KIJANA ABUNI UMEME WAKE, UNAZALISHWA KWA UPEPO, HAUJAWAHI KUKATIKA MWAKA WA 21 SASA ...

  Рет қаралды 9,350

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 32
@benjaminjoseph1747
@benjaminjoseph1747 2 жыл бұрын
Wow! Ubunifu wa hali ya juu. Hongera sana. Watu wana vipaji, vinahitaji kukuzwaaaa.
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 2 жыл бұрын
Kweli wanavyo Ila inge KUWA kipindi Cha MAGUFULI hapo sawa lakini kipindi huki Cha KINA JANUARY MAKAMBA WATAHUKUMIWA kuanzisha mtambo bila kibali JANUARY MAKAMBA KINA NAPE NAUYA WEEE HAIWEZEKANI kuendelezwa MAGENERETOR YA WAZUNGU YATAPATA WAPI MASILAHI
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 жыл бұрын
Ni bora ili tuwakomeshe Tanesco wanao katia wanachi umeme makusudi 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
@gwijitv
@gwijitv 2 жыл бұрын
Kama umegundua Mzee hamalizi sentensi bila kisema neno KUMBE, Gonga like hapa
@MR.T490
@MR.T490 2 жыл бұрын
a very good project well done👍... mungu akufungulien maarifa zaid
@JIWEtv6484
@JIWEtv6484 2 жыл бұрын
Mungu akulinde coz kwa nchi yetu wanaweza kukukatisha usiutumie coz unakuwa umeingilia masirahi ya watu, mfano yule mtoto wa kigoma aliyebuni studio ya radio yake.
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 жыл бұрын
Dah! Hongera sanaaa Hii Safiiii sanaaa dah! Umetusaidia sanaaa🤲Ubarikiwe 🙌🙌🙌Mrusi Hana Chake Mwafrica Mungu mwema 🙏
@EM2916
@EM2916 2 жыл бұрын
Hi, nipo Kenya naomba uniunganishe na huyu brotha anitengenezee kwetu .
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 2 жыл бұрын
Global aksante kwa kuwaibua familia hii tunaomba mawasiliano yao
@husseinbakary1969
@husseinbakary1969 2 жыл бұрын
Safi sana njoo mnifungie na mimi tanesco hadi leo hawajatufungia umeme na tupo mjini
@IbrahimuHossa
@IbrahimuHossa 10 ай бұрын
Ongeren idea nzr, vp kuhusu betr tatu ulizoziunga ndn je zna sustain kwa mda gn kwa huo mda unaowasha invertor , mn invertor inaconvert umeme wa dc kuwa ac 220v-240v , natmn kwl kuljua hlo , mn ht mm nmept wazo kutkea kwny hlo wazo 🤔
@jskconceptscreativity1575
@jskconceptscreativity1575 2 жыл бұрын
big up san mwamba jsk nafatia soon
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 Жыл бұрын
Naomba namba yako broo. Nipo Tunduma
@victormushi6641
@victormushi6641 2 жыл бұрын
hii nchi ina watu wana akili sana, watu wamekalia kuangalia wazungu tuu
@mosamossile9113
@mosamossile9113 2 жыл бұрын
Tallent
@vibetz9991
@vibetz9991 2 жыл бұрын
Mashine zisambae nchi nzima Tanesco ifungwr au?
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 2 жыл бұрын
Tanesco chokambaya umeme mgao kila uchao.
@JIWEtv6484
@JIWEtv6484 2 жыл бұрын
Watajuwa wenyewe wafunge au waache, au wawekwe kwao
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 2 жыл бұрын
Waafrica hupeana mishahara mikubwa sio kuinua vipaji ili ajira ziongezeke. Miziki ya sasa nikuharibu watoto
@kasianngungo9769
@kasianngungo9769 2 жыл бұрын
Namba zao jaman
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 Жыл бұрын
Tafadhali nitumie namba yako
@leith87seif55
@leith87seif55 2 жыл бұрын
Nice
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 жыл бұрын
Njoo unifungie kwangu huo umeme ili tanesco wanikome
@ibrahimnyanda7451
@ibrahimnyanda7451 2 жыл бұрын
Duuuuuh wakukome😃😃😃😃
@ndayijeanclaude5094
@ndayijeanclaude5094 2 жыл бұрын
Sasa mbona alie utengeneza siyo yeye anatueleza jinsi unatumika ?
@renatusmakolo9023
@renatusmakolo9023 2 жыл бұрын
Nategemea waendelezwe zaidi na sio kuwakataza
@victormushi6641
@victormushi6641 2 жыл бұрын
jiandae kuja kutoa mzee na kupigwa marufuku utengeneze tena
@tatutatu1570
@tatutatu1570 2 жыл бұрын
na mimi nataka
@gazzowamikazo6987
@gazzowamikazo6987 2 жыл бұрын
nipeno yao nautaka uo umeme siutak umeme wa luku
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 2 жыл бұрын
Kichwa Cha habari ni uongo, umeme haujawahi kukatika miaka 21 na umegunduliwa na huyu kijana ana miaka mingapi? Sema umeme ulitengenezwa na baba yake
@georgejosephulaya1711
@georgejosephulaya1711 2 жыл бұрын
1. Kijana amezalisha mashine Mya 1500watt na mwingine ametengeneza 60 watt. 2. Hapo Kuna mashine mpya na ya zamani.
@EM2916
@EM2916 2 жыл бұрын
Kijana amefundishwa na babake kutengeneza yake kwa hivo kijana alipata kukiwa na umeme uliotengenezwa na baba
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН