Рет қаралды 142,492
Lowassa na Sumaye, ambao wote ni Mawaziri Wakuu Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika vipindi tofauti, nao walikuwa miongoni mwa maelfu ya viongozi walioshiriki mazishi ya Mzee Ndesamburo, Moshi Mjini. Wamepata nafasi ya kupanda jukwaani na kuongea na waombolezaji. Kama kawaida hawakuacha kutumia nafasi hiyo kutupia neno na kutoa yao ya mayoni,
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
kupata habari zaidi, WEBSITE: globalpublishers
.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
#Ndesamburo. #Lowassa. #Sumaye