Ni SHOLO MWAMBA Tena! AMPIGISHA Magoti MAGUFULI Kumuombea Rais Mstaafu MKAPA...

  Рет қаралды 192,477

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Ni SHOLO MWAMBA Tena! AMPIGISHA Magoti MAGUFULI Kumuombea Rais Mstaafu MKAPA...
Mbio za kampeni Zinaendelea kutimua vumbi katika mikoa mbalimbali nchini ambapo leo Septemba 3, 2020 DKT Magufuli anaendelea na mikutano ya hadhara ambapo amefika Shinyanga kuomba wananchi wampigie kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 128
@neemahaji5766
@neemahaji5766 3 жыл бұрын
Nimekuja apa baada ya kifo cha raisi😭😭😭🙏
@alexandersimon5933
@alexandersimon5933 4 жыл бұрын
Daaa, Raisi anapiga magoti baada ya Msanii kusema/!!!!!!! Machozi yamenitoka kabisa. Raisi huyu ni watofauti sana. Mungu akulinde Raisi wangu. Nakupenda sana.
@zawadiyohana7238
@zawadiyohana7238 4 жыл бұрын
Mungu ampe maisha malefu
@egbertrupert2630
@egbertrupert2630 4 жыл бұрын
Mungu akuzidishie maisha marefu rais JPJM
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Sasahivi watafanya kila kitu. Ngoja aapishwe. Atarudi hapa kuwaita vilaza 😂
@agnesgervas8070
@agnesgervas8070 3 жыл бұрын
@@bjzee1981 mmmh
@deograsmbilinyi1214
@deograsmbilinyi1214 3 жыл бұрын
Tujuane tulio kuja baada ya msiba RIP MAGUFULI
@happynesskomba7297
@happynesskomba7297 3 жыл бұрын
Nipo
@snedemc
@snedemc Жыл бұрын
Kweli
@petertabitha287
@petertabitha287 Жыл бұрын
Sidhan kama kwenye kampen watu watajitokeza kwa wing I tena
@josephmkande7828
@josephmkande7828 4 жыл бұрын
Du rais wetu Magu Mungu ambariki sana japo ni mkali lakini nimnyenyekevu sana anapiga magoti sala yenyewe haieleweki, Magu upo vizuri sana rais wangu
@dicksonchauganga5325
@dicksonchauganga5325 3 жыл бұрын
Nani karud tena hapa baada ya jembe kututoka?? Nipeni like zangu!
@ezramaganda842
@ezramaganda842 4 жыл бұрын
Sholo mwamba umetisha mwanangu kazi nzuri
@upendokaswiza9831
@upendokaswiza9831 4 жыл бұрын
Mungu mwema jaman maana hapo balakoa hakuna jaman mungu akuweke magu maombi na iman imetusaidia sana
@frankonicholaus619
@frankonicholaus619 4 жыл бұрын
Sijawai kukomnt but sholo mwamba nizaid ya wasanii bongo big up
@hamzaridhiwani4336
@hamzaridhiwani4336 3 жыл бұрын
Dah isee mungu akulinde rais wetu
@phinnanyoni8381
@phinnanyoni8381 4 жыл бұрын
Salute kwako sholo
@snico2275
@snico2275 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 kifo jamani
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 4 жыл бұрын
Ata waseme niiniii MAGUFULI OYEEEEEEE
@salmamalck7024
@salmamalck7024 3 жыл бұрын
Umenifundisha vitu vingi san nakunifanya nijuwe mimi ni nani nanitakiwa kufanya na kuwacha nini Asante daddy 🙏 nitakukumbuka daima 😭
@bonphacemwigulu129
@bonphacemwigulu129 4 жыл бұрын
Magu uko vzr kura zako kama zote watabaki wenyee roho mbaya tu
@justinendizeye714
@justinendizeye714 4 жыл бұрын
Wauw JPM is big rapper, that great 👍👍👍👍
@leanahbusanga8272
@leanahbusanga8272 3 жыл бұрын
Rip Baba 😭😭😭😭 wende kwa amani 🇨🇩
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 4 жыл бұрын
Shoro ujue shika adabu yako tutakuwa hatukuchukui tena kwenye mikutano😁😁😁😁😁💛💚💛💚
@jackilinram1083
@jackilinram1083 3 жыл бұрын
Magufuri baba why RIP
@daudkihava8528
@daudkihava8528 3 жыл бұрын
Daima tutakukumbuka JPM mungu akupe pumziko jema huko uendako. Mbele yako nyuma yetu.
