundisha ndini sio makosa yake lakini wazazi tujitahidi kuwaleya watoto wetu kimadili Mazuri
@Shunah773 ай бұрын
Kwa kwel😢 tunaanzia kwa wazaz wetu elim ya din ni muhim sana
@Sisopotashiumz3 ай бұрын
Hii laana mzazi mungi wa pili,asipo ridhia utashangaa mwenyewe
Mtihani mkubwa sana Kala hasara kubadili dini looo subiri kdogo utaona raha ya kubadili dini
@magrethdastanhaule34493 ай бұрын
Wivu tu unakusumbua😂😂😂....nenda kamshauri na fahma wa rayvanny kabla hajafunga ndoa na yeye......haya na vipi kuhusu paula wa marioo naye asi atabadili dini.., mtazoea tu
@boyochu13083 ай бұрын
Fikiri kabla ya kunena, mfano angebadili kuwa muislam napo ungeongea hivyo?
@JaneKikoti3 ай бұрын
Mungu ni yule yule acheni kuangalia dini huo ni udini
@eggysulle79883 ай бұрын
Kidada kimodo saaf 👌🔥🔥
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs3 ай бұрын
Nimempenda huyu bi arusi hadi rahaa❤❤❤❤
@aminaomary55673 ай бұрын
Ashalindu hilo neno la mbwa linakujaje.Kwani mimi nimekujibu wewe nimemjibu Khadija. Sitaki matusi halafu mimi sio umri wako.
@MariamIbrahim-h7p2 ай бұрын
Kwenye ndo September mitihaniie akikoseie niulize mimi niligumukae silu yae studied nikatulizwa tn
@NamiriNamiri-oz4xs3 ай бұрын
Wee muandisbi njinga kweli Sasa kakataa nn hapo au ndio kutaka watu waangalie
@kdloon20303 ай бұрын
Mke halafu kakataa kuolewa?Hawezi akawa mke kabla hajaolewa.Uandishi wa habari wa hovyo sana,hawana elim ya wanacho kifanya!Mxuuuuuuuuh😢
@ramagazet13623 ай бұрын
Tanzania vyombo vya habari ni vingi havizingatii qualifications za profession yao
@peterludovick70203 ай бұрын
Sure
@nahlahassan-fd6le3 ай бұрын
Ndonamie nmeshangaa hapa,michizi hii😂😂😂
@MwanahamisSeifu3 ай бұрын
😂😂😂😂
@JosephDamasimushy3 ай бұрын
Koment utumbo na hunakazi
@ashamohdjuma63253 ай бұрын
Bila shakaa kikwazo ilikuwa ni utofauti wa dini,, huenda ikwa hvo but sina uhakika
@abbykashuba43323 ай бұрын
Waandishi wa abari acheni ujinga kilicho andikwa kwenye kichwa Cha abari kingine na kinacho hojiwa kingine
@MariamIbrahim-h7p2 ай бұрын
Mwanamkee mzuri
@esterkimalio88463 ай бұрын
Nyie waandishi wa habari kheeee lichoandika na kinachoongelewa hapo sio wapuuzi
@glorydaniel86243 ай бұрын
Mmmmmm sa kukosana kidogo tu ndo ukatae ndoa au ndo ilikuwa kutiana hasara ,,Ila we kupotezea ahaaa
@omanoman20442 ай бұрын
Kumbe oabadili din kaenda kwenye ukirsto wallah umepota ndug yangu kwa mme gan yule duuh pole ndug yangu hapo umepotea
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur4 күн бұрын
msenge wewe kwaiyo dini yako ya majini iyo ndio ya kweli
@ndimimaskati36413 ай бұрын
Huyu dada haijui Dini yake ndio maana zjawa anafanya Zinaa kabla ya ndoa.
@Bahati473 ай бұрын
Doh! Innalillah wayna ilayh rajiun 😢
@aishaarusha8943 ай бұрын
Yani 😢
@Shunah773 ай бұрын
Innalillah wainna ilayhi rajiun 😢
@ukhtymwana403 ай бұрын
Dah waislamu tunaishi 😢
@JohnUruban2 ай бұрын
Wanahabari feki
@JannatShemboza3 ай бұрын
Mke mchumba ,
@suzysam60023 ай бұрын
Dada unamajibu mazuri sana
@najmahhassan78533 ай бұрын
Bac Sawah dada khadija, bwana asifiwe 😂😂😂
@sallysafisanakijanakazibut16883 ай бұрын
Yaani mdada yuko vizuri sana sana
@SarahPeter-s2r3 ай бұрын
Ujue yandan yawatu ili iweje.
@rizikisam64813 ай бұрын
Yaani unavosema kama sawa eti niachane na ili swala kwanza uoni mwenzio alikuwa ameshajipanga
@KoleYasini3 ай бұрын
Mke kazi ipo, nakumbuka chanuo..miaka 7 mnamuasi Mungu tu..
@sallysafisanakijanakazibut16883 ай бұрын
Mtangazaji acha umbeya
@wadauwasizoni3 ай бұрын
Hamfai kuwa waandishi kabisa
@sallysafisanakijanakazibut16883 ай бұрын
Nyinyi wambea kweli
@mapishiyetumazuri23123 ай бұрын
Zinaa Mika saba
@Farajahelene230313 ай бұрын
Cute bride
@doriceernest47183 ай бұрын
Kichwa Cha habari na habari ni tofauti
@AmAlialaa3 ай бұрын
Mwanamke ndio kubadili dini
@aishaarusha8943 ай бұрын
Inalilah wainailah rajiun
@bethmahela21823 ай бұрын
Anaongea vizuri
@marygregory75663 ай бұрын
Ana macho mazuri
@hillarimtambo4823 ай бұрын
Chioma wetu❤❤❤❤❤❤❤
@robertmchocha77193 ай бұрын
😂
@sallysafisanakijanakazibut16883 ай бұрын
Sasa uko vizuri unajibu point
@yukundapeter82003 ай бұрын
Muwe mnaolewa mkiwa org.Sasa macho ya ajabu2
@SamsunGalaxy-e5k3 ай бұрын
Umekula hasara shoga. Umebadili dini duh mtihani
@mohammedmajeed56483 ай бұрын
Uhakika kakosea
@magrethdastanhaule34493 ай бұрын
Wivu huo unakusumbua...nyie mmezoea wanawake wa kikisto tu ndo wanabadili dini.... upendo upendo tu mwenzio kapenda kwa mkristo😁❤
@salhamrishoi49433 ай бұрын
Waja bhana hapo angekuwa mkristo na hakaingia uslam hapo wee ongera kama zote lakini katoka uslam kaja mkristo maneno waja dini imani jamanini kulalamika2 kuoga aaah😅😅😅😂
@THELEZASIPRIANI-xi8uo3 ай бұрын
Wabongo tunazingatia vitu vya kijinga sana et oooh dini ko nyumbn kwako unaenda kuishi na dini ya kiislamu au kikirsto ebu angalia mtu kma anakufaa din kipengele cha ziada sana kma utajua umhim wa mtu na cyo dini
@nahlahassan-fd6le3 ай бұрын
@@magrethdastanhaule3449Hakuna mwenye wivu hapa, huyu biharus han akili, dini ya kikristo sio dini sahihi kabisaa na hatodumu nae.
@ndimimaskati36413 ай бұрын
Hapo hakuna ndoa Muislamu kwenda kanisani kuomewa, haikubaliki dada yetu umepotea waulize mashehe.
@AlfaCharles-e8h3 ай бұрын
Badili naww uolewe make povu limekutoka san
@aishaarusha8943 ай бұрын
@@AlfaCharles-e8h inalilah wainailah rajiun
@aishaarusha8943 ай бұрын
@@AlfaCharles-e8hwewe kafiri na uyu biharasi kafiri😢
@madetetv65763 ай бұрын
Hata wewe ni khafiri@@aishaarusha894
@AgnesDavid-et3zn3 ай бұрын
Wivu tyu badili na wew
@rehemanassor3523 ай бұрын
Hakuna lolote walikuwa wanatengeneza kiki tu
@faudhiasalum72793 ай бұрын
Hongera sana dear mashalllah 🎉
@pelusiemanueli69263 ай бұрын
❤hongera
@iddsimba38493 ай бұрын
A beautin one❤❤❤
@sallysafisanakijanakazibut16883 ай бұрын
Ameisha kwambia walikwazana kidogo huachi
@nolexkanyittahsuit3 ай бұрын
Jiongeze bana mwandish wa habar kukataa kulewa dini na mama kuto kuja eeh
@ChenchiKing3 ай бұрын
Kuongopa Caption Ila Kuoga Aaaah
@RajabuHayyan3 ай бұрын
😅😅😅😅
@musicschool_tz70143 ай бұрын
Ameshakuwa mke, ila kabla ya ndoa yao alifanya mgomo kwa sababu zake zisizoweza kuwa public. Mwandishi hajakosea, angekuwa hajaolewa asingemwita mke wa Ringo. Je we mtazamo wako ni upi? Je ungemwita vipi katika kichwa cha habari?
@musicschool_tz70143 ай бұрын
Halafu wameshaishi kabla ya hii siku ya ndoa. Manake wamehalalisha tuu ndoa
@musicschool_tz70143 ай бұрын
Hawa wamehalalisha ndoa maana walishaishi kwa miaka kabla ya hii siku.
@FaridaFaridaseif3 ай бұрын
Wametoka kwenye umaskini. Na tamaa ya visent. 😂
@FatmaMohammed-ry8yo3 ай бұрын
Pole sana Allah akurudishe ktk njia iliyonyooka urudi ktk uongofu utoke ktk upotofu
@AlfaCharles-e8h3 ай бұрын
Wivu unakusumbua tyu, je Ringo angebadil din ungeongea, acha watyu wapendane, mungu ni mmoja mkristo Muslim wote niwatoto wa mungu
@Dianamwansasudddw3 ай бұрын
Na wote tunamsubiri huyo mmoja.acha maneno mengi jamani
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur4 күн бұрын
waislamu wengi ni mambumbu yani wewe huyu dada wa kiislamu kuolewa n mkristo ni shida
@Naju6453 ай бұрын
Mkee akataa kuolewa😅😅😅😅
@chunaamina8783 ай бұрын
Weh huogopi
@mwanahamisijuma72703 ай бұрын
Nani kabadili dini
@Mtoto-ig5vw3 ай бұрын
Mke
@HassanSadiki-l5c3 ай бұрын
Ndoa imefungwa kw maadili ya ukiristo Ina maana dada yetu ameamua kuritadi .....
@Aisha-lj8bu3 ай бұрын
Ndio
@halimashaban38583 ай бұрын
Kiki hadi kweny ndoa
@aminaomary55673 ай бұрын
Kubadili dini kazi kweli yaan. Na ndio maana wazee wake hawakuja kanisan.
@KhadijaMohammed-jq8pz3 ай бұрын
Zaid kw mwislam kuritadi😢mtihan mkubwa allah atunusuru atujaze imani
@FaridaFaridaseif3 ай бұрын
Umeacha dini ya haki? Kisa visent vya komred?
@esterMahenge3 ай бұрын
Kazurii kana akiri kana jibu vizurii❤
@HappyCharles-h5z3 ай бұрын
Mbona kama
@JosephinaJohn-s3t3 ай бұрын
Kwanza nikabaya
@laninjeje82903 ай бұрын
Hii media wahudumu wote mnatombwa na wachawi sio bure, kichwa Cha habari na stori havina uhusiano
@TellaaxisTz3 ай бұрын
😮#tellaaxistz
@hawasaid66253 ай бұрын
Kanisani Na piko jamani
@fatmasaid66603 ай бұрын
Kwani hairuhusiwii au vp😮
@nahlahassan-fd6le3 ай бұрын
Yaani huyu mkewe ringo na fahima woote michizi, mtot wa kiislam kweli ubadili kuwa mkristo?? Hawa waislam jina tuu uislam hawaujui, haya bado ya fahima sasa na yy afanye afunge ndoa haramu.
@AlfaCharles-e8h3 ай бұрын
Badili naww naona povu linakutoka san
@mariumseif67513 ай бұрын
Yaani wewe unayemwambia mwenzio kafuata dini ya haramu unaweza kuwa mwanaharamu kuliko yy yy hana uana haramu wowote na ukristo sio uanaharamu ni dini pia haramu ni matendo yako
@madetetv65763 ай бұрын
Hata ww badili nikuoe mimi
@LutfiaAbdalla3 ай бұрын
@@mariumseif6751😢
@LutfiaAbdalla3 ай бұрын
Loh poh mwanamke wa kiislam kubadili dini
@irenemakundi-og9xg3 ай бұрын
Anamajb mazur
@mohamedomari61293 ай бұрын
Hakuna mke
@Halimahassan-x5j3 ай бұрын
Duu jamani mbona kama kabadili dini jina lake na lababa Ake Bado ya kisilam au mm nimesikia vibaya pale kanisani
@RajabuHayyan3 ай бұрын
Kabadil.din
@mussamalekela21073 ай бұрын
Hakuwa kuwa na dini huyo miaka 7 ndani ya zinaa!!!