INASIKITISHA! CARINA AANZA KUPOTEZA KUMBUKUMBU - MWANAYE ANAUMIA - "NATAMANI na MIMI NITOKE na MAMA"

  Рет қаралды 100,052

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

INASIKITISHA! CARINA AANZA KUPOTEZA KUMBUKUMBU - MWANAYE ANAUMIA - "NATAMANI na MIMI NITOKE na MAMA"...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 752
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@jarsjam8894
@jarsjam8894 Жыл бұрын
Allah kakupa mtihani ili urudi Kwa Allah
@PEVINANIYONZIMA
@PEVINANIYONZIMA Жыл бұрын
jamani mpekeni kwa mwamposa jamani
@PEVINANIYONZIMA
@PEVINANIYONZIMA Жыл бұрын
na imani atapona mpekeni hata m umuache kanisani inauma jamani mpekeni akachukue mafuta na maji
@estherjonas8466
@estherjonas8466 Жыл бұрын
Pole Mm kwa iman na Kumtegemea Mungu wetu ni Mmoja. Jamani Mpelekeni Kwa Mwamposa please please.❤❤
@CatherineLugoma-iy9mq
@CatherineLugoma-iy9mq Жыл бұрын
Globaltv_ online muunganisheni na Bishop Elibariki sumbe kama atakuwa tayari
@SaumuIdd-h6n
@SaumuIdd-h6n Жыл бұрын
Shekh nurdin kishk ,uthman Michael $maalim ,shekh walid na wengine msaaidieni dada etu kwa kisomo ...na inshaAllah Mungu ataleta rehma zake ..nifuraha yetu kutaka kumuona daa hawa akiwa bukheri wa afya
@SalmaSamir-df3tz
@SalmaSamir-df3tz Жыл бұрын
😭😭😭 Ya Rabbi tunakuomba wewe uliye umba mbingu pasina nguzo YAA Allah msaidie hawa apone anateseka sana inshaallah Allahuma Ameen 😢😢😢
@FaridaAli-ud5xb
@FaridaAli-ud5xb Жыл бұрын
amiin thuma amiin
@alexvenas2699
@alexvenas2699 Жыл бұрын
Amina
@hidayaalisaid1083
@hidayaalisaid1083 Жыл бұрын
Amiin
@bintyramadhani7585
@bintyramadhani7585 Жыл бұрын
Amn yarabii 🤲
@aishaisbarty3934
@aishaisbarty3934 Жыл бұрын
Amen ishallah
@angelaminde1247
@angelaminde1247 Жыл бұрын
😢😢😢😢Hatuna mponyaji mwingine zaidi Mwenyezi Mungu yeye ndio kimbilio na mlango pekee. TUMWOMBEE MWENZETUU JAMAN😢😢 UGUA POLE NDUGU YETU
@bahatidominic8923
@bahatidominic8923 Жыл бұрын
Mungu akuponye Hawa 😢😢
@ivyroses9019
@ivyroses9019 Жыл бұрын
Mungu amponye 🙏❤
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 Жыл бұрын
Jamani mtoto ameongea neno la uchungu,pole mwanangu muombee mama Mungu atamponya😢😢
@gladnessfinda7534
@gladnessfinda7534 Жыл бұрын
Mungu tusamehe wanao hatuna wakumkimbilia zaidi yako. Tunaomba uponyaji wako juu ya Hawa
@KhananiGharib
@KhananiGharib Жыл бұрын
Rekebisha kauli mungu hana watoto
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
​@@KhananiGharibhukumfahamu vizuri kakusudia viumbe vyake sio Kam wanae ndokatuzaa, tuitikie aamiin thumma amiin
@KhananiGharib
@KhananiGharib Жыл бұрын
@@nahlahassan-fd6le kiwajibu basi alikuwa aandike tu viumbe sio wanao ili afahamike naww ulisema hivo ufahamike apo hapana neno viumbe Kuna wanao juwa kutofautisha maneno sio sikumfahamu Bali yeye katika kuandika alipaswa atumie neno viumbe sjuwi umenielewa. Bila hivo ningumu yoyote kumfahamu apo
@KhananiGharib
@KhananiGharib Жыл бұрын
Rudi tena Kwa sentens aliyoiyandika na uipitie vyema ndiomana mm nikaweka sawa kuwa hajazaaa Wala hajazaliwa alipaswa atumie neno viumbe sio wanao sawa
@SamsungA03core-tz7sz
@SamsungA03core-tz7sz Жыл бұрын
Kwn kuna haj gan yakupanik katik kukosea kw mtu wakt lengo ni kumuombea dua mgonjw apone nasote tunafaham? Tuachane na ngonjera zakipuuzi kuleteana mafunzo ya uzungumzaji kweny wakt usio sahihi.
