🔴

  Рет қаралды 34,788

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 401
@globaltv_online
@globaltv_online 18 күн бұрын
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@JeniphaEdward-v5t
@JeniphaEdward-v5t 18 күн бұрын
Jamani niungeni na mimi kwenye group
@TatoTato-t7s
@TatoTato-t7s 18 күн бұрын
Uyo zali aache kuwatetea waarabu mungu apend unafik
@Radygarly
@Radygarly 18 күн бұрын
Mfatilie vizur uyo dada Zar utamuelewa awatetei sema anajitahid asitoke nje ya mada akaleta shida ​ukimfatilia utamuelewa niamin mim@@TatoTato-t7s
@husnaabdullah3009
@husnaabdullah3009 18 күн бұрын
Mbona GRP halikubali
@MARYAMSHABAN-l5w
@MARYAMSHABAN-l5w 17 күн бұрын
Grpu alikubali tufanyaje
@ImeldaIsdory
@ImeldaIsdory 18 күн бұрын
Wazazi wa Mwananvua wako na busara sana. Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.
@aminaali792
@aminaali792 18 күн бұрын
Ameen yaa Rabbi🤲🏽🥺
@RayChausa-g6m
@RayChausa-g6m 18 күн бұрын
Ameen
@DullahMdossi-n1w
@DullahMdossi-n1w 18 күн бұрын
Inshalah😢😢
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 16 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajighuun mwenyezi mungu ampe kauli dhabiti yaarabi nas atupe mwisho mwema yaarabi
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 18 күн бұрын
Baba wa mwanamvua ana moyo wa unyenyekevu mno. Yaani hii familia kiukweli ni watu wema. Poleni sana
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 18 күн бұрын
Kabisa hii familia ni watu wenye dini sana
@MARYAMSHABAN-l5w
@MARYAMSHABAN-l5w 17 күн бұрын
Pumzika kwa amani mpambanaji mwezetu
@RahmaAlly-pe2vb
@RahmaAlly-pe2vb 18 күн бұрын
Pole sana wazee wetu msiba ni wetu sote wafanyakaz wa nnje kifo Cha mwamvua kimetuuma sana
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k 18 күн бұрын
Allahumma ghufirilaha warhamaha waaskanaha filjannah
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 18 күн бұрын
Poleni sana kwa msiba watoto walio achwa mwenyezi Mungu awalinde awafungulie risk na wapate Deen wasisahau 😢😢😢😢😢 mwanamvua kasha aga Dunia Allah amrehemu😭
@Ashaabesh
@Ashaabesh 18 күн бұрын
Mimi naomba nitoe sadaka kwa hawa watoto niwalipie Ada, Ila huyu dada machoni mwangu si mgeni kwasababu kunaagent wa omani anasafirisha watu aliwahi mpost Poleni sana familia Mimi naomba niwalipie Ada hawa watoto
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 18 күн бұрын
Maashallah tabarrak allah Allah akufanyie wepes insha'Allah
@ChausikuAli
@ChausikuAli 18 күн бұрын
❤❤❤ mashaallah ashaabesh mola akuzudishie utakapotoa sadaka yako mola akuzudishie inshaallah
@Ashaabesh
@Ashaabesh 18 күн бұрын
@@RamadhaniKitala-gx6wc Allahum amiin inshaallah🙏🏽
@Ashaabesh
@Ashaabesh 18 күн бұрын
@@ChausikuAli Amiin inshaallah
@SherryFadhil
@SherryFadhil 18 күн бұрын
Allah akuzidishie ulipo toa iwe sababu ya mafanikio yako awahumma amin
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 18 күн бұрын
Baba mdogo Hongera umewakilisha familia kwa hekima kubwa. Poleni sana.
@MaryamIssaAbdalla-og5wc
@MaryamIssaAbdalla-og5wc 18 күн бұрын
Alhamdulillah Bibi umeongea maneno mazima Mashaa Allah Allah akuzidishieni subra Yaa Raab
@prityhawanurdiny8237
@prityhawanurdiny8237 17 күн бұрын
Baba mdogo kaongea kwel kabisa yaan jaman tusijilazimishe kuvumilia visivyo vumilika tena wallah hii kitu inauma sana jaman 😢😢😢😢😢
@DullahMdossi-n1w
@DullahMdossi-n1w 18 күн бұрын
😢😢 baba mdogo unajibu vizur mungu ampe kauri thabiti
@Naah-o2c
@Naah-o2c 18 күн бұрын
Poleni sana wanafamilia😢 Allah amrehemu ampe kauli thabiti
@rosejuliuc
@rosejuliuc 18 күн бұрын
Mungu ninusur nikafie kwetu mana Sina agent familia yangu pia haina uwezo wa kupambana kama ivi nikafika kwetu Tanzania ..naisi ntazikwa huku 😭😭😭
@hadijamohd6028
@hadijamohd6028 18 күн бұрын
Umeniza sana ata mimi ivo ivo familia yangu haina uwezo 😢😢😢
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 18 күн бұрын
Wewe balozi wako yupo utafika tuu nyumban ila omba tuu uzima
@MariamJuma-pe4sy
@MariamJuma-pe4sy 18 күн бұрын
Yani weacha tuu M/MUNGU atufanyie wepec turudi makwetu salama Allahumma amiiin
@mohammedalishamis9405
@mohammedalishamis9405 18 күн бұрын
Kajikatie Insurance mbona ni rahisi tu
@mohammedalishamis9405
@mohammedalishamis9405 18 күн бұрын
@@hadijamohd6028kajikatie Insurance mbona rahisi tu
@Jamila-c7k
@Jamila-c7k 18 күн бұрын
Allah akujaaalie kauli thabiti mpendwa wetu mpambanaji😢😢
@Shufaashabani-u6w
@Shufaashabani-u6w 18 күн бұрын
Tukiwa hai tu hawatupendi ndo wamustiri vizuri na ashakufa sio muarabu😢😢😢 Allah ampe kauli thabiti dada yetu 😢😢pia na sis atulinde turudi makwetu salama😭😭🙏🙏
@NoorNoor-y4w3t
@NoorNoor-y4w3t 18 күн бұрын
Ameena yarabi
@AishaZuber-z6g
@AishaZuber-z6g 18 күн бұрын
😢😢😢😢 Yaan acha tu ndo maaana unaambiwa kufa upendwe na watu Allah atupe mwisho mwema
@ShekhaSalim-o5e
@ShekhaSalim-o5e 18 күн бұрын
Chakuliza nini uso rudi kwenu unafik tu km huko sipo wafanya nini mpaka sasa
@ShekhaSalim-o5e
@ShekhaSalim-o5e 18 күн бұрын
Usomuombea mwenzio dua una uwarabu tu
@fatmasuleimanali538
@fatmasuleimanali538 17 күн бұрын
Aaamiin
@AishaIssa-l4q
@AishaIssa-l4q 18 күн бұрын
Allahumma ghufirilaha warhamaha waasknaha filjannah
@AtifaIslam-t6g
@AtifaIslam-t6g 18 күн бұрын
Ilibaki ni kumuombea dua tu ata wakiwa awakuridhika akuna faida letu ni duaa na mengine mungu ndio atahukumu
@RukiaRashid-jh7fp
@RukiaRashid-jh7fp 18 күн бұрын
Innalillah waina ileih rajiun Allah ampe kauli thabat na muhesabu katka waja wake wema nanyi Allah awape subra na Iman iwe nguzo thabit moyoni mwenu.
@miriummbisse2278
@miriummbisse2278 18 күн бұрын
Mungu akusaidie baba pia akufanyie wepes uweze kuwalea wajukuu ulioachiwa
@MsAisha-w4o
@MsAisha-w4o 18 күн бұрын
Oman sijawahi kuona chemba la ivo ila Allah anajua zaidi insha'allah..Allah amrehem ndugu yetu sote ni wasafiri tuko ktk foleni....POLENI wafiwa...tumeumia sana ..nimelia nilivyoona Hawa watoto Bado ni wadogo sana mngu awatie nguvu ktk kipindi hiki cha majonzi😭😭😭
@Fatima1234-wl1nu
@Fatima1234-wl1nu 18 күн бұрын
yapo shoga huko kijini nilienda nikiona kwa macho yangu nisingejua ila gari nililikuja kunyonya mavi
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 18 күн бұрын
Umehonae hata mie sjawahi hona
@ShamyAthumani
@ShamyAthumani 18 күн бұрын
INNA LILAH WAINNA ILAYH RAJIUN
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 18 күн бұрын
Walahi Allah awaongoze kwa Deen ndio jambo litakalo wasaidia kwa ukuwaji wao 😭😭😭
@Fatema-l9s
@Fatema-l9s 18 күн бұрын
Vijijini maisha hayo yapo ila ndio hivyo tumuachie mungu
@aminaabood2898
@aminaabood2898 18 күн бұрын
Allah awape subra wafiwa wote.allah amsamehe marehem makosa yk Ampe kauli thabit.mbele yk nyuma yetu.
@xjjxjsjzjdjdhdjdjd593
@xjjxjsjzjdjdhdjdjd593 16 күн бұрын
Ndio mwisho wa binadamum Allah amsamehe makosa yake amlaze peponi Aamin
@AnnastaziaBoniphace
@AnnastaziaBoniphace 18 күн бұрын
Ewe mwenyezi mungu mwingi wa rehema nakuomba uninusuru nirudi nyumbani salama
@HawasilverShamba
@HawasilverShamba 10 күн бұрын
EEeeh mungu akuludishe salama na hata kama ukiludi tz hutoenda tena uko omani
@HidayaNdambwe
@HidayaNdambwe 18 күн бұрын
Hofu imetawala tulioko oman ewemwenyez mungu tulinde na mitihan
@MinahAngel-d1d
@MinahAngel-d1d 18 күн бұрын
🙏🙏
@BenadetaMunisi
@BenadetaMunisi 15 күн бұрын
Poleni sana kwa msiba wa mtanzania mwenzetu.Tumwachie Mungu atalipa kwa kuwa kisasi ni chake.
@JasiminJasimin-i5l
@JasiminJasimin-i5l 18 күн бұрын
😭😭😭inatakiwa isomeee kisomo kama wamefanya kibaya kiwarudie 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl 18 күн бұрын
Kabsa hata aliehusika wote wadhurike
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 18 күн бұрын
Ikiwa hakufanyiwa ubaya basi kitawarudia wenyewe familiya. Haya wasome
@NazrahNazrah-q2z
@NazrahNazrah-q2z 18 күн бұрын
Tusio na Agent ni mtihani mungu atulinde jmn
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k 18 күн бұрын
Innalillahi wainna ilaihirajiuun Allah ampe kauli thabit amuingize peponi amjaalie awe miongoni mwa waja wema amiina
@joharikasuwi6973
@joharikasuwi6973 17 күн бұрын
Hakuna linaloshindikana kwa Allah na ndio ajuaye huyu dada kafanywa nini. Yote kwa yote poleni sana familia na Allah atawalipia inshaa Allah. Hongereni sana kwa Iman kubwa mliyonayo
@mahmoodabdallah9754
@mahmoodabdallah9754 18 күн бұрын
Poleni sana mwenyezi mungu awafanyie wepesi kwenye kupindi hiki kigumu
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 18 күн бұрын
Innalillah wainna illah raji'uun, sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea. Allah amsamehe marehemu makosa yake na awajaalie familia uvumilivu ktk kipindi hichii kigumu
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k 18 күн бұрын
Ewee ALLAH lijaalie kabur lake liwe miongoni mwa majumba ya peponi amiina
@faridafaridaa4618
@faridafaridaa4618 18 күн бұрын
Ameen
@zaujatomar5051
@zaujatomar5051 18 күн бұрын
Amyn
@KoloKolo-yu1ok
@KoloKolo-yu1ok 18 күн бұрын
Kisomo tuu kitaonesha kila kitu alicho dhulumiwa nafsi yake InshaAllah..Abinnallah. waneemali wakili.
@zaitunomar54
@zaitunomar54 18 күн бұрын
Pole sana dad's dharinkwskutupambsniyaa allla atakulipaa❤❤
@modestamodesta3940
@modestamodesta3940 18 күн бұрын
Yaan arabun mhh mungu anisaidie tu ubaloz wetu wazembe mno turidhike na kidogo jmn 😭😭😭uwiiiii pole watoto wang mungu awatie nguvu mkazane kusoma
@GgjTfg
@GgjTfg 18 күн бұрын
Mungu wakumbatie watoto wamwavuwa🙏🙏 wape tumaini jipy
@salhaidowa7433
@salhaidowa7433 18 күн бұрын
Nmeona watt wana muwekea mama yao mchanga allah amrehem da mwana😢😢😢😢😢
@SharifaA-y4t
@SharifaA-y4t 18 күн бұрын
Pole sana baba mwenyezi mungu akupe subra
@sarahmwaluko2480
@sarahmwaluko2480 18 күн бұрын
Poleni sana ndugu zetu 😢 wazazi wetu Pole sana watoto wa Mwanamvua pamoja na jamii kwa ujumla
@AminaOman-j7e
@AminaOman-j7e 18 күн бұрын
Watoto wameniliza sana 😭😭😭😭😭Mimi jaman ewe mungu msamehe mazambi yake mwanamvua
@FatumaJuma-b2g
@FatumaJuma-b2g 18 күн бұрын
Allah akupe kauli thabiti dada Amiiiiin nacc Allah atuludishe salama tz 🇹🇿😭
@RayChausa-g6m
@RayChausa-g6m 18 күн бұрын
Ameen
@sapnaarjun2175
@sapnaarjun2175 18 күн бұрын
Mwenyezi mungu awape moyo wa subira allh akbar😢
@Kutaila99
@Kutaila99 18 күн бұрын
Allah atunusur sote tuliopo nchi za watu tuweze kurud salama ya raby😢
@MariamMariam-f6s
@MariamMariam-f6s 18 күн бұрын
Poleni sana pole mwanangu inauma sana wekeni namba tuwe pamoja katika kuwafariji watoto wasijihisi ubweke inauma jaman polen sana familiya 😭😭😭😭
@Rahela-u4b
@Rahela-u4b 18 күн бұрын
Allah. Akurehemu. 😢😢😢😢 dada. Mwamvuwa. 😢😢😢 pole. Sana. Baba. Agu. Tumuombee. 😢😢😢
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb 17 күн бұрын
Poleni sana familia ya marehemu Allah awapeni Subrah kwa mtihani mzito
@Aminah-i9p
@Aminah-i9p 17 күн бұрын
Tumeumia Sana poleni hii family ina imani,Sana mungu atawapa nguvu, ukweli wote anaujua mungu,, insha'Allah
@HadiyaMassud
@HadiyaMassud 17 күн бұрын
Utakwenda mzee wangu mwaka huu kwauwezo wa Allah
@JohnKiboko
@JohnKiboko 18 күн бұрын
Hii familia Allah aipe wepesi hasa kwa watoto wetu umaskini mbaya sana😢😢
@NeemaRajabu-i8i
@NeemaRajabu-i8i 17 күн бұрын
Baba Mungu akubariki sana umesema ukweli tupo huku Dua kwa ajili yetu
@SanifaHadam-np2qt
@SanifaHadam-np2qt 18 күн бұрын
Duh pole Sana huu msiba ni wetu wote
@FatmaHassan-t4q
@FatmaHassan-t4q 18 күн бұрын
INNA LILAHY WAINNA ILAYHI RAJIUUN MWENYEZMUNGU AMLAZE PEMA PEPONI NA SISI ATUPE KHUSNI LKHATIMA 🤲
@antybakary953
@antybakary953 18 күн бұрын
Iseeeee yaanii wazazi wanahekima hawa MUNGU awatie nguvu 😢😢
@bahrynbahry1138
@bahrynbahry1138 17 күн бұрын
Poleni sana msiba huu imetugusa sote, Mungu amrehem na amlaze pahala pema
@ZainabLol-wx7xf
@ZainabLol-wx7xf 18 күн бұрын
Nimempenda Baba Mdogo Ana Imani sana.
@FaridAlharthy
@FaridAlharthy 18 күн бұрын
Poleni Sana tumeumia Sana Allah awape subira
@RedmiA3-g8w
@RedmiA3-g8w 18 күн бұрын
Wainarlaah wainarlaah rajughuni mungu amuepushie na adhabu ya kabri amen
@FatmaMtwiku
@FatmaMtwiku 14 күн бұрын
Baba wa maana kabisa huyu mungu Ni mwema baba
@HappyHiker-nz9vg
@HappyHiker-nz9vg 18 күн бұрын
Pole sana baba Allah akupe subra inshallah 😢
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 18 күн бұрын
Innlillahi wainnailyi rajiun mungu amrehemu na sisi atupe meisho mwema in shaALLA 🤲 in
@ImeldaIsdory
@ImeldaIsdory 18 күн бұрын
Mwenye Mungu na ailaze Roho ya Mwananvua mahali pema.
@ZeyanaKhamismashaka
@ZeyanaKhamismashaka 18 күн бұрын
Poleni sana dugu jaama na marafiki 😢 Allah ampe kauli thabit 🤲🤲🤲🤲
@tiffahjuma1970
@tiffahjuma1970 18 күн бұрын
EEE Mwenyez Mungu wape nguvu wafiwa na watt wa mwenzetu aliyetutangulia mbele za haki maskini huruma wazir anaelewa kila kitu yu alia wallah Allah Akbar 😢😢😢
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 17 күн бұрын
Allah amlaze mahali pema pepuni insha allah
@sasamama7934
@sasamama7934 18 күн бұрын
Poleni sana wana familia allah amlaze pahala pema peponi. Kul nafs dhaikat almout popote ulipo kifo kitakupata ikifika siku yako inshallah itajulisha sababu ya kifo chake inshallah allah apotezi hak ya mtu . Msiseme wasiende oman kwani tz hawafariki au inchi nyingine msiponde oman kifo kipo kila sehem
@ZaynabAlly-n8d
@ZaynabAlly-n8d 18 күн бұрын
Inamaana hata agenty ameshindwa kujitokeza na sio kama hajui anajua na anaona ila haya bana mungu ndio hakimu wa haki
@FatumaJuma-b2g
@FatumaJuma-b2g 18 күн бұрын
Kabisa yn kakaa kimya jmn
@SaumuShaima
@SaumuShaima 17 күн бұрын
Allah awa fanyie wepesi family kwa kumpoteza mtoto wenu na mngu awape subura watoto😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mercyzawadi6376
@mercyzawadi6376 18 күн бұрын
Poleni Sana Na MUNGU awape faraja wanafamilia wote.
@MariamMariam-pg7uz
@MariamMariam-pg7uz 18 күн бұрын
Poleni sana watoto wamarehem.poleni wazazi wamarehemu pole sana mamaetu. Pingo hili nipingo kubwa sana tuzidi kumuombea ndungu yetu marehemu nimipango ya mungu tutazidi kumkumbuka mimi mwenyewe nimevujika nguvu natamani hata leo hii mkataba wangu.wa oman uishe salama ili nirudi tz imezidi wafanyakazi kufia oman inatuuma sana ungu aiifazi.roho hake pema amiina naomba selikali ifatilie wafanya kazi wa oman mwengine hata simu ananyanganywa nabosi wake kwaiyo mtu anapata matatizo hana msaada oote naomba mama samia afatilie hili swara lawafanya kazi wa omani yote tumemukabidhi.mungu amiina
@makkawi4294
@makkawi4294 13 күн бұрын
Inah lillah wa innah lillah rajiunne 😭😭😭 nalizwa na hao watto mm jm😭😭😭😭
@FghgRyy
@FghgRyy 18 күн бұрын
Innalillah wainna ilayh raji'un poleni sana familia Subhana Allah inatuumiza pia sisi wafanyakazi 😢
@RehemaAmbakisye-l2n
@RehemaAmbakisye-l2n 18 күн бұрын
Daaaa poleni sana family uku tuliko mtuombee mana daaa mwenyezi mungu atajibu nashidwa niongee nn 😢😢😢
@RuwaydaCharles
@RuwaydaCharles 18 күн бұрын
😢😢😢masikini ya mungu tumchangie huyu baba😢😢😢
@ZawadiAli-j7b
@ZawadiAli-j7b 18 күн бұрын
Siku zote kwa mungu hakuna kubwa...ipo siku itajulikana UKwelii maana mungu wao na marehem Ndio wanajua
@SbahHiai
@SbahHiai 18 күн бұрын
Poleni sana inalilahi wainarajuni mungu amlaze mahala pema pepon amin
@Noor-o4i
@Noor-o4i 18 күн бұрын
Innallilah wainalilah rajiuni mwanamvua punzka kwa aman Allah akupe kauli thabit jirani yng uyu😢😢 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 tuseme alhamdulillah wakwetu tanga moja tena mtaa moja 😢😢😢 Allah akbar
@HasnatMustafa-n1q
@HasnatMustafa-n1q 18 күн бұрын
Watt wameniliza mimi daaah 😭😭😭😭😭
@HalimaHlima-c4n
@HalimaHlima-c4n 18 күн бұрын
JuLlANA..🤲🏻🕌🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@UmmyJumaa
@UmmyJumaa 18 күн бұрын
Daah watoto wameniliza masikini😢
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 18 күн бұрын
Mungu mjuzi zaidi Allah ampe mwisho mwema Ameen
@KuruthumBilali
@KuruthumBilali 18 күн бұрын
Subhana llah lailaha illa Allah ALLAH AKBAR
@Hamisjuma-u6j
@Hamisjuma-u6j 14 күн бұрын
Allaah amsaamehe amrahamu
@FedhaLuhunde
@FedhaLuhunde 17 күн бұрын
Inalillah waina illah rajuu😢😢😢😢jmn hii issue imetokea lini jmn
@ZuwenaabdullaKhamis
@ZuwenaabdullaKhamis 17 күн бұрын
Innalilah waina illah rajuun sote ni wa allah na kwake tutarejea ,, allah ndie mjuzi Zaid 😭😭
@mwanaidabeid8720
@mwanaidabeid8720 18 күн бұрын
Nikwel kabisa baba 🙏🙏
@Nailaty564
@Nailaty564 18 күн бұрын
Huyu mdogo bado hajaelewa kitu kinacho endelea 😭😭😭
@samiraramathan-bd5bc
@samiraramathan-bd5bc 18 күн бұрын
Poleni sana wanafamilia Allah amlaze mahali pema popeni
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 17 күн бұрын
Omani kulikuwa kunakitu kinaniambia hii nchi utakufa toka haraka. Kweli nilitoka
@Mona-i9f
@Mona-i9f 18 күн бұрын
😢😢😢😢😢 Mungu awatie nguvu wana familia 😢😢poleni sana
@KuruthumBilali
@KuruthumBilali 18 күн бұрын
RABI GHUFIR waliwalidaya kama Ràbbayaan SWAGHIRA. Amina tabaraka rahman
@ShahiraKduli
@ShahiraKduli 18 күн бұрын
Innalilah wainnailaah rajioun mungu tufanyie wepes turud salama
@jaysullman3697
@jaysullman3697 17 күн бұрын
Inna lilLah wainna ilahi rajiun YaalLah awafanyie wepesi Aamiin Yaarab 🤲 AlhamdulilLah
@Matilda-g9z
@Matilda-g9z 18 күн бұрын
Poleni familia ndugu na marafiki
@ZuhuraAyoub-e5t
@ZuhuraAyoub-e5t 17 күн бұрын
Innalillah wainaylah rajiuun 😢😢😢
@halimamsafiri288
@halimamsafiri288 17 күн бұрын
😢😢😢😢 Inna lillah wainna ilah rajuun mwenyezi Mungu Amrehemu
@rehemamagomba5963
@rehemamagomba5963 18 күн бұрын
Innalillah wainnailahiraajiuun pole nisana familia
@ZainabLol-wx7xf
@ZainabLol-wx7xf 18 күн бұрын
POLENI SANA FAMILIA YA MWANAMVU NA MARAFIKI ZAKE SISI WOTE
@DxbYae
@DxbYae 17 күн бұрын
Allah ampe kauli thabiti ndugu yetu
@NameOmani-x9v
@NameOmani-x9v 18 күн бұрын
Poleni sana wanafamilia ya mwavua Kwa kweli inauma sana ila tumuachia m / mung
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
QISADA RAASHID IYO XAMDAAN QISO CABSI AH!!@sawdamqaalib
1:08:08
Sawda Qaalib
Рет қаралды 109 М.
Malaysia's Minister Says Growth Set to Surpass 5% in 2025
28:42
Bloomberg Television
Рет қаралды 32 М.
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН