Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@asubuhisalmon-gh6fr3 ай бұрын
Tanzania nzima mkuu wa mkoa ni mmoja tu Makonda baba piga kazi.
@babuuosama87523 ай бұрын
Makonda dua za hao wazee ni borah kuliko mali Chapa kazi kuwa komowa matapeli
@sebastiansalamba3134 ай бұрын
Makonda angekuwa mkuu wa mikoa yote tanzania hakuna cheo hicho?
@majidfrolian49044 ай бұрын
😅😅😅😅😅 tumwombe Mungu hiko cheo kitokeeeee, kila mtanzania mnyonge anamtamani Makonda
@oscarcharles96243 ай бұрын
Awe rais kabisaaaa❤
@maasaiafricanguides57173 ай бұрын
Mkuu wa mikoa Yote si mkku wa nchi? Hicho cheo kina mwenyewe
@kiboshokiboshomungumkubwa77894 ай бұрын
Mbona wa kuu wa mikoa mingine wako wapi waige kwa makonda
@Juke9953 ай бұрын
Yan mzee na cheo sijui gan hajui maan ya mtoto yatima 😢mtoto yatima ni aliefiwa na baba sio lazima wazazi wote wafariki. Makonda anafanya vizuri sana
@patrickmukundichalamila30383 ай бұрын
Yatima ni mtoto alie fiwa na wazazi wote
@Juke9953 ай бұрын
@@patrickmukundichalamila3038 yatima ni mtoto aliefiwa na baba sio lazima na mama hebu rudi shule kwanza ukamalizie madarasa uliobakiza
@patrickmukundichalamila30383 ай бұрын
@@Juke995 Inaonekana hujui so kaa hivo hivo
@anithawidambe75434 ай бұрын
MAMA SAMIA HOOOOYEEEEEE MUNGU AMEKUTUMA KUCHAGUA MAKONDA AWE KIONGOZI WAWANYONGE KM WEWE MAMA SAMIA UNAVYOSAIDIA WANYONGE
@PetroMwita-yc2uy3 ай бұрын
Kumbe magu aliona kitu kikubwa kwako mapema ndomaana Yani uncle magu alikuwa anaona mbali sana
@angelanaftael79653 ай бұрын
Sana.. magu alikuwa mcha Mungu
@LucasNtalima3 ай бұрын
Makonda ndie rais manawatanzania tunapenda haki sio vyama tunaamini makonda hatakuwa na upizani
@thedon84674 ай бұрын
KIONGOZI mwenye KUJUA MAJUKUMU YAKE
@GibsonNtamamilo4 ай бұрын
Ingewezekana angekuwa Waziri wa kushughurikia kero za wanachi ili azunguke nchi nzima awe anaweka kambi tu hata kwa kuchanga gharama za posho yake tungechanga.
@user-zt6re1dr5f3 ай бұрын
Wizara ya kushugulikua kero za wananch iundwe,watu mnaona shda hz viongoz wengne muige ht c kwa asilimia mia,oneni kinana huyuuuuuu?????❤❤❤❤❤❤
@chivatasabihi3 ай бұрын
Huyu ndiye Naibu MP.... Ajae...
@user-lu4ve2se5p3 ай бұрын
Kama ingewezekana mama yetu kipenzi msikivu samia suluhu hasan angeongeza wizara ya kusikiliza kero za wananch na makonda awe waziri wa wizara hiyo atembee nchi nzima jaman huku mikoan kumejaa dhuruma viumbe wa mungu wanahangaika
@user-mx7mi6pd6q3 ай бұрын
Ushauri mzuri sana.
@yukundapeter82003 ай бұрын
Hilo mama mdogo ni mbwa,limeingia kwa nyumba yenu kichawi,leo hiii watoto wa mke na mke mkubwa Mungu atawapa haki yenu.Limke lidogo lichawi.
@MwanaishaShattry3 ай бұрын
Wewe si yatima kabisa usijidai. Yatima ni mtoto aliyefiwa na baba yake akiwa chini ya miaka ya balegh tena awe mwanamme. Mwanamke anakuwa mkiwa. Mwanamme akishakuwa umri wa balegh pia huwa si yatima tena. Maana kama aliyefiwa na wazazi ni yatima basi ulimwengu mzima mayatima. Kiswahili lugha yenu lakini maana ya maneno ya lugha yenu hamuijui. Wewe si yatima.
@reginakatele88293 ай бұрын
Wewe ni musa
@MartinhoMartinho-rj2es4 ай бұрын
Ndugu Makonda.ww.ni.seremani.
@user-ty2kc5jy7s3 ай бұрын
Dada amefanana na mamaake copyright huulizi
@deadcrush4 ай бұрын
Mahakama hiyo….
@RenaldaZeramula3 ай бұрын
Jamani somesheni watoto. Sasa baba mdogo.anatunza hukumu. Kwani yake?
@aliabdallah84563 ай бұрын
Watu wa huko Arusha hakuna cha mwanamke wala mwanaume dhuluma zimo ndani ya damu zao kaa nachonjoo watakuliza sasa hivi
@JohnMunisi3 ай бұрын
Muheshimiwa makonda wakuloge wagaragaze baraka za Hawa wazee zitakulinda.
@aliabdallah84563 ай бұрын
Kwa nini watu wanarombaya sana hivi
@user-tp7bz9ep2l3 ай бұрын
Makandawira wengin achan nao wengin makond
@HappinessMamuya3 ай бұрын
Yatima ni yule alifiwa na wazazi wte ama mzazi mmoja wapo wote ni yatima
@magdalenapeter4193 ай бұрын
Weee umesomea wapi? Yatima hasa ni aliye fiwa na Baba maana baba ndiyo mtafutaji ktk kuitunza familia
@Rolemodel_wa_taifa3 ай бұрын
Yatima aliyefiwa na Baba na awe chini ya miaka 18
@hisanmwakijungu103 ай бұрын
Si mtafute aldh zenu aaaaah acheni kusumbua mahakama