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Uyu dada anahisi maumivu makubwa Sana kiasi anakosa cha kuongea na ametawaliwa na msongo wa mawazo kiasi anapoteza kumbukumbu...ewe Mollah wangu mlezi kama kuna mwanadam anajishughulisha na HUYU Hawa Kwa hii Hali yarrab nakuona shughulika na nafsi yake 🤲📌🙏
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Жыл бұрын
Pole sana mama nyie kuuguza ni kazi skia tu kwa mtu mwingine 😭😭😭😢😢 pamoja na mtoto
@rosemarymathias4938
@rosemarymathias4938 Жыл бұрын
Mungu aliyekuleta duniani ndio jibu la matatizo yako dada, pole sana kipenzi Mungu akuponye 🙏
@GiftAbduly
@GiftAbduly Жыл бұрын
Kuna sisi n wazima afu tunalalamika Yaraab tusameh waja wako tunakuomba umponye huyu mja wako yah Allah ameteseka sna😢 pole mama na mtoto pia polen daah😢😢😢
@MwanaidiSalehe
@MwanaidiSalehe Жыл бұрын
Kbs mimi to peleshen moj na na nilion natk kupotez kumbukumbu asa yy 21 lazim mungu amsimamie 😭😭😭
@DianaLugola-ew1rc
@DianaLugola-ew1rc Жыл бұрын
Pale mwanadamu anapoishi ndipo Mungu anaanzia... Yn huyu dada atapona na atakua na afya njema Mungu ni mwema sana
@marietacristovao1387
@marietacristovao1387 Жыл бұрын
Inshallah
@qttqqq1982
@qttqqq1982 Жыл бұрын
Amiin
@marietacristovao1387
@marietacristovao1387 Жыл бұрын
Amina🙏
@claramboya2018
@claramboya2018 Жыл бұрын
Amen 🙏
@jescamassawe7824
@jescamassawe7824 Жыл бұрын
Amen
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 Жыл бұрын
Huyu Masha Allah ,hafi mpakasiku ya Mungu ifike , mana anajikubali kwahiyo yake hali , tabasam lake ni Subira na Afya maalum kwenye roho yake ,Allah unajua tusioyajua nautamtendea lililonakherikwake ,AMIN😢❤❤❤
@NasraNasra-l9q
@NasraNasra-l9q Жыл бұрын
Allahumma aamiyn 🤲
@ishaanizkeah8814
@ishaanizkeah8814 Жыл бұрын
Amiin
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Жыл бұрын
Allahuma Amin
@ToneTone-ll3qb
@ToneTone-ll3qb Жыл бұрын
Allahu ampe subra
@frankmlalila1705
@frankmlalila1705 Жыл бұрын
Sitaki kuhukumu lkn km kuna mkono wa mtu wallah allaniwe kbsaa,binadamu gan unakosa huruma kias hiki dah😢😢😢😢
@zoab2699
@zoab2699 Жыл бұрын
اللهم اشفيها شفاء لا يغادر سقما اللهم امين يارب 🤲
@lissamaryam7292
@lissamaryam7292 Жыл бұрын
Subhanallah 😢😢😢mwili umechoka na kuumwa ndo maana akili imeanza kupoteza kumbu kumb😭😭😭Allah akupe shifa hili liwe jaribu tu la maisha Yako hapa duniani😢😢😢akupe afya njema Uwe mja mwema Subhanallah
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 Жыл бұрын
Mungu mtenda miujiza msaidie dada huyu mponye kabisa,kwa jina la yesu.
@omanmobile5746
@omanmobile5746 Жыл бұрын
Ewe ulie hai ewe mwenye kusimamia mambo yote bila kuchoka bila kutaka msaada wa mtu kwa rehema zako naomba umssidie huyu dada ALLAH🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 Жыл бұрын
Dada Imelda unafanya kazi njema sana ambayo haitasahaulika mbele za mungu!keep it up
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 Жыл бұрын
Sana hyu dada imelda Mungu pia amzidishie kwa kumfatilia hyu dadaetu
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 Жыл бұрын
Huyu Dada anatia huruma sana 😢😢nakumbuka alisema chanzo cha tatizo lake aliota amechomwa kisu tumboniii✍️Sasa kwa hali iyo angeanza maombi iyo inshu yake ilianzia Rohoni 📌❤️🇹🇿
@happyfania9384
@happyfania9384 Жыл бұрын
Kabisa
@lisamandela9987
@lisamandela9987 Жыл бұрын
Jamn maombi
@theresaelizabethelijah117
@theresaelizabethelijah117 Жыл бұрын
Uchawi upo jmn tuombeni sana pamoja na mfungo mungu wetu halali mimi pia nilimuota kakangu yani tumbo moja baba na mama ananinyonga na kamba kuanzia hio siku nikapata matatizo ya koo ilijaa kohozi la usaha ghafla ilikua miaka miwili kupona namshkuru mungu huku ulaya kuna matibabu mazuri hivi sasa nimepona 😢 Hata Carina pia atapona wasichoke kuomba 🙏
@elizakasonta4129
@elizakasonta4129 Жыл бұрын
Daaa nalia kwauchungu kweli 😢😢 mungu akuna kinacho shindikana kwako muponye hawa kwa jina la yesu
@fatumakiwera7145
@fatumakiwera7145 Жыл бұрын
Hata sura imeanza badilika maskin ,Mungu mponye ya Allah
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
😢😢😢yn kakonda wallah daah 😢😢
@batulimabewa6953
@batulimabewa6953 Жыл бұрын
Kabisa yaani
@leahchallod3912
@leahchallod3912 Жыл бұрын
Jaman
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Amen
@habibahassan9738
@habibahassan9738 Жыл бұрын
Yaa rabby mponye dada uyu🤲🏽🤲🏽🤲🏽😭
@carolinerubeya7817
@carolinerubeya7817 Жыл бұрын
Mungu wetu mwenye nguvu baba wa milele,mtazame kwa jicho lqko la huruma mwanao,Umpe uponyaji ameteseka pakubwa sana,Inatosha Baba tenda jambo juu yake akawe mzima tena😭
@aishaomar9621
@aishaomar9621 Жыл бұрын
Yaa raaby mswehe dada hawa kwa aliokukosea mpunguzie mazito yake mjalie shifaa ya haraka 😢😢😢😢😢inauma pole sana mama yetu Mungu akutie nguvu uzidi kumuuguza mwanao na mjukuu wako😢😢😢😢
@marietacristovao1387
@marietacristovao1387 Жыл бұрын
Maombi pekee ndo tiba,ewe Mwenyezi Mungu naomba utende miujiza yako,Hawa ameteseka kwa muda imetosha baba,naomba utende uponyaji wako,tazama mwanae analalamika anatamani kucheza na mamake lakini inashindwa,Ee baba yetu uliye mbinguni na duniani sikia kilio chetu amina🙏
@AminaLibisa
@AminaLibisa Жыл бұрын
😢😢😢 pole sana dada Mungu yupo inshallah utapona tu Kwa uwezo wa Allah 🙏❤️
@esterromanus6213
@esterromanus6213 Жыл бұрын
😭😭Hawa unateseka jaman
@ToneTone-ll3qb
@ToneTone-ll3qb Жыл бұрын
Amiin
@htx1873
@htx1873 Жыл бұрын
So heartbreaking 💔 😭Mungu Mjaalie huyu mtoto Amani ya moyo , nguvu na Imani , poleni sana.
@Zuuh107
@Zuuh107 Жыл бұрын
Pole sana hawa umeteseka sana Mungu ausaidie jaman upone Mtoto anataman Muda wako wa kuksemesha lakin hapati pole sana mwanangu ombe dua mama apone inshaaAllah 🤲🏻🤲🏻☝🏻☝🏻🙏🏻🙏🏻
@midnightstory7923
@midnightstory7923 Жыл бұрын
Wenye pesa wana Taka sifa kwenye mipira na mambo mengi ya kipumbavu Allah atakunusuru dada tunaendelea kukuombea dua Inshaa Allah kwa uwezo wake utasimama 🙏🏿🙏🏿
@CatherineLugoma-iy9mq
@CatherineLugoma-iy9mq Жыл бұрын
Hakuna hospital inaweza msaidia tena tafuteni msaada wa Yesu hakuna gumu kwake🙏
@witnessmaliki103
@witnessmaliki103 Жыл бұрын
Mungu akuponye dada inshallah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@MariamMpanga
@MariamMpanga Жыл бұрын
Hii inaumiza😭😭😭 jamani wenye uwezo please wamsaidie huyu Dada Nimeashindwa kuangalia mpaka mwisho hii Video😭😭😭
@leaherasto929
@leaherasto929 Жыл бұрын
Hawa mrembo sana pamoja nakuumwa kote Mungu akufanyie wepesi Hawa
@PendoMajura-vy7mb
@PendoMajura-vy7mb Жыл бұрын
Mdada mzuri jamani Mungu akuponye
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx Жыл бұрын
Allaah Akupe shifaa ndugu yetu Allaahuma Amiin
@ShukraniHashim
@ShukraniHashim Жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakati
@rahmaoman470
@rahmaoman470 Жыл бұрын
Subhanna Allah uyu dada anateseka sana Allah muonee huluma mponye mja wako
@MariamWorker
@MariamWorker Жыл бұрын
Natamani nisikilize niangalie ila nashindwa😢😢 najikuta nalia maskini Dada yetu ipo siku Allah atakuponya
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 Жыл бұрын
hizo mamilioni mnazompa professor jay si musaidie huyu dada apate tiba????😢
@mwanamisiali5712
@mwanamisiali5712 Жыл бұрын
Kbs
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol 10 ай бұрын
Kabisa
@JacklineMzena
@JacklineMzena 4 сағат бұрын
😂😂😂😂
@edinachami4318
@edinachami4318 Жыл бұрын
Eemungu mwangalie hawa kwa jicho la huruma zaidi mponye kinachomsumbua usiruhusu akate tamaa kwani aliko toka ndombali🙏🙏
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Жыл бұрын
Mama samia ebu sema kitu mama kuhusu uyu bint ikibindi mpeleke nje uyu hawa jamani mungu atakulipa
@fatumamohamed9614
@fatumamohamed9614 Жыл бұрын
Kweli kabisaa Rais wetu mpenzi mpenda watu tusaidie kumpa sapot ya kwenda kutibiwa nnje mwanao Hawa anateseka jamani inauma, MUNGU wangu ninae kuabudu naomba utende Kwa Hawa apone nakuomba sana MUNGU wetu🙏🙏
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
Mbona alisha fanya jambo tangu ana operation ya 18 au 19 kitu km hicho 😢😢
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Жыл бұрын
@@ruqaiamohammed345 bc tunaomba afanye tena asimchoke
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol 10 ай бұрын
Kweli kabisa
@ishaanizkeah8814
@ishaanizkeah8814 Жыл бұрын
Ya Rabbi mjalie dada yetu shiffa kwa kika ww ndio mwenye tiba
@Faidh-sr7yy
@Faidh-sr7yy Жыл бұрын
Yarab mpe shifaaa huyu dada
@happyhaule671
@happyhaule671 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢 inasikitisha kwa kweli jmn duh Mungu mpe uponyaji mwaka huu 2024
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Жыл бұрын
Allah ampe shifaa dada Hawa polesana mwanangu usiliye mama atapona kwauwezo wa Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@leahmollel6589
@leahmollel6589 Жыл бұрын
Mungu muinulie mtu wa kumsaidia Hawa! Mkono wa uponyaji uwe juu yake🙏
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 Жыл бұрын
Yaarabi Yaarahman Yaashafii Yaa malik kwa rehma zako na huruma zako mpe shifaa mja wako aweze kusimama na kila mwenye mazito ya muondokee 🤲🤲Amiin kiukweli anateseka ila wewe hushindwi na chochote 😭😭😭
@MrsHamadi
@MrsHamadi Жыл бұрын
Ee Mungu Pokea Maombi Yetu Kwa Ajili Ya Hawaa Kwni Anateseka Sana😢😢😢
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Жыл бұрын
😢😢😢
@zainabzwena3156
@zainabzwena3156 Жыл бұрын
Pole mtoto wangu mungu nimwema mama atakua sawa😢😢😢🤲🏽🙏
@Spirtualperson
@Spirtualperson Жыл бұрын
Tatizo lake ni la kiroho mtibuni kiroho atapona kikubwa imani
@MobTrsco
@MobTrsco 11 ай бұрын
Pole dadagu nakupenda san ❤❤❤❤
@janemugoya1316
@janemugoya1316 Жыл бұрын
May God heal you in Jesus name
@sheilakileo2443
@sheilakileo2443 Жыл бұрын
Ehe Mungu muumba dunia na viumbe vyake nyosha mkono wako juu ya Binti mwenzetu..... Mchu.Frenk Gelbert Sema neno maja hapa Ukuu wa Mungu unekane..
@GABROSISHABAN
@GABROSISHABAN 10 ай бұрын
Pole my sister tunakupenda pia
@Lenox-l3x
@Lenox-l3x Жыл бұрын
Anae simamia Maisha ya Hawa Ni Mungu Na kama Kuna mwanadamu anae mtesa Hawa Mungu atamulipa tu,, nakuombea Mungu atakusimamia,,, Hawa Kuna Jambo nataka nkuachie dada Hawa ukiona mitihani yote unapitia Na bado Mungu anafanya njia ya wewe kupitia kumbuka Mungu anakupenda dadangu niushuhuda Mungu anakuandalia so hatakama kunae Alie kinyume nawe lkn Hana nguvu kumliko Mungu ameshashindwa Mungu anakupenda naipo sku moja utasimama dadangu🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤v
@ShaniKiwele-z2e
@ShaniKiwele-z2e Жыл бұрын
Dahhhhh calolina 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 nyie jmn mboni hivi jmn mungu msaidie uyu Dada Hadi anasahau jamani
@ornellawabiwa5030
@ornellawabiwa5030 Жыл бұрын
Mungu mtazame mwanao kwa jicho la huruma mnyooshe mkono wako wewe njo doctor wa ma doctor wote 🙌🙌🙌🙌
@ashuramtale2264
@ashuramtale2264 11 ай бұрын
Mungu wangu dua ni nyingi sana kwa uyu dada tusikiye waja wako 🙏🏾🙏🏾 mponye Mungu wg 🙏🏾 mponye uyu dada Amin 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 Жыл бұрын
Hawa anateseka sana😢😢
@kautharjay5868
@kautharjay5868 Ай бұрын
Sana
@Mesalimmwadarashi
@Mesalimmwadarashi Жыл бұрын
Imeniliza sana 😢😢pole sana hawaa Kwa yote duuh Dunia simama shuke
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz 11 ай бұрын
Daaah inaumaa sana,tusikufuru tukiwa wazima pia anaemtesa huyuu dada ssiamuche tu!! Anapata nini akimtesa mwanadamu mwenzake daah
@AminaMomy
@AminaMomy Жыл бұрын
😢😢😢 subhaanaa allh 😢😢😢😢 mwenyezmungu akupe tahafifu urudi katika hali yako ya mwanzo duhuu aise kabla hujafa hujaumbika😢
@halimamwagona182
@halimamwagona182 11 ай бұрын
Pole sana dada mungu yupamoja nawe 🙏🏿🙏🏿
@SwaumLiuti
@SwaumLiuti Жыл бұрын
Pole sana dad Haw unatesek sana ......eeh mung msaidie huyu dad apone maan anapta shida sna 🤲🤲
@leoniamayco8652
@leoniamayco8652 Жыл бұрын
Jmn Mungu akuponye dada hujafa hujaumbika umeteseka sanaaah Allah akupunguzie mateso
@shadrackndossy8181
@shadrackndossy8181 Жыл бұрын
Pole mama angu kwa kuuguza
@ChristanMsingi
@ChristanMsingi Жыл бұрын
Mungu fanya jambo katika familia
@bintymwanaka5378
@bintymwanaka5378 Жыл бұрын
Hawaa mdogo wangu fanya adkari kwa wingi Allah akuondolee maumivu akupe subra akufanyie wepesi kwa kila hali sema hii marakwa mara (((hasbunallah waniimal wakiil))) ❤❤❤❤❤nakupenda
@rachelmikey5493
@rachelmikey5493 Жыл бұрын
Mungu ni jibu....kiukweli sisi tuta toa faraja na labda pesa but Mungu ndo mponyaji....nakuomba ee Mungu wangu unae weza yote ume sema tukuite nawe utaitika uta tuonyesha mambo makubwa magumu tusiyo yajua.....😢onyesha uponyaji wako ee MUNGU wangu.
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 Жыл бұрын
Allah atakupa shifaa ddngu, kwani subra ina Malipo kwa uwezo WA Allah utapona ddngu na ss twakuombea upoe na ikiwa ni mtu basi amekukusudia inshaallah ipo siku yatamrudia waallahi
@tvrunywabreakingnews3499
@tvrunywabreakingnews3499 Жыл бұрын
Ya Rabii mnusuru mjawako msamehe aliokukosea kwakweli anatesek sn anaumia sn Ya rabii 🤲
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын
Mungu atamponesha Hawa inshaallah. Lakini operation bado hazijamalizika, na vile viwembe na nyoka vinavyotoka tumboni ni matatizo gani nayo jamani 😮😮 ??
@Tanzania..cashauro
@Tanzania..cashauro Жыл бұрын
Uchawi huo
@geldamkama5625
@geldamkama5625 11 ай бұрын
Hawa mungu akupe uponyaji Amini
@joharyMussa-kc5vs
@joharyMussa-kc5vs Жыл бұрын
huyu dada hua nikimuangalia naumia sana anaumwa sana mwenyezi mungu amufanyie wepesi apone haraka 😢😢😢
@PendoKenga-c9f
@PendoKenga-c9f 10 ай бұрын
Pole sana dadangu
@MasudiKakapro
@MasudiKakapro 11 ай бұрын
Mungu ampesubra mamayake namwanae pia mungu atawafariji inshaallah
@HalimaKatotoally200-bw6xj
@HalimaKatotoally200-bw6xj Жыл бұрын
Mungu mjalie hawa apate afya njema Kwan anapitia mazitoo inauma Sana jaman😢😢
@sheyabby7146
@sheyabby7146 Жыл бұрын
Ewe yarabi wewe ni mwenye Huruma tuhurumie sie waja wako.mfanyie wepesi huyu Dada aweze kurudi kwenye afya yake InShaAllah
@SabyBesha
@SabyBesha 11 ай бұрын
Mungu simama nae mwanae anaitaji malezi ya mama ake Mungu azidi kukusimamia utapone you always in our prayers 🙏
@veronicafarajani559
@veronicafarajani559 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akujalieee akuponyeee
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 Жыл бұрын
Dada yangu nakupenda sana pamoja na maradhi uliyo nayo lkn sikuwahi kuskia ukimkufuru mungu inshaallah unapepo yako kwa Allah kuumwa ni ibada dada yangu unatufunza kushukuru kwa kila hali
@SeverinoLuis-j1h
@SeverinoLuis-j1h 11 ай бұрын
Pole mama awa na kuuguza Mungu auona
@SikituYusuph-fr7rj
@SikituYusuph-fr7rj 8 ай бұрын
Pole sana hawa
@CatherineStanslaus
@CatherineStanslaus 11 ай бұрын
Inauma sana jaman mungu akulinde jaman na anapenda uish bado
@MsNajma-e6e
@MsNajma-e6e 10 ай бұрын
Allah atakujaria utapona in Sha Allah kama nabih ayubu ariumwa sana mbaka ameoza na kutoka wadudu lkn my Allah arimponya kwa huwezo wake yye in Sha Allah,,kama kunadinadamu ameusika kwa ushirikina yye Allah atakuripia
@felistaseleki720
@felistaseleki720 Жыл бұрын
Pole sana sana mdogo Mungu akuponye .
@dianamawji8558
@dianamawji8558 Жыл бұрын
Mungu muumba mwa nakamura can not fell take Carina to Apostle Mwamposa this is my advise Luke 1:37 with God all things are possible
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 Жыл бұрын
Allah akupe subla kipenzi kwa mitihan unayopitia
@setiseti5281
@setiseti5281 Жыл бұрын
Amina yaaraab
@juliethkayusi2152
@juliethkayusi2152 Жыл бұрын
Ee Mungu msaidie Dada Hawa.Umponye Bwana Yesu
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 Жыл бұрын
Yesu haponyi mtu
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
​@@fatmafatu1128na hicho ndo kunamutesa aende kanisani ataona
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
Amen
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
​@@fatmafatu1128kila mtu na imani yake dada mbona makasiriko na kwenye vitu vizito kama hivi hata kama angesema bibi yake amponye ni yeye na imani yake
@Vimaroopstale
@Vimaroopstale Жыл бұрын
Ewe mungu muone uyu dada anaumia sana🙏
@TheresiaShija-i5w
@TheresiaShija-i5w Жыл бұрын
Pole sana dada
@MaryyBenjamini
@MaryyBenjamini Жыл бұрын
Mama yangu kipenz ni kweli ww unaimani yako lakini nenda kwenye maombi mama yangu tunaumia pia sisi huku 🙏🙏🙏
@PRECIOUSMCPRECIOUS
@PRECIOUSMCPRECIOUS Жыл бұрын
Pole mama yangu mungu akujaze imani pole sana hawa kwa uwezo wa mungu utapona weka imani
@NeemaJulliet
@NeemaJulliet 11 ай бұрын
Mungu akukumbuke dada angu Mungu ni mwenye huruma Muamini akuponye
@shamimukanju8402
@shamimukanju8402 Жыл бұрын
Mwemyeezi Mungu akufanyie wepesi inshallah, utapona
@MatswelopeleMphela
@MatswelopeleMphela Жыл бұрын
Pole hawa mungu wa mbinguni nakuomba uturehemu tusamehe baba tunakuomba uponyaji juu ya hawa mungu nakuomba mponye mtumishiwako amen.
@yayeissa4128
@yayeissa4128 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu atampa shifah ya haraka
@SalmaAs-wl5bn
@SalmaAs-wl5bn Жыл бұрын
Pole sana carlina
@ChristinaHabiye-el3ni
@ChristinaHabiye-el3ni Жыл бұрын
Mungu akufanie wepesi
@NoorynMuddy
@NoorynMuddy Жыл бұрын
Mzur Masha Allah Mwenyez Mungu akuponye maradhi ulio nayo
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
Nvidia CEO Huang New Chips, AI, Musk, Meeting Trump
15:28
Bloomberg Technology
Рет қаралды 223 М.
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН