MTOTO wa MANJI AMUOMBA MSAMAHA MSTAAFU KIKWETE KUTOMZIKA MANJI - ''ALITAKA AZIKWE na BABA'AKE''....

  Рет қаралды 73,561

Global TV  Online

Global TV Online

22 күн бұрын

MTOTO wa MANJI AMUOMBA MSAMAHA MSTAAFU KIKWETE KUTOMZIKA MANJI - ''ALITAKA AZIKWE na BABA'AKE''....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 176
@globaltv_online
@globaltv_online 20 күн бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 21 күн бұрын
Pole sana kijana wetu mtoto wa Manji ... MUNGU akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu. Bado wewe waweza kuwa makini kuliko mzee watanzania Bado wapo sehem yenu
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 20 күн бұрын
Poleni sn kijana na ndugu yako na familia Kwa ujumla. Mungu atazidi kuwapigania.
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 20 күн бұрын
💔💔💔🇹🇿🤲🤲🤲Allah awape subra na nguvu💪family yote ya manji
@LemiNgalu
@LemiNgalu 4 күн бұрын
Ppp L​@@hafsalucky1088
@user-ly2tv5og1n
@user-ly2tv5og1n 21 күн бұрын
Mwenyezi Mungu Awajaze rehma na baraka. Poleni sana ! Tutamkumbuka sana baba yenu .
@jamilajiwan9890
@jamilajiwan9890 21 күн бұрын
Poleni sana Mungu awalinde awaepushe na shari za Dunia. Mungu amuweke mahali pema peponi ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia.
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 20 күн бұрын
My deepest condolences to family members and friends of Yusuf Manji, may Allah give you strength at this difficult moment. Love from los angels California
@ezramichael7038
@ezramichael7038 21 күн бұрын
May God give you strength during this difficult period of your father's loss. In fact, my father has raised me with wisdom and prudence, we are all on the same path
@SatuParmukh
@SatuParmukh 20 күн бұрын
Mwenyezi mungu amrehemu Marehemu Manji!😢 sote safari yetu moja...Ila Mtoto wa Manji uyo mwenye macho ya mzungu,yuko handsome sanaa Mashaallah!❤👍🏻
@aminadjuma7555
@aminadjuma7555 20 күн бұрын
Mwehu ww unatamani mfate
@SatuParmukh
@SatuParmukh 19 күн бұрын
@@aminadjuma7555 mwehu wewe mwenyewe,🤬weh vipi? Kwani nimekusifu wewe?
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 20 күн бұрын
Poleni sana kwa kuondokewa na mzee mliye mpenda
@ianak4
@ianak4 21 күн бұрын
Poleni sana kwa msiba wa mzazi wenu, Mtanzania mwenzetu mpenda watu na maendeleo. Msiumizwe na comments mbaya za watu, ndivyo jamii ilivyo. Focus on love.
@daslamonline4665
@daslamonline4665 19 күн бұрын
Mtoto ana busara mashallha
@ramadhanitawaqal8958
@ramadhanitawaqal8958 20 күн бұрын
Pole Sana Mahboub karibu Sana Jangwani tupo pamoja na wewe
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 20 күн бұрын
Afate nn mumpige kama babaake 😅😅😅
@stonetown578
@stonetown578 20 күн бұрын
Allah amjaalie pepo Firdaus Amiin.
@MS.independent8934
@MS.independent8934 20 күн бұрын
MUNGU awatie ngumvu sn family yoote kwa jumlaa inshallah ❤🎉
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 21 күн бұрын
Mungu atakulinda mwanchi mwenzangu
@subirajohn728
@subirajohn728 21 күн бұрын
Innalilah wainnaylilah rajiuun! Mwenyezimungu amjalie kauli thabiti Yusuph! Poleni Sana familia!
@chris_jabari
@chris_jabari 21 күн бұрын
Hongera umeongea maneno mengi ya kiswahili kupita Wema Sepetu😊
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 21 күн бұрын
Kwani umemaanisha nini hapo!!😅
@lucakakuru3138
@lucakakuru3138 21 күн бұрын
😂😂😂
@JosephBWAGIZO-fs5ig
@JosephBWAGIZO-fs5ig 21 күн бұрын
😂😂
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂yaani teari mashangingi washamdaka na kiswahili kafunzwa teari ?
