UJENZI Nyumba ya KIKWETE, MAGUFULI Amvaa MKANDARASI - "HII Sio ya HISANI, ni SHERIA"...

  Рет қаралды 403,522

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

UJENZI Nyumba ya KIKWETE, MAGUFULI Amvaa MKANDARASI - "HII Sio ya HISANI, ni SHERIA"...
RAIS Magufuli leo Oktoba 18, amekabidhi Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, nyumba ambayo imejengwa na serikali kwa mujibu wa Sheria..
Aidha Rais Magufuli ametembelea Ujenzi wa nyumba ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, ambapo amekiri kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa nyumba hiyo..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 791
@jacobmark5140
@jacobmark5140 3 жыл бұрын
Leo ndo nimeamini kuwa magufuri siyo mnafiki angekuwa mwingine angesubiri mwinyi na JK wafe ndo aanze kuwasifu na kujifanya kuwajengea nyumba Mungu akubariki JPM kWa huo moyo
@lirastanley390
@lirastanley390 3 жыл бұрын
Hiyo sio yeye bali ni kwa mujibu wa sheria na ni lazima ifanyike hvyo kwa baba wa taifa si alijengewa akiwa hai..
@davidsimtaji8192
@davidsimtaji8192 3 жыл бұрын
HV nyie watu MNA akili kweli HV mwinyi na Kikwete ni maskin kias cha kujengewa nyumba, Rais wetu si rais Wa wanyonge HV inakuaje watu waliopatwa na maafa Kagera hawana hata kwa kulala tena watu walichanga wanalala kwenye mahema halafu useme marais wastaafu ambao asilimia 100 wana uwezo
@christinamalime2175
@christinamalime2175 3 жыл бұрын
Mmmmh
@jacobmark5140
@jacobmark5140 3 жыл бұрын
@@lirastanley390 mhuu kwa nin mkapa hakumjengea mwinyi na kikwete hakuwajengea mwinyi,mkapa kwani wakati huo sheria haikuwepo si na yeye JPM angekausha tu akajifanya haoni kumbe anaona bas tuseme tu ya kwamba JPM ni mzee wa sheria hapindishi pindishi mambo
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 жыл бұрын
@@christinamalime2175kwa mujibu wa sheria
@gasparchipeta1526
@gasparchipeta1526 3 жыл бұрын
Ni sahihi sana kuwajengea Marais wastaafu nyumba nzuri. Lazima kurudisha shukrani. Hongera!
@hassansalum5362
@hassansalum5362 3 жыл бұрын
Si wajenge wenyewe mishahara si wanapewa
@simbashakur1644
@simbashakur1644 3 жыл бұрын
Kawajengea kwa hela zake au hela za Serikali ?
@gibsonkabusola6923
@gibsonkabusola6923 3 жыл бұрын
Kwani wanafanya kazi ya uraisi bure? Si tunawalipa? Basi wajengee hela za mishahara yao
@agesag.m2476
@agesag.m2476 3 жыл бұрын
Waaaau, President Magufuli knows in-out what's is happening underground, that's great supervision , keep it up Sir....from Kenya.
@jdzongo1601
@jdzongo1601 3 жыл бұрын
What happened here , I love Tanzania but dont speak swahili from Drcongo living in Usa
@hamiduramadhani6772
@hamiduramadhani6772 3 жыл бұрын
Xxx
@hamiduramadhani6772
@hamiduramadhani6772 3 жыл бұрын
Xxx
@majyamberesilas9117
@majyamberesilas9117 3 жыл бұрын
HE magufuri Arifanya kazi muzuri mijyi sana kumucaguwa nimuzuru sana kwa TZ nakwa Duniya yote muzima mumucaguwe kwawejyi sana iko mutu yawatu amen amen
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@dallerbwoyniglo8675
@dallerbwoyniglo8675 4 ай бұрын
🎉
@dallerbwoyniglo8675
@dallerbwoyniglo8675 4 ай бұрын
Fact
@costantinemihayo
@costantinemihayo 3 жыл бұрын
Angelikua Hana pa kukaa ange kaa wap Si mpaka ningelimpeleka chato akaishi huko. Salut kwako Dr magufuli
@subirangoleka6572
@subirangoleka6572 3 жыл бұрын
Mimi nakuunga mkono msh raisi, viongozi wetu kwa ngazi ya maraisi ni muhimu kupewa makazi Kama shukrani kwa sababu wamevumilia mengi kazi ya uraisi ni ngumu saaana, msipowajengea watakuwa wanafikiria njia nyingine hata mm ningeifikiria.Nakupongeza jpm.
@salumkassim7949
@salumkassim7949 3 жыл бұрын
Uh haingii akiliniii nishidaaa
@adammwita3150
@adammwita3150 3 жыл бұрын
Hongera kwa kazi nzuri Mkuu🙋👍
@pasilsalusala3917
@pasilsalusala3917 3 жыл бұрын
Ni vyema kumtetea mfalme vizuri kuongoza inchi sio mchezo hawa watu wanafanya kazi ngumu ya uongozi.msiongee vibaya sarpoti Raise kwa hilo. namuombea hata miaka ishirini uongose Tanzania .huko vizuri Raise wetu unatengeneza TZ Ijayo yenya nguvu .Mungu fungue Wa Tz macho waone Maisha mazuri ya mbeleni unaye watengenezea..
@dn.n4983
@dn.n4983 3 жыл бұрын
Kweli uzembe kweli wafanye kazi
@abeliisaya4680
@abeliisaya4680 3 жыл бұрын
Duuuuu,,,, acha wanyonge tuendeleee kusota na maisha yetu magumu
@eischerschwederm7876
@eischerschwederm7876 3 жыл бұрын
Nchi zote zinafanya hivyo rais anastaafu lakini bado anaendelea kutumikia nchi, marekani pia wanamjengea rais
@saidbakari7476
@saidbakari7476 3 жыл бұрын
Kula Kwa urefu wa kamba yako usitamani vitu vilivyo nje ya uwezo wako sasa wewe ulitaka rais aishi kama wewe kama jinsi mungu alivyotuumba hatufanani na maisha hivyohivyo
@samasob8233
@samasob8233 3 жыл бұрын
@@eischerschwederm7876 hakuna hiyo acheni uongo
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
We acha tu , ttzo nilichogundua kinachotukwamisha africa ni ubinafsi yaan mtu anataka amiliki kila kitu
@samasob8233
@samasob8233 3 жыл бұрын
@@prettyh7509 you are right, amiliki kwa anacholipiwa mshahara na mitkas zake siyo hivyo. wanasema eti sheria iliwekwa na mkapa mwaka 1999, ushenzi tu. Kwa taarifa yake ndugu hapo juu, hakuna raisi marekani uunigereza ufaransa, na nchi nyingi tu africa anayejengewa nyumba baada ya kustaafu hakuna, tunatumia hizo ncchi kama vigezo ndio maana nimetoa huo mfano, hakuna, obama alinunua clinton, the bushes matajiri tu, wanajinunulia nyumba wenyewe wakitaka siyo and never serikali, halafu nyuumba zenyewe sasa, hata wakizigawa size mara tatu basi wapewe mawaziri wakuu na mamakamu wa kwanza wa raisi. uroho mtupu
@francisgituti2494
@francisgituti2494 3 жыл бұрын
Good job
@sadakhamis6684
@sadakhamis6684 3 жыл бұрын
💯👏
@boazlaizer7161
@boazlaizer7161 3 жыл бұрын
Mzee wetu yuko vizuri maana naona anawatambua waliomtangulia Mwenye Mungu akupe hekima na maarifa.
@nairatz
@nairatz 3 жыл бұрын
Much love
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 3 жыл бұрын
Tunaomba hiyo sheria ifanyike kwa sekta zote please, watu wengi wakistaafu wanatumia pesa za kiinua mgongo kujenga nyumba wanakosa hata hela ya kula, jengeni nyumba nyingi kabidhini wafanyakazi za bure, najua utawezekana huko mbeleni Tanzania tunapesaaa hongera Rais wetu John Pombe Magufuli mitano tena
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 жыл бұрын
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
@fatmaothman5627
@fatmaothman5627 3 жыл бұрын
Na waalim pia
@diirestraits4881
@diirestraits4881 3 жыл бұрын
Love Tanzania!
@samigothe-chemist9375
@samigothe-chemist9375 3 жыл бұрын
Dah mwenye nacho atazidi kuongezewa
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 3 жыл бұрын
kwani leo ndio unajua
@catherinejumanne9378
@catherinejumanne9378 3 жыл бұрын
Ama kweli watu wanaumwa mpak wanaomba michango Kwa wananchi wa kawaida lakin wao wanasamili kujijengea nyumba kuliko kujali utu duuh dunia mapito
@fx-farm6888
@fx-farm6888 3 жыл бұрын
@@catherinejumanne9378 hiyo ipo kisheria wewe
@bekososo9778
@bekososo9778 3 жыл бұрын
Big love ❤️
@ladsonmshana9920
@ladsonmshana9920 3 жыл бұрын
Mungu bariki wanyonge
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 жыл бұрын
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Mh. Rais
@abasadmtopa6246
@abasadmtopa6246 3 жыл бұрын
Duh mzee magu uko vizuri mpaka bei yatofali inajua
@josephatkichanilo3802
@josephatkichanilo3802 3 жыл бұрын
Chezeaa magufuli wew mpk bay ya tofali ya kitaa
@nicksonkorosso1557
@nicksonkorosso1557 3 жыл бұрын
Hongera sana JPM kwa kuonesha upendo wa dhati kwa Rais mstaafu Kikwete.
@rashidiabdul-aziz4791
@rashidiabdul-aziz4791 3 жыл бұрын
Sawa mkuuu tunakukubali
@peterjohn8405
@peterjohn8405 3 жыл бұрын
Kikwete anasema "utatusaidia sana "
@ibel4lf
@ibel4lf 3 жыл бұрын
Very humble Man
@kilalaurio9922
@kilalaurio9922 3 жыл бұрын
Mungu iweke roho ya JPM mahali pema peponi. Wenye husda na wale walilomtakia mabaya Mungu huyo huyo akabiliane nao Amen.
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 жыл бұрын
Dah! Mzee kwenye kipindi hiki Cha kampeni amekuwa mpole sana aise zingekuwa siku za nyuma wangekunya hapo.
@scholachokala9935
@scholachokala9935 3 жыл бұрын
Eeeeeeeeh mbavu zangu jamani
@mudigames5479
@mudigames5479 3 жыл бұрын
😂
@zolongOne
@zolongOne 3 жыл бұрын
😂😂😂
@hedwigkimario6993
@hedwigkimario6993 3 жыл бұрын
😄😄😄😃😃😃😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@theemperor8229
@theemperor8229 3 жыл бұрын
Baada ya dhiki faraja alishamalizana na mafisadi acha ale pozz
@sadickbakary1197
@sadickbakary1197 3 жыл бұрын
JPM apew PONGEZI qkwel anajitoa na kupamban xan👏👏👏
@samops1074
@samops1074 3 жыл бұрын
A president who knows his country and how his people play games
@tabuboone934
@tabuboone934 3 жыл бұрын
Mnao kosoa eleweni JPM anatimiza wajibu wa sheria. Usiangalie wastaafu walifanya nii. kuwa rais haina maana kuwa utaenda kwa kila nyumba ya maskini na kuwajengea Au kumaliza ufukara nchini. Hata hapa USA maskini wako wengi uwezi amini!! Muunge mkono rais wko he is trying his best bana!! 🇺🇸🙌🏽🇹🇿😍
@maryr4033
@maryr4033 3 жыл бұрын
Safi sana JPM JPM
@allykiyanga5402
@allykiyanga5402 3 жыл бұрын
Jembe mzeee piga kazi
@jackyluns8224
@jackyluns8224 3 жыл бұрын
Baba yetu hivi kweli umetuachaa ninalia sana Mimi mnyonge kabisaaa
@sanimoclassic1917
@sanimoclassic1917 3 жыл бұрын
Unajiita mnyonge wakat unamiliki smartphone na unauwezo wa kuweka bando pumbav
@jackyluns8224
@jackyluns8224 3 жыл бұрын
@@sanimoclassic1917 pumbavu mama mwenyewe huna adab kwani kumiliki smart phone inakuhusu nini kwenda zako limbukeni wew
@mahnalamry
@mahnalamry 3 жыл бұрын
Kabla ya kuwa raisi alikuwa anakaa wapi? Mbona mzee Mkapa amejengewa mwazo kuliko Mwinyi? Huyo Kikwete lile hekalu chalinze halimtoshi?
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 3 жыл бұрын
Watu wana roho mbaya sana wanaumia na nyumba ya Kikwete kule msoga ni kwa baba yake sio kwake hapo ndio kwake sasa kwa mujibu wa sheria.
@ibel4lf
@ibel4lf 3 жыл бұрын
Roho mbaya sana hawana jema oh kikwete tumekumiss leo kuona nyumba roho zinawatoka
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 3 жыл бұрын
@@ibel4lfumeonaeee roho za watu weusi hizo tunachukiana wenyewe kwa wenyewe kwani nyumba kitu gani wanaona kapata
@hamisrichard1633
@hamisrichard1633 3 жыл бұрын
Xheria ya kixenge hii
@rahimjuma7293
@rahimjuma7293 3 жыл бұрын
@@mwanajumaomahundumla6504 wabongo tuna roho nyeusi km ngozi zetu zilivyo,mzee magu yupo sahihi kabisaa wala hajakosea
@patsonkasimba7520
@patsonkasimba7520 3 жыл бұрын
Ni kweli watz ndiyo tulivo
@kiatu
@kiatu 3 жыл бұрын
Magufuli ni kiboko, amemaliza kiporo alichokiacha Kikwete(Nyumba ya mstaafu Mwinyi). Sasa anashughulika na ya Kikwete. Magufuli is a serious performer.
@asiamuhamed7394
@asiamuhamed7394 3 жыл бұрын
Jamani muogopeni mungu kuna vikongwe na mayatima huku jini njaa tupu tunakula mlo mmoja ukipata wa pili unashukuru mungu
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 жыл бұрын
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 3 жыл бұрын
Duhh
@abuubakalmtangenange4389
@abuubakalmtangenange4389 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu anawaona eti uyu ndiye rais wa wawanyonge wanyonge wanakosa hata ela ya kula wao wanagawana km nchi yao
@clemencmmassy3924
@clemencmmassy3924 3 жыл бұрын
Daaaa kweli mwenye nacho uongezewe asie kuwa nacho unyanganywa hata kile kidogo alicho okoteza raisi wawa nyonge😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤮🤮 wanyonge mpooooooo
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 3 жыл бұрын
Tukimbilie wapi sasa tupo tuu
@nassormohammed1743
@nassormohammed1743 3 жыл бұрын
tokea awamu hii wanyonge sote tumekua matajiri tunaishi kama raisi wetu na group yake .hii ndio tanzania hii ndio africa
@naytharykhanny8499
@naytharykhanny8499 3 жыл бұрын
Jpm je wewe huna mtoto wa kurisi vyeo .maana watoto wa wakala hoi hawawezi na hatapewa nafasi
@tusajigwekanemela4784
@tusajigwekanemela4784 3 жыл бұрын
Asante magufuliii
@amigodossantos4129
@amigodossantos4129 3 жыл бұрын
Tanzania forward
@gmdecoration6044
@gmdecoration6044 3 жыл бұрын
Jamani leo ndionimejua mm nimchawi wanapewatena majumba roho imeniuma kweli watu wanakufa natetemeko mafuriko nyie mnapeana mungu afanye kitu kwakweli😥😥😪
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 жыл бұрын
Hahahaha!!
@mrdeniskomba2596
@mrdeniskomba2596 3 жыл бұрын
Hiyo ni shukurani kwa kutuletea jpm maana bila wewe tusinge mpata jpm. Japo ni utaratibu wa kukengewa maraisi
@eischerschwederm7876
@eischerschwederm7876 3 жыл бұрын
Hata hivyo ni logic kuwapa nyumba itapunguza tamaa ya kuiba mali za umma, Rais anaweza kuiba trillions..so nyumba ni kitu kidogo
@edwinwanyonyi2956
@edwinwanyonyi2956 3 жыл бұрын
Safi
@estermathias8354
@estermathias8354 3 жыл бұрын
Ndio maana watu wana lilia ikuru😂😂😂😂😂ikuru oyeeee
@eischerschwederm7876
@eischerschwederm7876 3 жыл бұрын
Hii ni kufanya marias wasiwe wezi pia, tais anaweza kuuza nchi..hii inapunguza tamaa yabkuiba hela
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 3 жыл бұрын
iyo ni ritaya meti au sawadi wacha kiburi wewe
@marymtuy237
@marymtuy237 3 жыл бұрын
Hii ni
@isackulomi2293
@isackulomi2293 3 жыл бұрын
Ok vzr
@felixulomi7866
@felixulomi7866 3 жыл бұрын
Uko wapi
@kalufunyangenyakinyungu5087
@kalufunyangenyakinyungu5087 3 жыл бұрын
Hata niongozwe kwa mtindo wa mtutu kini kiukweli siwezi kuruhusu nchi hii iongozwe na muunga mkono ishu za ushost..👌👌 Mm ni kidume ntaendelea kula burudani tuliyoachiwa specifically na Mungu tu(wanawake). SO ITS JPM 5 AGAIN.
@chrismoyo1222
@chrismoyo1222 3 жыл бұрын
Safi sana our Presidents 🙏🏽
@stellamwasenga6205
@stellamwasenga6205 3 жыл бұрын
Good
@luhendepaulo1468
@luhendepaulo1468 3 жыл бұрын
Daa pamoja na kuiba hela za watanzania bado tu mnajengeana nyumba here emungu saidia
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 3 жыл бұрын
Hahahahaha umenichekesha sana
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
Masikini hatuna letu duniani
@maryr4033
@maryr4033 3 жыл бұрын
Unafikiri za wizi zinabaraka hazina kabisa.@Luhende Paulo
@mecksonjoseph7892
@mecksonjoseph7892 3 жыл бұрын
We baki na vumbi lako we namba yako ya mwisho...labda mwanao ana weza nae kuja kuwa mwizi uta nufaika..
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
@@maryr4033 ingekuwa hazina baraka Mungu ange waletea mafuriko ili zi zame hizo nyumba ama ziungue lakin nyumba zetu maskini ndo kila siku zina jikuta kwenye mitihani
@eventelias3566
@eventelias3566 3 жыл бұрын
Mzee Jk is very honest and fair .
@mehmet-ho8zj
@mehmet-ho8zj 3 жыл бұрын
Nahisi 10 haitoshi kwahuyu shujaa Mungu atamlipa naimani nay.
@janengota3902
@janengota3902 3 жыл бұрын
Jpm rest in peace 🕊️
@wilfredsahila8727
@wilfredsahila8727 3 жыл бұрын
Hii sheria ya kuwajengea Rais wastahafu nyumba, inabidi iangaliwe vizuri; kuna mahali itafika isitekelezeke. Ushauri ingekuwa kuwapa mikopo ya ujenzi wakati wakiwa madarakani, hiyo ingetekelezeka zaidi kuliko ilivyo sasa. Nyumba ya Baba wa Taifa ilikuwa zawadi hapakuwa na sheria. Kwa hiyo iangaliwe upya isije ikawa mzigo mkubwa kwa Taifa.
@williamngazija7284
@williamngazija7284 3 жыл бұрын
Hapa kazi tu
@amigodossantos4129
@amigodossantos4129 3 жыл бұрын
Business as usually ndugu zangu, tuchape kazi :))
@NyumbaniHabariMedia
@NyumbaniHabariMedia 3 жыл бұрын
Wanapeana tu Dah!
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 3 жыл бұрын
Kua raisi na wewe upewe.
@seifzongo320
@seifzongo320 3 жыл бұрын
Daah kuna watu hapa roho zinatuuuma 😁😁😁 ,pw haina noma mwenye nacho anaongezewa yaan hilo jengo lote daah inauma mjue 😁😁watu tunapigika mnaongezeana majengo
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 3 жыл бұрын
jaman
@lupahmwakabenga7559
@lupahmwakabenga7559 3 жыл бұрын
2020 lisu
@alfredaloyce6835
@alfredaloyce6835 3 жыл бұрын
Hapo baba umemwaga maji bahari ni haadi zetu za milioni hamsini ziko wapi
@neemamwangosi2043
@neemamwangosi2043 3 жыл бұрын
Kwani magu babayako
@ashampore6070
@ashampore6070 3 жыл бұрын
Hayo yanafanyika kwa mjibu wa katiba hata wewe siku ukiwa raisi utajengewa hahaaaa
@mkiryamadebe7678
@mkiryamadebe7678 3 жыл бұрын
Tunataka mil 50
@neemamwangosi2043
@neemamwangosi2043 3 жыл бұрын
@@mkiryamadebe7678 tafuta za kwako km nirahisi
@hassanirajabu5453
@hassanirajabu5453 3 жыл бұрын
@@neemamwangosi2043 🤣🤣🤣🤣🤣 hatare Sana anataka za kupewa huyo dadaangu
@MrsoftAfrica
@MrsoftAfrica 3 жыл бұрын
Kama ni sheria bas sipati picha LISU atavo mjengea magufuli 😄😄😄😂😂😂 cjui itakua gorofa au nyumba ilio na vyumba kama shule
@collincarlos7433
@collincarlos7433 3 жыл бұрын
Haipo hyo lissu hafik ikulu
@Waberoya
@Waberoya 3 жыл бұрын
Mpe urais nyumbani kwako
@kwekwenyotakwekwenyota183
@kwekwenyotakwekwenyota183 3 жыл бұрын
Hahaha
@barakakihaga6481
@barakakihaga6481 3 жыл бұрын
😂😂😂
@japhrystar2597
@japhrystar2597 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂
@jogoomohamed2652
@jogoomohamed2652 3 жыл бұрын
Mkuu,kweli unawajali watangulizi wako.Naamini nawe hakuna atakaye kutupa kwa moyo wako.Hakika nakuombea mema salama mhe Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli. Ww Rais wa kweli hapa Tanzania yetu papaa
@muganyizikamafa3555
@muganyizikamafa3555 3 жыл бұрын
Ww baba nakupenda basi tu
@emmabyamungu4190
@emmabyamungu4190 3 жыл бұрын
Sasa kwani mngefanya kwa siri, kwanini mnaweka hadharani, kumbuka wengine nyumba zetu zimeenda namaji, kumbepesa zipo eheee, alafu muheshimiwa ungesubiri uchaguzi upite kwanza
@kasimujumannekipemba3732
@kasimujumannekipemba3732 3 жыл бұрын
Safimkuu
@allyabdalla4228
@allyabdalla4228 3 жыл бұрын
Kweli nyongeza huja juu ya fungu
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 3 жыл бұрын
hahahah nimeipenda hii
@abraham6449
@abraham6449 3 жыл бұрын
Hata maandiko yamesema
@khamisslucas1152
@khamisslucas1152 3 жыл бұрын
Swadakta
@riddickb7358
@riddickb7358 3 жыл бұрын
Mungu humuongezea mwenye nacho . Na humnyima asie nacho .
@wilsonkimaro6375
@wilsonkimaro6375 3 жыл бұрын
Hatutaki tena kuendelea kuwa wanyonge kiasi hiki Kama mtu Kama huyu anauhakika wamaisha nabado anafanyiwa haya wewe unawaza nini, KUNA WATANZANIA WANAFANYA KAZI WANAKATWA KODI, WANAKATWA NSSF ILA WAKIACHA KAZI HAWALIPWI NSSF ZAO KWAWAKATI, KWAKWELI NAHISI KITEFUTEFU
@samgaya
@samgaya 3 жыл бұрын
Ila mzee jakaya yuko humble sana...
@mosesevarsta2578
@mosesevarsta2578 3 жыл бұрын
Mungu, akulinde, jpm, kwakaziunayofanya
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 3 жыл бұрын
Kikwete rahasana. Roho nzuri mpaka azeeki. Safi
@user-rw2oo3mk7j
@user-rw2oo3mk7j 3 жыл бұрын
mashaallah kila lakher
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 3 жыл бұрын
hahaha magu kwa utani,et angekuwa hana kwa kukaa tungempeleka chato hahahaha
@sandaychacha9754
@sandaychacha9754 3 жыл бұрын
Msije mkasahau kumujengea mwalimu nyerere tafadharini sana
@ibel4lf
@ibel4lf 3 жыл бұрын
Magufuli umefanya wajibu wako kwa mujibu wa sheria watangulizi wako walifanya hivyo pia watu wataongea sana tena na kampeni hizi loh!! ukweli utakuweka huru umetimiza wajibu wako ukifuata sheria kama walivyofanya Kikwete serikali yake kumjengea Mkapa na serikali ya Mkapa kumjengea Nyerere wastaafu wetu wanastahili hii heshima
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 жыл бұрын
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
@kamalissabig2429
@kamalissabig2429 3 жыл бұрын
Yan huyu mzee ana chezea pesa zetu sana ina maana hawa marais hawana uwezo wa kujenga nyumba kwa pesa zao mbona munatuchezea sana
@georgenyamsenda217
@georgenyamsenda217 3 жыл бұрын
Unachangia pesa gani kwenye nchi wewe? Uongozi wa nchi ni kazi ngumu kwa hiyo sheria iliweka hilo kuthamini mchango wake kwa Taifa
@utajirihalisi1011
@utajirihalisi1011 3 жыл бұрын
G nyamsenda dunia ndivyo ilivyo anasema hela zake bill hata aibu
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 жыл бұрын
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
@kamalissabig2429
@kamalissabig2429 3 жыл бұрын
@@isaachayes9783 kwel kaka wastaafu wanateseka sana hawamu hii ili mtu mjinga asie jielewa hawez elewa
@filberthabashi3366
@filberthabashi3366 3 жыл бұрын
@@georgenyamsenda217 haha kwan wwe huchangii kodi yyte kwenye hii nchi???
@muzerwadeo638
@muzerwadeo638 4 ай бұрын
Waouuh Tanzania. Sheria nzuri sana hiyo ya kuwajengea ma raisi waastafu. Pia Magufuli alikuwa mtu mwema sana. Mema haya ozi .
@kelvinmbena5796
@kelvinmbena5796 3 жыл бұрын
Daaaaaah tutaishia kuzunguka na vyeti mkononi wengine huku wanaongezewa hifadhi.
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 9 ай бұрын
La-la salama BABA MUNGU akupe pumuziko laamani
@rehemaa597
@rehemaa597 3 жыл бұрын
Mashahara wake alikuwa anafanyia nn hii magufuli haijanifurahisha kwa kweli masikini kibao hawana sehemu za kulala vizuri
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 жыл бұрын
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
@chidymswti3604
@chidymswti3604 3 жыл бұрын
The rich also cry....
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 жыл бұрын
Ama kweli mzee Bilali wa Tabora enzi ya kupigania uhuru na hayati mzee Nyerere nyumba yake mbovu kwanini serikali isimsaidie mzee Bilali
@saidbakari7476
@saidbakari7476 3 жыл бұрын
Mzee halfan kikwete baba wa jakaya pia alipigania Uhuru na nyerere alimpa ukatibu mkuu wa wizara baada tu ya uhuru
@allyabdalla4228
@allyabdalla4228 3 жыл бұрын
Kaka mwenye macho ndie anaemurikiwa .......au hujui hilo✍️✍️✍️
@dionsangoa1428
@dionsangoa1428 3 жыл бұрын
Wanagawana keki ya taifa dada acha wagawane ila siku tukianza kuwagawana wao sijui kama watatutosha ila wakati ni sasa kapige kura linda kura yako😡😡
@giitidaniel3471
@giitidaniel3471 3 жыл бұрын
Huyo ni rais msitaafu ng'ombe wewe??
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
@@giitidaniel3471 sasa wakistaafu mpaka wajengewe? Mapesa mangapi wameiba? Wana majumba kila corner . Basi tu
@mcushirikachannel5701
@mcushirikachannel5701 3 жыл бұрын
R.I.P JPM
@musadavid9938
@musadavid9938 3 жыл бұрын
Katiba ya Tanzania inatoa mamlaka ya kipuuzi sana,, kunahitajika mabadiliko makubwa ya kisheria aisee dah hii mijitu mijiizi mitupu.. Huyu bishoo kapiga Richmond magufool kapiga kwenye vitambulisho na mirad isiyopitishwa bungeni yaani ni ujinga ujinga tu..✌️✌️
@Mido-eh9vz
@Mido-eh9vz 3 жыл бұрын
Jamani ss wanyonge hatuna pakukaa jaribuni kuwafikiria na maskini hawana maisha nyinyi mna tumia vzri haya ahsanteni
@zuberiadamu3684
@zuberiadamu3684 3 жыл бұрын
Mwenye nacho uongezewa
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 жыл бұрын
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
@avand4237
@avand4237 3 жыл бұрын
Duuuh maisha yanabadilika leo jk mpole kama hakuwaga boss wa magu .......duuuuuuh
@abdulkaremhafez8106
@abdulkaremhafez8106 3 жыл бұрын
Madaraka
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Hamna anamtii kwa vile Rais...madaraka ni kupokezana
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 3 жыл бұрын
Eee alijisihau acha Magu amuonyeshe anachojua
@jenifamtima9325
@jenifamtima9325 3 жыл бұрын
Mungu akuweke mahali pema peponi JPM
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 3 жыл бұрын
Safi sana
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 3 жыл бұрын
safi sana JPM,wakumbukeni na wanajeshi waliostaafu chini ya miaka ya 90,japo walipigna vita wana maisha magumu sana
@davallamchambe5275
@davallamchambe5275 3 жыл бұрын
Wakumbukeni na mayatima pamoja na watu wasio jiweza
@mandwashija4992
@mandwashija4992 3 жыл бұрын
Tuanze na wewe kwanza, ulishawakumbuka wangapi?
@davallamchambe5275
@davallamchambe5275 3 жыл бұрын
@@mandwashija4992 Nataka nianze na ww 🤣🤣🤣
@shedadiabdul6585
@shedadiabdul6585 3 жыл бұрын
@@mandwashija4992 Safi saana maana Binadamu tupo wengi rohoo mbaya hajui hii Ni Sheria kwa kiongozi mkuu aliemuongoza
@zuberiadamu3684
@zuberiadamu3684 3 жыл бұрын
@@mandwashija4992 😂😂😂hakikaaa
@salmasalim6055
@salmasalim6055 3 жыл бұрын
Apewae ndoo aongezwayee 🙄
@kervinimathias6825
@kervinimathias6825 3 жыл бұрын
Hello
@khalidsaki5034
@khalidsaki5034 3 жыл бұрын
Ok
@athumanikaroyo5999
@athumanikaroyo5999 3 жыл бұрын
Kuchezea pesa tu wallahi daaa hii serikali ina mambo ya ovyo sanaa
@magorymara5515
@magorymara5515 3 жыл бұрын
Roho mbaya tu ungekuwa wewe ndo unajengewa ungekenua meno
@chugachugambuli8879
@chugachugambuli8879 3 жыл бұрын
wa hovyo n ww uliyejaa wivu
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 жыл бұрын
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
@conteh2558
@conteh2558 3 жыл бұрын
We mwenywe wa ovyo
@bazilkisibo5811
@bazilkisibo5811 3 жыл бұрын
Hivi nyie wananchi mnadhani mtu mwenye level ya Rais anakaa sehemu za hovyohovyo?
@abubakarmohammed7339
@abubakarmohammed7339 3 жыл бұрын
Hamuoni haya wananchi kusikia raisi wenu amepangisha hadi saahii hayuko kwenye mamlaka inamaana hapo alipopangisha mwenye hiyo nyumba maisha yake mazuuri kushinda huyu raisi
@goodmorningafrica6409
@goodmorningafrica6409 3 жыл бұрын
We sio mwananchi?
@sarahamos8524
@sarahamos8524 3 жыл бұрын
Aibu sana kwasababuakili yake ilikua imelala kizembe hadi Tingatinga limeamua toa msaada 😁😁😁😁😁
@mossymtwana6422
@mossymtwana6422 3 жыл бұрын
Yaani mie hata siwaelewi ni haki yao sio level zetu hiyo angalia hata kwenye vitabu vya dini wafalme
@hamisrichard1633
@hamisrichard1633 3 жыл бұрын
Mhhh!
@fahimbakari420
@fahimbakari420 3 жыл бұрын
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun (hapa ndipo ninapoamini kuwa lolote lenye kumpata mtu halikuwa ni lenye kumkosa na lenye kumkosa halikuwa ni lenye kumpata
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 жыл бұрын
HAPA RAISI WETU UMEFANYA HILI TUKIO WAKATI SIO MUAFAKA MTAWAPA WAPAYUKAJI HOJA YA KUONGEA
@sarahamos8524
@sarahamos8524 3 жыл бұрын
Wapayuke tu tushawazoea
@ashampore6070
@ashampore6070 3 жыл бұрын
Hivi nyie watu ,mnajua Magu ni rais hadi muda huu,na yale ni majukumu yake ya kikazi .
@ibel4lf
@ibel4lf 3 жыл бұрын
Tushawazoea hawana jema
@yenibirdunya92
@yenibirdunya92 3 жыл бұрын
"Tar 30 January 2021 atamkabidhi akiwa anatokea nyumbani kwake chato sio ikulu dodoma."
@ashampore6070
@ashampore6070 3 жыл бұрын
@@yenibirdunya92 mawazo chechefu
@khadijamohd1216
@khadijamohd1216 3 жыл бұрын
Hhhhhh kazi kweli kweli huyu mtu kiumbe weee acha tu, Magu ww noma.
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 3 жыл бұрын
Hii miradi wangekabidhiwa jeshi JKT hii nyumba ingekuwa imekwisha siku nyingi
@lirastanley390
@lirastanley390 3 жыл бұрын
Baadae ingeanza kubomoka
@lirastanley390
@lirastanley390 3 жыл бұрын
@@Munyama675 kwann mnatukama jkt ni kweli wanapiga kazi na nidhamu ipo juu wawapo kazin
@lightrich790
@lightrich790 3 жыл бұрын
@@lirastanley390 aaah ok
@theemperor8229
@theemperor8229 3 жыл бұрын
@@lirastanley390 kama ipi maana hata ikulu imekaguliwa kwa standard za kimataifa
@yasristeven1135
@yasristeven1135 3 жыл бұрын
Eti nilipopanga mheshimiwa msimdanganye muumba
@harissmithtz4994
@harissmithtz4994 3 жыл бұрын
Alisema ametania tu boss.
@emmanuelmosha2278
@emmanuelmosha2278 3 жыл бұрын
Inamaana miaka kumi ya uwazir na miaka kumi ya urais alikua hajajenga mpaka ajengewe? Jamani kama raisi alishindwa kujenga nyumba yake ya kuishi vipi mwananchi wa kawaida?
@stewardjacob1945
@stewardjacob1945 3 жыл бұрын
Nawee unAmin hiloo ndugu
@emmanuelmosha2278
@emmanuelmosha2278 3 жыл бұрын
@@stewardjacob1945 mm siamini huyo jamaa ni bilionea anauwezo wa kujijengea mwenyewe
Shujaa aliyelala chumba cha Idi Amin wa Uganda  aeleza mazito
12:25
Mwananchi Digital
Рет қаралды 124 М.
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38
KIKWETE "MAGUFULI SIKUKWAMBIA YULE MSUKUMA UMFUKUZE KAZI"
4:14
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 19 М.
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
13:30
Global TV Online
Рет қаралды 240 М.
LISSU: MWABUKUSI ATOSHA, AUKUMBUKA UTAWALA WA JPM
4:11
MwanaHALISI TV
Рет қаралды 16 М.
Harris slams Trump at her first presidential rally
17:25
CNN
Рет қаралды 2,3 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32