RAIS DK JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA KIKWETE WAKATIZA MITAANI NA KUNUNUA NG'ONDA KIBANDANI BWENI WILAYA YA PANGANI,TANGA
Пікірлер: 253
@misanamaige5 ай бұрын
Nawapenda sana Rais mstaafu Kikwete na mama. Mungu awape maisha marefu yenye furaha na amani.
@yassinm694 жыл бұрын
Gonga like Kama umemsikia Mh kikwete akipiga mluzi
@nyambelewinfrida90745 жыл бұрын
Kama umemuona babu akisalimia kwa goti la kisukuma gonga like twende sawa.
@lukasjnr8865 жыл бұрын
yaniii
@aminaomary55672 ай бұрын
Wakati wa Jakaya maisha yalikuwa mazuri kusema ukweli kumuogopa mungu.Kikwete mungu akulinde sana. Tunakupenda na kukumbuka sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤🙏🙏👍👍😢
@mavindimuhotwe44326 жыл бұрын
Walimwengu jamani duuuh.! Kweli hakuna mtawala mzuri ndani ya utawali. Alitukanwa alibezwa wakati wa utawala wake. Sasa kastaafu mwajifanya mwampenda na kumpa sifa. UNAFIKI HUO NA NI DHAMBI KUBWA
@idanysedrc12002 жыл бұрын
Mzee wangu bila wew nisingetoboa chuo kikuuu😘😘
@fatmaali20502 жыл бұрын
Sifa moja ya kiongozi mzuri maisha hayawi taiti kipindi chake huyu mzee maisha yalikuwa mazuri
@fortunatemathiasbarabara36866 жыл бұрын
mpaka machozi yamenitoka hongera kwake jakaya nawish ningekuwepo
@samwelimoshi56142 жыл бұрын
Ungekuepo wap
@Ja_Eid10 жыл бұрын
Daah nimeipenda sana..jk kila la kher mungu akupe uhai mrefu sana...
@ibrahimabdul54908 жыл бұрын
Rais wa watu Manshaallah. Allaah akurehem baba. Ila hakika hautosahaulika milele. Mana kati ya Marais ambao wanaopenda ustaarabu kwa wananchi wake Jakaya namba moja. Rait ingewezekana urudi tena hata madalaka. Inshaallah akupe uhai mrefu..
@goodlackriwa67284 жыл бұрын
kweli .mungu amjalie aishi maisha marefu
@TZbwaay10 жыл бұрын
Naona leo ni siku nzuri ofisini kwa muuza genge..Angalia bana isije ikawa 'chuma ulete' ...;-)
@xmathematics_6 жыл бұрын
Johnnie Nyoni 😂😂😂hajawahi uza kM vile
@mavindimuhotwe44326 жыл бұрын
Imani za kimasikini izo. We mwengine wasema ajawahi km hao. Hao wote kachukua na wengine wamebaki. Hata acngepta Kikwete angeuza tu ndio maana kaweka
Kweli kabisa hata jamaa muuza samaki Leo kafurahi..,
@agustinolazaro7864 Жыл бұрын
Mungu akubariki Asante Kwa uongozi wako
@meshackshedrack29749 жыл бұрын
Raisi mpenda laia ndiohuyukubali ukatae big up kikwete na mama Salina .
@alvinlembo33606 жыл бұрын
Uwe na miaka mingi
@huszarb78658 жыл бұрын
Itachukua mda sana kuongozwa na mtu kama ww Tz respect nyingi kwako u are blessed
@renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын
Huszar B kaongoze wewe basi malaika ilì muda uwe mfupi ngedele mkubwa
@mussaabdiel97975 жыл бұрын
Dah nakumbuka wakat nasoma secondary Nina elfu30 mfukon saiv sisomi ila Nina buku tu umegundua nn apo
@abednego38765 жыл бұрын
Ww ni mjinga
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Mussa Abdiel 😀😀😀
@ayutoamos10714 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@naseralenzi94196 жыл бұрын
kikwete alikua mtoto wakita wallah mngu amjalie kweli kwel baba mwenyewe huruma penda sana wewe
@OchoaHomeDecor_9 ай бұрын
Sema huyu mzee miyeyusho sana anagonga na miluzi kabisa 😂😂
@estherbebe23033 жыл бұрын
This video makes me smile 😊
@swabratramadhan50455 жыл бұрын
Mashaallah dady Mungu azidi kukupa moyo huo na utu wako udumu milele
@rahmakhassani41485 жыл бұрын
Haya baba tunakumbukia bata kipindi chako saivi tunaziona kwa macho 😂😂😂😂
@jpmmusic96624 жыл бұрын
Mama salima mzuri hongera my president tunakumis ulichagua
@isayasway86334 жыл бұрын
Kama umeona mfuko wa Rambo gonga like yak hap
@kadolenyambasu55115 жыл бұрын
I miss u dady....nimeangalia had machoz yanataka kudondoka
@mcyudasicqo96105 жыл бұрын
nashukuru sana katika utawala wako nilibahatika Kuwa miongoni mwa washereheshaji, jimboni mwetu, Mr jk
@konde24ful5 жыл бұрын
Tz kiukwel ipo vizuri maisha marefu tz East Africa
@ejmalady69234 ай бұрын
Mzee alitujali sana akiwa waziri wa fedha na akiwa Rais wa jamhuri ya mungano,cjitambulishi.
@ramadhaningamba1778Ай бұрын
Safi inapendeza sana viongozi kuwa hulu
@nuhubalandya91646 жыл бұрын
yes! indeed
@abasiomary5565 жыл бұрын
tunakupenda sana baba natunakukumbuka, kama unakubaliana Na mm gonga like
@ludovicshirima17935 ай бұрын
Tuseme ukwl mh kikwete anajua kuoshi na watu ana kipaji hyu mzee.👏👏namkubali
@rashidihamis62025 жыл бұрын
hana ulinzi mkubwa sana yaan kawaida tu
@abednego38765 жыл бұрын
Kwa sababu alikua haingilii maslai na wizi wa matajiri
@reggancamp52474 жыл бұрын
@@abednego3876 hahahahahahahahahahaaaaa
@wahidaali25929 жыл бұрын
Nampenda sana Rais wetu
@titoemmanuel15745 жыл бұрын
Wahida Ali WO
@joramkumbemba48105 жыл бұрын
Huyu mzee anaheshimu sana utu wa watu pia Mpenda democracy
@matisony36035 жыл бұрын
Penda sana rais wangu jakaya mrisho kikwete umemuachia jemedar ngaz kwa hilo nashukuru sana by ibra da silva bunda boy
@neemaukopovizurikakamasawe33945 жыл бұрын
westkid TZ vizuri sana mstaafu wetu kwa kupita sokoni na kuwaungisha wafanya biashara mama salima j kikwete oyeeee?
@ngasikajoel95769 жыл бұрын
Yes show love Mr president even to low social status people! Very nice and human.I like that
@rashidmohamed1949 Жыл бұрын
Safi sana... Tuwe huru namna hii... Mi napenda sana
@kingsfamily93735 жыл бұрын
Sssa huyu ndiye ndiye raisi wawanyonge
@happymushi22199 жыл бұрын
So nice JK.
@sylviamombo8154 жыл бұрын
Hadi raha
@maigajohn7024 жыл бұрын
Mungu ibariki tanzania
@iddykaponda41235 жыл бұрын
Huyu ndyo rais wa wanyonge ongera sannaa jakaya mungu skubaliki
@rithamremi55152 жыл бұрын
Love them❤️🙏
@givenmeja69648 жыл бұрын
tumekumis baaabaaa... kikwete daaaah...
@MR_GUNDI Жыл бұрын
Mzee ludi madalakan eeh Mungu tazama vilio vyetu Bora ww tunakumbuka utawala wako ujawahi kutokea cjawah kuckia mtu akikubeza lkn hao wengine wanajijali wao Mungu toa hukumu ya Allah yah Karim
@athumanmfangavu73204 жыл бұрын
Nimeipenda hii
@saidomary49504 жыл бұрын
Simple kabisa hakuna ulinzi mkubwa dah miss u my president
@nassorsubah31006 жыл бұрын
Angalieni tafauti ya makufuli na huyu makufuli anauliza matatizo ya watu kila anapokwenda ni kweli Rais wa wananchi na watu wanyonge jamani Angalieni wenyewe
@sahjunior63615 жыл бұрын
I miss you my dady
@husseinmussa82296 жыл бұрын
kikwete bhana anapenda sana samaki wa aina hiyo ng,ando
@imelidamfikwa79542 жыл бұрын
Hivi ni samaki? Nilidhani mabanzi
@alhajiomary22945 жыл бұрын
Hauwezi kuufahamu uzuri wa neema ila mpaka ukuondoke.mh kikwete tutakukumbuka daima kwa mazuri yko.
@kapanyatv41864 жыл бұрын
Nakubar Sana
@imanianyimike49429 жыл бұрын
Upendo wa dhati kwa watu wote, ubarikiwe, mungu awe nawe daima babaa,
@chelseafcfcful10 жыл бұрын
Awsom prez
@brownlovekiwall60765 жыл бұрын
We love you papa
@allykarim15135 жыл бұрын
wenyewe wasitarabu sana
@uwimanasalua13349 жыл бұрын
Wow nice president I like it
@slowclimbertothetop45724 жыл бұрын
Ukihesabu pesa lazima upige na uluzi safi sana
@frankgibore98132 жыл бұрын
Kwakweli mtandao inatukumbusha mbalisana na ainayaviongozi tuliyokuwanao.
@tigertiger32063 жыл бұрын
La Tanzanie est l un des pays le plus en paix
@mariamhabibu47114 жыл бұрын
Nakumbuka katka utawala wake tulimtunga jina la big dady na alipokuja Zanzibar kufungua Ofis ya Mkuu wa mkoa na kuweka jiwe la msing shulen kwetu tulimpokea kwa upendo wa hali ya juu na zawad tulimpatia mis you baba
@petergathercole25007 жыл бұрын
That's good, just like Obama, am so impressed
@jonsonmungure65525 жыл бұрын
Tanzania tumepataviongozi wazalendo wachahe ndo vyura Mungu awape maishamarefu
@mariamlusandi28696 жыл бұрын
Du kumbe imeisha nimebaki tu naangalia cm huku machozi yakitaka kunitoka ,,, tutakukumbuka sana rais mpenda watu
@mariambogozo78195 жыл бұрын
daaah tunakukumbuka Allah akujalie kher in shaallah
@zenaycechanzinho67025 жыл бұрын
Mariam unalia nn wakat bdo miaka kma 8 hiv....magu amalize madaraka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@maranathacharles64819 жыл бұрын
Big up.
@mohamedramadhani41894 жыл бұрын
Yan uyu mzee namlaumu jambo moja tu. Kaondoka na ajira zake katuacha tunahangaika tu. Wee baba wewe daa acha tu
@gloryben44179 жыл бұрын
waooooooooooh unatish mzeeee big uo
@edsoniminani70614 жыл бұрын
Jamani Hakika Tanzania imebarikiwa kwa kuwa na viongozi wenye kuwapenda wananchi wao cheki huo ukarimu wa Raisi wetu
@nyakinyaki17025 жыл бұрын
kikwete alikuwa na huruma sana kwa watanzania, na hakutumia nguvu Bali alitumia busara na lugha nyenyekevu kwa watanzania
@harunamohamed38706 жыл бұрын
mashaallah nimeipenda hiyo
@costantineernest7456 ай бұрын
4:48 sio siri kikwete mhhh
@salmamasoud60558 жыл бұрын
waoo mm nampenda sana bi salma anavyojistri yani hanagashida na mtu wala hanakujisikia kama wake wengine wa wakubwaa penda sana wajina wanguu mwaaaaa
@auntdorah91414 жыл бұрын
Hanaga makuu...bado tunampenda ...hii picha inaonesha ni mfano halisi wa Amani ktk nchi yetu... Mungu azidi kuwalinda.
@mwambirekwamboka95257 жыл бұрын
Mzee WA mambo safi 😆😆😆😆 may. U leave long Mr Jakaya
@abelsamwel91625 жыл бұрын
.
@Amaannehal9 жыл бұрын
Very nice People's President
@MR_GUNDI Жыл бұрын
Yan huyu akigombea Tena uraisi anapita tunamkubali sana
@mohamedkondo-tq2bm9 ай бұрын
Mzee anataka ng'onda mtu wa pwani safi sana
@nyakinyaki17025 жыл бұрын
tunakukumbuka sana mh kama ingewezekana ungeendelea tu kutuongoza sie wanyonge, bado tunakupenda sana mh
@nurjahanabdulrahim95884 жыл бұрын
Nureen Ibrahim tuna omba mkuu wa Mkoa Mjini aje kutembelea Mkunazini Kwa lukman restaurant Na mara wote watu wana weka gari I mean parking bila ya pango.hamna utaratibu mkunazini imekua ofiyo you need to see utali wengi Na wana ona uchafu watu wana park gari kama wanao taka wenyewe
@madiyaahmad74536 жыл бұрын
The best president please come back
@emmanuelnzyuna89075 жыл бұрын
ur the good President
@The_Nubianommetry_Podcast5 жыл бұрын
e bwana hisabati ya dola inamtatanisha Mzee Kikwete hapa hehehe. Ng'onda haileti mchuzi mzito mzuri......duh!
@michaelmuhando14614 жыл бұрын
Yaan nampendaga sana
@hamadeddy80895 жыл бұрын
Rais alietuacha tukiwa tunampenda tuna muhitaji tuna mkumbuka Sana ingekua sheria ya kutawala mpaka mwisho ningetamani aendelee kuwepo madarakani Mola akupe maisha mema yenye afya Tele Mhe. KIKWETE
@WJShadrack9 жыл бұрын
Mfano mzuri sana. Si rahisi kumuona kiongozi wa nchi Africa akienda mitaani kama hivyo.
@selemanmayala31026 жыл бұрын
mbona samia hajaianglia camera
@bernardmunuo21379 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@ikramsafnes30196 жыл бұрын
SAFI sana
@vkdjdnznzzn95075 жыл бұрын
Kikwete alikua ana ubaguz ata kidogo mungu akuongoze ktk maisha yako baba tuna enderea kukupenda wa tz
@davidprosper5304 Жыл бұрын
Inapendeza Safi Sana kudumisha mila
@bekashan47922 жыл бұрын
Ni hapo tu sijaona sehemu nyingine, JPM kiboko yao
@ottiliafortunatus96476 жыл бұрын
jamani
@khadijaabasi4549 Жыл бұрын
Hiyo Safi kua na mke sokoni
@kingsfamily93735 жыл бұрын
Angekuja aunco magu hapo kwanza angemwambia muuzaji ampunguzie bei arafu angemwambia auripi kodi
@godrickcharlz92715 жыл бұрын
KINGS FAMILY wangebishana kupunguziana mpaka kesho
@zenaycechanzinho67025 жыл бұрын
@@godrickcharlz9271 yaan muuzaj angepunguza kwa kuogopa hao askar tu tena shingo upande🤣🤣🤣🤣🤣😎
@zenaycechanzinho67025 жыл бұрын
Weee usimtajee yule babu yako ni hatar🕵️♀️
@frankngereza76705 жыл бұрын
😂😂😂
@abdallahkawambwa29684 жыл бұрын
Maisha mema baba
@abelyedson64837 жыл бұрын
Tutakukumba milele na milele Baba
@emmanuelmashauri89494 жыл бұрын
Daaah jamaaa kapewa hela akataka kuiweka bila kuhesabu #MzeeBaba kamwambia hesabu bwaana usije sema mzee yule kaja hapa kanidhulumuu
@hisanmwakijungu102 жыл бұрын
Tanzania raha sana tuipende nchi yetu
@michaelrangi88239 жыл бұрын
TANZANIA. YESU NI BWANA
@hashimumkunda34826 жыл бұрын
Michael Rangi. VIONGOZI WA KIISLAM WANA HURUMA. ANGALIA MWINYI, ANGALIA KIKWETE ILA HAWA WAKRISTO HAWANA HURUMA. ANGALIA MKAPA NA MAGUFULI NA WENGINE WENGI
@rickrosswabongo411610 жыл бұрын
A President of the people
@princesele62095 жыл бұрын
dah mungu azid kumuweka huyu mzee kipenzi cha watu
@saeedal-awen21902 жыл бұрын
Hapo wngekua walinzi wa mwenda zake washasukuma watu
@Excel-Elevation-School9 жыл бұрын
Prezident wa ukweli cjapata ckia wala ona,, Wanachama wa chama cha mapinduzi Tumwongezeeni japo miaka 2,.