Duh r.i.p magufuli😢😢😢kaka makonda pambania watu wamungu.mungu akupe ulinzi
@athumaniKazua3 ай бұрын
Huyu baba ni jirani yangu ni mtu safi sana na anapesa 😢
@noelimlinga96943 ай бұрын
Huuu baba ni wa kisongo mr.kama sijakosea na ndie alie muuzia nabii geordavie eneo la ibada
@victoremanuel293 ай бұрын
Anapesa san
@frankmmasi3 ай бұрын
Ni wa morombo SEMA ana maeneo mengi na pesa ipo
@kakaaignas36753 ай бұрын
Pesa aijfich
@ScopionScopion-zj9cd3 ай бұрын
kwaiy sasa imetoroka au bado IPO kama haijafa ipo iroge2 usi ifunge
@johnmollel33323 ай бұрын
😂😂😂😂😂 tulia wewe watu igombane
@eliaspaul90283 ай бұрын
Kuamanina wabongo nyie sio watu😂😂😂
@ScopionScopion-zj9cd2 ай бұрын
kwanini sisi sio watu
@ScopionScopion-zj9cd2 ай бұрын
mahakama ya mkoa kwa mkoa sasaivi iko mkoa gani mana inakwenda mkoa kwa mkoa mpaka imefika inasikilizwa upande kimoja
@ayububrantaya66243 ай бұрын
Duuuh noma
@twakawawa93443 ай бұрын
Kesi ya utapeli hii
@allyabdallah43572 ай бұрын
Hiyo sheria ya hovyo sana
@Ezekiel-rh2ni3 ай бұрын
Ma boroka!!! Pole sana mzee masantulaa
@johnkiimbila67993 ай бұрын
Sheria mbaya sana hiyo.
@thabitdaudi98153 ай бұрын
Hatari sana madai sio kesi katika hii nchi ni ujinga
@cheiknamouna20583 ай бұрын
HIYO SHERIA IONDOLEWE HARAKA SANA AMA TUANZE KULOGA UKOO MZIMA😢
@abednego38763 ай бұрын
Dah mungu wangu
@paschalmatinde3213 ай бұрын
Mahakama hakuna haki, haki ni pesa
@rahmarama56693 ай бұрын
Jmn watu tunaishi kwa Dhambi tunawalisha watt wetu Dhambi tupu machozi ya watu
@veronicajohn76453 ай бұрын
Haya mambo sio kabisa
@Drepsama3 ай бұрын
Sheria
@SaimoniCharles-qm5bz3 ай бұрын
Hiii Sheria Iko wap jmni
@nicodemashaggite84293 ай бұрын
Sheria ya kipuuzi sana....watunga Sheria wanajielewa kweli!!!.....je, akimwekea sumu?? Kwa maana hiyo maisha yakinishinda nitapeli mtu Ili nilishwe!! Maana Sheria kumbe inalinda na kuhalalisha wezi!! Daaaa kumbe tuna hali mbaya namna hii😢😢
@erickwanjarajr57073 ай бұрын
Hii inchi ngumu sana😂😂😂😂😂
@danielkanso3 ай бұрын
Mmmmhhh kwa sheria hiii
@abdillahchikota43033 ай бұрын
Sasa hiyo sheria au upuuzi
@alfanmkulo27923 ай бұрын
Ndo maana watu huchukukua Sheria mkononi Kwa ujinga kama huu
@YusuphMarcOgaga3 ай бұрын
Sheria inataka ivo wala si uonevu
@khaliduhadi23363 ай бұрын
Huwo ni upindishaji sheria. Hawa wezi wa aridhi zao huyo ni mwizi tu kama mwizi mwingine tu afunguliwe jinai hakina madai hapo
@shenjamamzingi79503 ай бұрын
sheria ya ufalafala
@allyabdallah43572 ай бұрын
kwani hafanyi kazi za magerza
@matridamwalyoyo17353 ай бұрын
Daaah
@RajabuDangi-qv2uo3 ай бұрын
Uhuni wa hali ya juuu
@amiribakari25283 ай бұрын
Ukitaka kujua hela mbaya angalia kifungu kilivyo badilishwa..kutoka utapeli ad madai...mahakim yaani
@avitusmichael53 ай бұрын
Nimecheka kisha nikalia kwa kumhurumia huyu mzee anavyoteswa na majizi
@agrivaluefarm33533 ай бұрын
Kumbe usipolipa kodi serekali ikikufungulia mashtaka ya madai ni poa sana unakunja nne gerezani unaagiza msosi wowote na matibabu juu. Jamani kwaherini kitaani naenda kujichimbia jela nikirudi vishavu vimenitoka stress free
@ZachariaKimamanti3 ай бұрын
Waaaaa sheria ifuate mukondoyake
@mwanajumaomahundumla65043 ай бұрын
Daah sheria za Tanzania ndio sababu ya kuongezeka kwa waharifu
@binsalim52733 ай бұрын
Nije kuonana na mkoa kwa mkoa
@ramsaymtando17423 ай бұрын
Pole sana lakini kisheria ukitaka mdai wako afungwe yani wewe andaa pesa yani ku gharamamia mfungwa wako ndani ya mwezi sita.sasa hapo unaona umeonewa nini.hiyo siyo kesi ya jinai Heti atakuwa mfungwa wa JAMUHURI. Ni wako huyo mzee
@katambimfalimbega38083 ай бұрын
Masikini bila kubadilisha Sheria hizi hatutoboi
@user-fh6sg7uc2g3 ай бұрын
Sio cd, itskuwa ni flash
@ZachariaKimamanti3 ай бұрын
Watanzania niko nahoja kwann ninyaganywe shamba langu hafu nimushitaki mtu mbado mm namuudumia akiwamufungo chakula je ni saihii
@jacksonbarnaba90883 ай бұрын
HIII SHERIA HAIKO FAIR. unawezaje kuwa unamdai, na unamhudumia chakula? guys? is this serious?😢
@abdulfatahjuma53553 ай бұрын
Jamaa km amemeza CD !! Anatiririka tu
@veronicajohn76453 ай бұрын
Ndio maana mimi sitaki hata kumkopesha mtu hela wala chochote
@ReginaldAplonary3 ай бұрын
Nikopeshe mm vero
@veronicajohn76453 ай бұрын
@@ReginaldAplonary NO
@shimoneycashtalk91763 ай бұрын
Hiyo sio kesi ya madai huyo katapeliwa Tanzania ndio. Inchi ambayo tunayo ikubali sasa inakuwaje mtu haki yake kuzulimiwa
Hee yani namdai anapelekwa jela kwa makosa yake yeye mwenyewe kwa kushindwa kulipa deni langu pesa yangu sijapata alafu tena nizidi kutupa pesa kumuudumia muharifu kweli hii shelia ya wapi ebu tujuzane jamani heee.
@daslamonline46653 ай бұрын
Dunia ya dhulma sana hii,
@harithrashid53143 ай бұрын
Sio duniaaa hio Tanzania yenu imezidii
@abdull_hafidh3 ай бұрын
Mzee Kamroge huyo
@EmanuelMnubi3 ай бұрын
sheria za madai zinawapa kibuli matapeli
@ChancellorFelix-vm5yp3 ай бұрын
Wanasheria wanalalamika Makonda anaingilia mhimil wa mahakama iv kwel Kwa Sheria zakijinga iv c maafa yatakua mengi gharama zakumhudumia mfungwa c Bora awape wahun wamalize kaz wakutane pepon
@BituroPaschalKazeri3 ай бұрын
HONGERA WAKILI
@ndabarinzesamuel93333 ай бұрын
Iweje mtu akutapeli Mali zako akikutwa na hatiya yule mwenye haki ndiye atamlisha mhalifu gerezani? Hiyo serial imesomwa wapi jamani, Tanzania nanyi kwenu kuna rushwa ya hali ya juu.
@happinessmosala22173 ай бұрын
Nimdai mtu halafu nimlishe tena???come on!!!what type of sheria is that???
@user-it6zi7zw8y3 ай бұрын
iyo kesi ya wizi alie hukum iyo kesi kazengua vip uzulimiwe Mali yako alafu alie kuzurum maliyako afungwe alafu ulie mshtaki umudumie chakula acheni wizi iyo sheria sijawai iskia sheria afungwe mpaka siku atakapo lipa pesa zako
@PrinceHendry-hp8vv3 ай бұрын
Sheria yakipumbavu hiyo
@lothatarangei81873 ай бұрын
Upuuzi mtupu,,,, Sheria kama iko hivi Tanzania Bora watu wapigane mapanga tu😅
@mwidinikimaro35453 ай бұрын
Huyu ndo masantula
@YohanaTulito3 ай бұрын
Najee. Sasa yule. Anae mdai. Mwungine. Yeye. Atakuwa. Na faida. Gani. Kama malipo yako. Hupati. Na utamudumia. Tena. Si ataende kuk filisi. Au
@mgtanzania98343 ай бұрын
Ndo sheria yetu ya madai ilivyo. Hakuna namna , lengo la kumfunga mtu kwa madai sio kumwadhib bali ni kumfanya aweze kulazimika alipe deni lake