RAIS JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA WAKATIZA MTAANI NA KUNUNUA NG'ONDA

  Рет қаралды 814,992

Adam Gille

Adam Gille

Күн бұрын

RAIS DK JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA KIKWETE WAKATIZA MITAANI NA KUNUNUA NG'ONDA KIBANDANI BWENI WILAYA YA PANGANI,TANGA

Пікірлер: 253
@misanamaige
@misanamaige 5 ай бұрын
Nawapenda sana Rais mstaafu Kikwete na mama. Mungu awape maisha marefu yenye furaha na amani.
@yassinm69
@yassinm69 4 жыл бұрын
Gonga like Kama umemsikia Mh kikwete akipiga mluzi
@nyambelewinfrida9074
@nyambelewinfrida9074 5 жыл бұрын
Kama umemuona babu akisalimia kwa goti la kisukuma gonga like twende sawa.
@lukasjnr886
@lukasjnr886 5 жыл бұрын
yaniii
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Wakati wa Jakaya maisha yalikuwa mazuri kusema ukweli kumuogopa mungu.Kikwete mungu akulinde sana. Tunakupenda na kukumbuka sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤🙏🙏👍👍😢
@mavindimuhotwe4432
@mavindimuhotwe4432 6 жыл бұрын
Walimwengu jamani duuuh.! Kweli hakuna mtawala mzuri ndani ya utawali. Alitukanwa alibezwa wakati wa utawala wake. Sasa kastaafu mwajifanya mwampenda na kumpa sifa. UNAFIKI HUO NA NI DHAMBI KUBWA
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 2 жыл бұрын
Mzee wangu bila wew nisingetoboa chuo kikuuu😘😘
@fatmaali2050
@fatmaali2050 2 жыл бұрын
Sifa moja ya kiongozi mzuri maisha hayawi taiti kipindi chake huyu mzee maisha yalikuwa mazuri
@fortunatemathiasbarabara3686
@fortunatemathiasbarabara3686 6 жыл бұрын
mpaka machozi yamenitoka hongera kwake jakaya nawish ningekuwepo
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Ungekuepo wap
@Ja_Eid
@Ja_Eid 10 жыл бұрын
Daah nimeipenda sana..jk kila la kher mungu akupe uhai mrefu sana...
@ibrahimabdul5490
@ibrahimabdul5490 8 жыл бұрын
Rais wa watu Manshaallah. Allaah akurehem baba. Ila hakika hautosahaulika milele. Mana kati ya Marais ambao wanaopenda ustaarabu kwa wananchi wake Jakaya namba moja. Rait ingewezekana urudi tena hata madalaka. Inshaallah akupe uhai mrefu..
@goodlackriwa6728
@goodlackriwa6728 4 жыл бұрын
kweli .mungu amjalie aishi maisha marefu
@TZbwaay
@TZbwaay 10 жыл бұрын
Naona leo ni siku nzuri ofisini kwa muuza genge..Angalia bana isije ikawa 'chuma ulete' ...;-)
@xmathematics_
@xmathematics_ 6 жыл бұрын
Johnnie Nyoni 😂😂😂hajawahi uza kM vile
@mavindimuhotwe4432
@mavindimuhotwe4432 6 жыл бұрын
Imani za kimasikini izo. We mwengine wasema ajawahi km hao. Hao wote kachukua na wengine wamebaki. Hata acngepta Kikwete angeuza tu ndio maana kaweka
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Johnnie Nyoni Ww ndo chuma ulete
@allyabdallah2794
@allyabdallah2794 6 жыл бұрын
Huyu ndo alikua raic wawanyonge salute kwake daima tutamkumbuka
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 5 жыл бұрын
Salute mjomba
@piusmnanka2755
@piusmnanka2755 5 жыл бұрын
Kweli kabisa hata jamaa muuza samaki Leo kafurahi..,
@agustinolazaro7864
@agustinolazaro7864 Жыл бұрын
Mungu akubariki Asante Kwa uongozi wako
@meshackshedrack2974
@meshackshedrack2974 9 жыл бұрын
Raisi mpenda laia ndiohuyukubali ukatae big up kikwete na mama Salina .
@alvinlembo3360
@alvinlembo3360 6 жыл бұрын
Uwe na miaka mingi
@huszarb7865
@huszarb7865 8 жыл бұрын
Itachukua mda sana kuongozwa na mtu kama ww Tz respect nyingi kwako u are blessed
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
Huszar B kaongoze wewe basi malaika ilì muda uwe mfupi ngedele mkubwa
@mussaabdiel9797
@mussaabdiel9797 5 жыл бұрын
Dah nakumbuka wakat nasoma secondary Nina elfu30 mfukon saiv sisomi ila Nina buku tu umegundua nn apo
@abednego3876
@abednego3876 5 жыл бұрын
Ww ni mjinga
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Mussa Abdiel 😀😀😀
@ayutoamos1071
@ayutoamos1071 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@naseralenzi9419
@naseralenzi9419 6 жыл бұрын
kikwete alikua mtoto wakita wallah mngu amjalie kweli kwel baba mwenyewe huruma penda sana wewe
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 9 ай бұрын
Sema huyu mzee miyeyusho sana anagonga na miluzi kabisa 😂😂
@estherbebe2303
@estherbebe2303 3 жыл бұрын
This video makes me smile 😊
@swabratramadhan5045
@swabratramadhan5045 5 жыл бұрын
Mashaallah dady Mungu azidi kukupa moyo huo na utu wako udumu milele
@rahmakhassani4148
@rahmakhassani4148 5 жыл бұрын
Haya baba tunakumbukia bata kipindi chako saivi tunaziona kwa macho 😂😂😂😂
@jpmmusic9662
@jpmmusic9662 4 жыл бұрын
Mama salima mzuri hongera my president tunakumis ulichagua
@isayasway8633
@isayasway8633 4 жыл бұрын
Kama umeona mfuko wa Rambo gonga like yak hap
@kadolenyambasu5511
@kadolenyambasu5511 5 жыл бұрын
I miss u dady....nimeangalia had machoz yanataka kudondoka
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 5 жыл бұрын
nashukuru sana katika utawala wako nilibahatika Kuwa miongoni mwa washereheshaji, jimboni mwetu, Mr jk
@konde24ful
@konde24ful 5 жыл бұрын
Tz kiukwel ipo vizuri maisha marefu tz East Africa
@ejmalady6923
@ejmalady6923 4 ай бұрын
Mzee alitujali sana akiwa waziri wa fedha na akiwa Rais wa jamhuri ya mungano,cjitambulishi.
@ramadhaningamba1778
@ramadhaningamba1778 Ай бұрын
Safi inapendeza sana viongozi kuwa hulu
@nuhubalandya9164
@nuhubalandya9164 6 жыл бұрын
yes! indeed
@abasiomary556
@abasiomary556 5 жыл бұрын
tunakupenda sana baba natunakukumbuka, kama unakubaliana Na mm gonga like
@ludovicshirima1793
@ludovicshirima1793 5 ай бұрын
Tuseme ukwl mh kikwete anajua kuoshi na watu ana kipaji hyu mzee.👏👏namkubali
@rashidihamis6202
@rashidihamis6202 5 жыл бұрын
hana ulinzi mkubwa sana yaan kawaida tu
@abednego3876
@abednego3876 5 жыл бұрын
Kwa sababu alikua haingilii maslai na wizi wa matajiri
@reggancamp5247
@reggancamp5247 4 жыл бұрын
@@abednego3876 hahahahahahahahahahaaaaa
@wahidaali2592
@wahidaali2592 9 жыл бұрын
Nampenda sana Rais wetu
@titoemmanuel1574
@titoemmanuel1574 5 жыл бұрын
Wahida Ali WO
@joramkumbemba4810
@joramkumbemba4810 5 жыл бұрын
Huyu mzee anaheshimu sana utu wa watu pia Mpenda democracy
@matisony3603
@matisony3603 5 жыл бұрын
Penda sana rais wangu jakaya mrisho kikwete umemuachia jemedar ngaz kwa hilo nashukuru sana by ibra da silva bunda boy
@neemaukopovizurikakamasawe3394
@neemaukopovizurikakamasawe3394 5 жыл бұрын
westkid TZ vizuri sana mstaafu wetu kwa kupita sokoni na kuwaungisha wafanya biashara mama salima j kikwete oyeeee?