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 4 жыл бұрын
TANZANIA SIHAMI
@zakariaelia7998
@zakariaelia7998 4 жыл бұрын
tunabak wote, sema wasiojulikana ndo shida
@rukundorwimanaalbert1927
@rukundorwimanaalbert1927 4 жыл бұрын
Good nice
@mariayusufu9746
@mariayusufu9746 3 жыл бұрын
Magufuli we miss u 😭😭😭😭
@noelmmary8911
@noelmmary8911 4 жыл бұрын
Sholo umemnyoosha mzee wetu kwakweli
@Aminaamina-cg8sf
@Aminaamina-cg8sf 3 жыл бұрын
Aki tulizowea hivi Leo tunakusanyika kwakulia R I P MAGU
@Grapa-ob8dw
@Grapa-ob8dw 4 жыл бұрын
Sholo you are the best bravo
@eliaspaulmasanyiwa6902
@eliaspaulmasanyiwa6902 3 жыл бұрын
Rip Magufuli. Angekuwa Samia au Kikwete asingepiga magoti
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 4 жыл бұрын
ATA MIMI NIMETOKA MACHOZIII KWA MAOMBI HAYO DAAA. KAKA ASANTE SANA KWA MAOMBI HAYO NI MAZURI MNO. UBALIKIWE. MUIMBAJI ASANTE
@frankmakeula4506
@frankmakeula4506 4 жыл бұрын
Huyu mtoto hana heshima unafosi singeli iwe juu
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 3 жыл бұрын
Magufuli tabasam lako mashallah umependeza kwelii
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Gud gud... Ccm oyeee... Jpm oyeee
@neemaneema5724
@neemaneema5724 4 жыл бұрын
Hakika muheshimiwa we nimteule toka tumboni mwa mama na libarikiwe tumbo ulilotoka baba
@mcrithawaukweli4885
@mcrithawaukweli4885 4 жыл бұрын
Well done
@burhanmbagwa5879
@burhanmbagwa5879 4 жыл бұрын
Ila nimecheka sana na kusikitika
@rehemaaithumani3076
@rehemaaithumani3076 4 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👌👌💪💪 Raisi magufuri jembee chm oyeeeeeeee
@aminamollel5725
@aminamollel5725 4 жыл бұрын
Nimependa kinyamaaaaaa.....piga magoti tumeombee Mkapa
@djbiggal1049
@djbiggal1049 3 жыл бұрын
Magufuli tofauti Sana ...
@leockadiakadogosa7536
@leockadiakadogosa7536 4 жыл бұрын
Nyie wasanii mbona hamna heshima kwa viongozi wetu kuwamuru kusimama na kuwapigisha magoti. Muwe na adabu
@sophialaurent2876
@sophialaurent2876 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@liberatusmassawe5601
@liberatusmassawe5601 4 жыл бұрын
Wajinga
@liberatusmassawe5601
@liberatusmassawe5601 4 жыл бұрын
Wajinga, tena wana mapepo
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Hapa ndio paku wapatia baada ya hapa 😂
@eventelias3566
@eventelias3566 4 жыл бұрын
Wanangu wa Shinyangaaa ...sijaona vumbi Shinyangaa😬
@neemapeter9120
@neemapeter9120 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@atwayally8105
@atwayally8105 3 жыл бұрын
We mtoto wee umempigisha Rais wetu magoti
@galinomatz3502
@galinomatz3502 4 жыл бұрын
Shikamoo sholo! Umetisha! I'll Mwanza mpumzishe Presdaa Buana lol!