@MashaMbwana
@MashaMbwana 19 күн бұрын
@@scholarmawala1403Wema ni mswahil lkn neno moja kiswahil maneno kumi kizungu 😅😅😅
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 9 күн бұрын
MashaAllah handsome boy may Allah bless you, RIP Yusuf Manji poleni sana
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 21 күн бұрын
Matajiri hao msiba wa baba Yao wanalia tu wamempoteza baba ila Hawaii kuwa ni masikini
@josephlorri431
@josephlorri431 20 күн бұрын
Hakuna kupigana kwenye mgawanyo wa mali
@mrokay1time958
@mrokay1time958 20 күн бұрын
May Allah forgive him and take him in jannah firdaus sorry in difficult time
@mariamemadoshi5540
@mariamemadoshi5540 20 күн бұрын
Pole sana mungu awape nguvu katika nyakati hizi ngumu rip manji
@moriscollins4494
@moriscollins4494 21 күн бұрын
Matajiri wanazaa watoto wachache sisi sasa 😅😅😅
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 21 күн бұрын
Kila mtoto na ridhiki zake kuzaa mwanzo mwisho
@ErnestJosephat
@ErnestJosephat 21 күн бұрын
Na Tuzae sana ili mungu akupe zaidi!!Usiogope kuzaaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 20 күн бұрын
siyo kweli
@eusebiaurassa3417
@eusebiaurassa3417 20 күн бұрын
Masikini na wanae tajiri na mali zake😂
@devisshirima6780
@devisshirima6780 20 күн бұрын
Masikini anazaa sana sababu tegemeo lake ni watoto, na ni lazima katika hao wengi kuna mmoja au hata saa nyingine wote wanakuja kuwa matajiri. Ndio maama msondo walisema"MASIKINI NA WANANGU TAJIRI NA MALI YANGU"
@shabanrufumbo3701
@shabanrufumbo3701 21 күн бұрын
pole sana safari yetu sote hiiii
@frankevaristo6918
@frankevaristo6918 20 күн бұрын
Pole sana Kwa kipindi hiki kigumu
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 21 күн бұрын
Pole kijana
@user-pm7oe5gj8g
@user-pm7oe5gj8g 21 күн бұрын
Poleni sana
@robertphilip385
@robertphilip385 21 күн бұрын
Pole sana kijana
@user-wl3bg9ed1l
@user-wl3bg9ed1l 21 күн бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rajioon
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 10 күн бұрын
Waaleyk msaalam, Allah ampe kauli dhabit
@noelswai2660
@noelswai2660 21 күн бұрын
MUNGU amlinde huyu kijana na mashangingi wa mjini 😢😢😅😅
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 21 күн бұрын
😂😂😂 mashangingi?
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 21 күн бұрын
​@@ayoubmtumishi50hujaelewa
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 20 күн бұрын
Hawapendi waswahili hawa wabaguzi
@SalumKanju-ik1bk
@SalumKanju-ik1bk 20 күн бұрын
hahahahaha we mwehu sana hahah yan sisi tupo kwenye maombolezi we watuchekesha
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@leaherasto929
@leaherasto929 19 күн бұрын
Pole sana dogo
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 19 күн бұрын
Lakini anaonekana yupo humble Pole kufiwa na baba inauma sana mzazi akikuacha
@hanifaa1487
@hanifaa1487 21 күн бұрын
Mashallah
@AlexDitto-cf8ed
@AlexDitto-cf8ed 20 күн бұрын
Pole sana
@111dudi
@111dudi 16 күн бұрын
Hajui kusema innaa lillahi wa innaa lilahi raajiuun. Muislam gani
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 21 күн бұрын
Yani Global mmeeenda na camera moja utadhani hamjalipwa hela duuuu.
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 21 күн бұрын
😢😢😢😊😊😊😊😊
@mshambaused3840
@mshambaused3840 16 күн бұрын
😅😅😅
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 12 күн бұрын
Global Wanajishusha Wenyewe
@florianhenry7198
@florianhenry7198 21 күн бұрын
Sorry for the lose of your Father.Amen
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 21 күн бұрын
Poleni sana kwa msiba
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 20 күн бұрын
Poleni sana familia nzima ila Allah amebakia atawalinda.
@user-bh2bx3kk4u
@user-bh2bx3kk4u 15 күн бұрын
Poleni.sana
@bahatadof5543
@bahatadof5543 20 күн бұрын
Pole Sana kwa kufiwa na Mzazi,R.i.p Manji
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 21 күн бұрын
Innalilah wahina illahi rajoun polen
@beatricejohn1659
@beatricejohn1659 20 күн бұрын
Pole sana Mungu ampe kauli thabit💔😭
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 9 күн бұрын
Makonda haya sasa furahi sana kwa kumdhulumu Yusuf manji ulimbambikia kesi ulizotaka!
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 19 күн бұрын
Poleni sana vijana kufiwa na baba . Poleni
@shirazremtullah3935
@shirazremtullah3935 14 күн бұрын
Al fateha
@omeerrasheed7192
@omeerrasheed7192 21 күн бұрын
Innaalillaah wainna ilyhi Raajioon ALLAH amsameh madhambi yake AMYN
@FatmaFerej
@FatmaFerej 20 күн бұрын
Allah amrehemu yarrab Amin
@ErnestJosephat
@ErnestJosephat 21 күн бұрын
Am sorry😢😢
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 20 күн бұрын
Innalillahi wa innaillah rajeun
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 21 күн бұрын
Yesu amuweke pema peponi
@dullahsaleh8507
@dullahsaleh8507 21 күн бұрын
Hana uwezo huo
@ramadhanitawaqal8958
@ramadhanitawaqal8958 20 күн бұрын
Yesu ana uwezo WA kumuweka MTU peponi 😂😂
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 20 күн бұрын
Pumbavu wewe
@shabanponera2895
@shabanponera2895 21 күн бұрын
Pole sana dogo, ila kiswahili chako ni changamoto utafikiri sio mtanzania
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 21 күн бұрын
Si ajabu kazaliwa huko kakulia huko huko, Kiswahili kakijua akija likizo bongo, kwa hali hii hivi atakiongea kama mimi na wewe?!😅😅😅
@MikidadiKimilike
@MikidadiKimilike 21 күн бұрын
Yapo makabila hapa tanzania mpaka leo hawajui kiswahili mfano wahadzabe
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 21 күн бұрын
Wamasai.wazandaki n.k. hawajui sembuse aliyezaliwa nje na kukulia huko
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 20 күн бұрын
​@@MikidadiKimilikehata wakurya 😅😅😅
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 20 күн бұрын
Sijui kwa nini mtu akifariki wanamumiminia sifa. Mańji ni mmoja aliyoitafuna Tanzania. Alijiingiza kwenye moira na akakubalika. Ukitaka Kuwaitis watanzania jiunge na Simba au Yanga. Manji alisaidiwa na serikali ya Kikwete kupiga tenda za mabilioni. Mtanzania mwenye passport zaidi ya moja. Fedha alizopiga wenye kuelewa ni mabilioni. Mungu amusamehe kwa dhuruma aliyowafanyia watanzania.
@yusufismail3116
@yusufismail3116 20 күн бұрын
Roho mbaya ni uchawi na umasikini , badilika kijana.
@seifmiraji43
@seifmiraji43 20 күн бұрын
Ndo umeandika nini maana naona mauza uza tu😂😂😂
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 20 күн бұрын
@@yusufismail3116 sisi ni matajiri sana. Ni masikini kwa ujinga wetu
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 20 күн бұрын
@@seifmiraji43 ni vigumu kunielewa, mpaka uwe na akiri za kuzaliwa
@seifmiraji43
@seifmiraji43 20 күн бұрын
@@Mima-cl2im naanzaje kukuelewa ikiwa hata kuandika hujui, sasa "akiri" ndio nini!? 😂😂
@demicratia4071
@demicratia4071 21 күн бұрын
Mnawapeka watoto nje mapema sana SASA LUGHA KWISHA GONGANA MANJIS😂
@trophywilson7211
@trophywilson7211 20 күн бұрын
shida iko wapi??ni mwarabu Huyo
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 19 күн бұрын
Ni Mtanzania
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 21 күн бұрын
Pole sana ndugu
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 20 күн бұрын
Chalamila anasemaje yumo humu kweli
@SeifAlly-g9i
@SeifAlly-g9i 21 күн бұрын
Polesan kwa kifocha baba yako
@jakayajuma9867
@jakayajuma9867 13 күн бұрын
Very sorry
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 18 күн бұрын
Mwacheni kijana. Kama mambo mabaya amefanya baba yake ni baba yake. Mtoto wa tajiri
@fatmaabdi7192
@fatmaabdi7192 19 күн бұрын
Lakini wote wameondoka magu manji kec kwa hakimu aw haki
@denismasele4130
@denismasele4130 19 күн бұрын
Hiii comment ndo nilkua naitafta haya tueleze vzr 😮
@ModextaModexta-on7mi
@ModextaModexta-on7mi 21 күн бұрын
🤲🤲🤲😭😭💔💔💔
@ericksonmuhulo1570
@ericksonmuhulo1570 16 күн бұрын
❤❤
@edsonmnego4030
@edsonmnego4030 20 күн бұрын
Watt wa matajir hawaliagi msibani
@davinaheven4794
@davinaheven4794 15 күн бұрын
Poleni wafiwa, Mzee Mengi katoka jamani.
@avinrwegasira3448
@avinrwegasira3448 21 күн бұрын
Matajir
@gallegalleson4427
@gallegalleson4427 21 күн бұрын
Mmhh tz😮 Imebakwa
@magorymara5515
@magorymara5515 21 күн бұрын
Dunia haipo huko ulipo Dunia ni ya binadam wote hiki ni chungu mungu alipotuweka
@user-ts4mm1sb1j
@user-ts4mm1sb1j 5 күн бұрын
I loved Manji the most😢
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 20 күн бұрын
sasa huyu bwege sie jua kiswahili kabx kafata Nini uku linaonekana lina zarau kama malehemu baba yake alimuambia magufuli siongei Na mmbwa Naongea Namwenye mmbwa Next time yule mmbwa akaota meno manji alijua hajui
@yusufismail3116
@yusufismail3116 20 күн бұрын
Kijana jifunze, maneno yatakayokusaidia mfano kufanya kazi kwa bidii. Roho mbaya ni uchawi unatakaokuloga wewe mwenyewe.
@birianination7097
@birianination7097 20 күн бұрын
Kuwa na utu, punguza chuki usije kufa mdomo wazi
@ustawiwetu
@ustawiwetu 20 күн бұрын
Kwani Katiba inasema kuwa Mtanzania lazima ujue Kiswahili?
@mussahussein3583
@mussahussein3583 20 күн бұрын
Unaonekana unachuki binafsi mwezetu. Jiangalie
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 18 күн бұрын
Umasikini ni shift sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 21 күн бұрын
Mungu wangu huyu kijana anaishi nchi gani au kazaliwa wapi.Inakuwaje kuwa kiswahili kinamshinda kiasi hicho😢😢
@moriscollins4494
@moriscollins4494 21 күн бұрын
Bora hata huyu anakimudu kidogo ingekuwa mwanao wema sepetu 😅😅😅 tena wa kishua
@salimalmughairi1634
@salimalmughairi1634 21 күн бұрын
kwani hapo anaongea kisukuma mbona hata watanzania walio zaliwa tz hawajui kiswahili unashangaa nn
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 20 күн бұрын
Hawa ni wachumi wanaojifanya watanzania kujitajirisha. Hawatukubali, sisi tunawakubali na kuwakabidhi mali zetu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 20 күн бұрын
​@@Mima-cl2imwewe umegundua
@birianination7097
@birianination7097 20 күн бұрын
​@@Mima-cl2im hao waliweze toa ajira 2370 wewe umetoa ngapi.
@user-xd4lu1xl6c
@user-xd4lu1xl6c 21 күн бұрын
Mwonho ukikata damu kijani au nyekungu?
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 20 күн бұрын
Damu Yakiijani
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 20 күн бұрын
Kumbe hata kiswahili hajui na bado mnamuita mtanzania. Hawa siku zote wapo kuiba na kwenda kulia nje ya nchi. Kumbe wana uraia pacha halafu mnawazuia wachovu wengine waliojilipua huko majuu!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 20 күн бұрын
kama amepewa.Uraia ni MTanzania tu wivu wako tu huo
@birianination7097
@birianination7097 20 күн бұрын
Baba punguza chuki, kwani kua mtanzania ni kuongea kiswahili😂😂. Punguza roho mbaya
@ustawiwetu
@ustawiwetu 20 күн бұрын
Kiswahili hakina faida kama Huna hela au umelala njaa
@ProsperUlungi
@ProsperUlungi 21 күн бұрын
Huyu nae anajiita mtanzania . Mtanzani wa wapi huyu 😂
@SaidiMkome-qq7hy
@SaidiMkome-qq7hy 21 күн бұрын
Ubaguzi
@nassirali7499
@nassirali7499 21 күн бұрын
Mtanzania ni mama ako tu! Mbuzi ww!
@ProsperUlungi
@ProsperUlungi 21 күн бұрын
@@nassirali7499 mbona povu ndugu yako huyo au Shobo .kwa akili yangu unafikili ni ndugu zako hao . Hao wapo kwa niaba ya kutafuta2 ndio hata watoto wake wamezaliwa huko wamekulia huko hapa bongo wanakuja kutembea
@mataypanga5262
@mataypanga5262 21 күн бұрын
Hao ndio wale watanzania walaji wa nchi yetu. Mtu siyo raia anakopa hela kwa wazungu wenzie ili kuiba utajiri wetu kwa utajiri hewa
@paulinaobiria9649
@paulinaobiria9649 21 күн бұрын
Kwani mtanzania ni nani? Acha ubaguzi
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 20 күн бұрын
Mazishi yamefanyika wapi
@Namtumbo
@Namtumbo 20 күн бұрын
USA
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 21 күн бұрын
Ila mtu kama hajui kiswahili vzuri akawa anaongea inaweza kudhani fuse imekatika... Ila akiswitch kwenye English ndio utakuwa kumbe ni mzima.. MFANO bongozozo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 20 күн бұрын
hahaha tuko wengi
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 20 күн бұрын
@@trophywilson7211 nawewe hujui kiswahl vzr🤣
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 21 күн бұрын
Luga ya swahili huijui na mzaliwa wa tz what is wrong with this people
@trophywilson7211
@trophywilson7211 20 күн бұрын
Mbona anajua unataka nini ??
@ustawiwetu
@ustawiwetu 20 күн бұрын
Kama unajua Kiswahili na Huna hela ina maana gani
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 21 күн бұрын
Shida ya baba Yako ni kutaka kuuza madawa ya kulevya kuaribu inch yetu🥹🥹
@timetravellor5367
@timetravellor5367 21 күн бұрын
Alikuajiri wewe ukauze
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 21 күн бұрын
Una ushahidi wewe au unaongea kwa chuki zako binafsi
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 21 күн бұрын
@@timetravellor5367 Nyie najua ndio wale mnao jipendekeza kwa wenye nacho sema ukwel mungu atakusimamia usiwe na tabia za msaka tongue😂😂
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 21 күн бұрын
Uzaa na ww km ni rahis😢
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 21 күн бұрын
@@bockerNyarusahi Sina chuku mm ni msema kweli najua unataka mkate kidogo lakin uwez kupewa watoto wake unaona et hawajui kiswahili ata ujipendekeze upat kitu
@Jamila-v2l
@Jamila-v2l 13 күн бұрын
Pole sana
@user-hj5hh4zg4e
@user-hj5hh4zg4e 21 күн бұрын
Pole sn kijana ikuze kampun yamzee wako
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 21 күн бұрын
Mali ya Muhindi kufa ni ngumu sana, ukoo Mzima huziangalia kwa jicho la maendeleo zaidi.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 20 күн бұрын
​@GeorgeAkasha-zx2rj siyo Waafrica watataka wauze utu
@shufaashaban3805
@shufaashaban3805 21 күн бұрын
Pole sana
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 31 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 9 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 125 МЛН
Dua kwa ajili ya Yusuf Manji, Kikwete, watoto wake wazungumza
1:00:51
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,4 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 31 МЛН