@ngasikajoel9576
@ngasikajoel9576 9 жыл бұрын
Yes show love Mr president even to low social status people! Very nice and human.I like that
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 Жыл бұрын
Safi sana... Tuwe huru namna hii... Mi napenda sana
@kingsfamily9373
@kingsfamily9373 5 жыл бұрын
Sssa huyu ndiye ndiye raisi wawanyonge
@happymushi2219
@happymushi2219 9 жыл бұрын
So nice JK.
@sylviamombo815
@sylviamombo815 4 жыл бұрын
Hadi raha
@maigajohn702
@maigajohn702 4 жыл бұрын
Mungu ibariki tanzania
@iddykaponda4123
@iddykaponda4123 5 жыл бұрын
Huyu ndyo rais wa wanyonge ongera sannaa jakaya mungu skubaliki
@rithamremi5515
@rithamremi5515 2 жыл бұрын
Love them❤️🙏
@givenmeja6964
@givenmeja6964 8 жыл бұрын
tumekumis baaabaaa... kikwete daaaah...
@MR_GUNDI
@MR_GUNDI Жыл бұрын
Mzee ludi madalakan eeh Mungu tazama vilio vyetu Bora ww tunakumbuka utawala wako ujawahi kutokea cjawah kuckia mtu akikubeza lkn hao wengine wanajijali wao Mungu toa hukumu ya Allah yah Karim
@athumanmfangavu7320
@athumanmfangavu7320 4 жыл бұрын
Nimeipenda hii
@saidomary4950
@saidomary4950 4 жыл бұрын
Simple kabisa hakuna ulinzi mkubwa dah miss u my president
@nassorsubah3100
@nassorsubah3100 6 жыл бұрын
Angalieni tafauti ya makufuli na huyu makufuli anauliza matatizo ya watu kila anapokwenda ni kweli Rais wa wananchi na watu wanyonge jamani Angalieni wenyewe
@sahjunior6361
@sahjunior6361 5 жыл бұрын
I miss you my dady
@husseinmussa8229
@husseinmussa8229 6 жыл бұрын
kikwete bhana anapenda sana samaki wa aina hiyo ng,ando
@imelidamfikwa7954
@imelidamfikwa7954 2 жыл бұрын
Hivi ni samaki? Nilidhani mabanzi
@alhajiomary2294
@alhajiomary2294 5 жыл бұрын
Hauwezi kuufahamu uzuri wa neema ila mpaka ukuondoke.mh kikwete tutakukumbuka daima kwa mazuri yko.
@kapanyatv4186
@kapanyatv4186 4 жыл бұрын
Nakubar Sana
@imanianyimike4942
@imanianyimike4942 9 жыл бұрын
Upendo wa dhati kwa watu wote, ubarikiwe, mungu awe nawe daima babaa,
@chelseafcfcful
@chelseafcfcful 10 жыл бұрын
Awsom prez
@brownlovekiwall6076
@brownlovekiwall6076 5 жыл бұрын
We love you papa
@allykarim1513
@allykarim1513 5 жыл бұрын
wenyewe wasitarabu sana
@uwimanasalua1334
@uwimanasalua1334 9 жыл бұрын
Wow nice president I like it
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 4 жыл бұрын
Ukihesabu pesa lazima upige na uluzi safi sana
@frankgibore9813
@frankgibore9813 2 жыл бұрын
Kwakweli mtandao inatukumbusha mbalisana na ainayaviongozi tuliyokuwanao.
@tigertiger3206
@tigertiger3206 3 жыл бұрын
La Tanzanie est l un des pays le plus en paix
@mariamhabibu4711
@mariamhabibu4711 4 жыл бұрын
Nakumbuka katka utawala wake tulimtunga jina la big dady na alipokuja Zanzibar kufungua Ofis ya Mkuu wa mkoa na kuweka jiwe la msing shulen kwetu tulimpokea kwa upendo wa hali ya juu na zawad tulimpatia mis you baba
@petergathercole2500
@petergathercole2500 7 жыл бұрын
That's good, just like Obama, am so impressed
@jonsonmungure6552
@jonsonmungure6552 5 жыл бұрын
Tanzania tumepataviongozi wazalendo wachahe ndo vyura Mungu awape maishamarefu
@mariamlusandi2869
@mariamlusandi2869 6 жыл бұрын
Du kumbe imeisha nimebaki tu naangalia cm huku machozi yakitaka kunitoka ,,, tutakukumbuka sana rais mpenda watu
@mariambogozo7819
@mariambogozo7819 5 жыл бұрын
daaah tunakukumbuka Allah akujalie kher in shaallah
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 5 жыл бұрын
Mariam unalia nn wakat bdo miaka kma 8 hiv....magu amalize madaraka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@maranathacharles6481
@maranathacharles6481 9 жыл бұрын
Big up.
@mohamedramadhani4189
@mohamedramadhani4189 4 жыл бұрын
Yan uyu mzee namlaumu jambo moja tu. Kaondoka na ajira zake katuacha tunahangaika tu. Wee baba wewe daa acha tu
@gloryben4417
@gloryben4417 9 жыл бұрын
waooooooooooh unatish mzeeee big uo
@edsoniminani7061
@edsoniminani7061 4 жыл бұрын
Jamani Hakika Tanzania imebarikiwa kwa kuwa na viongozi wenye kuwapenda wananchi wao cheki huo ukarimu wa Raisi wetu
@nyakinyaki1702
@nyakinyaki1702 5 жыл бұрын
kikwete alikuwa na huruma sana kwa watanzania, na hakutumia nguvu Bali alitumia busara na lugha nyenyekevu kwa watanzania
@harunamohamed3870
@harunamohamed3870 6 жыл бұрын
mashaallah nimeipenda hiyo
@costantineernest745
@costantineernest745 6 ай бұрын
4:48 sio siri kikwete mhhh
@salmamasoud6055
@salmamasoud6055 8 жыл бұрын
waoo mm nampenda sana bi salma anavyojistri yani hanagashida na mtu wala hanakujisikia kama wake wengine wa wakubwaa penda sana wajina wanguu mwaaaaa
@auntdorah9141
@auntdorah9141 4 жыл бұрын
Hanaga makuu...bado tunampenda ...hii picha inaonesha ni mfano halisi wa Amani ktk nchi yetu... Mungu azidi kuwalinda.
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 7 жыл бұрын
Mzee WA mambo safi 😆😆😆😆 may. U leave long Mr Jakaya
@abelsamwel9162
@abelsamwel9162 5 жыл бұрын
.
@Amaannehal
@Amaannehal 9 жыл бұрын
Very nice People's President
@MR_GUNDI
@MR_GUNDI Жыл бұрын
Yan huyu akigombea Tena uraisi anapita tunamkubali sana
@mohamedkondo-tq2bm
@mohamedkondo-tq2bm 9 ай бұрын
Mzee anataka ng'onda mtu wa pwani safi sana
@nyakinyaki1702
@nyakinyaki1702 5 жыл бұрын
tunakukumbuka sana mh kama ingewezekana ungeendelea tu kutuongoza sie wanyonge, bado tunakupenda sana mh
@nurjahanabdulrahim9588
@nurjahanabdulrahim9588 4 жыл бұрын
Nureen Ibrahim tuna omba mkuu wa Mkoa Mjini aje kutembelea Mkunazini Kwa lukman restaurant Na mara wote watu wana weka gari I mean parking bila ya pango.hamna utaratibu mkunazini imekua ofiyo you need to see utali wengi Na wana ona uchafu watu wana park gari kama wanao taka wenyewe
@madiyaahmad7453
@madiyaahmad7453 6 жыл бұрын
The best president please come back
@emmanuelnzyuna8907
@emmanuelnzyuna8907 5 жыл бұрын
ur the good President
@The_Nubianommetry_Podcast
@The_Nubianommetry_Podcast 5 жыл бұрын
e bwana hisabati ya dola inamtatanisha Mzee Kikwete hapa hehehe. Ng'onda haileti mchuzi mzito mzuri......duh!
@michaelmuhando1461
@michaelmuhando1461 4 жыл бұрын
Yaan nampendaga sana
@hamadeddy8089
@hamadeddy8089 5 жыл бұрын
Rais alietuacha tukiwa tunampenda tuna muhitaji tuna mkumbuka Sana ingekua sheria ya kutawala mpaka mwisho ningetamani aendelee kuwepo madarakani Mola akupe maisha mema yenye afya Tele Mhe. KIKWETE
@WJShadrack
@WJShadrack 9 жыл бұрын
Mfano mzuri sana. Si rahisi kumuona kiongozi wa nchi Africa akienda mitaani kama hivyo.
@selemanmayala3102
@selemanmayala3102 6 жыл бұрын
mbona samia hajaianglia camera
@bernardmunuo2137
@bernardmunuo2137 9 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@ikramsafnes3019
@ikramsafnes3019 6 жыл бұрын
SAFI sana
@vkdjdnznzzn9507
@vkdjdnznzzn9507 5 жыл бұрын
Kikwete alikua ana ubaguz ata kidogo mungu akuongoze ktk maisha yako baba tuna enderea kukupenda wa tz
@davidprosper5304
@davidprosper5304 Жыл бұрын
Inapendeza Safi Sana kudumisha mila
@bekashan4792
@bekashan4792 2 жыл бұрын
Ni hapo tu sijaona sehemu nyingine, JPM kiboko yao
@ottiliafortunatus9647
@ottiliafortunatus9647 6 жыл бұрын
jamani
@khadijaabasi4549
@khadijaabasi4549 Жыл бұрын
Hiyo Safi kua na mke sokoni
@kingsfamily9373
@kingsfamily9373 5 жыл бұрын
Angekuja aunco magu hapo kwanza angemwambia muuzaji ampunguzie bei arafu angemwambia auripi kodi
@godrickcharlz9271
@godrickcharlz9271 5 жыл бұрын
KINGS FAMILY wangebishana kupunguziana mpaka kesho
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 5 жыл бұрын
@@godrickcharlz9271 yaan muuzaj angepunguza kwa kuogopa hao askar tu tena shingo upande🤣🤣🤣🤣🤣😎
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 5 жыл бұрын
Weee usimtajee yule babu yako ni hatar🕵️‍♀️
@frankngereza7670
@frankngereza7670 5 жыл бұрын
😂😂😂
@abdallahkawambwa2968
@abdallahkawambwa2968 4 жыл бұрын
Maisha mema baba
@abelyedson6483
@abelyedson6483 7 жыл бұрын
Tutakukumba milele na milele Baba
@emmanuelmashauri8949
@emmanuelmashauri8949 4 жыл бұрын
Daaah jamaaa kapewa hela akataka kuiweka bila kuhesabu #MzeeBaba kamwambia hesabu bwaana usije sema mzee yule kaja hapa kanidhulumuu
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Tanzania raha sana tuipende nchi yetu
@michaelrangi8823
@michaelrangi8823 9 жыл бұрын
TANZANIA. YESU NI BWANA
@hashimumkunda3482
@hashimumkunda3482 6 жыл бұрын
Michael Rangi. VIONGOZI WA KIISLAM WANA HURUMA. ANGALIA MWINYI, ANGALIA KIKWETE ILA HAWA WAKRISTO HAWANA HURUMA. ANGALIA MKAPA NA MAGUFULI NA WENGINE WENGI
@rickrosswabongo4116
@rickrosswabongo4116 10 жыл бұрын
A President of the people
@princesele6209
@princesele6209 5 жыл бұрын
dah mungu azid kumuweka huyu mzee kipenzi cha watu
@saeedal-awen2190
@saeedal-awen2190 2 жыл бұрын
Hapo wngekua walinzi wa mwenda zake washasukuma watu
@Excel-Elevation-School
@Excel-Elevation-School 9 жыл бұрын
Prezident wa ukweli cjapata ckia wala ona,, Wanachama wa chama cha mapinduzi Tumwongezeeni japo miaka 2,.
MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
6:56
Global TV Online
Рет қаралды 654 М.
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 13 МЛН
Rais Jakaya Kikwete awasili Malawi na kupokewa na Rais Joyce Banda
5:58
DP Rigathi Gachagua Addresses the Nation
2:00:02
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 56 М.
OBAMA IN TANZANIA 2013
13:00
MUHIDIN MICHUZI
Рет қаралды 618 М.