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Kwakweli bhana
@hunterregnald1671
@hunterregnald1671 2 жыл бұрын
Sholo Mwamba uko na kipaji brother
@benardmapuga8370
@benardmapuga8370 4 жыл бұрын
Na magoti wamepiga chezea singeli na wamesalishwa kisingeli vilevile ahahahaaaaaa hatari sana
@salvydeoo8966
@salvydeoo8966 4 жыл бұрын
Nomaaa
@veinoh3607
@veinoh3607 4 жыл бұрын
sholo ni nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@mohammadkiliwa5483
@mohammadkiliwa5483 4 жыл бұрын
Ni hatari. Si angesema Amina wasimame
@rafiahamadi1496
@rafiahamadi1496 4 жыл бұрын
Umenifanya nichekee
@emmanuelkangalo9305
@emmanuelkangalo9305 4 жыл бұрын
Htr sana mpka wabunge nao kumbe wanajua kuyadigi raisi nae kashindwa kujizuiya singeri tuipeni kipao mbele japokua watu wanachkulia kama mziki wa kihuni
@dennicmtn5269
@dennicmtn5269 2 жыл бұрын
2022 october without you Magufuli R I P BABA
@nassorombutite4526
@nassorombutite4526 3 жыл бұрын
Ina uma sana ayseeeeeee
@emmyminah1261
@emmyminah1261 2 жыл бұрын
Jmn rais wetu mungu amsamehe amueke sehem salm mtii San nimelia mm dah😨😨😨😨😨
@sophialaurent2876
@sophialaurent2876 4 жыл бұрын
Sholo mwamba ,usituchoshee Rais wetu tafadhali🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mcrithawaukweli4885
@mcrithawaukweli4885 4 жыл бұрын
Na kweli 😆😆
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 4 жыл бұрын
CCM OYEEEEEEEEE. MAGUFULI OYEEEEEEE
@jesusalpholed4811
@jesusalpholed4811 4 жыл бұрын
Baba unagusa rais magu
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Kwa hivyo shinyanga ndio wanavaa ki uganga uganga hivi
@salvydeoo8966
@salvydeoo8966 4 жыл бұрын
Jmn magu mungu akulinde
@husnamamuya5784
@husnamamuya5784 4 жыл бұрын
Daah jamani huyu baba anastahili kutuongoza baba umepita bado kuapishwa tuuuu
@sabinamwita5261
@sabinamwita5261 4 жыл бұрын
Sholo mwambwa mbn unamfokea rais wetu jmn
@majinitisa864
@majinitisa864 4 жыл бұрын
Jpm noma
@twangalathedon2381
@twangalathedon2381 4 жыл бұрын
sanaaa maguu oyeeeee
@salamihorance528
@salamihorance528 4 жыл бұрын
Sholo mwamba kamlambisha magu dawa, sio kwa kumfokea huko
@robertterry8909
@robertterry8909 4 жыл бұрын
Jpm namba moja Tanzania
@tinertv1382
@tinertv1382 4 жыл бұрын
Ameambiwa anaombewa hajapiga Magoti kwa ajili mtu kapiga kwa Mungu!
@zuwenabilikundi8449
@zuwenabilikundi8449 4 жыл бұрын
100
@khamisiabeidngonde5515
@khamisiabeidngonde5515 4 жыл бұрын
Sholo devil mtu mbadiii., show kali la kutisha
@joymadambby3290
@joymadambby3290 4 жыл бұрын
Hadi RAHA😂😂❤️💃💃
@khadijaathuman5271
@khadijaathuman5271 4 жыл бұрын
Mwacheni acheze naye binadamu kosa lake nini kwavile rais ila ni binadamu pia
@ProfessorYGsniperRobot
@ProfessorYGsniperRobot 4 жыл бұрын
Wakati wakinywa nakula nakuoa,na wakisema Kuna Amani ndipo ,panatokea ule ualibufu,Wakati Wa utawala wa shetani umekwisha,Sasa lazima mtambue kuwa mwenye Ufamle wake anakuja na yupo kalibu,yatupasa sote tutubu kwa maana ule mwisho umekalibia,imeandikwa Na injili ya Ufalme wa Mungu itaubiliwa ulimwengu kote na hapo ndipo ule mwisho utakapokuja,
@SaidiHasani-wl8tr
@SaidiHasani-wl8tr 3 ай бұрын
Anatisha sana
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 Жыл бұрын
Mmhhh!!😭😭😭😭😭😭
@phinnanyoni8381
@phinnanyoni8381 4 жыл бұрын
Anafanya kuweka rekod sholo
@fernandoagostinhochalyamba818
@fernandoagostinhochalyamba818 4 жыл бұрын
Noma sana
@hajikombo8578
@hajikombo8578 4 жыл бұрын
Sijapatakuona maombi kwa staili ya singeli .
@rashidimatumla1344
@rashidimatumla1344 4 жыл бұрын
ndo umeona sasa apo
@hajikombo8578
@hajikombo8578 4 жыл бұрын
@@rashidimatumla1344 sitatizo kupiga magoti tatizo wasanii hawana adabu itakuaje umpigishe magoti kiongozi mkubwa ,pengine diniyao inaruhusu au ?
@philipkato6517
@philipkato6517 4 жыл бұрын
Swaga za Singelii hizo wao nao wakapiga kweli magoti🤣🤣😂😂🤣 na macho wakafunga..sema yule mlinzi wa magu kamaind kichz😂😂🤣
@yussufmohd5281
@yussufmohd5281 4 жыл бұрын
Ndy unshaona ss katowe Gazet 2 ww
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 жыл бұрын
Hamna dini hapo ujanja2
@thomasyeyo2776
@thomasyeyo2776 4 жыл бұрын
Fire burning
@kamalissabig2429
@kamalissabig2429 4 жыл бұрын
Isingekuwa wasanii ccm wasinge pata watu kabisa
@arbukasigwa4533
@arbukasigwa4533 4 жыл бұрын
Kila mtu anatumia akiri yake hili aweze kupata kitu nyie mnashidwa nn kuwa na wasanii kina mtu anakataza
@josephmanyama435
@josephmanyama435 4 жыл бұрын
duuu kweli hatari
@mariavianeypeter2991
@mariavianeypeter2991 4 жыл бұрын
Magu oyeeeee.
@massoudsultan6149
@massoudsultan6149 4 жыл бұрын
Jamaa music dah
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq Ай бұрын
Eti wanyaturu hawajui singel huna la kusema bora uandike kitu kingine tu
@ethanethan4437
@ethanethan4437 4 жыл бұрын
Sholoooooo
@Kim_D84
@Kim_D84 4 жыл бұрын
Waumie tuu....
@alexmiage7115
@alexmiage7115 3 жыл бұрын
Pumbavu wee Askari unamuona rais kapiga magoti alafu wewe bado unakaa mjinga sana inafaa ukiona rais kapiga magoti na kufumba macho kwenye sala wee usimame tena uwe tait macho yawe kila mahali kumuekea ulinzi mzito alaa
@Kaizirege
@Kaizirege 4 жыл бұрын
😂😂😂
@hurwadahjimmy2317
@hurwadahjimmy2317 2 жыл бұрын
Mungu akupe Aman ya milele ancle magu najkutata nimekukumbuka mpendwa wetu
@shalomizrael667
@shalomizrael667 4 жыл бұрын
Huyu rais ni mnyenyekevu sana tukimpoteza tutakuja juta
@dicksonchauganga5325
@dicksonchauganga5325 3 жыл бұрын
Tushampoteza ila km kuna mkono wa mtu juu ya kifo chake Inshaallah Mungu atamdhalilisha na dunia yote ione!!
@hadijahmwajombe9588
@hadijahmwajombe9588 4 жыл бұрын
daaaa
@khadijaathuman5271
@khadijaathuman5271 4 жыл бұрын
Eee kapiga magoti kwa ajjili ya waliyotangulia hajamwambia apige Imani yake tu
@snedemc
@snedemc Жыл бұрын
Mwamba geu
@willyantony6654
@willyantony6654 4 жыл бұрын
😀😀😀😀👍👍👍👍🙏🙏
@andreashayo6266
@andreashayo6266 4 жыл бұрын
Toka nazaliwa chama ninacho kiona ni CCM kwahiyo CCM baba lao mzee magufuli yaan mm kura yangu unayo hata kabla ya kampeni
@manaseelias2351
@manaseelias2351 4 жыл бұрын
Sholooo awamu ijayo ugombee udiwani au ubunge
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 жыл бұрын
Hakuna sala hapo wezetu musidanganyane pigeni mziki 2
@fatmamachelenga4621
@fatmamachelenga4621 2 жыл бұрын
Kwapa manywel kibaoo
@saimonimwazale4573
@saimonimwazale4573 4 жыл бұрын
Mziki wa magu unatisha
@mbwanakassimu2213
@mbwanakassimu2213 4 жыл бұрын
Saf San kaka Allah kulind mwanz mwixh
@eggysulle7988
@eggysulle7988 4 жыл бұрын
Nmekubl shooroo
@chussede3072
@chussede3072 4 жыл бұрын
Mwamba unamtesa mzee wetu bhana
@Georgekipusa
@Georgekipusa 4 жыл бұрын
Duuuuuu
@paulinalala1693
@paulinalala1693 4 жыл бұрын
Unamchosha rais wetu..jmn
@jacklinemanonga4935
@jacklinemanonga4935 4 жыл бұрын
Anahatari
@mbegadaughter9312
@mbegadaughter9312 4 жыл бұрын
Done well
@annakisiga889
@annakisiga889 4 жыл бұрын
Manyumbu mnasemaje
SHALO MWAMBA KOMAA CPNCEPT DAR ES SALAAM
12:08
Sholo Mwamba
Рет қаралды 96 М.
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
MSANII ALIYEMKOSHA RAIS MAGUFULI LEO BARIADI SIMIYU
5:14
Millard Ayo
Рет қаралды 679 М.
Professor Jay feat Alikiba - CALLING (Official Music Video)
4:26
ProfessorJay
Рет қаралды 482 М.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 6 МЛН
Nandy feat Billnass - Totorimi (Official Music Video)
3:54
Nandy - The African Princess
Рет қаралды 784 М.
HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018
59:24
Azam TV
Рет қаралды 807 М.
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН