Poleni sana kwa msiba watoto walio achwa mwenyezi Mungu awalinde awafungulie risk na wapate Deen wasisahau 😢😢😢😢😢 mwanamvua kasha aga Dunia Allah amrehemu😭
@Ashaabesh18 күн бұрын
Mimi naomba nitoe sadaka kwa hawa watoto niwalipie Ada, Ila huyu dada machoni mwangu si mgeni kwasababu kunaagent wa omani anasafirisha watu aliwahi mpost Poleni sana familia Mimi naomba niwalipie Ada hawa watoto
@RamadhaniKitala-gx6wc18 күн бұрын
Maashallah tabarrak allah Allah akufanyie wepes insha'Allah
@@hadijamohd6028kajikatie Insurance mbona rahisi tu
@Jamila-c7k18 күн бұрын
Allah akujaaalie kauli thabiti mpendwa wetu mpambanaji😢😢
@Shufaashabani-u6w18 күн бұрын
Tukiwa hai tu hawatupendi ndo wamustiri vizuri na ashakufa sio muarabu😢😢😢 Allah ampe kauli thabiti dada yetu 😢😢pia na sis atulinde turudi makwetu salama😭😭🙏🙏
@NoorNoor-y4w3t18 күн бұрын
Ameena yarabi
@AishaZuber-z6g18 күн бұрын
😢😢😢😢 Yaan acha tu ndo maaana unaambiwa kufa upendwe na watu Allah atupe mwisho mwema
@ShekhaSalim-o5e18 күн бұрын
Chakuliza nini uso rudi kwenu unafik tu km huko sipo wafanya nini mpaka sasa
Ilibaki ni kumuombea dua tu ata wakiwa awakuridhika akuna faida letu ni duaa na mengine mungu ndio atahukumu
@RukiaRashid-jh7fp18 күн бұрын
Innalillah waina ileih rajiun Allah ampe kauli thabat na muhesabu katka waja wake wema nanyi Allah awape subra na Iman iwe nguzo thabit moyoni mwenu.
@miriummbisse227818 күн бұрын
Mungu akusaidie baba pia akufanyie wepes uweze kuwalea wajukuu ulioachiwa
@MsAisha-w4o18 күн бұрын
Oman sijawahi kuona chemba la ivo ila Allah anajua zaidi insha'allah..Allah amrehem ndugu yetu sote ni wasafiri tuko ktk foleni....POLENI wafiwa...tumeumia sana ..nimelia nilivyoona Hawa watoto Bado ni wadogo sana mngu awatie nguvu ktk kipindi hiki cha majonzi😭😭😭
@Fatima1234-wl1nu18 күн бұрын
yapo shoga huko kijini nilienda nikiona kwa macho yangu nisingejua ila gari nililikuja kunyonya mavi
@Judy-dy4zt18 күн бұрын
Umehonae hata mie sjawahi hona
@ShamyAthumani18 күн бұрын
INNA LILAH WAINNA ILAYH RAJIUN
@zahraabdul965218 күн бұрын
Walahi Allah awaongoze kwa Deen ndio jambo litakalo wasaidia kwa ukuwaji wao 😭😭😭
@Fatema-l9s18 күн бұрын
Vijijini maisha hayo yapo ila ndio hivyo tumuachie mungu
Ndio mwisho wa binadamum Allah amsamehe makosa yake amlaze peponi Aamin
@AnnastaziaBoniphace18 күн бұрын
Ewe mwenyezi mungu mwingi wa rehema nakuomba uninusuru nirudi nyumbani salama
@HawasilverShamba10 күн бұрын
EEeeh mungu akuludishe salama na hata kama ukiludi tz hutoenda tena uko omani
@HidayaNdambwe18 күн бұрын
Hofu imetawala tulioko oman ewemwenyez mungu tulinde na mitihan
@MinahAngel-d1d18 күн бұрын
🙏🙏
@BenadetaMunisi15 күн бұрын
Poleni sana kwa msiba wa mtanzania mwenzetu.Tumwachie Mungu atalipa kwa kuwa kisasi ni chake.
@JasiminJasimin-i5l18 күн бұрын
😭😭😭inatakiwa isomeee kisomo kama wamefanya kibaya kiwarudie 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@AminaOmary-sm4wl18 күн бұрын
Kabsa hata aliehusika wote wadhurike
@zuweinaalhabsya877318 күн бұрын
Ikiwa hakufanyiwa ubaya basi kitawarudia wenyewe familiya. Haya wasome
@NazrahNazrah-q2z18 күн бұрын
Tusio na Agent ni mtihani mungu atulinde jmn
@hamadKhamis-p6k18 күн бұрын
Innalillahi wainna ilaihirajiuun Allah ampe kauli thabit amuingize peponi amjaalie awe miongoni mwa waja wema amiina
@joharikasuwi697317 күн бұрын
Hakuna linaloshindikana kwa Allah na ndio ajuaye huyu dada kafanywa nini. Yote kwa yote poleni sana familia na Allah atawalipia inshaa Allah. Hongereni sana kwa Iman kubwa mliyonayo
@mahmoodabdallah975418 күн бұрын
Poleni sana mwenyezi mungu awafanyie wepesi kwenye kupindi hiki kigumu
@rukiyamohammed294518 күн бұрын
Innalillah wainna illah raji'uun, sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea. Allah amsamehe marehemu makosa yake na awajaalie familia uvumilivu ktk kipindi hichii kigumu
@hamadKhamis-p6k18 күн бұрын
Ewee ALLAH lijaalie kabur lake liwe miongoni mwa majumba ya peponi amiina
@faridafaridaa461818 күн бұрын
Ameen
@zaujatomar505118 күн бұрын
Amyn
@KoloKolo-yu1ok18 күн бұрын
Kisomo tuu kitaonesha kila kitu alicho dhulumiwa nafsi yake InshaAllah..Abinnallah. waneemali wakili.
@zaitunomar5418 күн бұрын
Pole sana dad's dharinkwskutupambsniyaa allla atakulipaa❤❤
@modestamodesta394018 күн бұрын
Yaan arabun mhh mungu anisaidie tu ubaloz wetu wazembe mno turidhike na kidogo jmn 😭😭😭uwiiiii pole watoto wang mungu awatie nguvu mkazane kusoma
@GgjTfg18 күн бұрын
Mungu wakumbatie watoto wamwavuwa🙏🙏 wape tumaini jipy
@salhaidowa743318 күн бұрын
Nmeona watt wana muwekea mama yao mchanga allah amrehem da mwana😢😢😢😢😢
@SharifaA-y4t18 күн бұрын
Pole sana baba mwenyezi mungu akupe subra
@sarahmwaluko248018 күн бұрын
Poleni sana ndugu zetu 😢 wazazi wetu Pole sana watoto wa Mwanamvua pamoja na jamii kwa ujumla
@AminaOman-j7e18 күн бұрын
Watoto wameniliza sana 😭😭😭😭😭Mimi jaman ewe mungu msamehe mazambi yake mwanamvua
@FatumaJuma-b2g18 күн бұрын
Allah akupe kauli thabiti dada Amiiiiin nacc Allah atuludishe salama tz 🇹🇿😭
@RayChausa-g6m18 күн бұрын
Ameen
@sapnaarjun217518 күн бұрын
Mwenyezi mungu awape moyo wa subira allh akbar😢
@Kutaila9918 күн бұрын
Allah atunusur sote tuliopo nchi za watu tuweze kurud salama ya raby😢
@MariamMariam-f6s18 күн бұрын
Poleni sana pole mwanangu inauma sana wekeni namba tuwe pamoja katika kuwafariji watoto wasijihisi ubweke inauma jaman polen sana familiya 😭😭😭😭
Poleni sana familia ya marehemu Allah awapeni Subrah kwa mtihani mzito
@Aminah-i9p17 күн бұрын
Tumeumia Sana poleni hii family ina imani,Sana mungu atawapa nguvu, ukweli wote anaujua mungu,, insha'Allah
@HadiyaMassud17 күн бұрын
Utakwenda mzee wangu mwaka huu kwauwezo wa Allah
@JohnKiboko18 күн бұрын
Hii familia Allah aipe wepesi hasa kwa watoto wetu umaskini mbaya sana😢😢
@NeemaRajabu-i8i17 күн бұрын
Baba Mungu akubariki sana umesema ukweli tupo huku Dua kwa ajili yetu
@SanifaHadam-np2qt18 күн бұрын
Duh pole Sana huu msiba ni wetu wote
@FatmaHassan-t4q18 күн бұрын
INNA LILAHY WAINNA ILAYHI RAJIUUN MWENYEZMUNGU AMLAZE PEMA PEPONI NA SISI ATUPE KHUSNI LKHATIMA 🤲
@antybakary95318 күн бұрын
Iseeeee yaanii wazazi wanahekima hawa MUNGU awatie nguvu 😢😢
@bahrynbahry113817 күн бұрын
Poleni sana msiba huu imetugusa sote, Mungu amrehem na amlaze pahala pema
@ZainabLol-wx7xf18 күн бұрын
Nimempenda Baba Mdogo Ana Imani sana.
@FaridAlharthy18 күн бұрын
Poleni Sana tumeumia Sana Allah awape subira
@RedmiA3-g8w18 күн бұрын
Wainarlaah wainarlaah rajughuni mungu amuepushie na adhabu ya kabri amen
@FatmaMtwiku14 күн бұрын
Baba wa maana kabisa huyu mungu Ni mwema baba
@HappyHiker-nz9vg18 күн бұрын
Pole sana baba Allah akupe subra inshallah 😢
@mejumaabaraza398918 күн бұрын
Innlillahi wainnailyi rajiun mungu amrehemu na sisi atupe meisho mwema in shaALLA 🤲 in
@ImeldaIsdory18 күн бұрын
Mwenye Mungu na ailaze Roho ya Mwananvua mahali pema.
@ZeyanaKhamismashaka18 күн бұрын
Poleni sana dugu jaama na marafiki 😢 Allah ampe kauli thabit 🤲🤲🤲🤲
@tiffahjuma197018 күн бұрын
EEE Mwenyez Mungu wape nguvu wafiwa na watt wa mwenzetu aliyetutangulia mbele za haki maskini huruma wazir anaelewa kila kitu yu alia wallah Allah Akbar 😢😢😢
@khurlainashly568617 күн бұрын
Allah amlaze mahali pema pepuni insha allah
@sasamama793418 күн бұрын
Poleni sana wana familia allah amlaze pahala pema peponi. Kul nafs dhaikat almout popote ulipo kifo kitakupata ikifika siku yako inshallah itajulisha sababu ya kifo chake inshallah allah apotezi hak ya mtu . Msiseme wasiende oman kwani tz hawafariki au inchi nyingine msiponde oman kifo kipo kila sehem
@ZaynabAlly-n8d18 күн бұрын
Inamaana hata agenty ameshindwa kujitokeza na sio kama hajui anajua na anaona ila haya bana mungu ndio hakimu wa haki
@FatumaJuma-b2g18 күн бұрын
Kabisa yn kakaa kimya jmn
@SaumuShaima17 күн бұрын
Allah awa fanyie wepesi family kwa kumpoteza mtoto wenu na mngu awape subura watoto😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mercyzawadi637618 күн бұрын
Poleni Sana Na MUNGU awape faraja wanafamilia wote.
@MariamMariam-pg7uz18 күн бұрын
Poleni sana watoto wamarehem.poleni wazazi wamarehemu pole sana mamaetu. Pingo hili nipingo kubwa sana tuzidi kumuombea ndungu yetu marehemu nimipango ya mungu tutazidi kumkumbuka mimi mwenyewe nimevujika nguvu natamani hata leo hii mkataba wangu.wa oman uishe salama ili nirudi tz imezidi wafanyakazi kufia oman inatuuma sana ungu aiifazi.roho hake pema amiina naomba selikali ifatilie wafanya kazi wa oman mwengine hata simu ananyanganywa nabosi wake kwaiyo mtu anapata matatizo hana msaada oote naomba mama samia afatilie hili swara lawafanya kazi wa omani yote tumemukabidhi.mungu amiina
@makkawi429413 күн бұрын
Inah lillah wa innah lillah rajiunne 😭😭😭 nalizwa na hao watto mm jm😭😭😭😭
@FghgRyy18 күн бұрын
Innalillah wainna ilayh raji'un poleni sana familia Subhana Allah inatuumiza pia sisi wafanyakazi 😢
@RehemaAmbakisye-l2n18 күн бұрын
Daaaa poleni sana family uku tuliko mtuombee mana daaa mwenyezi mungu atajibu nashidwa niongee nn 😢😢😢
@RuwaydaCharles18 күн бұрын
😢😢😢masikini ya mungu tumchangie huyu baba😢😢😢
@ZawadiAli-j7b18 күн бұрын
Siku zote kwa mungu hakuna kubwa...ipo siku itajulikana UKwelii maana mungu wao na marehem Ndio wanajua
@SbahHiai18 күн бұрын
Poleni sana inalilahi wainarajuni mungu amlaze mahala pema pepon amin
@Noor-o4i18 күн бұрын
Innallilah wainalilah rajiuni mwanamvua punzka kwa aman Allah akupe kauli thabit jirani yng uyu😢😢 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 tuseme alhamdulillah wakwetu tanga moja tena mtaa moja 😢😢😢 Allah akbar
@HasnatMustafa-n1q18 күн бұрын
Watt wameniliza mimi daaah 😭😭😭😭😭
@HalimaHlima-c4n18 күн бұрын
JuLlANA..🤲🏻🕌🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@UmmyJumaa18 күн бұрын
Daah watoto wameniliza masikini😢
@ayshasaid154718 күн бұрын
Mungu mjuzi zaidi Allah ampe mwisho mwema Ameen
@KuruthumBilali18 күн бұрын
Subhana llah lailaha illa Allah ALLAH AKBAR
@Hamisjuma-u6j14 күн бұрын
Allaah amsaamehe amrahamu
@FedhaLuhunde17 күн бұрын
Inalillah waina illah rajuu😢😢😢😢jmn hii issue imetokea lini jmn
@ZuwenaabdullaKhamis17 күн бұрын
Innalilah waina illah rajuun sote ni wa allah na kwake tutarejea ,, allah ndie mjuzi Zaid 😭😭
@mwanaidabeid872018 күн бұрын
Nikwel kabisa baba 🙏🙏
@Nailaty56418 күн бұрын
Huyu mdogo bado hajaelewa kitu kinacho endelea 😭😭😭
@samiraramathan-bd5bc18 күн бұрын
Poleni sana wanafamilia Allah amlaze mahali pema popeni
@olivajoseph169717 күн бұрын
Omani kulikuwa kunakitu kinaniambia hii nchi utakufa toka haraka. Kweli nilitoka
@Mona-i9f18 күн бұрын
😢😢😢😢😢 Mungu awatie nguvu wana familia 😢😢poleni sana
@KuruthumBilali18 күн бұрын
RABI GHUFIR waliwalidaya kama Ràbbayaan SWAGHIRA. Amina tabaraka rahman
@ShahiraKduli18 күн бұрын
Innalilah wainnailaah rajioun mungu tufanyie wepes turud salama